Masanja Mkandamizaji akifanya comedy kwenye uzinduzi wa Swahili Society USA (SSUSA) ulio fanyika November 17, 2018
Пікірлер: 312
@lilianmongate98274 жыл бұрын
Masanja nakukubali Sana Mtumishi kwa uchekeshaji tz unafunika. Nacheka Sana. Hadi naumia tumbo. Napenda pia mahubiri yako. Mungu akuinue zaidi
@marioleelee41185 жыл бұрын
Ongera sana masanja kwa ufanisi wako wa kuchekesha na enjoy na comedy zako
@bahopamountana82265 жыл бұрын
Huyuu jamaa anakipaji sanah sema hawajamaa awacheki sana kwasababu awajuh vizur kiswahil but 2naenjoy saan
@makulajilala69665 жыл бұрын
msukuma a
@samwelsamnize49175 жыл бұрын
Hahahahahaha masanja ananifurahisha ni hatar
@anuaryally61774 жыл бұрын
Awajui kiswahili wakati wametokea tanzania kwaiyo ata tundu lisu atakuwa ajui tena kiswahili sababu ameshakuwa marekani
@leecliffemwaikambo83894 жыл бұрын
Ila Masanja nakukubali sana. Halafu sidhani kama huwa unajiandaa kusema hayo. Yanakuja tu yenyewe. Hicho ndio kipaji sasa.
@janethbernady84065 жыл бұрын
😂😂😂😂masanja unaxhekesha sana !! Yaan nilikuwa na maombi,after finishi nikamsikiliza AMBENE nyimbo ya upendo nikaanza kulia. Nilipoanza kukusikiliza ww nimecheka mpaka basi.mambo ya marekani??njoo na Dubai basi??
@godblessnassary77854 жыл бұрын
Mmmmh njoo na Arusha basi
@amankigendo45653 жыл бұрын
@Masanja umejua kunifurahisha Leo khaaa😂😂😂✔️
@bakaribakari83555 жыл бұрын
safi sana hongera sana wasisitize kwa mba kiswahili ndiyo lugayao popote waendapo BSB HANDENI KWETU
@emmanuelthomas73455 жыл бұрын
Kaka masaja unajitahidi jaman unaitambulisha Tanzania jaman thanks
@yusuphhussein43365 жыл бұрын
hongera sana broo umejitahidi sana kuwachekesha walio nuna hahahahahaaaaaaaa
@cieranchillo75 жыл бұрын
Nnacheka haad chenchi zimeisha😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 Masanja yo baddest 👏🏻
@gidioneliud28485 жыл бұрын
Hongereni Sana kwa uzinduzi huo,,,hongera pia masanja
@afandebrighttz28875 жыл бұрын
yaaah Safisaaana Swahili society ,thanx Masanjaaaaa nimewapendaa
@lucasgogo65695 жыл бұрын
Afande Bright Mbwilo pamoja masanja
@rweyemamudengesi72455 жыл бұрын
Lucas Gogo iv masanja unanifurahisha ila punguza masiara bwana
@nicholausmaganga11804 жыл бұрын
Ni kipawa kutoka kwa mungu na kila mtu anakipawa alichopewa na mungu
@henrymsigwa59505 жыл бұрын
Gonga like hapa kama unasoma comment huku unamuangalia masanja
@elizabethyamy27055 жыл бұрын
kama uliniona😂😃😃😃😃
@lucymaganga38555 жыл бұрын
B
@mariashayo26095 жыл бұрын
Fersta
@annamwaipopo34065 жыл бұрын
Henry Msigwa ameen
@agnesalex91805 жыл бұрын
Henry Msigwa sanaa
@georgemakata73425 жыл бұрын
😃😃😃 kama na Wewe umesikia masanja Amesema Grande Chai akaletewa chai na Barafu ni hataree sanaaa
@goodlucktemu31495 жыл бұрын
Am watch from africa tanzania🇹🇿 🙌
@jovinjohn39525 жыл бұрын
I appreciate the man on his work...... May Lord bless you masanjamkandamizaji 🌍⛅👆🐦🎤🎧
@hassansaidy38275 жыл бұрын
Jovin Boniventure true
@nathanoakley98252 жыл бұрын
sorry to be offtopic but does any of you know of a way to log back into an Instagram account?? I stupidly lost my account password. I love any help you can give me!
@dannystephen24902 жыл бұрын
@Nathan Oakley instablaster :)
@nathanoakley98252 жыл бұрын
@Danny Stephen thanks so much for your reply. I got to the site through google and im waiting for the hacking stuff atm. I see it takes quite some time so I will reply here later with my results.
@nathanoakley98252 жыл бұрын
@Danny Stephen It worked and I now got access to my account again. I am so happy:D Thank you so much, you saved my account!
@kingjosse47815 жыл бұрын
Nakubaliii sanaaaa aseee i wish to be there one day......
