Mwalimu nyerere nakupenda toka moyoni, na hata hivyo naahidi cku moja ntakuja nifanye uliyofanya kwa sehemu yangu japo najua ni kazi ngumu lakini Baba ntafanya hivyo kadiri ya mazingira ya Leo! Niombee Baba wa taifa! Najua sifahamiki lakini ntafahamika kwa wakati bwana akiniinua hivyoo!
@mwaminijoseph23 күн бұрын
Amina utafika tu
@RizbonMzumbwe13 күн бұрын
True
@kelvinmuli92154 жыл бұрын
Mwalimu your voice will never die! Heshima tokea 254🇰🇪
@ponsianomushi81325 жыл бұрын
JK alizungumza maneno haya mwaka 1995 kuhusu kutamalaki kwa rushwa, ukabila na udini, sijui angekuwepo leo hii, angezungumza kwa maneno gani kuhusu rushwa, ukabila, udini uvyama, ukanda na mengine mengi sana
The late President Magufuli was the reincarnation of Mwalimu Julius Nyerere's legacy and vision. May his soul rest in eternal peace.
@dicksonlaurean16143 жыл бұрын
Good speech
@milkabelias4482 жыл бұрын
Bigap
@zawadiomary81955 жыл бұрын
Aise kama unakubali mzee wetu gani like yako ili tukuone.
@omarypraysalum41985 жыл бұрын
uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa yanga
@temuramadhani65825 жыл бұрын
zawadi Omary
@emanueljoel2275 жыл бұрын
zawadi Omary ninaimani huyu mzee angerikuepo hakika Tanzania ingerikua tofauti kbxa
@Pedeshee015 жыл бұрын
tuliozaliwa 2000 tujuane kwa kumsoma huyu babu
@eliasrange21805 жыл бұрын
Hakuna hayupo kama nyerere
@alexsamson72975 жыл бұрын
Napenda xan kauli yak mzz ulikataz udn ukabil ulikuwa unaona mbali xan Baba wa taifa nataman Ata leo ungekuwep baba
@rashidimfaume22724 жыл бұрын
Sana babayetu tuna kukumbuka sana baba WA taifa
@sidantambilija75353 жыл бұрын
baba wataif ahsante
@sidantambilija75353 жыл бұрын
baba wataif ahsante
@EzekielMasi7 ай бұрын
Mungu atupee kiongozi kama huyu Kenya na African
@ommyakili5523 жыл бұрын
Mwaka huu ndio ninazaliwa Kisha legendary ndio anahutubia🤗🤗🤗🤗🤗
@SuperKibwana7 жыл бұрын
HII ITAENDELEA KUWA ONE OF THE BEST
@kelvinchuwa74425 жыл бұрын
Ungeya una ya leo mzee ungeli Mungu akulaze pema pepon .Amen::
@yusuphalmas82835 жыл бұрын
Ama hakika mwl nyerere alikuwa muerevu,Allah nipe hekima kama za mwl nyerere
@kabanomtabazy3585 жыл бұрын
Utakumbukwa xna
@lucywilliam35594 жыл бұрын
sawa, lakini ni vigumu. Mwalimu alikuwa kapewa vitu Vingi sana na Mungu zaidi ya upeo wetu wa kawaida
@niyokatwook83554 жыл бұрын
Du ubarikiwe baba yetu mungu akuraZe mahara pema pepon
@khamissiali22314 жыл бұрын
Mmshenzi tu huyu Hana lolote
@williammasanja14033 жыл бұрын
@@khamissiali2231 wewe ndio mshenji, umekalia udini nenda uarabuni
@greatdocumentaries14733 жыл бұрын
Watching in 2021 and Admiring Mwalimu Julius Hapa Kenya
@reginaassey653411 жыл бұрын
Huyu ndo kiongozi ninayemtamani kwn alitetea wote kwa usawa kulikuwa hakuna matabaka,alipigania unyonyaji, na hata akikemea kitu hakuwa na hofu kwani alijiamini ni Kiongozi mwema. Aliweza kutunza mali za watanzania bila tamaa. Baba wa Taifa nakukumbuka sana. Lala kwa Amani
@jacksonjoakim41155 жыл бұрын
ungekuwepo 2019 ukampa Jpm jeuli
@alphoncemsongareri72786 жыл бұрын
Iwapo watanzania na afrika kwa ujumla wangefuata mawaidha ya huyu mzee, hakika tungekuwa mbali
