#ukewenza #Shairi #Asia WATUNZI: Sefu Makanyila (Moyo Kichaka) Asia Amani (Mlio wa Cherehani Waghani: Ali Mwakaga & Asia Amani
Пікірлер: 139
@amirimbago8325 Жыл бұрын
shairi tamu hili jamaniii kiswahili safi ....Mashallah Naskiliza nikiwa Tanzania hongera kwa watunzi na waghani
@sheilahismail45243 жыл бұрын
Yani nalipenda Hadi naumwa hilo shairi🤗🤗🤗
@heyumi2340 Жыл бұрын
kwa hiyoooo unaoa wafanyakaxi waje kufanya kazi
@ZainabAbas-ce2pm5 ай бұрын
Ukewenza mimi mwenyewe siutaki😢😢😢
@AugustineInjendi7 күн бұрын
safi sana mashallah..@asia❤❤❤
@azizaaziza79962 жыл бұрын
sauti mashaallah
@zakiabakar25693 жыл бұрын
Hongera Sana mashllh😘kila mke ana riski yake
@nuruali78592 жыл бұрын
Masha Allah uko vizuri asia.....nmepnda
@hamadimwagarashi65993 жыл бұрын
MaashaAllah, , , MaashaAllah, , , MaashaAllah, , , kazi nzuri sana ndugu zangu, , ,
@mishihamadi213 жыл бұрын
Damaaaani Asia wakeeeee nampendaaa bure si hio sauti mashaallah mashaallah 🥰🥰🥰🔥🔥🔥🔥
@asiamakasi53403 жыл бұрын
Nakuona siz ,nakupendraa sanaaa kisunzi.wangu
@shaurimfungoni17722 жыл бұрын
The girl ako na sauti qute
@SultanSultan-sl4bs3 жыл бұрын
Shairi Zuri MashaaAllah. Mjomba mke wa pili mtihani, dini imekubali lakini Sharia zake ndo hatuziwezi Sisi wanaume. Kila wakati twatumia tu ubunifu Wetu WA kutongoza Kama kipaji lakini ni hoja Nzuri kiizingatia.
@arafajuma9677 Жыл бұрын
Uminena kweli wengi waoa tu kwa sababu flani kaoa lakini sharia bdo hawajui
@SFELUUKHAMIS3 ай бұрын
In file
@mikyfosikama87522 жыл бұрын
Mashallah wifi mie huyo🥰
@fatmaabdallah2534 Жыл бұрын
Mashalla nimeipendaiyo
@neemajuma19913 жыл бұрын
Masha'Allah napongeza mimi pia nataka kuwa na mke mwenza🤪
@aishaomar9621 Жыл бұрын
Mimi mwambie mumeo aje aniowe😂😂🥰
@salimmoha7962 Жыл бұрын
Kama hujaolewa Wacha nikuongeze mimi
@rayrayndiema Жыл бұрын
LIES😂
@user-bj4di6ry9k3 жыл бұрын
MashallAh.Hongera.safi.sana
@saay4273 Жыл бұрын
Mpo vizur
@JIMBO_MEDIA Жыл бұрын
Asante
@neemahassan48723 жыл бұрын
Masha Allah shairi zuri lakini uke wenza hata mimi siwezi
@jumasubeti66702 жыл бұрын
Astaghafil llah
@sssss78204 ай бұрын
ukewenza raha jamani mambo kupokezana
@mwogeramwimeti99022 жыл бұрын
Mashallah shairi nzuri hili jamani keep up
@fatmamdigo18483 жыл бұрын
Duuuuuh dunia banaa maisha yenyewe niayo ya pesa8 alafu mke wa2 tusidanganyane..
@aminahema97143 жыл бұрын
Gaone nawe🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@bujramohamed13523 жыл бұрын
@@aminahema9714 Gombani tamgataki msisingizie maisha
@aminahema97143 жыл бұрын
@@bujramohamed1352 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣we mwenye shauriyo tunagataka lkin tunalola pha kudzitiya pia nzala hino uyalolwa mchetu wa phiri n mlume kana kazi... Kee uenzaye kuirika n nzala kpwan alume osi asira kulola😝😝😝😝😝😝😝😝
@bujramohamed13523 жыл бұрын
@@aminahema9714 Nzala ilunga atu a mathna tu? Ela mwi enye. Hivi maskini osi duniani Umaskini wao nkpwasababu ya kulola achetu airi
@aminahema97143 жыл бұрын
@@bujramohamed1352 😝😝😝😝😝😝kogoyo nkaamba ye mlume atakaye mchetu ipho n masikini kana ta shati sikaamba alolao achetu airi n achiya🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Uchireya nzooo unimyole singo
@masturakhamis35042 жыл бұрын
Wajibu umsaidie mana kaz n haki ya mwanaumme kufanya
@hawascarlet38092 жыл бұрын
Hakuna mwanamke hawezi uke wenza mdomo thuu,allah swt alikuwa akijua na ndo manake akatujalia nguvu na moyo wa uke wenza na ndo maanake akaweka 4....
