GB64 NA MUHINDI WA SIMBA WAMWAGA SIFA KWA WACHEZAJI WA SIMBA MASHABIKI WA YANGA WAKASILIKA

  Рет қаралды 83,129

SPORTS MAX

SPORTS MAX

Күн бұрын

KWA HABARI NA MATANGAZO
TUPIGIE SASA
0753393036 CALL
0625466848 WHATSAPP

Пікірлер: 113
@aminaomary5567
@aminaomary5567 3 ай бұрын
Sema sema kaka. Simba hoyooo Mahindiiiiii❤❤❤❤👍👍👍🎉🎉🎉😁😁😁😁😁😁
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 3 ай бұрын
Ni kweli Yanga walitengemea simbasc wakishindwa kumsajili mchezaji yanga wqpite naye tripu hii imekulà kwao wanasajili matapishi mwaka huu tunaomba uzima
@AzizaMayemba-td8po
@AzizaMayemba-td8po 3 ай бұрын
Mungu awalinde wachezaji wetu na majin ya majilani Amina
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 3 ай бұрын
@@AzizaMayemba-td8po Usajili nguvu moja simbasc ndoo zote tunabeba mwakani
@MwajumaNgaruma
@MwajumaNgaruma 2 ай бұрын
​@@AzizaMayemba-td8poAminaaaaa
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 2 ай бұрын
Omba Mwenyezi Mungu Vitabu vyote Akufunulie Wenye Uwe na Uzima wa Afya Njema tuyaone Mema yote ya Simbasc
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka 3 ай бұрын
Gb 64 nkufatilia sana cheus cheus cheupe cheupe unabalaaa
@KidomelaEdward
@KidomelaEdward 3 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉 pokea chapu mauwa yako mwamba 64 GB mwanao hapa kutoka tete mozambique ❤❤
@PaulSengo
@PaulSengo 2 ай бұрын
ila tusipange kikosi mapema jamni wanasimba maana akna karabaka ,ladaki chasambi,akna baruw a sioni wakitajwa hapo kwenye vikosi vya mashabik na option zake watacheza lini ndo hadhina za taifa
@dalalfundikila507
@dalalfundikila507 3 ай бұрын
Duwa kwa wachezaji alafu badilishini wapishi wafuwa jezi.
@LetasKomba-br1xh
@LetasKomba-br1xh 3 ай бұрын
Uko vizuri kaka
@NgoloMpologom
@NgoloMpologom 2 ай бұрын
Kaka unajua kuongea ❤mungu akulinde
@shabanabdalatupa
@shabanabdalatupa 3 ай бұрын
We kweli chizi ndo maana ulifeli Azania
@festoissa7476
@festoissa7476 2 ай бұрын
Ukweli unauma,,, kipi kadanganya apo? Kufeli shule hakuwez kuondoa uhalisia wa hoja
@VitalessGalus
@VitalessGalus 3 ай бұрын
Injinia soma iyo❤❤❤❤🎉🎉🎉
@KibibiMwalimu-pg8fg
@KibibiMwalimu-pg8fg 3 ай бұрын
Sahihi kabisa kuwalisha viapo sisi tumechoka kuhujumiwa#🎉🎉🎉
@eliwazadaniel6535
@eliwazadaniel6535 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂nampenda buree❤❤❤❤❤
@FrancisBidadi
@FrancisBidadi 3 ай бұрын
Naomba namba ya sim gb 64
@jumaali9243
@jumaali9243 3 ай бұрын
Namuunga mkono mhiindi dua muhimu wasiingize kichwa kichwa wabaya wengi
@noorbazaar9063
@noorbazaar9063 Ай бұрын
Utopolo wabaya!