@mayalakatema25765 жыл бұрын
Nan Kama mm Yuko anajifunza leo 18/10/2019
@elishaworkout61164 жыл бұрын
Me nanifuNza leo taRe 10/10/2020
@allansk10352 жыл бұрын
What a great speech wish we had someone like you in Uganda (RIP)
@richardedwinn12914 жыл бұрын
2020. Gonga Like kama bado unaicheck hii, tujuane, haichuji
@isackmwasongwe11 жыл бұрын
baba mambo manne uliyozungumza ukiwa unatoa maagizo kwa mtu anayefaa kuwa kiongoz ambaye ataijenga tanzania lakini maagizo hayo yamepuuzwa kabisa na kama ulivyosema ccm msipo simamia vizuri basi ushindi utachukuliwa na vyama vingine lakini laaaaaaah asha! ushindi wa vyamavingine vinaporwa na ccm kwa njia zisizo na uhalali wowote! kweli mwalim nchi uliyoiacha imekuwa ya wenyepesa tuu hususani ccm! mwalim ulipinga matabaka uvunjifu wa aman ulizuia kwa kukataa udini lakin sasa ni kawida sana!
@AkuotDiri5 жыл бұрын
Huyu alikuwa kiongozi mwenye hekima a busara tele. Aliweka msingi thabiti kwa taifa la Tanzania kuwa na umoja na utengamano. Mambo ambayo sisi wa Kenya hatuna. Fare thee well your excellency!
@eastermwakalinga27495 жыл бұрын
Daima hatuta kusahau baba wataifa
@princemosses48215 жыл бұрын
mnataka kutambika???? hbu gonga like kama umelipta hilo!!
@restmlolere46345 жыл бұрын
Kuwa mwenye amani huko uliko....
@paschalmashimba35844 жыл бұрын
Nzuri sana hii
@abdifatahabdi62825 жыл бұрын
Just one of the 5 who dreamt of USA with Kwame nkrumah
@shedrackmgeyekwa41317 жыл бұрын
mwalimu alikuwa nauongozi wakipekee sana
@mgundaevaristo55474 жыл бұрын
we ndio baba lao
@hilimahilimaa77634 жыл бұрын
Kama na wew bad unaipenda historia hii had Leo 2020 gonga like twnd pamoja
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Huyo nyerere anazungumza kinyume ya sheria ya mungu kabisa kwanza huezi kusema udini au mtu mwenye kufwata dini ni upumbavu katika nchi ya tanzania aliye umba ulimwengu alituamrishe kubudu yeye bila ya dini utaua utachukua reshwa sasa huyo alikaa miyaka thelathini NA tano rais mbona nchi haikuendelea NA kwanini anataka wananchi wamchague mgombea kutoka ccm kapila mungu alisema magapila kwa ajili ya kujuana huyo hivi huyo mzaramu huko muhaya kuna ubaya gani hapo haifai kusema nynye wasawahili NA kutharau wananchi wewe au kutharau maimamu watu wa dini ndio watu wa mungu sio wahuni hata wala rushwa au kuzini au kuiba sasa wewe wanashambulia dini NA unasema tuondoe upumbavu NA sisi hatujengi misikitini mambo yako nashangaza wewe husali wewe huna dini mbona makufuli hatukani kama wewe anatembela misikitini anava kanzu NA kofia anauliza hali za watu watu walipenda NA kila akisema anamtaja yesu NA ni mtu wa dini inchi imeendelea wakati wa magufuli basi umri wake mfupi makosa mengi alifanya huo nyerere vita kila mahali amepoteza uchumi wa tanzania ndio maana ikawa nchi maskini wakati makufuli anasema nchi yetu ni tajiri sana tafauti kubwa baina yao kwa hiyo watu wasikiliza mahutuba ya sio NA maana
@remigiusmwageni62745 жыл бұрын
Naomba mungu anipe ata nusu ya hekima ,busara , utii, na ujasil wako Mwl pumzika kwa Amani baba etu Wa taifa 16.01.2019
Hiv anae Dislike ujumbe kama huu yuko timamu kwel?
