Dr. hii elimu ni kubwa sana , watu wengi wanapaswa kuijua , Hii ni tofauti hata na style ya mafundisho tunayopata kwenye makanisa , misikiti, masinagogi, MUNGU kakuleta utuelimishe, kwa sababu watu wengi tulikua tunaangamia kwa kukosa maarifa ya hatma zetu.
@shafymkeremy76534 жыл бұрын
Dr Nakupenda Kwa Upendo Wa Dhati...# Nakaz Yakukuombea Uwena Afya Njema Ili Niendele Kupata Maarifa Kutoka Kwako.. Maana Now Na Miaka Miwili Nkikusikiliza Maana ikifika Miaka Mitatu Nitakuwa Nimehitimu Na Kuwa Na Degree Kutoka Kwako Kwa Elimu Uitoayo.
@irenenguku81984 жыл бұрын
Jaman Dr ulichosema wanje wanaelewa zaidi ujakosea maana wengine umetubadilisha kabisa..... asante Sana.
@rajabumrama31614 жыл бұрын
Mungu akulinde d.r.t
@vivianoforo47604 жыл бұрын
Ili somo linagonga kweli kweli and I will listen to it mpaka mwisho Mungu akutunze sana Doc Ellie na team chomoza
@kelvinmwasongole67244 жыл бұрын
Asante kwa hili somo
@the_white_43.4 жыл бұрын
CHOMOZA YOOOOTE Dr. Elie ndio timamu ,,,muongezeeni MUDA ...Rekebisheni sauti
@peterpaschaljuma23824 жыл бұрын
Asantee Sana Dr tangu nianze kukufatilia mfumo wa maisha yangu yamebadrika kabisa 🙏🙏
@jeffreyjason84534 жыл бұрын
Brother Sam na Brother Jimmy nawaomba mnunue saa ndogo ya kuweka mezani hapo, itasaidia sana muwe na Utulivu. Ni mwaka Sasa tangu Dr. Elie amependekeza kuwe na saa hapo mezani.
@jeffreyjason84533 жыл бұрын
@Allan Kobe what is it?
@mr.moneysolver9814 жыл бұрын
Team chomoza asante sana
@joelkahesi72804 жыл бұрын
Truly a hub of hope.
@davidkihiga35314 жыл бұрын
as you have said ..... Kuna watu wapo saa hizi na kalamu na daftari hawatikisiki . NI MIMI HAPA .
@mariaurassa80812 жыл бұрын
Ashukuriwe Mungu
@mirajimakwilo81933 жыл бұрын
Nimekuelewa Siku zote!
@hamidafundi58904 жыл бұрын
Ukisikia ipasavyo utatulia, na kuona sawasawa. Utu ni utulivu.
@azzamahamdu70393 жыл бұрын
Yan nusu saa INATUTOSHA KBSAA.MSITAKE MDA MREFU AFU UKAONDKA PATUPU.KIPNDI HIKI KINATAKIWA USIKIVU WA HALI YA JUU.
@egbertmachumu85524 жыл бұрын
Jimmy acha kufanya mhh; mhh; wakati Dr. anaongea, inakera. Sam Sassali ni mtulivu.
@the_white_43.4 жыл бұрын
good
@jacklinembuya13315 ай бұрын
❤
@greenhealtv90164 жыл бұрын
Shalom, Mimi kuna kitu nakiona alafu kinajirudiarudia. Na sim yangu iko vizuri ina maana sim sio tatizo. tatizo lenyewe ni 'sauti' hasa anapoanza kuongea DR. samahani kama nitakua nimeona vibaya. GOD BLESS
@florianassenga51583 жыл бұрын
Shalom. Kwa mwanzoni hata mimi sauti ilikua ni tatizo, lakini tangu natumia earphone sijawai kukosa neno hata moja. Nakushauri nawe pia tafuta earphone mpendwa sababu kusikilizia kwenye speaker za simu utakosa mengi!