Ni kweli Yanga walitengemea simbasc wakishindwa kumsajili mchezaji yanga wqpite naye tripu hii imekulà kwao wanasajili matapishi mwaka huu tunaomba uzima
@AzizaMayemba-td8po3 ай бұрын
Mungu awalinde wachezaji wetu na majin ya majilani Amina
@joshuasamson96183 ай бұрын
@@AzizaMayemba-td8po Usajili nguvu moja simbasc ndoo zote tunabeba mwakani
@MwajumaNgaruma2 ай бұрын
@@AzizaMayemba-td8poAminaaaaa
@joshuasamson96182 ай бұрын
Omba Mwenyezi Mungu Vitabu vyote Akufunulie Wenye Uwe na Uzima wa Afya Njema tuyaone Mema yote ya Simbasc
@TomasiklistophaMwinuka3 ай бұрын
Gb 64 nkufatilia sana cheus cheus cheupe cheupe unabalaaa
ila tusipange kikosi mapema jamni wanasimba maana akna karabaka ,ladaki chasambi,akna baruw a sioni wakitajwa hapo kwenye vikosi vya mashabik na option zake watacheza lini ndo hadhina za taifa
@dalalfundikila5073 ай бұрын
Duwa kwa wachezaji alafu badilishini wapishi wafuwa jezi.
@LetasKomba-br1xh3 ай бұрын
Uko vizuri kaka
@NgoloMpologom2 ай бұрын
Kaka unajua kuongea ❤mungu akulinde
@shabanabdalatupa3 ай бұрын
We kweli chizi ndo maana ulifeli Azania
@festoissa74762 ай бұрын
Ukweli unauma,,, kipi kadanganya apo? Kufeli shule hakuwez kuondoa uhalisia wa hoja
@VitalessGalus3 ай бұрын
Injinia soma iyo❤❤❤❤🎉🎉🎉
@KibibiMwalimu-pg8fg3 ай бұрын
Sahihi kabisa kuwalisha viapo sisi tumechoka kuhujumiwa#🎉🎉🎉
@eliwazadaniel65353 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂nampenda buree❤❤❤❤❤
@FrancisBidadi3 ай бұрын
Naomba namba ya sim gb 64
@jumaali92433 ай бұрын
Namuunga mkono mhiindi dua muhimu wasiingize kichwa kichwa wabaya wengi
@noorbazaar9063Ай бұрын
Utopolo wabaya!
@salymgaimale2353 ай бұрын
Jamaa anajua kuongea huyo utafikiri kameza betree,maua yake
@mohdkhatib2233 ай бұрын
Tatizo umri, uwezo wanao? Timu bora na nzuri huwa na wachezaji wenye umri tofauti lakini wenye uwezo katika pitch
@juliussimion71872 ай бұрын
Huu ndo mda wa kufurahia ss wana simba ila ligi ikiaanza duuu
Uzuri hivi vitu vipo na tunavihifazi tutawakumbusha Mandunduka
@RevocatusKambimbaya3 ай бұрын
GB aminia mwanang
@NovillLema3 ай бұрын
Ila hichi kingeleza😂😂😂😂
@HassanRashidi-h9j3 ай бұрын
Uyu Jamaa anaongea hatari unatakiwa uwe na mwamvuli pembeni lasivyo unatoka umelowa😂😂
@BrunoNamanga3 ай бұрын
GB 64 imekuwa msajili wa vizazi na vifo mtaimba mwaka huu.mmekuwa NIDA
@MatulizoMahenge2 ай бұрын
Huna baya
@ShaibuShaibu-c3e3 ай бұрын
Machine yakuongea gb mwamba
@simonndunguru16292 ай бұрын
GB 64 amemrithi Kisugu . Mashabiki wa Makolo Chakavu watauana Wenyewe kila mmoja anataka usemaji na ajulikane. Kisugu na Mzaramo wawekwa kando GB 64 ataumbuka sana leo Viongozi Wazuri kabla kuiona Timu uwanjani
@thadeusmarkiminja22823 ай бұрын
Mamma yangu Muchacho ni aibu unamsema hata Chama kuwa alikuwa anawahujumu ?baada ya miaka yote ulikuwa wapi? Hicho ndicho kinachowaangusha.Simba haikuwa kikundi kibaya😂 ila Wananchi wana viongozi wanajua mpira hasa wasomi bwana na mapenzi kwa Timuu
@RashidiMwiga3 ай бұрын
Viongozi wa Simba msi sahau kuwafanyia maombi wachezaji
@joshuasamson96183 ай бұрын
Wanalifahamu ndiyo maana Jana walikaa kikao na Tajiri
@RHOIDAKALUKWA-bw4jo3 ай бұрын
Wanasimba tubakize maneno isije tokea kama mwaka jana subiri matokeo wenzetu wanaenda kimyakimya na wataonyesha uzee wao
@GibsonNtamamilo2 ай бұрын
Hakuna cha kubakusha kama hujiamini kavae jezi ya Utopolo ukafie huko
@RajabuBojo-j2l3 ай бұрын
Daah 😅 kashakua chawa nayeye skuhz😂😂😂
@RashidiMkongewa-h9l2 ай бұрын
Ngao yanga 5 vs simba 1 vurugu zamangungu zinaanzia apo
@HamisiAthumani-vz1oi2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@hafidhnzota21422 ай бұрын
Muindi wa simba YUPO SAHIHI kabisa.Duaaa MUHIMU
@ZakariaSimon-gp1gr2 ай бұрын
Tim mpya ya vijana watakoma uto
@mahamedabdi18813 ай бұрын
Unamaanisha mume wenu karudi 😂😂😂😂😂😂 baado ujasema
@ernestsereli85593 ай бұрын
Tulia sindano ikuingieee
@LengaiMustafa3 ай бұрын
Sawa msija pamoja
@LadislausBwangile3 ай бұрын
LEO UNAONGEA KESHO UKIGONGWA UNASEMA ,HATUMTAKI MANGUNGO
@FeydhullahTwalib3 ай бұрын
Chiziiiiii
@angellomarcel56773 ай бұрын
Hii haiondoi ubovu wa Mangungu
@PeterMussa-sm7if2 ай бұрын
Yanga hata ya msimu Jana ilikuwa inatosha kabsaaa sasa wenzangu na mimi Wana bweka nawachezaji ambao hawaujui hata uwezo wao
@MageleFidelis3 ай бұрын
Lakini mzamiru mpambanaji
@georgekagwebe24612 ай бұрын
Gb64 nitaenjoy one day ukiwa semaji la mnyama
@Djshilalatz2 ай бұрын
Mjomba nimama anachamba😅😅😅😅
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg3 ай бұрын
Kwani Mo hakuwepo?
