GB64:HUYU MWAMBA ALIYETUA LEO REKODI ZAKE MYAKIMBIA WENYEWE

  Рет қаралды 49,077

SPORTS MAX

SPORTS MAX

Күн бұрын

KWA HABARI NA MATANGAZO
TUPIGIE SASA
0753393036 CALL
0625466848 WHATSAPP

Пікірлер: 93
@jasirimjasirimedia7940
@jasirimjasirimedia7940 3 ай бұрын
Gb 64 kazi kazi brother
@MADINAKITEMO
@MADINAKITEMO 3 ай бұрын
GB nakukubali
@barakamapayu2850
@barakamapayu2850 3 ай бұрын
Hongera gb64 upovizuri tunakuelewa
@JosephTibu
@JosephTibu 3 ай бұрын
SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤🎉🎉🎉WAKALI WA KARIAKOO
@drizyMg
@drizyMg 3 ай бұрын
nakukubali bro GB 64 endelea kutuwakilisha ndugu zako tusiokuwa na sauti.
@januarysungura8119
@januarysungura8119 3 ай бұрын
Tunakwenda na timu na boss tunamkubali.
@barakaPaulo-ei8zp
@barakaPaulo-ei8zp 3 ай бұрын
Pamoja sanaa
@FrancisSabai-q9v
@FrancisSabai-q9v 3 ай бұрын
Kaka nakuelewa
@fatherjaytz
@fatherjaytz 3 ай бұрын
Ahadi yako kuhama team akiondoka Chama sasa unasubiri nini
@emanuerchrsimas5151
@emanuerchrsimas5151 3 ай бұрын
bro kuwa na msimamo juzi ulimsifia ila baada ya kutambulishwa yanga unamuita mchochezi wa migomo
@MoshiMrisho-e6m
@MoshiMrisho-e6m 2 ай бұрын
🎉Gb64 unajua sana mwamba aaa
@JohnKulwa-c9v
@JohnKulwa-c9v 3 ай бұрын
Gb nimekuelewa kaka
@DaudiMade
@DaudiMade 3 ай бұрын
Uko vizuri kaka
@simonndunguru1629
@simonndunguru1629 3 ай бұрын
Wamerithi kwa Ahmed Ally Gundu Kiroporopo Uongo Huyo ni Kigeugeu.
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 3 ай бұрын
Achana na sisi kaiongelee timu ya wachawi yanga
@AdhamAlliy-mg5py
@AdhamAlliy-mg5py 3 ай бұрын
Ulitaka aiponde Simba ndio mumsifie
@Dastanikasanda
@Dastanikasanda 3 ай бұрын
Kwahiyo ulitaka akwambie vp. Mfuate
@musamwakalibule3383
@musamwakalibule3383 3 ай бұрын
Nilikuwa najiuliza kwanini uliondolewa kwenye ualimu? Tayari nimejua maana halisi ya vyeti feki.
@gulamjuma8939
@gulamjuma8939 3 ай бұрын
Piga kazi kaka
@emmanuelibrahim4556
@emmanuelibrahim4556 3 ай бұрын
Sawa ata kama nikupunguza umri ndo mtale awe na miaka 22 kweli?😅
@musamwakalibule3383
@musamwakalibule3383 3 ай бұрын
Tayari gb 64 umeitwa na kupigwa noti umeanza kuwasafisha viongozi uliokuwa unawatukana hadi ukafungwa rockup ya polisi!?
@KarebuPhares
@KarebuPhares 2 ай бұрын
Wana Simba 2punguze maneno 2xbr uwanjani isijekua kama sawadogo
@BenPeter-vp2cy
@BenPeter-vp2cy 3 ай бұрын
Ebu search video za chama apo alaf uringanishe na pumba za gb64😂😂
@mzeebabumzee
@mzeebabumzee 3 ай бұрын
Ata uyo chama kapata jina simba bisha tuone nauyo ata pata jina unya mani shika iyoo
@BenPeter-vp2cy
@BenPeter-vp2cy 3 ай бұрын
@@mzeebabumzee mbona povu sheikh 😁😁😁 kama chama kakuuma nenda kashtaki kw mangungu😂😂😂😂😂💚💛.. simba nguvu moyaaaaaaaa
@fatherjaytz
@fatherjaytz 3 ай бұрын
ACHA UONGO PSYCHOLOGY GANI ULITUMIA BWANA,,, WEW ULIKUW UNAMAANISHA UNAJIONA UNA AKILI SANA SIO
@avitusmichael5
@avitusmichael5 3 ай бұрын
Fala huyo anavunga mjanja
@KirishwaRashid
@KirishwaRashid 3 ай бұрын
Asante.. Gb.. 64
@michaelnsingija
@michaelnsingija 3 ай бұрын
sana kaka upo sawa
@OmallyAlly-cy3yt
@OmallyAlly-cy3yt 3 ай бұрын
Sina imani nauyujamaa anawadanganya ndugu zake wa simba
