Paster uko vizuri maneno uliyo Nena yamegusa xana watu wengi maana maneno ya mungu Kila yanenwapo inakuwa mpya
@agnesslyatuu80264 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Masanja! Nakupenda sana na mahibiri yako yanajenga sana
@phelistadanieli4861 Жыл бұрын
masanja mungu akubaliki maubiliyako Yana fundisha
@sanifhesro21694 жыл бұрын
Amen Amen barikiwa mtumishi wa Bwana
@JohnsonMtweve4 ай бұрын
Ubarikiwe sana ndugu yangu masanja kwa kutulisha neno la Mungu.lakini itapendeza sana uende na Masimbwe ukawape neno la Mungu live.hakika utabarikiwa sana.
@zabronzabron6794 жыл бұрын
Ameen mtumishi nimekuelewa sana Mungu akubariki sana
@Isack_Leo4 жыл бұрын
Kaka Mkubwa ungekua karibu ningekupa 5! GODBLESS YOU!
@YovithaKomba10 күн бұрын
Nimekupenda mno mtumishi nabarikiwa sana nikisikia mahubiri yako
@alphachanneltz26684 жыл бұрын
masanja nimekuelewa kandamiza neno la Mungu 👱
@manongichotile34956 ай бұрын
Kila ninapokuwa na mawazo na majonzi huwa narudi kusikiliza hapa Mungu akuinue zaidi masanja ❤
@pascarmwatosya58553 жыл бұрын
Mwenyekipaji anakipaji tuuuu,Masanja yupo vizuri
@shebbybongo5674 жыл бұрын
Kama umemuona mchina na camera man hawajafumba macho gonga like tusonge
@modeemojombo56624 жыл бұрын
Nimekupenda mtumishi wa Mungu! Bariiwa. Umebadilisha upepo msibani
@macknesmhone58834 жыл бұрын
Amen and amen baba mungu akuzidichiye hekima na malifa nimebalikiwa sana
@aidamwampasi14303 жыл бұрын
@@macknesmhone5883 "ln A pqp
@waternews48312 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/jKfcZouwfrWZkNE Maneno matamu ya kuchekesha
@eliadaniel93444 жыл бұрын
Mungu aendelee kukupa maalifa zaid swahiba pastor emmanuel mgaya a.ka. masanja
@musamollel1504 Жыл бұрын
Really, I am very blessed by this service, I wish I could be there, but more than that, the Lord is Ebenezer👈👈👈👈💯💯?
@user-cf2df1zx9i6 ай бұрын
Kupitia mm Masanja vijana Mungu awasaidie❤
@jtozane75903 жыл бұрын
Kwili kabisa mchungaji Massanja God bless you so much it's just the Matter of time but every one will reach his/her end we have to have the powerful Jesus in our lives bless you. Buddy
@re.emmanuelmdoe334511 ай бұрын
🦸💃🙏🙏🙏 ahsante Mungu akutendee mema sana pasto Masanja, piga injili watu waende makaoni juu
@gauedwin19604 жыл бұрын
9:46😂😂😂 kunalisapa mapangala..Love how u bring the word to normal life..asiye elewa namshangaa..much love ♥️ my pastor 🇰🇪🇶🇦
@Feelfreechurch4 жыл бұрын
Gaudenciar Edwin Thank you my Daughter 🙏🏾
@francistungu87554 жыл бұрын
@@Feelfreechurch nakubali Sana masanjaa mugaya much love
@waternews48312 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/jKfcZouwfrWZkNE Maneno matamu ya kuchekesha
@mercyjesus66374 жыл бұрын
Emanuel Yesu akubariki,ndo maana umeokoka,umeongea maneno mazuri
@mariamundomba68706 ай бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji Masanja
@neemavicent77624 жыл бұрын
Halleluya JINA LA YESU NA YESU MWENYEWE NDIO MSHINDI WA KIFO. AMEN. NIMEBARIKIWA.
@raitonykunzugala10394 жыл бұрын
Kweli mchungaji
@dafrozakyaluz97624 жыл бұрын
Masanja bana eti bro inuka nipe tano alafu uendelee na safar
@murekatetegermaine6559 Жыл бұрын
Yesu asifiwe Asante Sana naomba munipe naomba ya MCUngaji masanjya Asante
@user-eh2qc1fm9m6 ай бұрын
Mtumishi wa mugu umeufanya moyo wangu kuzidi kumupeda mungu nami naiidi mbele za mungu kuwa mm ni waana mpotevu nami naludiii yumbani kwa bwana
@mcnjovu35254 жыл бұрын
Hakika pastor masanja nakukubalisana na unanishawishi sana kuokoka
@zabronzabron6794 жыл бұрын
Okoka ndg yangu
@lucassina889 Жыл бұрын
Asante Kwa neno zuri pastor massanja nimefrah Sana kuskia neno lako
@goodluckkayoka43524 жыл бұрын
Aiseeh! Yani sijaaamini Kumbe masanja mkandamizaji Uko vuzuri kuhubiri hongera sana bro
@amosijuma33244 жыл бұрын
Amina mtumishi
@eliarichard92184 жыл бұрын
daaah masanjaaa miaka 3 imani na matendo umetisha sana barikiwa.
