Wazo zuri sana lilozungumzwa. Nimependa vitendo pia. Wasanii wametulia sanaa. Hongereni
@mamamuu82173 жыл бұрын
Kaswida nzuri Ila sio amri kuongeza mke ! Ila ni ruhusa Tu Kwa wenye uwezo
@biommy67002 жыл бұрын
Nzuri iyo hongereni nyote, watching from saudi Arabia
@heyumi23403 жыл бұрын
hakun mwanaume hapendi wanawake wengi wanajua kuoa huduma mbovu kama shimo la choo
@rahmahassan11572 жыл бұрын
Hakika
@balqisabdullah62002 жыл бұрын
Ni 🔥 ma sha allah ♥
@aishahmd25592 жыл бұрын
Qaswida mashaallah ujmbe tosha 😊
@habibkasir81972 жыл бұрын
Kaswida nzur sana
@fatmahamadkhatib48802 жыл бұрын
Nimeipenda......
@rukiamwachupa91913 жыл бұрын
Qaswda na mafunzo yke mashsAllah🥰🥰🥰🇰🇪🇰🇪
@sskondopoleani96162 жыл бұрын
Maashallah Qasida nzuri, lakini je masharti ya mke zaidi ya mmoja yanafuatwa?? Halafu katika suna za Bwn. Mtume SAW hii naona wanaume mmeipaina UZITO kuliko zingine zoote. Wanaume hamkatazwi kuoa zaidi ya mmoja, lakini sheria zake zinafuatwa??
@mwanalikhamis98752 жыл бұрын
Hayafatwi hata kidogo wanazalilisha wanawake tu mimi sitaki kuolewa mana hakuna ndoa saivi kuna mtihani ivo
@ThabitHaji-dx1uo Жыл бұрын
Sheria 4 uwadilifu ndio unaotakiw🎤🎤
@eshasalim54962 жыл бұрын
Maa Shaa ALLAH, Tabaraka ALLAH
@zubaidaalsalhi32423 жыл бұрын
*🥰🥰Mashallah alaykum* *Katimize Sunna yanabiyya my PRINCE CHOLLO WANGU haki zangu uczisahau kunitimizia🤗🥰🥰*
@mrsabdul-mz8hh Жыл бұрын
Waaaaa😂😂😂😂 hii comment nlipitanayo mie Subhanallah Mpemba keshanipiga na chini kitambo😔Ila haukua mwisho wamaisha yangu Ama nliondolewa mwanga wa kuish nao hakika np na kiza Cha kuzeeka nacho *NAKUPENDA my HUBIY wangu❤* kufika muda wa kutimiza sunna naww nenda ila Haki zangu usisahau pia😂
@khadejarajab80072 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah nzuri sana
@nasliasuleiman69542 жыл бұрын
Wanaume sunna hii ndiowanayo ijuwa
@maimunamohamed33672 жыл бұрын
Nice kasida mashaallah 🥰🥰
@yussufamur12602 жыл бұрын
hajakuchok Ila mpeuhur atimize suna yanaby 👊👊👊👊👍
@asaas76199 ай бұрын
Baada ya kusema "hali zetu masikini" yuwasema nini Silipati vizuri hili neno
@Boeyrbx2 жыл бұрын
Taraaabuuuu hii si kaswida
@maryambakari48582 жыл бұрын
Mashallah wako vizuri
@arafaabdala32492 жыл бұрын
Mashallah❤️
@mrsnote59793 жыл бұрын
Unaambiwa kila maisha yakiwa magumu uengeze mke mna risk huengezeka
Mbona qaswida hii yaleta mjadala kwenye maoni ? Na katika mstari mmoja anaimba huyo binti kua " kuongeza mke ni Sunna lakini sio kwake _ arudishwe nyumbani kwao......dah ! Quran haikukosea wala haina shaka.