@salymgaimale235
@salymgaimale235 3 ай бұрын
Jamaa anajua kuongea huyo utafikiri kameza betree,maua yake
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 3 ай бұрын
Tatizo umri, uwezo wanao? Timu bora na nzuri huwa na wachezaji wenye umri tofauti lakini wenye uwezo katika pitch
@juliussimion7187
@juliussimion7187 2 ай бұрын
Huu ndo mda wa kufurahia ss wana simba ila ligi ikiaanza duuu
@mwitajohn4882
@mwitajohn4882 3 ай бұрын
yanga jiandaeni kisakologia
@barakamwacha8214
@barakamwacha8214 3 ай бұрын
Mtayala maneno yenu, mwenyewe naogopa kusifia kwanza. Huyu ndo atarudi hapa kulia
@MgangaShabani
@MgangaShabani 3 ай бұрын
Unabaya mwalimu
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 3 ай бұрын
😅😅😅 eti Baleke kapewa VITS...😅😅
@Shahasaid
@Shahasaid 2 ай бұрын
Nimekuelewa ndugu
@muharamiamiri9750
@muharamiamiri9750 2 ай бұрын
Huyo anasema fa nne ni ipi na ipi kama sio uongo
@georgeuswege5905
@georgeuswege5905 3 ай бұрын
Uzuri hivi vitu vipo na tunavihifazi tutawakumbusha Mandunduka
@RevocatusKambimbaya
@RevocatusKambimbaya 3 ай бұрын
GB aminia mwanang
@NovillLema
@NovillLema 3 ай бұрын
Ila hichi kingeleza😂😂😂😂
@HassanRashidi-h9j
@HassanRashidi-h9j 3 ай бұрын
Uyu Jamaa anaongea hatari unatakiwa uwe na mwamvuli pembeni lasivyo unatoka umelowa😂😂
@BrunoNamanga
@BrunoNamanga 3 ай бұрын
GB 64 imekuwa msajili wa vizazi na vifo mtaimba mwaka huu.mmekuwa NIDA
@MatulizoMahenge
@MatulizoMahenge 2 ай бұрын
Huna baya
@ShaibuShaibu-c3e
@ShaibuShaibu-c3e 3 ай бұрын
Machine yakuongea gb mwamba
@simonndunguru1629
@simonndunguru1629 2 ай бұрын
GB 64 amemrithi Kisugu . Mashabiki wa Makolo Chakavu watauana Wenyewe kila mmoja anataka usemaji na ajulikane. Kisugu na Mzaramo wawekwa kando GB 64 ataumbuka sana leo Viongozi Wazuri kabla kuiona Timu uwanjani
@thadeusmarkiminja2282
@thadeusmarkiminja2282 3 ай бұрын
Mamma yangu Muchacho ni aibu unamsema hata Chama kuwa alikuwa anawahujumu ?baada ya miaka yote ulikuwa wapi? Hicho ndicho kinachowaangusha.Simba haikuwa kikundi kibaya😂 ila Wananchi wana viongozi wanajua mpira hasa wasomi bwana na mapenzi kwa Timuu
@RashidiMwiga
@RashidiMwiga 3 ай бұрын
Viongozi wa Simba msi sahau kuwafanyia maombi wachezaji
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 3 ай бұрын
Wanalifahamu ndiyo maana Jana walikaa kikao na Tajiri
@RHOIDAKALUKWA-bw4jo
@RHOIDAKALUKWA-bw4jo 3 ай бұрын
Wanasimba tubakize maneno isije tokea kama mwaka jana subiri matokeo wenzetu wanaenda kimyakimya na wataonyesha uzee wao
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 2 ай бұрын
Hakuna cha kubakusha kama hujiamini kavae jezi ya Utopolo ukafie huko
@RajabuBojo-j2l
@RajabuBojo-j2l 3 ай бұрын
Daah 😅 kashakua chawa nayeye skuhz😂😂😂
@RashidiMkongewa-h9l
@RashidiMkongewa-h9l 2 ай бұрын
Ngao yanga 5 vs simba 1 vurugu zamangungu zinaanzia apo
@HamisiAthumani-vz1oi
@HamisiAthumani-vz1oi 2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@hafidhnzota2142
@hafidhnzota2142 2 ай бұрын
Muindi wa simba YUPO SAHIHI kabisa.Duaaa MUHIMU
@ZakariaSimon-gp1gr
@ZakariaSimon-gp1gr 2 ай бұрын
Tim mpya ya vijana watakoma uto
@mahamedabdi1881
@mahamedabdi1881 3 ай бұрын
Unamaanisha mume wenu karudi 😂😂😂😂😂😂 baado ujasema
@ernestsereli8559
@ernestsereli8559 3 ай бұрын
Tulia sindano ikuingieee
@LengaiMustafa
@LengaiMustafa 3 ай бұрын
Sawa msija pamoja
@LadislausBwangile
@LadislausBwangile 3 ай бұрын
LEO UNAONGEA KESHO UKIGONGWA UNASEMA ,HATUMTAKI MANGUNGO
@FeydhullahTwalib
@FeydhullahTwalib 3 ай бұрын
Chiziiiiii
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 3 ай бұрын
Hii haiondoi ubovu wa Mangungu
@PeterMussa-sm7if
@PeterMussa-sm7if 2 ай бұрын
Yanga hata ya msimu Jana ilikuwa inatosha kabsaaa sasa wenzangu na mimi Wana bweka nawachezaji ambao hawaujui hata uwezo wao
@MageleFidelis
@MageleFidelis 3 ай бұрын
Lakini mzamiru mpambanaji
@georgekagwebe2461
@georgekagwebe2461 2 ай бұрын
Gb64 nitaenjoy one day ukiwa semaji la mnyama
@Djshilalatz
@Djshilalatz 2 ай бұрын
Mjomba nimama anachamba😅😅😅😅
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg 3 ай бұрын
Kwani Mo hakuwepo?