@yahyamwagarashi45633 жыл бұрын
Mashaallah 😍😍😍 kazi nzuri sana #Ali Mwakaga #mlio wa cherehani
@rahimaali24353 жыл бұрын
Iko dope Sana. Asia Allah aku hifadhi
@mariamsaid23772 жыл бұрын
Mpaka raha jamani
@saumtengeza5092 жыл бұрын
Mashallah
@zulachama10678 ай бұрын
Nimelipenda shairi lenu sitaki uke wenza tunzi nzuri sana mna weza na mna stahili pongezi ❤👏👏👏👏
@nohate36702 жыл бұрын
Asia wetu mashaallah 😂😂😂😂😂
@awadhkombo48573 жыл бұрын
MashaAllah asia uko vizuri 🔥. Nakukubali
@asiamakasi53403 жыл бұрын
Shukran
@mauamadua81492 жыл бұрын
Mashallaaaaaaah
@SaidhiMwero29 күн бұрын
Mashaallah
@user-fq3gs2jx8h8 ай бұрын
Ii maashaalla barikillahufiki
@mr.romancer91603 жыл бұрын
Mashaallah kazi nzuri🔥✔
@asiamakasi53403 жыл бұрын
Shukran
@heavyweightpictures42843 жыл бұрын
Nice. ..work
@user-wr3uu1hf9z7 ай бұрын
Mashallah❤❤❤
@hassankhan99323 жыл бұрын
MashaAllah kazi nzuri Asia.... congrats sana kaka mwakaga
@asiamakasi53403 жыл бұрын
Shukran kaka hassan
@alghareebjim20753 жыл бұрын
AL-ghareeb Niko ndani💯.....ShaBBash!!!🔥
@ramadhankijana9442 Жыл бұрын
Dah MashaAllah shairi nzuri kwa kweli...
@sikudhanjuma39873 жыл бұрын
HK Asia makas ma sha Allah kW kipaji
@asiamakasi53403 жыл бұрын
Thanks
@abuyunusmohamed69612 жыл бұрын
Kusema na kutenda ni vitu viwili tofauti.Ukishaoa mke wa pili na ukakolea mapenzi unamsahau mke mkubwa.Kuoa sio kazi bali uadilifu ndio kazi
@MOTHERFLOWERS385 Жыл бұрын
🥰🥰🥰🥰TALENTED MWAKAGA VOCALIST ASIA😃😃😃mashaalah
@zainabally27562 жыл бұрын
Mashaallah nimependa kaziyako mwagarashi
@monatomamonatoma33082 жыл бұрын
Mashallah mashallah mumeweza
@ayshaalsahafi57142 жыл бұрын
Mashallah Allah awazidishie.muzidi kuendelea
@mamakefarhat52202 жыл бұрын
Santhaaaaa utunzi kuntu sana
@aishaomar9621 Жыл бұрын
Mashaa Allah tabaraka Allah uke wenza ni mzuri mkija kuwa kitu kimoja nitaujaribu nami pia inshaa Allah Allah anizidishie subra na Imani
@RamzahOfficial6 ай бұрын
ali wa mwakaga kazi safi sana @ramzah
@sniper939992 жыл бұрын
Masha Allah
@herimwinyi13042 жыл бұрын
Asia amani u killed it mammie
@mwanasitimpole87463 жыл бұрын
MashaAllah
@fatmaabdallah2534 Жыл бұрын
Mashalla mashalla
@Gratefulme770 Жыл бұрын
Mke wako mwandikie maid amsaidie 😂😂
@JIMBO_MEDIA Жыл бұрын
Asiongeze mke
@agadias2543 жыл бұрын
Nyc one guys
@barakambogera16673 жыл бұрын
Safiiiiii shairi
@mansouramour509 Жыл бұрын
Masha allh
@bintmwangao3302 Жыл бұрын
Mashallah 🤝
@malengamusha539 Жыл бұрын
Kazi nzuri kaka, nimeifwatilia vina na maudhui vikanijenga ...