@AndrewShayo-np1sy
@AndrewShayo-np1sy 3 ай бұрын
Siyo Shomari lawi ni Lamek Lawi
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 3 ай бұрын
😅😅na huwa anapenda kwel kusema shamari lawi
@selemanidando298
@selemanidando298 3 ай бұрын
Msije mkawasema tena viongozi wenu tena hizi clip zinaishi
@jamesgeorge8279
@jamesgeorge8279 3 ай бұрын
Uliniaminisha kuwa chama haondoki popote mo keshamalizana nae mwisho wa cku chama anatambulishwa yanga kikweli ww ni mkundu tu chawa tu.
@AllyKimeme
@AllyKimeme 3 ай бұрын
Mimi nime fulai kuondoka mana Kila siku migogolo na kosha
@elirahammwiri6519
@elirahammwiri6519 3 ай бұрын
Amepoteza mvuto tokana na ahadi ambazo hazitimiii!!!
@RashidOmary-bd5oz
@RashidOmary-bd5oz 3 ай бұрын
Wacha chama aende zake tunashusha vifaa watakoma mwaka huu.
@ELIACHOMOLA
@ELIACHOMOLA 3 ай бұрын
Kumbe viongozi wako vzuri ila unadanganya sana
@raybirry3816
@raybirry3816 3 ай бұрын
JAMAA MUONGOOOO! UNAGUNDUA HUA HANA ZA NDANI,ANAROPOKA TU.
@FrankMaiko-xb5fn
@FrankMaiko-xb5fn 3 ай бұрын
Nakuami bloo maneno yakishujaa
@FumaoFumao-d8w
@FumaoFumao-d8w 3 ай бұрын
Naona hurumà kwa wale watakaokùtanao simba
@Shinarambod
@Shinarambod 3 ай бұрын
Wee jamaa wakufukuze TU maaana ulikuwa unachochea mugomo Sasa ivi umehongwa unalopokaka2 mbona ukisema akiondoka chama unahama ACHA ujinga unakuwaa kama msariti
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 3 ай бұрын
Wakati unaongelea simba usimtaje samia utafanya nitapike
@AsiaBakari-k4k
@AsiaBakari-k4k 3 ай бұрын
bado mmoja kaka
@makoreremakorere4212
@makoreremakorere4212 3 ай бұрын
Heeee nimekukubali chuma Cha Simba
@loishiyesamwel1374
@loishiyesamwel1374 3 ай бұрын
Ukweli hata uongozi wa Simba ulikuwa haumhitaji tena Chama, Kwa akili ya kawaida haiwezekani Simba washindwe kumzuia mchezaji mzoefu km Chama, tena ni mchezaji wa miaka 6 ndani ya Simba, hakuwa na tofauti na mke wa mtu alieishi ndani ya ndoa miaka 6,ana watoto watatu, Halafu ghafla unaambiwa amempata mchumba mpya tena kijana na wameanza maisha, je Hilo linafuta uzee?
@georgecuthbert5230
@georgecuthbert5230 3 ай бұрын
Sawa hawamuitaji Chama basi wampe thank-you
@geraldbagole4494
@geraldbagole4494 3 ай бұрын
Hawa wachezaji tunawasifia Sana,ligi ikianza,misumari,mauzauza vinaanza.Viongozi wawe makini asee.
@mwanangusana
@mwanangusana 3 ай бұрын
😂😂😂 acha kuamini mauzauza ..... Mpira ni science ukileta mbugila mbugila mtashikana mashati buree
@geraldbagole4494
@geraldbagole4494 3 ай бұрын
@@mwanangusana Sisi wenye D2 tunajua,Simba wanasifia Sana usajili kabla ya ligi,matokeo mnahatarisha wachezaji bureee.
@saidismail6676
@saidismail6676 3 ай бұрын
Gb 64 ww ni kichwa unajua unacho kisema
@BizzBoy-g4o
@BizzBoy-g4o 3 ай бұрын
Niswala la muda kuwa kataa
@MakarotiKamugisha
@MakarotiKamugisha 3 ай бұрын
100
@BenPeter-vp2cy
@BenPeter-vp2cy 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 jamaa ni mnafki uyuuu
@AdijaSurutan
@AdijaSurutan 3 ай бұрын
Maneno. Saii
@LucianaJoachim
@LucianaJoachim 3 ай бұрын
Aliyepunguza miaka nani ?hata hivyo haiwahusu, pakome azizi wanamiaka mingapi famyeni yenu mikundu wekeni keki mikunduni mwenu tuacheni