@MrishoMindu-zq7mz
@MrishoMindu-zq7mz 3 ай бұрын
Mughonile? Kaa huko huko Tukuyu funga mdomo sio viazi mbatata hv. Huu mpira wa Mjini. Kajiunge kuchukua Ndago.
@CostaAntino
@CostaAntino 2 ай бұрын
Ungekuwa mwelewa ungelifukuzwa uwalimu
@SalumSevingi
@SalumSevingi 3 ай бұрын
Saluti gb 64
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka 3 ай бұрын
Wawalinde tu wachezaji wetu usajili Bora kabisa wawalinde hawatoto wafike mbele
@TABIAMBWATE
@TABIAMBWATE 2 ай бұрын
mm Simba lakini yanga atuwawez
@abumuhammad9615
@abumuhammad9615 3 ай бұрын
Yanga wanasajili wachezaji waliotelekezwa
@peterchande957
@peterchande957 3 ай бұрын
Bado hujasema
@MussaStanley
@MussaStanley 2 ай бұрын
Tuacheni na cmba yete mbwa nyieee yanga
@abumuhammad9615
@abumuhammad9615 3 ай бұрын
SIMBA impe kitengo GB64...Jamaa anajua vibaya sana
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 3 ай бұрын
Muda utaongea maneno mengi ya nn
@geraldbagole4494
@geraldbagole4494 3 ай бұрын
Wachezeji wa Simba kuna namna walifanyiwa,haiwezekani Baleke anakosa goli 44,halafu anatakiwa upande wa pili,tunamuona Phil na Kramo wanaumia vibaya mno halafu huyu Ramadhani Kayoko😂😂😂😂😂 tungekuwa 2.Chama mechi za Yanga hajawahi kuperform.Safari hii hujuma ndani na nje ya Simba hujuma MWIKO.
@HussainIgayo
@HussainIgayo 3 ай бұрын
Kweri
@jumannemsengi2195
@jumannemsengi2195 3 ай бұрын
Alie sikia kizungu aseme ndioooo
@EmanueliWildausoni
@EmanueliWildausoni 2 ай бұрын
Mmeyavagaa kwa Gb 64 kazi mnayooo simbaaaaa nguvu mojaa zipo mashine zimesajiliwa hahaha kulia lia sasa basiii wacha tuenjoy
@Mosesndela24
@Mosesndela24 2 ай бұрын
kaka unajua na unaongea Kwa mifano Tena mifano ilonyooka
@SalimHassan-d4s
@SalimHassan-d4s 3 ай бұрын
Wewe akili huna msenge wewe. Umpige nani nane. Unategemea magoli ya mchongo hayo. Hiyo raund ya pili kwaini usimfunge hizo nane .mshamba wewe .hujui mpira. Utapigwa wewe uliyepigwa sita. Lipa kwanza goli sita ndio uongee mshamba wewe.
@allymnyenye8109
@allymnyenye8109 3 ай бұрын
Hahah wewe mmbustani....
@BabMuniwe-pg7el
@BabMuniwe-pg7el 2 ай бұрын
Wewe hujui Simba timu mbovu mpaka mashabiki wabovu
@HussainIgayo
@HussainIgayo 3 ай бұрын
Nimekuerewa mwamba
@salehemsumi615
@salehemsumi615 3 ай бұрын
Boss karudi,kwani alienda wapi?😊nyie ndio baadae mnakimbia maneno yenu!!!Azam unahamia lini maana Chama tayari yupo Yanga!
@MamboMbuli
@MamboMbuli 3 ай бұрын
Wewe haujitambui,huyu alikuwa anawapoza mashabiki wawe na Hali ya kawida,,huyu ni shabiki wa kweli sana
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 3 ай бұрын
Na mimi ndo nashangaa! Hawajui kama wahindi si watu wa soka
@georgesteven5185
@georgesteven5185 2 ай бұрын
​@@mohdkhatib223acha ujinga wewe
@bonifasSanga-l5h
@bonifasSanga-l5h 3 ай бұрын
Pamojasana
@HussainIgayo
@HussainIgayo 3 ай бұрын
Wambie 😂😂😂😂
@ChivaKayange
@ChivaKayange 3 ай бұрын
Huyu jamaa mwamba
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw 3 ай бұрын
useme vizur timu ya watoto simba hiii ni alayance,😁😁😁 ngoja tuone
@bonifasSanga-l5h
@bonifasSanga-l5h 3 ай бұрын
Ndiyomanaanaitwa gb 64
@SalumuUbuguyu
@SalumuUbuguyu 3 ай бұрын
Hahah jipe moyo
@thadeusmarkiminja2282
@thadeusmarkiminja2282 3 ай бұрын
Mambo yote uwanjani bwashe sio maneno vijiweni tusubiri.hamna haya mlichangia poit 6 ubingwa wa wananchi?