@sadabkari55322 жыл бұрын
Mashaaallah ❤️💞💕😍🥰
@yunusuhamisi-mn1xz Жыл бұрын
Mashaallah
@fadocdr24852 жыл бұрын
Maa shaa Allah
@hadijakassimila53162 жыл бұрын
Mashallah 🤲🤲🤲
@ruqayaruqaya42832 жыл бұрын
Mashaallh 😘
@hemednassor23623 жыл бұрын
Haji Gorig Kasida iko poa umetisha
@swaleheismail462 жыл бұрын
Masha Allah
@monatomamonatoma33083 жыл бұрын
Mashallah mashallah imefana
@wahidadaudi49452 жыл бұрын
Nadhra ilove🥰🥰
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Bass haya
@sharifsuleiman60582 жыл бұрын
Hii ni tarabu na ndio miongoni mwa Mambo yanayoturudisha nyuma waislam wa Zanzibar
@sharifaabdul96102 жыл бұрын
Mh umezidi
@asyadula18363 жыл бұрын
Mashallh pambe
@babujiddamakaramabjm8302 жыл бұрын
Mwanake Acha pingamizi kuoa wajibu wake aijalishi anacho au hana
@aliy33032 жыл бұрын
Alfu Mabrouk
@mrrajabuthman9703 жыл бұрын
maashaallah
@sitiismail1182 жыл бұрын
Bismillah masha Allah ustadhi othman
@jamalhamiis80022 жыл бұрын
nataka ku download,tafadhali naomba Jina la musician ako amefanya hiyo ngoma.
@aishabashiru4123 Жыл бұрын
Mashaallh ❤️
@ZuuAbuu-q1g11 ай бұрын
❤❤❤❤
@FabuKabanziko-xx2ij Жыл бұрын
Mama
@claradecute4653 жыл бұрын
Mashaallah qaswida nzuri
@hidayasanze58642 жыл бұрын
Qaswida
@maryamkhamis65803 жыл бұрын
Maashaallah kiongoz
@zanzibarchanalkaswida66293 жыл бұрын
Mashallah ❤️ tamu
@muabrashirazy48863 жыл бұрын
Inautamu gani kutotaka uke wenza tu
@zanzibarchanalkaswida66293 жыл бұрын
@@muabrashirazy4886 mm nataka sana2 sijapata 2 huyo wakuniowa2
@mudathirmkubwamselem56503 жыл бұрын
@@zanzibarchanalkaswida6629 wew unasema tuu iv
@zanzibarchanalkaswida66293 жыл бұрын
@@mudathirmkubwamselem5650 hm ww ndio huamini lakini mm ndivo ninavo penda haswaa
@mudathirmkubwamselem56503 жыл бұрын
@@zanzibarchanalkaswida6629saw alhuma amin na mm nita kuombea dua hiyoo🤲🤲🤲
@kadijahajali39183 жыл бұрын
Nzur kasida inaelemesha jami
@sadabkari55322 жыл бұрын
Cute
@radhiaali80433 жыл бұрын
ما شاء الله
@khadijahali48373 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@ukhtyaishamapozpba41733 жыл бұрын
Duh khatar jaman kama sielew iv wanawake wenzangu mpo
@abdulkadirishangari44933 жыл бұрын
Nipo jmn sijawahi kukubali ukewenza
@husnaally67762 жыл бұрын
@@abdulkadirishangari4493 usipokubali wa dhahiri utakubali wa siri
@mudathirmkubwamselem56503 жыл бұрын
Sio tatiz iloo hakizak uta pat 💢💢💢
@omaryjohobakari4233 жыл бұрын
Naogopa kusema neno ila wacha nijikaze litakalokua na liwe nahisi kama Zenji move za makombora na halikuniki
@umakramzahor48362 жыл бұрын
Ni wivu tu
@omaryjohobakari4232 жыл бұрын
@@umakramzahor4836 wa nini ndugu maana sijaliona kubwa apo zaidi ya vichekesho vya makombora
@umakramzahor48362 жыл бұрын
@@omaryjohobakari423 wanajua
@omaryjohobakari4232 жыл бұрын
@@umakramzahor4836 kuigiza vichekesho kweli nakubaliana na wewe