@R.mkushi-vo2hn Жыл бұрын
MUNGU alikupa Ufalme ili kuonyesha njia ambayo Afrika inatupasa kuipita na kuifuata, na Sisi tuliobaki ndio tunaendeleza Maono yako na siyo kuvunja muungano wa Afrika..🤝🤝🤝 AFRIKA UNITE 🤝🤝🤝
@StephenWaswa-pd8yx Жыл бұрын
I like listening to this great late man. A great orator. I like his tonal variations
@ambrosenthiani5855 жыл бұрын
So sharp president I have ever come through this Guy was not ordinary chap from the street read my lips, Mzee Mungu akuweke mahali pema peponi, Mzee mwenye hekima kama Solomon
@salumiddi85495 жыл бұрын
Shikamo huko ulipo pumzika, Pumzika kwa amani, Hapa nipo kukutia na kukusikiliza hutuba Zako za kuelimisha na masirahi ya watanzania,
@hassanharoun97215 жыл бұрын
Acha urofa huyo ni marehem .
@shukurualoyce41504 жыл бұрын
Mwalimu kwawa kioo kwetu nawamfano hakika alibarikiwa sana tutakukumbuka baba wataifa mana mambo yote sahz ndo anayoyafanya Jpm
@ogindiii14653 жыл бұрын
He was a great man indeed Legend don't die🇰🇪
@sifamanyori-kf9vq Жыл бұрын
Baba mutu akisema ukweri nikichaa mupeleke mirembe akanyogwe
@samsonsitta612712 жыл бұрын
"freedom without discipline is slavery"..... kama watu wanaweza kutoa maoni kuhusu Baba wa taifa lenye amani duniani.... ambaye kila philosophy alizoamini na kuhubiri zinaonekana mpaka sasa katika hali ya nchi na matatizo yanayoikumba nchi, basi huyu mtu atakua na walakini katika reasoning yake.. honestly, Utani's comments are perverse.... it does not reflect mtoto wa kiafrika aliyelelewa na wazazi wake vyema. NYERERE WAS A GREAT LEADER.. May his soul RIP
@liverpoolfootballclub99854 жыл бұрын
Legends of Africa. Nyerere(TZ) Jomo kenyatta( Kenya) Nelson mandela ( South Africa ) Kwame nkrumah ( Ghana )
@Wesh123463 жыл бұрын
What did Kenyatta do?
@Wesh123463 жыл бұрын
What did Kenyatta do?
@iconicwriters13052 жыл бұрын
Jommo Kenyatta is a joke and a useless man
@emanuelemil42815 жыл бұрын
msimfananixhe magufuli na baba wa taifa"nyerere ni hbr nyingine, kilikuwa kichwa cha kazi"angekuwepo mpaka leo kuna baadhi ya vigogo wangekuwa jela wanakula maharage
@muhammadsalim79365 жыл бұрын
Rushwa ilianza enzi zake
@frnkkayange43765 жыл бұрын
Awap magu kichw ww
@abrahamkibona70385 жыл бұрын
Magu kiboko maana anachukua hatua kwenye upumbavu
@kebo21554 жыл бұрын
Dogo hujui kitu.. Wote mpango mmoja.. Unataka kutambika??? 🇹🇿
@rizikimustapha38064 жыл бұрын
Mmhh tusha kujuwa mtani wajad😂😂😂
@SaidiMfwangavo-ht6jd7 ай бұрын
Hotuba bora kabsa kutoka kwa kiongozi mzalendo na mkubwa Mwl Julius Kambarage Nyerere (1922-1999(77)
@omspayne58305 жыл бұрын
Great man of the people, great father of the nation, baba wa taifa 🙏🏽
@nyakiliker87244 жыл бұрын
MTU mwenye akili nyingi kuliko wote kuwahi kutokea Tanganyika na Tanzania kwa ujumla
@mabroukabeid1485 жыл бұрын
Dah hiki kichwa Mungu ndo anae jua amjalie huko aliko R.I.P baba yetu.
