Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:- Facebook : / gospeltvshow Instagram : / chomozanews KZbin : www.youtube.com... #ChomozaTv#GospelUpdates#2020
Пікірлер: 15
@johnfubusa15984 жыл бұрын
Wow nimekuwa wa kwanza Leo kuona balaka nzuri hizi za mungu kupitia watumishi wake mbalikiwe mala dufu
@emmanuelysanga95424 жыл бұрын
Tunaomba muda uongezwe kwaajili ya dokta ikibidi baadhi ya vitu vipunguzwe hii elimu anayotoa dokta Elie ni elimu yenye ukombozi sana Mungu anamtumia katika asili ya uumbaji wake kabisa tafadhali team chomoza muda wa dokta Elie uongezwe na dokta tunaomba utoe kitabu hakika utakua umeweka mwanga na Uhuru kwa vizazi na vizazi
@naiemmanuelmollel95833 жыл бұрын
Yule binadamu unayemuona ni mwema sana kwako kwa mwingine ni mbaya na yule umwonaye mbaya anaweza kuwa mzuri. Sauti ndiyo pekee tunayotegemea itengeneze picha. Jambo ambalo ni tofauti sana kwa ulimwengu huu watu wengi tunatazama picha zaidi kuliko kuruhusu sauti itengeneze picha.
@azzamahamdu70393 жыл бұрын
Dr elie🤲🤲
@the_white_43.4 жыл бұрын
Good...Nashukuru Kwa maarifa haya...Mungu awaongezee maarifa.
@albertkimaro16654 жыл бұрын
Jimmy sauti ni ndogo sana hadi inaboa. Fanyeni Mpango wa kuweka hizo mic zenu vizuri au tafuteni mic zilizo Bora zaidi. Haya madini inatakiwa tuyapate Kwa ubora wake
@joelkahesi72804 жыл бұрын
Truly a hub of hope. Bless
@jamesmrema93114 жыл бұрын
Mungu awabariki muendelea kuwa hai
@SKILLS360TV4 жыл бұрын
Nakumbuka Dr mwanzo kipindi anaanza somo la mwanga wa akili wengi tulikuwa tunajiuliza AKILI NI NINI??? hatimaye leo kasema muda mrefu sana sana kwenye somo hili Ni mwaka Sasa KHASANTE CHOMOZA KHASNTE DR KHASANTE WAANDAAAJI WOTE
@zachariahexegesists78924 жыл бұрын
we jimmy uliambiwa ununue saa uweke mbele hapo, unaharibu kipindi mbona wale mitume na manabii wako huwafanyii hayo
@burundisgottalent21844 жыл бұрын
Jimmy iyo siyo heshima! Unakata kipindi kama haukutima eshima atakidogo! Awo niju anatoa elimu kwabule? Ingelikua niwakulipwa haungeshimamisha ivo! Jifunze kuwa naeshima!
@petermabada56284 жыл бұрын
Jimmy mitume na manabii huwa hauwakatizi katikati wakiwa wanaongea kwann unafanya kwa Dr.?
@alexnyagawa5424 жыл бұрын
Uncle Jimmy, Unaharibu steem za watu. Unakua dictator wa mda Live bwana. Muongozeeni mda Dk au Fungueni kipindi cha Live youtube cha Dakika 40 bas. Unamkatisha mda huyo nasisi unakatika bwana. Fanya ivo uncle Sam wewe una UFAHAMU timamu.
@Lankz_Antisocial4 жыл бұрын
Jamaa mshamba sana, utadhani radio ya kijiji. Eti hata saa hawawezi kununua, tunarudia rudia kama wehu, alafu jamaa wanatupotezea.