@swahilisocietyamerica80544 жыл бұрын
Kiswahili ni Lugha yetu kwa hiyo sasa tukienzi na kukikuza duniani
@eyumededu29483 жыл бұрын
💪💪
@ANODIUSPROJESTSEVELIN-vu9xt8 ай бұрын
Ubarikiwe mtumish wa mungu
@winnymshana77535 жыл бұрын
kama umecheka ile aliyosema unakula ugali mpaka ukipita mwenzio anakuuliza vipi umetoka mashineni gonga like tujuane wala ugali
zaidi ya PhD lecture/mhadhara wa shahada ya Udhamivu. hongera mtumishi wa Mungu, Msanii, Mchekeshaji, Mwalimu, Mc, Mwimbaji, Msukuma, Mtanzania, Mmarekani kwa sasa, Me igizaji, na Uhamasishaji...nitafute +255714418190 kwa kazi zaidi,urarudi tens huko USA.nipda hapa Dar Bongo, Tanzania. nafurahi sana kazi nzuuuuri...Mungu Akubariki
@fredyalinine30385 жыл бұрын
Mtumishi mm naitwa Mr. kilembe kiukweli nakukubali sana na naikubali sana huduma yako. Na natamani kupata mawasiliano ili tuwasiliane
@zumbaabiyah31845 жыл бұрын
....swahili society USA, mmetisha sn.! hongera an, Emanuel Mgaya, aka masanja mkandamizaji.!
@xkingx80415 жыл бұрын
Hongera saaana swahili society usa..
@vumbiboy59615 жыл бұрын
yesu akuinue sana mtume masanja"""
@arubalydia2245 жыл бұрын
Nakukubali aisee Irudie injili moto moto kama ile ya wana wa Israeli na kunda la Farao
@rogerasifiwe63944 жыл бұрын
Nakukubali San masanja tuna kukaribusha tena .
@lukamwakosya66765 жыл бұрын
Hao, ugali hawaujui.nafikiri,una matatizo ya kuleta usingizi 😀😀😀
@deniamassawe1934 жыл бұрын
Hongera kaka kwa kutukuzia kiswaili ukoo
@swahilisocietyamerica80544 жыл бұрын
Ahsante sana Kiswahili kipo juu
@verrynicemushi25633 жыл бұрын
Kweli nimefurahi sana kutoka hapa Arusha Tanzania
@maryseriah1575 жыл бұрын
Masanja acha utan unired stares of America
@arubalydia2245 жыл бұрын
Nakukubali hahahaaa Sumbua dunia kwanza!
@rachelissacmahenge13484 жыл бұрын
Masanja tunahitaji stand show Tanzania
@swahilisocietyamerica80544 жыл бұрын
Swahili Society inashugulikia hili
@joshuaissaya51005 жыл бұрын
Masanja ungefanyaga stand up comedy bc ingetishaaaa
@faridashaban88534 жыл бұрын
Amina mungu akupe maisha marefu
@bahatingokomasaga44965 жыл бұрын
hongera sana kka masanja
@allyzawadi62065 жыл бұрын
masanja una talent bro yani unachekesha bila kuandaa materials una freestyle tu sipati picha ukiamua kuandaa vichekesho
@ibrahimgwasma2355 жыл бұрын
Massanja Manyara huku wamarekani wapo Kibao
@Meshacktz25105 жыл бұрын
Mhh
@josephstevin65593 жыл бұрын
Mh tuendako hakuna makanisa itabaki entertainment centre! Kama unaamini unacho angalia hicho nikanisani put like hapo.
@eyumededu29483 жыл бұрын
Sio kanisani ndugu yangu wako kwenye mkutano
@philiposhilingi72885 жыл бұрын
kisukuma to the next level
@deonatusyokta43384 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@godrichmwatindila56905 жыл бұрын
Kama umesikia mhola sana , gonga like
@samir.i.psamtutakukumbukad23385 жыл бұрын
Masanja ww ninoma sanaaa
@mourinenekesah40025 жыл бұрын
Pastor you always bless me through your peachings
@michaelmatingo67984 жыл бұрын
Masanja wanikosha sanaaaaaa
@emanuelngweta13394 жыл бұрын
Upo vzr
@rehemabonza45295 жыл бұрын
Mungu ni mwema jaman
@sethjohnson72665 жыл бұрын
Umetisha brother. Nafuatilia sana kaka mkubwa, mambo yako yanaenda poa sana kabisa
@fassykibona20565 жыл бұрын
Pamojakaka nakkbali
@runguwarioba65435 жыл бұрын
Chezea. Masanja
@ramadhanimagwe43165 жыл бұрын
Nakkbali
@nejaonlinetv4 жыл бұрын
Wwe
@juniourmvungi39655 жыл бұрын
Hongera sana Kaka ongeza bidii
@frankngoloka83115 жыл бұрын
Nakuona ndugu yangu wa home chimala,mbunge aliyegombea ubunge kwa tiketi ya chadema mbarali mbeya
@tonymmbando40155 жыл бұрын
adi marekani imeingiia kwenye vina
@godblessnassary77854 жыл бұрын
Kama unaangalia 2019 gonga like apa
@elizabethgabriel18883 жыл бұрын
Ana kpaju hatari
@antonefrances36153 жыл бұрын
Daaa uko vizuri sana kaka
@tumainimugisha76365 жыл бұрын
Wow! Mmefanya Kitu Chema Kabisaaa..... Mungu AWABARIKI SANA
Huku kwetu ughaibu, vipaji vinadorora, Na boga waliharibu, ukiifanya papara, Kuhamisha sijaribu, shina lake ndiyo bora, Jogoo kwa ugenini, hatawika asilani.