@benitosanga29074 жыл бұрын
Mabrouk Abeid amina
@samuelsikanyika60975 жыл бұрын
Hayo maneno ndio yanayonifanya nimpende Magufuri. Ongera Mwl
@mtegar.d40745 жыл бұрын
safi san
@chiefkaitaba.m.94664 жыл бұрын
Magufuri kwa lipi??
@boybony25434 жыл бұрын
Kwa o Lip
@alphoncelagwen17124 жыл бұрын
Mama
@alphoncelagwen17124 жыл бұрын
@@boybony2543 mama
@magharibicomms3891 Жыл бұрын
Kiongozi thabiti, mwenye maono na upendo kwa Afrika kipenzi, kwa wanyonge na kwa waTanzania. Roho yake ipate kupumzika kwa amani milele.❤️🇰🇪🇧🇼🇹🇿🇹🇿
@mcmaasaikisiifm4 жыл бұрын
Sisi 254 tunajuana kwa makabila ni hatari sana😭😭😭😭
@johnsilima16292 ай бұрын
😢😢😢😢Duu😊😊
@antonioigneous665311 жыл бұрын
...Thank u Nyerere for coming in Tanzania and share with us the gifts that GOD has given U !
@mohamednasser20857 жыл бұрын
He was very peaceful ruler and love to his people
@TheBigyosef12 жыл бұрын
We miss you Mzee Mwalimu Rest in Peace Mzee
@emmamibrahm81485 жыл бұрын
TheBigyosef
@yasinimasimba88295 жыл бұрын
ungekuwepo hadi leo nahisi nchi yetu ingekuwa mbali sana
@fredyndenga10 жыл бұрын
Rais mwenye akil nyingi ever seen aliyeazisha ukomboz baran Africa msumbij watamkumbuka sana huyu hata south Africa the same
@davidjustard49905 жыл бұрын
Akumbukwe milele yote Amen
@ellymakongo6564 жыл бұрын
Wamemsahau kk watu hawana shkran
@modrikabdallah3 ай бұрын
Tanzania tulibaatka kuapata ma rais watatu tu nyerere na mgufuli na mwinyi hao wengine wez 2 kwenye taifa uchumi unapanda wakat wa uchaguzi na vi2 kushuka bei wkati kamahuu uchaguzi ukiisha2 shida ipo palapale2 na uongo mwingi 2 hio ndyo TZ Duuh,
@linzeudaud19485 жыл бұрын
hotuba nzurii sana rip
@MrPherez7 жыл бұрын
The only president that i ever had passion for his leadership....only african president that loved his people wish he was my president...mapenzi tele kambarage
@francescosabin35365 жыл бұрын
Mwal tunakuhitaji hasa kwakupitia taarifa na speech zako mhimu
@maselejacob83705 жыл бұрын
Ni halali kuwepo kwa siku ya nyerera day Kwa kizazi cha siku hizi wataona kama wanapoteza mda lakin kama ww n mtanzania mzalendo lazma umkumbuke baba wa taifa letu R.I.P mwanaharakati shujaa jk. nyerere
@latifumalikita36705 жыл бұрын
Shikamoo baba
@leonardgatta265611 жыл бұрын
Hata tokea mtu mwingine mzalendo wa kweli kama baba wa Taifa
@freganringal30754 жыл бұрын
Ametokea Mh. Magufuli, Mungu ni mwema.
@tevintevin62544 жыл бұрын
Atleast magufuli Anafuata nyayo
@TaboraIgunga-gs5ob2 ай бұрын
Mwalimu sauti yako inaponya mtu akiiskiliza bila kujali yupo kwenye hali gani
@omarytemambele35008 жыл бұрын
Mwalimu akili mingi!
@peterbayo46774 жыл бұрын
Sana hii aisee
@ivancharles5785 жыл бұрын
Mwalimu
@maksman.maurice5 жыл бұрын
Mungu atupatiye wengine kama huuyu...Africa yote itaendelea sawa!
