Hakika Mungu ni mkuu sana, laiti watu wangeelewa hiki mwalimu anafundisha , tusingekuwa hivi tulivyo. Ubarikiwe mpaka ushangae mtu wa Mungu. Mungu akupe unyenyekevu ulufikishe kanisa la Mungu kanani.!
@jastinhaule83792 жыл бұрын
Asante mungu kwa mafundisho mungu akubariki mtumishi Pia naomba direction ya kufika kanisani hapo kwenye huduma
@HellenicLiamkyle-e2x2 күн бұрын
Bwana yesu asifiwe baba
@gloryndosi24794 жыл бұрын
Mungu akuinui kwa viwango vya juu sanaa mwalimu
@MtImanueliTvOnlineTz4 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi kwa mafundisho mazuri
@HosianaEzra3 ай бұрын
Asanteh baba nmeelewa
@winnedavis3 жыл бұрын
Be blessed Mwl Somo limenifungua
@anithacrispine7343 жыл бұрын
Barikiwa Sana maomb yako yananivusha
@annaseth58244 жыл бұрын
Nashukuru kwa Neno lililojaa nguvu ya Mungu.Mungu akupe mafunuo zaidi nazaidi
@jesminajoseph49392 жыл бұрын
Amen
@mercywilliam7333 жыл бұрын
Amen my Mentor.
@suzanmgaya74604 жыл бұрын
Aiseeeeeee MUNGU azidi kukupaka mafuta ya mafunuo zaidi mtumishi
@mercywilliam7333 жыл бұрын
Kumbe Mimi ni mshindi kabla hata sijapigana.......Daaaa!! Asante Yesu maana bila wewe wangalifurahia hali Yangu mbaya..
@margaretmandia88672 жыл бұрын
God is so Good. Huyu Dada kapata ushuhuda wake. Kaolewa kafunguliwa, kawekwa huru in Jesus Mighty Name
@mercywilliam7333 жыл бұрын
Mwl.ana ujasiri wa kiroho. Mungu nikirimie Neema ya baba Yangu.Amen
@gilberttsalwa2934 Жыл бұрын
Amen from kenya
@ayubusamwel5337 Жыл бұрын
Utukuzwe Ee Mungu uonaye sirini Amen
@Williamjamessr4 жыл бұрын
Somo zuri sana
@youthtalent59903 жыл бұрын
Somo ninzuri sana
@michaelladislausbababryna32053 жыл бұрын
Glory to God
@heriethmollel84834 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa mungu, kwa somo zuri
@yohanamollel1565Ай бұрын
Amina
@rahimmambea8304 жыл бұрын
Asante Sana mtumishi ubarikiwe mnooo..
@sgmtvgodlove81844 жыл бұрын
Imekuwa Kubwa kuhani wa MUNGU BABA
@Williamjamessr4 жыл бұрын
Weka no ya kutoa sadaka
@naomyjimmy97834 жыл бұрын
Somo zuri sana mwl tunaomba namba za kutuma sadaka .
@sharonhumphrey52293 жыл бұрын
GODbless you mtumishi
@renaldleonard59563 жыл бұрын
Amen
@suzanmgaya74604 жыл бұрын
Hizi ni siri ambazo sijawahi sikia ndio hapa nafunguliwa ufahamu
@rahimmambea8304 жыл бұрын
Glory be to God...
@namnyakilucas96984 жыл бұрын
Mtumishi mm Nmekuja mara mbl ibadani kwasasa npo chuoni naomba maombi kwaajili ya familia yangu. Unisaidie kumuweka baba yangu kwny maombi yako. Mwaka wa tisa hana kazi please
@paninaemanuel42404 жыл бұрын
Hili somo nimelipenda natamani kulielewa zaidi, naomba Mtumishi ulirudie tena 👏
@suzanmgaya74604 жыл бұрын
Mh natamani Watanzania na watu wa Arusha wafunguke macho wapate kufaidi neema iliyo juu ya huyu mtumishi
@micahnjoroge36852 ай бұрын
Ni Malaika gani unawatuma? Mahubiri ni manzuri lakini una kasoro. Wewe Huna nguvu ya kuwtuma. Malaika wa Mungu?
@rehemamapunda28523 жыл бұрын
Unapatikanawapi mtumishi,ninamatatizo sana.
@mercywilliam7333 жыл бұрын
Ngulelo..... Arusha.MBINGU DUNIANI
@jastinhaule83792 жыл бұрын
Asante mungu kwa mafundisho mungu akubariki mtumishi Pia naomba direction ya kufika kanisani hapo kwenye huduma