@swahilisocietyamerica80545 жыл бұрын
Ukweli mtupu
@MOJAZAIDI.5 жыл бұрын
MASANJA KICHEKESHO MPK USA SAFI BRO.
@germanusmwalongo7285 жыл бұрын
Pamoja pasta from Tanzania PLC rujewa
@justinemwakipangile7833 жыл бұрын
Pamoja kamanda
@55Martrows5 жыл бұрын
Hivi uyu jamaa kwanini hafanyi Standup Comedy??
@mzalendomtanzaniahalisi41965 жыл бұрын
Umapaona hapo hata ww
@kwasimutokalondon-nafreddy52785 жыл бұрын
Kipaji kizuri. Sema ungefanya onyesho fupi kama dk 15-20. Itakuwa kali na nzito zaidi. Wenzetu dunia " ya nje ndivyo hufanya" ktk hafala aina hii. Bila hivyo unakuwa unajirudia rudia. Masanja oyeee!!! Twahitaji hii fani kuendelezwa zaidi Tanzania. Bado mbichi
@zaitunhaule8595 жыл бұрын
Jamani 😂😂😂😂❤👌
@deshmorealehy18365 жыл бұрын
Dopest Bro.
@nisamwakikonyola16615 жыл бұрын
Hahahahahaha haki nimeinjoi kwakwel kemea pepo jmn
@yohanam2204 жыл бұрын
Ww ni noma sana shemeji yng
@emanuelelius9905 жыл бұрын
raha sana yaani wewe ni noma sana kiukweli ugali haufai usa
@robertaudax45664 жыл бұрын
Be blessed
@herrythabit38615 жыл бұрын
Ndio maisha mnayo yapenda ,mnajiona Kam mkopeponi hapo
@kulwamachugu9365 жыл бұрын
Kuokoka nikuiingia mjini ubarikiwe kaka
@vumbiboy59615 жыл бұрын
yesu azidi kukuinua mtume "$""masanja"$"”
@Gra8983 жыл бұрын
Tupo wangapi in 2021
@frankatilio43775 жыл бұрын
Mbarikiwe
@hamisiomari98205 жыл бұрын
Hahahahaaaa unanifurahsha sana
@kelvinjonathan47725 жыл бұрын
Aisee uje nahuku U.K✈
@ministeryobusebastian35655 жыл бұрын
Kelvin Jonathan hello Mr are u in uk
@kenyatatogota53405 жыл бұрын
Amina masanja hata Mimi natamani marekani
@shakamohamed55445 жыл бұрын
Hiyo comment ya balozi somalia hali yao dhaifu laiti kama ungelijua wakati walikuwa vizuri marubano asli mia 80 Walikuwa wanafunzwa bure na serikali ya somalia wape credit
@shabaniijumaa59415 жыл бұрын
Pepo la umbeya
@willygidion82265 жыл бұрын
kumbe masanja upon mareka............ni
@mzalendomtanzaniahalisi41965 жыл бұрын
Masanja ni mtanzania halisi popote atakapoenda haach uasili was kitanzania kuanzia tabia, namna y akuelezea mambo mapya
@meshackmassawe95035 жыл бұрын
It is nice occasion men
@kalumunabarton36615 жыл бұрын
Great....
@venahmoraa33335 жыл бұрын
Redemption is not reduction
@fassykibona20565 жыл бұрын
Yesu ninaodha ukimsikia, atakupaorda!
@mshamhemed66075 жыл бұрын
amina
@leahgilbat41855 жыл бұрын
HIV huyu jamaa kunauwepo wa mungu kweli? Au simwelewagi unajua
@manawaaporinary96355 жыл бұрын
Masanja unakipaji sana
@kasalenangis73255 жыл бұрын
safi sana kaka
@annamlawa43344 жыл бұрын
Katisha
@dasmindapesama234 жыл бұрын
Halo jamaa uyu kiboko nampenda sana
@flaviusnestory31425 жыл бұрын
Hongera sana brother,umetisha sana mtu wa mungu,ww ni mkali.
@deogratiusjohn79835 жыл бұрын
Big up sana broo
@fredrickjandwa31125 жыл бұрын
Omega tensioner massager hongera
@emmyjohn39705 жыл бұрын
Iyeeeee penda kazi yako
@pamekiss79344 жыл бұрын
Chakula chahuku hauwezi ukakila mwezi Masaja iyo unasematu wikimbil unakumbuk tembele
@daudmwakasi16135 жыл бұрын
; poa masanja MPE hai mwang'ombe maana naona mko pamoja ukumbin