@HussainIgayo
@HussainIgayo 3 ай бұрын
GB 64 nakuerewa
@tosh7671
@tosh7671 3 ай бұрын
ULIONA WAPI WATOTO WANASHINDA KOMBE. MIGOGORO INAANZA RASMI BAADA YA KOMBE LA NGAO.MWEZI UJAO TU.
@HussainIgayo
@HussainIgayo 3 ай бұрын
Fei ToTo karibu msimbazi rahatu
@Shirimaaloyce
@Shirimaaloyce 3 ай бұрын
😂😂😂
@AnordKapalamba
@AnordKapalamba 2 ай бұрын
Wivuwako unakusumbua
@HussainIgayo
@HussainIgayo 3 ай бұрын
Kweri 😂😂
@rajabumsuya-hg8jd
@rajabumsuya-hg8jd 3 ай бұрын
😂😂😂😂leo unamtukana chama?kweli kolo kolo tu,..ngojeni legue ianze mtaanza ohooo viongozi wanakula 10% ohoo wametuletea magalasa
@edwarddastani3691
@edwarddastani3691 3 ай бұрын
Tuliza mbulolo mzee muda utaongea 🙌 🙌 🙌 🙌
@HappyKitindi
@HappyKitindi 3 ай бұрын
Kwani saido mlipomsajili hajatokea Yanga?
@bone102
@bone102 3 ай бұрын
Katokea geita gold
@Papycon22_
@Papycon22_ 3 ай бұрын
Kipindi cha usajili makolo wanaongea sana ila ligi ikifika katikati ni mtafutano 😂
@gerphasntaziha4475
@gerphasntaziha4475 3 ай бұрын
Usiishi kwa kukariri
@Papycon22_
@Papycon22_ 3 ай бұрын
Tusubiri mpigwe chuma tano halafu tuskie kelele za mangungu 😂
@RashidiMwiga
@RashidiMwiga 3 ай бұрын
@@Papycon22_ maisha hayana formula so ukikalili utaferi
@uredipeter412
@uredipeter412 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@bilombelekilozodieudonne123
@bilombelekilozodieudonne123 3 ай бұрын
Mzamiru Yassin 😂😂😂 ni 30 bhana
@Mra_brandvevo
@Mra_brandvevo 3 ай бұрын
Kumanina wewe ndo baba yake chizi 😂
@InnocentBobsleigh-mc6sm
@InnocentBobsleigh-mc6sm 2 ай бұрын
Au 35 umefurahi xaxa
@DrjosephKingo
@DrjosephKingo 3 ай бұрын
Ropokeni tu subirini goli nane mpalanganane tena na this time unaenda segerea kabisaaaa bwege wewe
@FeydhullahTwalib
@FeydhullahTwalib 3 ай бұрын
Kubalini ukweli
@georgeuswege5905
@georgeuswege5905 3 ай бұрын
Ndo maana walikufurumusha kwa vyeti feki, angalia mazee yamekosa kazi ya kufanya yanamsikiliza kolo vyeti feki
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 2 ай бұрын
Wewe mwenyewe uamaliza hela ya kununulia kitumbua kwa kununua MB😂😂😂
@SalvatoryMtunga
@SalvatoryMtunga 3 ай бұрын
Washirikina nyie, wanalogwa na nani? Mpira unachezwa mahari peupee.
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg 3 ай бұрын
Wachezaji wa bei nafuu tusubiri. Msianze kufungiana
@FeydhullahTwalib
@FeydhullahTwalib 3 ай бұрын
Chiziiiii hiloooo
GB64:HUYU MWAMBA ALIYETUA LEO REKODI ZAKE MYAKIMBIA WENYEWE
29:09
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 67 МЛН
The selfish The Joker was taught a lesson by Officer Rabbit. #funny #supersiblings
00:12
Players vs Corner Flags 🤯
00:28
LE FOOT EN VIDÉO
Рет қаралды 86 МЛН
Как мы играем в игры 😂
00:20
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,4 МЛН
GB 64 KWA HASIRA AMVAA MCHOME, ANASEMA SINA AKILI?
20:24
Ngwale Sports HD
Рет қаралды 72 М.
SHABIKI WA SIMBA APAGAWA NA ELIE MPANZU ATAKUACHA HOI
2:21
Tayo media tz 288k views
Рет қаралды 802
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 67 МЛН