@MrishoMindu-zq7mz3 ай бұрын
Mughonile? Kaa huko huko Tukuyu funga mdomo sio viazi mbatata hv. Huu mpira wa Mjini. Kajiunge kuchukua Ndago.
@CostaAntino2 ай бұрын
Ungekuwa mwelewa ungelifukuzwa uwalimu
@SalumSevingi3 ай бұрын
Saluti gb 64
@TomasiklistophaMwinuka3 ай бұрын
Wawalinde tu wachezaji wetu usajili Bora kabisa wawalinde hawatoto wafike mbele
@TABIAMBWATE2 ай бұрын
mm Simba lakini yanga atuwawez
@abumuhammad96153 ай бұрын
Yanga wanasajili wachezaji waliotelekezwa
@peterchande9573 ай бұрын
Bado hujasema
@MussaStanley2 ай бұрын
Tuacheni na cmba yete mbwa nyieee yanga
@abumuhammad96153 ай бұрын
SIMBA impe kitengo GB64...Jamaa anajua vibaya sana
@husseinkonz51923 ай бұрын
Muda utaongea maneno mengi ya nn
@geraldbagole44943 ай бұрын
Wachezeji wa Simba kuna namna walifanyiwa,haiwezekani Baleke anakosa goli 44,halafu anatakiwa upande wa pili,tunamuona Phil na Kramo wanaumia vibaya mno halafu huyu Ramadhani Kayoko😂😂😂😂😂 tungekuwa 2.Chama mechi za Yanga hajawahi kuperform.Safari hii hujuma ndani na nje ya Simba hujuma MWIKO.
@HussainIgayo3 ай бұрын
Kweri
@jumannemsengi21953 ай бұрын
Alie sikia kizungu aseme ndioooo
@EmanueliWildausoni2 ай бұрын
Mmeyavagaa kwa Gb 64 kazi mnayooo simbaaaaa nguvu mojaa zipo mashine zimesajiliwa hahaha kulia lia sasa basiii wacha tuenjoy
@Mosesndela242 ай бұрын
kaka unajua na unaongea Kwa mifano Tena mifano ilonyooka
@SalimHassan-d4s3 ай бұрын
Wewe akili huna msenge wewe. Umpige nani nane. Unategemea magoli ya mchongo hayo. Hiyo raund ya pili kwaini usimfunge hizo nane .mshamba wewe .hujui mpira. Utapigwa wewe uliyepigwa sita. Lipa kwanza goli sita ndio uongee mshamba wewe.
@allymnyenye81093 ай бұрын
Hahah wewe mmbustani....
@BabMuniwe-pg7el2 ай бұрын
Wewe hujui Simba timu mbovu mpaka mashabiki wabovu
@HussainIgayo3 ай бұрын
Nimekuerewa mwamba
@salehemsumi6153 ай бұрын
Boss karudi,kwani alienda wapi?😊nyie ndio baadae mnakimbia maneno yenu!!!Azam unahamia lini maana Chama tayari yupo Yanga!
@MamboMbuli3 ай бұрын
Wewe haujitambui,huyu alikuwa anawapoza mashabiki wawe na Hali ya kawida,,huyu ni shabiki wa kweli sana
@mohdkhatib2233 ай бұрын
Na mimi ndo nashangaa! Hawajui kama wahindi si watu wa soka
@georgesteven51852 ай бұрын
@@mohdkhatib223acha ujinga wewe
@bonifasSanga-l5h3 ай бұрын
Pamojasana
@HussainIgayo3 ай бұрын
Wambie 😂😂😂😂
@ChivaKayange3 ай бұрын
Huyu jamaa mwamba
@Evance-op4jw3 ай бұрын
useme vizur timu ya watoto simba hiii ni alayance,😁😁😁 ngoja tuone
@bonifasSanga-l5h3 ай бұрын
Ndiyomanaanaitwa gb 64
@SalumuUbuguyu3 ай бұрын
Hahah jipe moyo
@thadeusmarkiminja22823 ай бұрын
Mambo yote uwanjani bwashe sio maneno vijiweni tusubiri.hamna haya mlichangia poit 6 ubingwa wa wananchi?
@HussainIgayo3 ай бұрын
GB 64 nakuerewa
@tosh76713 ай бұрын
ULIONA WAPI WATOTO WANASHINDA KOMBE. MIGOGORO INAANZA RASMI BAADA YA KOMBE LA NGAO.MWEZI UJAO TU.