@ruksanaa00123 жыл бұрын
Mashaallah😘😘😘Uke wenza raha shishthaa 😁Asiah nataka kuwa mke mwenzio 😍😍😍😘😂
@asiamakasi53403 жыл бұрын
Haaaaa utayaweza
@masoudsururu73853 жыл бұрын
Masha Allah malenga wetu
@user-qp9jr7xk3d9 ай бұрын
Jamani ukewenza mtihani kwakweli kwa maisha ya sasa wanaume wanaolea tamaa
@aminahema97143 жыл бұрын
😝😝😝😝😝Bujra umasikin huo wataka ongeza mwengine🤭🤭shat lenyewe huna utamvisha nn huyo mwengine 🤣🤣🤣🤣🤣
@fajarfajar78553 жыл бұрын
namshangaa
@aminahema97143 жыл бұрын
@@fajarfajar7855 huhuhuhu
@bujramohamed13523 жыл бұрын
@@aminahema9714 Nshawahi kukuomba unga sima kwani 😀😀😀 nshawahi kukuomba Pesa nnunulie mke wangu dera... Hamtaki uke wenza wacheni kusingizia maisha
@bujramohamed13523 жыл бұрын
@@fajarfajar7855 Hamtaki uke wenza wacheni kusingizia maisha
@fajarfajar78553 жыл бұрын
@@bujramohamed1352 ok tumekubali muoe basi wawe kama bibi wa daktari mwala maisha kibanda cha kuku😂😂😂😂😂😂😂😂
@SFELUUKHAMIS3 ай бұрын
File
@reignhoodmedia46343 жыл бұрын
Nice👍🏼
@abdulkarimkuchengwa49003 жыл бұрын
My boy Mwakaga on this one 🔥 Cherehani Mashallah 🔥 #MalengaWaKaya
@RemmyKeshComedy3 жыл бұрын
Amba Nawe act
@RemmyKeshComedy3 жыл бұрын
Ntafute tutoe comedy 😂😂😂
@abdulkarimkuchengwa49003 жыл бұрын
@@RemmyKeshComedy in shaa Allah tutaftane
@buthainaalmusallami80242 жыл бұрын
Ffff
@buthainaalmusallami80242 жыл бұрын
Ardge1
@najmahmambo Жыл бұрын
Ma Shaa Allah it's so great
@malengawilliamchimoyo13712 жыл бұрын
wooow! i like it
@naimamohammad88702 жыл бұрын
MASHA ALLAH 💕💕💕💕
@asmamohammed8126 Жыл бұрын
Mashaallah 🥰🥰
@user-ch1ox7gy4f2 жыл бұрын
like sana did
@jadijuma50043 жыл бұрын
MashaAllah 💕💕💕💕
@mariamabdalah25013 жыл бұрын
Mwanamke saut mashallah mpenz
@aminahema97143 жыл бұрын
Madam ana sauti nzur MashaAllah 😘😘
@asiamakasi53403 жыл бұрын
Asantee
@fatumalove18042 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@saidbwanaalimwanaharakati75083 жыл бұрын
Mashllah..
@RemmyRay-lh8bs Жыл бұрын
Fity
@bakarimwamalingwa3441 Жыл бұрын
Mashallahu imeshika kaka
@ashamwanyota2289 Жыл бұрын
Mashallah jamanii
@JIMBO_MEDIA Жыл бұрын
Shukran
@mwanahalimamwachili96793 жыл бұрын
Maa Shaa Allah, Ukewenza Mtamu Mkipendana Nyinyi Wenza.🤣🤣🤣 Eti Ukimleta Atamtibua.Usije Tibuliwa Wewe Ukahama Mji.
@khaulatrashid35353 жыл бұрын
😂😂khatar na nusu
@aminaissa97092 жыл бұрын
Hewallah maana hao wajao nyuma uwa ni vijego vyenyewe waeza kutibuliwa kweli 🤣🤣🤣🤣🤣 ukama jiji machezo🤣🤣🤣🤣
@mwanahalimamwachili96792 жыл бұрын
@@aminaissa9709 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Halloooooo Swahiba Umenichekesha, Si Ndio Usijisifu Una Mbio.Msifu Na Akukimbizaye.
@mwanahalimamwachili96792 жыл бұрын
@@khaulatrashid3535 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
@aminaissa97092 жыл бұрын
@@mwanahalimamwachili9679 kabisaa hao wajao uwa ni moto wa kuotea mbali wako tayari kivyovyote🤣🤣🤣🤣🤣🤣