@rev.musabalalarogersmusabalala Жыл бұрын
Safi sana hotuma makini sana. Mungu asaidie nchi itembee kwenye misingi makini sana
@mathiassimon47008 жыл бұрын
different speech makes someone to know what supposed to know and what our philosopher's says (R.I.P FATHER OF OUR NATIONAL)
@ndalahwamasembamwandu54324 жыл бұрын
DILA
@MussaSelemani-h3f4 ай бұрын
Pumzika kwa amani baba wa Taifa, ulituacha wakati bado tunakuhitaji❤❤❤❤
@lobotiogopa90211 жыл бұрын
Hey Maryam kuna nyimbo wameimba kuwa mkata ya wengi ni mchawi. sasa ngali kati ya watu wote hawa wewe ndio unaye mpinga. uwezo na hekima alikuwa nayo Mungu ndio aliompatia hata
@abrahammtongole27474 жыл бұрын
APumzike kwa Amani Mwalimu Nyerere, busara zake bado zinaishi
@samuelsherah20925 жыл бұрын
THIS IS GOOD FOR US FROM KENYA
@MonankaWeisiko-du2pl Жыл бұрын
Kenya ikafate mambo ya ushauri huu ili kujikwamua kutoka topeni
@franknkinda662811 жыл бұрын
babu hana maslah kwa Taifa bt nyerere alikuwa na maslah adi kwa bibi yako
@yassinabdy89626 жыл бұрын
Rais hovyo east Africa ,mpumbav,aliefanya watanzania wakae wajinga,stupid
@godwinmartin40845 жыл бұрын
Mind your mouth fool.
@gaspernziku5518 жыл бұрын
mungu amlaze pema peponi mwalimu wetu ameiopigania nchi yetu kwazati
@abdulhajiahmed87353 ай бұрын
Kazi iendelee !!!
@amihogatai84322 жыл бұрын
let me say it again. tanzania, indeed afrika, will never have a leader like him. forever my hero.
@jacktonetiibuza9970 Жыл бұрын
Wenzio wa ccm walianza kukosea tangu siku hiyooo
@yohanavicent26659 жыл бұрын
Rushwa ndio inayo rudisha maendeleo ya nchi nyuma hivyo basi yatupasa kupinga swala zima la kupokea na kutoa rushwa kwa maendeleo zaidi.
Watanzania wanataka mabadirikoo wasipoyapata ndani ya ccm watayapata pengine
@saithamwakalinga60817 жыл бұрын
we mc u dadyyyy
@loner_wolf4 жыл бұрын
08/09/2020 natazama na kusikiliza hotuba ya Mwalimu JK na bila shaka najifunza kitu kikubwa kuliko nilichojifunza miaka yote nilipokuwa shuleni.... Wisdom floats his head for sure.
@stephanlunyungu71289 жыл бұрын
Wise man ever seen before #rip
@jaympimbi58765 жыл бұрын
MPAKA UITWE BABA JUA WAZI KUNA MENGI UMEYABEBA. BILA KUKATA TAMAA
@kondosalum28845 жыл бұрын
Namkubali sana kafanya mengi sana kwenye nchi hii mbaka mungu anachukua roho yake nipengo kubwa kwataifa kwaujumla pumzika kwa amani baba wataifa we remember your slogan says “TOGETHER WE CAN”
@MichaelMathew-ke6bi Жыл бұрын
Nashukuru sana hayati baba wa taifa, mwalimu Nyerere. Yaani huyu alikuwa mmoja wa watu adimu sana duniani. Alikuwa ni Magufuli lkn naye hayupo ameshafariki. Mdogo wake baba wa taifa bac alikuwa ni Magufuli. Huyu naye alikuwa jembeeeee sijawahi kuona. Wote hawapo leo. Cjui nilie!!! Leo hii hakuna watu kama hawa wawili, Nyerere na Magufuli.
@bugutadzeha139111 жыл бұрын
He was a rare leader found in affrica
@EdwardKiligini Жыл бұрын
Teacher...!
@shulestuff2 жыл бұрын
My dad's independence generation in Kenya was a very hopeful one, gave us names like Nyerere, Kaunda, Nkrumah, Mandela etc. and then proceeded to divide along tribal lines - we are still widening the divide. I miss Nyerere
@fadhilayubu79515 жыл бұрын
Vizuri kweli havidumu daaaa baba wa taifa alikiwa ni zaid ya raisi
@ditricamgeni26905 жыл бұрын
ASANTE SANA BABA WA TAIFA. MUNGU AKUPUMZISHE KWA AMANI. HATUTAKUSAHAU BABA YETU MPENDWA.
