Maansha Allah darsa lako limeeleweka,twamuomba Allah akuhifazi
@RamadhaniShembilluАй бұрын
Msomeshe uyo shekhe yani %kubwa ya awa makhurafi hawajiekewi .kama uyu Yusuf diwani hajulikani hata aliposomea,kasoma vichochoroni na ao nduguzake, ndomana waborongatuu,nauongo mwingi
@user-hf4pb7wi1jАй бұрын
Msomeshe huyo ajili amefuatilia sheikh Abdurahman wa burundi tena huyu sheikh amesoma vyuo vikuu misri na saidia lakini tunamuona diwani haja soma chuo kikuu chochote kukosa adabu tu
@karimdaud3993Ай бұрын
Huyu anasema kajisomesha mwenyewe huyu
@issaabdallah1205Ай бұрын
Musema. Ndimu kama sio ndimu na wakristo wanasema yesu ni mungu lakini sio kama mungu baba
@hassanmohamedabdalla4108Ай бұрын
Ma sufi nipeni maji ni kisema برب الناس na ملك الناس na اله الناس hapo nimetaja mungu watatu?
@user-ug8hc4yh5kАй бұрын
Uyo mnganga wa kienyeji mpinga vipande Yusuf diwani msomeshe Uyo mushikina mpinga vipande Yusuf diwani Ni mkiya wa mashia Yusuf diwani kukata tauhidi uluhiya na rububiya na asmau wasifati ni fika za Kishia kukata hizo tauhidi tabu Mashia ndiyo waliyo kataa vigawanyo vya tauhidi
@canoksancomprehensivelearn7182Ай бұрын
haki inang'aasiku zote kwa dalili bali batwil ukiitiloa nia kuwa utaendelea kubaki nayo shetan atakupendezesheeni mpaone pazuri katika batil Allah atuongoze tusifuate matamanio ya nafsi tukapotea
@user-oc8uo9rl3uАй бұрын
MAWAHABI OYEEEE......!! ASLIMIA 99% YA MASHEKHE WA ZAMANI WA ZANZIBAR HAWAJASOMA SOODIA VYUO VIKUU.
@mohagurey2214Ай бұрын
Sikio la kufa halisikii dawa, Yusuf Diwan sioni akitubu, atakufa msufi mpiga ramli
@HakimRamadan-kl1hxАй бұрын
Katika watuwajinga huyu diwani kwakweli ni jinga kwelikweli!
@ameirameir4349Ай бұрын
Kama Yusuf Diwani hajafahamu somo la Leo basi atakuwa mbumbu
@twaibumikidadi7377Ай бұрын
Diwan nakushaur ukaw kimya huyu shekh sıo saşz yako Ukıangalia huyu shekh Muhammda İs'haka mdıo shekh peke yake aliyepigilia msumar kark Kırab cga maulıd kukıtafsr na kasqsıda fekı na mpka leo hakuna altmpinga Maaana ni elimu kubwa anayooo mzee huyu !!!!
@issaabdallah1205Ай бұрын
Mashehe wote wanaotetea maulidi kuyafanya kuwa ni dini tunawaomba watutafsirie vitabu ya maulidi ili watu wajuwe kilichomo ndani mbona hawa wanaopinga wantamba sana na wanaonesha ubovu uliomo ktk vitabu hivo
@SaidMadaiАй бұрын
Hhhh ww upo kwenye serra wkt hp inazungumzwa ukatoliki w kitauhid mlio nao nyinyi mawahabi mkajinasibu n tauhid 3 ambazo hazina mapokezi yoyote kutoka kw mtume zaid y uzushi kumpwekesha Mungu n km kiumbe
@MBAROUKSAADHUSSEINАй бұрын
Je Maulid yanamapokezi Kwa Mtume mbona haukubali ukiambiwa ni uzush au ambao sio sahahih ni bidaa ni hili tu Kwa kua haulitaki? Msikilize SHEKHE tu utelewa
@hassanrangambo8007Ай бұрын
Yooooote sijaona sehemu kafundisha mtume swahaba tabii na tabii tabiina bali ni jitihada tu za wanazuoni hujamwelewa na huto mwelewa nilitegemea upite kwa nahw swaraf kama yeye tupate elimu inshaalla
@adamcity9441Ай бұрын
Itikadi ya Mawahabi Sheikh Alislaami Ibnu Taimia Alharaani: كما في الحديث الصحيح المرفوع عن قتادة عن عكرمة عن ابن عباس قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: رأيت ربي في صورة شاب أمردُ له وفرة جعد قطط في روضة خضراء Kama ilivyo katika *hadithi sahihi almarfuu* kutoka kwa Qataadah kutoka kwa Iqrimah kutoka kwa Ibnu Abbaaas amesema: amesema Mtume wa Allah s.a.w.: “nilimuona Mola wangu akiwa katika sura ya kijana barobaro nywele timtimu nyingi chooko akiwa katika bustani kijani.” [Rf. Bayanu Talbiis Aljahmia 7/290]
Kumbe hapo ulipo unamakaratasi mwenzako anatuonyesha wapi tufat e ushaid ibn taymia nimshirikina
@user-od1xx3tk9yАй бұрын
Inaonekana hawajiamin haya wazee wasifa
@BakariBinuriАй бұрын
Masufi tauhidi yao no moja tu
@user-xb6tr5vq4bАй бұрын
Wale hawafai kwenye jami
@darajanidaАй бұрын
kama ashaaira si ahulusuna ahlusunna nimawahabi au milango ya tauhid hujui mzee wang bora unyamaze tu utafedheheka
@JabirBakar-ys8dwАй бұрын
Huyu bwana n muongo kweli kweli
@user-od1xx3tk9yАй бұрын
Halafu kwann kina diwan wakitoa clip zao wanafunga sehemu ya coment.
@karimdaud3993Ай бұрын
Makafiri wasiingie na kubadisha maana
@user-oc8uo9rl3uАй бұрын
MAWAHABIIII TUKISEMA NDIMU HII KAMA SI NDIMU HIYO BADO ITABAKI KUWA NDIMU ILA INASIFA ZA ZIADAAAAA
@idisaidi287Ай бұрын
Sheikh Muhammad Abdul bi wahab Ni Sheikh mkubwa Wew endeleya kulishwa matango pori na masufi
@darajanidaАй бұрын
ni shekh mkubwa kwko wewe
@idisaidi287Ай бұрын
@@darajanida na kwako pia
@darajanidaАй бұрын
laa mim najuwa vizuri historiya ya shekh muhammad ibn adulwahab mimi nlko mbali na daawa yake usinlsingizie nduguyangu
@warshysaid8564Ай бұрын
@@darajanidatupe hiyo history yke kma kwel unamjuwa
@AlhajiShabani-rq9vmАй бұрын
umekosa radhi ya shekhe hakusema diwani ni vitabu vyenu sio diwani mbona wajichanganya
@RamadhaniShembilluАй бұрын
Wewe Haj hujielewi kichwa box icho
@faridfrefre35Ай бұрын
Yusuph diwani khuraf mkubwa
@NassirSaidmassoudАй бұрын
Sheikh utwambie hivi imegawanyika tauhidi kwakitabu hiki kisicho cha mawahabi wewe. Ni ndacha ujui usemalo akili yako ni mgando
@issaabdallah1205Ай бұрын
Diwani elimu hana hata maulama wao hajui kuwa wamegawanya tauhidi 3 na aseme sasa kuwa na hawa ni wakatoliki Kweli kumsomesha mganga tauhidi ni kazi ngumu ....kwa sababu tauhidi inakataza shirki na Diwani na wenzake hawako tayafi kuacha shirki