@johnmasinga76074 жыл бұрын
daaaaah hili jamaa linaongea point sanaaaaa
@neyleepallangyo84364 жыл бұрын
Amen barikiwa mtumishi
@arstonodidier4572 Жыл бұрын
Daah Mungu akubariki sana Pastor, ulitutia moyo sana kwenye huu mziba wa uncle wangu Eng. Timothy Kayani kiukweli tulijikuta tunacheka. Huyo mama aliyeko hapo nyuma amevaa nguo ya Pink alikuwa mchungaji naye ameshafariki, kweli kifo ni fumbo.
mwanawani ww ume nifraisha sn japo mm ni mwislam sn ila mahubiri yako huo yananikosha na ninakufatilia sn sn kila ufanyavyo katika vipindi vyako, hongera sn kwa kutowa elimuu
@francismengomwapashi3194 жыл бұрын
Ha
@sharifunchimbi7853 жыл бұрын
Okoka tuu tumfuate yesu
@getrudewilliamtzmallya5250 Жыл бұрын
Amina sana mtumishi KWA kweli wew ni mfano wa kuigwa barikiw sana.
@jumannemuyaha3401 Жыл бұрын
Una uislam gan ng'ombe wewe
@MS.independent8934 Жыл бұрын
@@jumannemuyaha3401 Sasa wewe ulie nitukana apo umefaidika nini ? Jina lako lenyew iloo nila ki'slam ila umethubutu kinituka bila kosa lolotee ila MUNGU atanilipia2 iposiku 1 tu
@mcnjovu35254 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa mungu nimekuelewa vizuri sana baba mtumishi
@naomyfimbo5180 Жыл бұрын
Barikiwaaaa Mr masanja
@solomonkaaya2228 Жыл бұрын
Aminaaaaa mtumishi masanja ponya watu wa MUNGU kwa kweli nabarikiwa
@justinamichael59343 жыл бұрын
Nimecheka kwa nguvu masanja amina sana
@kwekwenyotakwekwenyota1834 жыл бұрын
Ameen barikiwa sana masanja
@annikhaoya4704 жыл бұрын
Lovely God bless you brother nice msg
@felsonsanga85023 жыл бұрын
Kumbee MCH Emmanuel mgaya Yuko vizuri Sanaa. Kumbee barikiwa Baba
@ChoosenMartha4 жыл бұрын
You are blessed my brother, man of God.
@rhinakiza4 жыл бұрын
Amen 🙏 barikiwa kaka
@enockkibona75224 жыл бұрын
Amen pastor From Lusaka Zambia
@eliacholela51543 жыл бұрын
Barikiwa sana karibu tanzania
@bensondaud3372 Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@geraldhongani87653 жыл бұрын
Mjomba angu umeniacha njia panda ila pumzika kwa amani , TAZARA itakukumbuka sana kwa kupigana kwako juu ya shirika mengi umeyafanya, USIKU NA MCHANA UKULALA ILA SAWA , ATUNA BUDI KUSEMA TUTAONANA BADAE AMINA😭😭😭😭
@user-ns7xo9co6g7 ай бұрын
Amina baba sijajuaa upo sehem gan kanisan kwako
@upendokulwa12944 жыл бұрын
Amen pastor barikiwa sana
@VinceJoyn4 жыл бұрын
Ndugu yangu una kipaji kabisa! Mungu atukuzwe!