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 3 ай бұрын
Haaaa matusi Tena
@Shaha-d1i
@Shaha-d1i 3 ай бұрын
Mmm mtaani wanalia hukuuu schama
@AllyShaban-ms7ot
@AllyShaban-ms7ot 3 ай бұрын
Uko xawa
@MeshackChenya
@MeshackChenya 3 ай бұрын
Gb 64 nakuelewa sana
@kassimmwawado7002
@kassimmwawado7002 3 ай бұрын
Kichapo kiko pale pale!
@georgebetram63
@georgebetram63 3 ай бұрын
😂
@ELIACHOMOLA
@ELIACHOMOLA 3 ай бұрын
Mbona ulisema unahamia Azam na uhame basi
@othmanhamad7887
@othmanhamad7887 3 ай бұрын
GB64 yule ni Lameck Lawi,yule Shomari Lawi ni refarii
@OmaryAlly-h1j
@OmaryAlly-h1j 3 ай бұрын
Kaka unatisha nguv moja
@SalvatoryMtunga
@SalvatoryMtunga 3 ай бұрын
Ulitudanganya umeongea na mo kuwa issue ya chama ameimaliza, wewe siyo mkweli.
@DarliotonTumaini
@DarliotonTumaini 3 ай бұрын
Weunategemea ukweli kupitia hawa 😂😂😂😂😂
@FadhiliRajath
@FadhiliRajath 3 ай бұрын
Tena uyu fala kwan ajuw kma watu tunamfuatilia sana
@Oscarmarwa-fitnesstrainer
@Oscarmarwa-fitnesstrainer 3 ай бұрын
Mpuuzi wewe si ulisema chama akihama utaacha kushabikia simba madako wewe
@Oscarmarwa-fitnesstrainer
@Oscarmarwa-fitnesstrainer 3 ай бұрын
Matako wewe
@Oscarmarwa-fitnesstrainer
@Oscarmarwa-fitnesstrainer 3 ай бұрын
Hama team kama ulivyo sema
@eliashagai7920
@eliashagai7920 3 ай бұрын
Chawa
@JustineMasele
@JustineMasele 3 ай бұрын
❤❤❤😂
@avitusmichael5
@avitusmichael5 3 ай бұрын
Huyu mwehu msiwe mnamhoji, ni mjuaji halafu hajui, nahisi ni tapeli wa dar
@deniskangombe7442
@deniskangombe7442 3 ай бұрын
Hivi unapataje jeuri ya kuandika maneno kama hayo Aya Sasa ngoja wakuhoji ww usiejua lolote unajua some time mnakera eti
@avitusmichael5
@avitusmichael5 3 ай бұрын
@@deniskangombe7442 peleka ujinga huko
@isayamneja7020
@isayamneja7020 3 ай бұрын
We mlopokaji sana, hata usivyovijua unaropoka tu
@bobbyfiasco4311
@bobbyfiasco4311 3 ай бұрын
Chawa 😂
@ELIACHOMOLA
@ELIACHOMOLA 3 ай бұрын
Unahamia lini azamu
@georgebetram63
@georgebetram63 3 ай бұрын
Kubwa kuliko😂😂😂😂 namkumbuka Bugatti
@mzugigizzlelife6229
@mzugigizzlelife6229 3 ай бұрын
Kwani nawe si mmoja wapo aliyehitaji maandamano
@mwanangusana
@mwanangusana 3 ай бұрын
Huyu ni muongo Sana.... Kisha anajiona ni big 😂😂😂 , anajifanya yupo karibu na viongozi 😂😂😂 kumbe hamna kitu .... Simu tu tumlichangia , aliwekwa lock up na ao ao viongozi wake ....
@januarysungura8119
@januarysungura8119 3 ай бұрын
@@mwanangusana wewe ulimchangia nini wewe kaa kule..
@mwanangusana
@mwanangusana 3 ай бұрын
@@januarysungura8119 nilichangia elfu 2 kwenye mchango. Au Imekuumiza Moyo kuwa asiambiwe ukwel kuwa ni bumundaaa ndumilakuwili
Крутой фокус + секрет! #shorts
00:10
Роман Magic
Рет қаралды 26 МЛН
Players vs Corner Flags 🤯
00:28
LE FOOT EN VIDÉO
Рет қаралды 80 МЛН
Spongebob ate Michael Jackson 😱 #meme #spongebob #gmod
00:14
Mr. LoLo
Рет қаралды 10 МЛН
GB64 ATOA KIHAPO SIMBA/ MWAKA HUU WAKIROGA NASI TUNAROGA/ WANA WAZEE WENGI
13:00
Shabiki wa simba apagawa na usajili wa Elie Mpanzu
2:21
Tayo media tz 288k views
Рет қаралды 122
GB64:SIMBA SIO TIMU YA KUCHEZA SHIRIKISHO MMETUDHALILSHA SAN
12:31
Крутой фокус + секрет! #shorts
00:10
Роман Magic
Рет қаралды 26 МЛН