@fauswalidauda89585 жыл бұрын
Watu wanadai wanadai nini
@paulbinna561111 ай бұрын
Hotuba nzur sana inayoishi mpaka leo
@neemalazalo83315 жыл бұрын
This speech..... Will forever live in my soul.... Rest easy dad
@mudymusa50335 жыл бұрын
Mambo
@salvatorymtunga28022 жыл бұрын
Mkapa alikuwa yuko vizuri, lakini alimpendekeza yule.
@afrakanaswahilitv55202 жыл бұрын
Hotuba hii ni hekaya. Mwalimu ni shujaa na bingwa wa Waafrika wote duniani kote.
@petercharls Жыл бұрын
Peter huyu kiongozi shupavu wa afirica
@abdallahjuma75165 жыл бұрын
Cjawahichoka kumsikiliza huyu mzee mabaya na mazuri aliyonayo Ila mungu amfanyie wepesi huko roho take ilipo!
@kijananakazi23636 жыл бұрын
This is one of the greatest statesman that ever lived
@peterbayo46774 жыл бұрын
Kiboko ya hotuba fupi na kali kuliko
@hendryalexmaeda31924 жыл бұрын
Hizi ndio sifa za kiongoz bor
@fadhilisecha42686 жыл бұрын
Hakika ulikua Kiongozi Mwl. Hotuba zako bado zina Uhai. Ulikua na maono. R.I.P
@AisoniChisunga8 ай бұрын
Mwamba kwelikweli shuja wa mapambano
@gabrielisack77865 жыл бұрын
04 septemba 2019 Mwalimu alikuwa anaona mbali sana maana upeo wake ulikuwa ukiyatambua mambo yajayo.
@raphaelmwamakimbula9642 Жыл бұрын
Dah,chombo hicho na lingine kilichotutoka 2020 vilikuwa lulu haswa isiyo na chembe za kughushiwa kabisa.Adante Mungu aliwayumia vyema kuiwajibikia nchi yetu Tanzania♥️😭
@mackisarara57197 жыл бұрын
Mzee kama kifo chako kilikua na mkono wa mtu na alaaniwe mtu huyo na watu wote waseme amen.
@mahmoudaziz62816 жыл бұрын
Mack Isarara ameen
@hemedyramsso74246 жыл бұрын
Mack Isarara Ameen
@halidihatibu9616 жыл бұрын
Ameen
@devidpanja1155 жыл бұрын
amen
@behindsuccessachievements19015 жыл бұрын
Amen
@josephmgendi2528 Жыл бұрын
Hongera Sana baba wa taifa maneno yako bado yanaish tunakukumbuka bd pumzka
@DaLalamar1212 күн бұрын
Nikweri baba wa taifa ulikuwa mtu wa watu usia wko bado unasikika
@raphaelsamwel26405 жыл бұрын
Ulomuamini baba ndo aloanzisha ujasriamani akiwa ikulu!! Laaaaah!!
@CostaJohn-wh6eb3 ай бұрын
Huyu ni jembe sana tutamukumbuka daima
@kipalphi66677 жыл бұрын
Mwalimu hayati Rais Julius Kambarage alikuwa na moyo wa kulifanya taifa la Tanzani liwe nchi lenye uwazi ,haki na demokrasia.Japo mwimbaji mashuhuri kasiss Faustin Munishi anasema ccm imefilisi nchi,sijaona mantiki kwenye kauli yake.
@emanueljoel2275 жыл бұрын
Jaman akje mua huy mzee alijjfikiriia nin has
@sajjadkarim62635 жыл бұрын
@@emanueljoel227 b.
@alleysonpatali188711 жыл бұрын
Hivi hizi hotuba za Mwl . viongozi walioko madarakani wanazielewa au zimewalewesha?
@alleysonpatali18877 жыл бұрын
Hapa neno la Mwl linajieleza lazima Kiongozi afundishe na kuwaelemishe watu wake nini wanachopasa kukifanya naye awe na mifano dhahiri kwa manufaa ya kitaifa na wajiepushe na mambo yote yanayohatarisha usalama wa Taifa, uchumi na mambo yote ya kitaifa.