@Feelfreechurch4 жыл бұрын
Vince Joyn Amen Vince. Tuko pamoja sanaaa
@joelburton72074 жыл бұрын
@@Feelfreechurch nakuaminia sanaaa kaka b blexd
@eliudalley31753 жыл бұрын
AMEN SANA MTUMISHI WA MUNGU... UBARIKIWE SANAAA
@MichaelaNdomba-cc3hv6 ай бұрын
mtumishi wabwana mwanawane mungu akubarki sana mwanawane
@ezrayavan76863 жыл бұрын
Ubarikiwe sana pastor
@cheokunzenza18424 жыл бұрын
good qualite
@enggeorgeshemweta44756 ай бұрын
Barikiwa sanaaaa pastor masanja
@elibarikielikana18244 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu hakika Ameeeen
@mandytv26674 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana Mungu akubark
@ezekianyiti31834 жыл бұрын
Pastor Emmanuel Mgaya be blessed in the name of Jesus
@angel-co4ip5 ай бұрын
Amina mtumishi wa MUNGU, nimekuelewa sana barikiwa sana,
@jenisambingo45804 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu Masanja akuzidishie hekima na ufunuo
@meshaki59 Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi mungu akuimalishe usinge mbele
@ndinagweandendekisye37224 жыл бұрын
Mungu aendelee kukuweka katika viwango vya juu zaidi kaka
@nelykinigacomedian94844 ай бұрын
Kweli mtumishi
@opodoppo26534 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi neno limeeleweka kabisa yaani
@MichaelaNdomba-cc3hv6 ай бұрын
sadaka yangu ni neno . ubarikiwe sana
@joycepaul1558 Жыл бұрын
Amen kweli umefanya kazi nzuri.
@user-ng6yt2od7l Жыл бұрын
Amen pastor be blessed
@isackmachiyanshoka67545 ай бұрын
Masanja upo safi sana❤
@user-gc8vb3gv8c5 ай бұрын
Be blessed Mch Masanja
@rosemaryjohn31144 жыл бұрын
Bwana akibariki sana mtumishi
@user-fl2yz5yw3i6 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu
@rehemamalechela768 Жыл бұрын
amen amen ubarikiwe Kwa neno Zur sana la kutuandaa tutengeneze na yesu
@graceduppa93274 жыл бұрын
Amen 🙏 pastor
@hellensylvester8544 жыл бұрын
Amina 🙏nimebarikiwa mtumishi
@pamelamboma67254 жыл бұрын
Jana nilikiwepo msibani hongera sana mtumishi wa Mungu unahubiri vizuri sana aiseeh
@japhetkilangi66824 жыл бұрын
Pamela Mboma Nilikuona
@pamelamboma67254 жыл бұрын
@@japhetkilangi6682 oooh jamani tungesalimiana
@japhetkilangi66824 жыл бұрын
Ulikuwa Mbali Kidogo My Dear!
@wannaproducts4 жыл бұрын
Rest easy my uncle engineer Timothy kayani... Ulijitolea kusaidia ndugu jamaa na families kwa moyo Wa upendo sana
@AgnessStephen-jm6ix3 ай бұрын
Ameeen barikiwa saaaana kwaupako.❤
@salhaheko34124 жыл бұрын
Ubarikiwe sana tumejifunza kitu
@paskalifaustini11374 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana kamanda
@user-ry2lb5rl4q6 ай бұрын
Mungu akubariki sana nataman sana kuwa ivo
@marynkandi1058 Жыл бұрын
Amen mtumishi hongera sana
@deodatusrweyongeza67474 жыл бұрын
Aaha mwanawane👍😄
@majaliwaremijo3174 Жыл бұрын
Wewe unajua sana mungu akuzidishie umenionesha njia
@godphreypriest97144 жыл бұрын
Appreciate you preacher
@danielisaya62594 жыл бұрын
Nguvu ya Mungu iwe juu yako.
@kalumbugideon41593 жыл бұрын
A real Evangelist.... Masanja
@sefanswahilitv9332 жыл бұрын
Pasta Mungu akupe maisha marefu.
@msomijosephat89934 жыл бұрын
mzee hii Ndio zahisi yako komaaa na Injili brother
@emanuelcharles406 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji massanja nimekuelewa
@duacheketela9595 ай бұрын
Nakufulahia sana mtumishi
@godfreyraphael30122 жыл бұрын
Ubarikiwe My Pastor
@tumainitumaini87404 жыл бұрын
Masanja mungu alijua ndo maana kakuteuwa ukalitangaze jina lake bwana! Hakika unaweza
@agesag.m24764 жыл бұрын
Praise God Bro Masanja.
@terashangwe255 Жыл бұрын
Amen Amen Amen Amen Halelujaaaah
@nellisongodfrey58474 жыл бұрын
Amen mtumishi nimekupata na kukuelewa
@VailethKindole-sx6rw4 ай бұрын
Ooo haleluya ubarikiwe sana mtumishi
@angelamhilu33784 жыл бұрын
Ubarikiwe brother
@user-eh2qc1fm9m6 ай бұрын
Mtumishi wa mugu ubalikiwe sanakwa ibadaiii uliio it's msimbani ameeee