#shangazi #fatmakarume #jahazi Fatma Karume anaeleza hataki yeyote afahamu ni wapi anapata kipato chake kwani wapo watu wenye roho mbaya ambao hapo awali waliamua kumpokonya kipato chake kwenye upande wa Sheria. • #JAHAZI
Пікірлер: 147
@fadhilplatnumz8474 Жыл бұрын
Tz watu niwaoga saana Veema ✔️ sana Shangazi👍
@abdimsagati96672 жыл бұрын
Shangazi yupo vizuri
@agathamathias69802 жыл бұрын
Changanya Naza Kwako Bac Na Ww!
@georgeedwin48552 жыл бұрын
The BEST WUESTION AND THE BEST ANSWER I HAVE EVER HEARD. CONGRATULATION AUNT FATUMA
@nasibumaiko60962 жыл бұрын
Shangazi nakupenda sana
@kodackdeblack79822 жыл бұрын
😂😂nimependa huuu msisitizo aliompa presenter 😁😁 Na ndo maaana nimesema 😍😍😍... we love you shangazi
@abdulkareemchacha26252 жыл бұрын
Congratulation Madam,you spoke the truth generally,all Tanzanians they have something to learn properly.
@ashuuu2822 жыл бұрын
Sahangaz wenye akili wamekuelewa
@markkayuni97752 жыл бұрын
Fact fatuma 🫶
@mikidadymohammedy76032 жыл бұрын
Nakuelewa dada ftm
@latifahali82282 жыл бұрын
I really love you Shangazi
@elifasimwigema13272 жыл бұрын
dada ukopoa Sana tukopamoja Sana
@fatmaahmed86372 жыл бұрын
Katiba YA TANU imesema kila mmoja anahaki kusema n kutoa MAONI..lkn sio hivyo kila ataesema anayewagusa wanafatwa kwa njia pekee n kujeruhiwa au mfano wa hayo
@V24hrs2 жыл бұрын
This is shangazi that i know.❤❤❤Long live Shangaz😘😘😘
@fatmakombo9793 Жыл бұрын
Shangazi mungu amekupa akili nyingi za kuweza kusema vizur bila hufikiria sana mungu ni mwema
@geraldluiso67922 жыл бұрын
Ongea mama hii inchi ni huru na uhuru wamazo ni haki yako ya msingi ya kikatiba.
@norbertmwashiga88502 жыл бұрын
Huyu mama kaongea kabisa kuwa wingereza katika sheria ya freedom of speech matusi yanaruhusiwa sawa sikatai vipi Tanzania ni London watu wangu embu chambueni vitu msiwe washabiki sijui lini tutaweza kujitegemea kama nchi kila kitu waingereza wamesema mara wamarekan wamesema jifunzeni kitu jamani
@amourmtungo6232 жыл бұрын
🤔Kweli, great point🤛. Ni hudhuni sana, skia skia Mtanzania pata elimu na amka kwa kusema, kukosoa na kuelimisha jamii. Usiogope kama hujatukana au kufanya hujma yoyote. Kama tuko huru kwanini tunaogopa kuikosoa serikali🤔?
@malkavoice25702 жыл бұрын
Fate kaongea kitu adimu sana nahisi hichi kitu chadema pekee wanakijua ila ukifukunyua ccm hupati mtu msomi mwerevu kama huyu. Mungu akutangulie uje uwe Raisi wa Zanzbar dadayetu,we jasiri kuliko.
@hasnuumakame92192 жыл бұрын
Zanzibar ipi? Baba yake katuibia na kuchukua maeneo kila kona ya visiwa vya Zanzibar, mbona hamsemi? Hana moja huyo, maneno tu mengi..
@gulionigulioni32342 жыл бұрын
@@hasnuumakame9219 wewe ndio pimbi hauna ukisemacho kinachoingia akilini. Upo nje ya mada iliopo ubaoni. Wazanzibar acheni uzwazwa punguzeni urojo unawadumaza ubongo.
@godfreybitakama98452 жыл бұрын
Kweli uoga umetufikisha hapa tulipo
@pandungozi1072 Жыл бұрын
Shangazi weeeee👏👏👏😅😂😀👍
@suleimansuleiman11272 жыл бұрын
Sahihi
@zaipazzi9490 Жыл бұрын
🤝🙎nakupata kabisa
@oyay28212 жыл бұрын
Shangazi Fatma ni mbobezi katika masuala ya sheria, ni aibu serikali ya Tanzania kumfungia mwanasheria huyu haki yake ya kufanya kazi za kisheria. This lady should be a lecturer in a school of law.
@Janett_Thomas2 жыл бұрын
MKUNDU KWELI WEEWE UNAFIKIRI SCHOOL OF LAW NI MKUNDU WA MBWA WAKO
@hasnuumakame92192 жыл бұрын
@@zanzibarboyzanzibar509 Na pia baba yake kachukua maeneo tele ya visiwa vya Zanzibar na kuyafanya miliki yake binafsi..
@gulionigulioni32342 жыл бұрын
@@hasnuumakame9219 sikilizeni kinachoongelewa hapo na sio uzanzibar Mpo nyuma kielimu pia katika mada ya Fatma. Wala urojo mba taabu mno.
@samwelsengati13692 жыл бұрын
@@zanzibarboyzanzibar509 ww ndio humjui shangazi. Alishamsema sana mshua wake.
@samwelsengati13692 жыл бұрын
@@zanzibarboyzanzibar509 hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaaaaaaaa mi sitaki hadith bhana fuatia interview zake zingine nyingi tu. By the way kumpenda na kumchukia mtu ni utashi wa mtu mwenyew. Hata km angeua mm ndio nmeamua kumpenda
Waandishi uwezo wenu mdogo kumhoji Fatma,fatma ni sawa na Ulimwengu inabidi uwe na uwezo mkubwa kuweza kumhoji,next time mjiandae vizuri ili sisi tuelimike na mijadala hii
Fatuma Anataka uongozi tu of Hakuna jipya.Wivu kwa mama Samia Kibao Kasumba tu.Hawezi kuongea sentensi bila kuchanganys kiingereza,balaa kabisa ja Wote hatuelewi kiingereza.Tusimchague huyo Fatuma NI balaa Tupu
@ashamohammed36122 жыл бұрын
Mbona na. Babu. Yako aliuwa. Sana a. Watu. Na. Yeye humsemi Usiseme. Ya. Wenzako. Na. Yako. Uyaseme. Ama kweli. U Kweli. Hufichwa. Ubaya huanikwa.
@jan67032 жыл бұрын
Acheni kujaribu kumkatisha mnayemsaili wakati anaongea ,🤐
@princekagame82032 жыл бұрын
Shangazi unaumwa au mbona sura imechakaa hivyo umekuwa kama bi kidude!!!! Loh mwambie dkt wako akchunguze
@rashdiyange77582 жыл бұрын
kilomita zisha endaaa 50 saiv uyo
@edwardmunanilaedward82802 жыл бұрын
Mbona hata siku moja haongelei Zanzibar?
@florameza10282 жыл бұрын
Kumbe nawe unajiuliza kama mimi
@musasabuu28082 жыл бұрын
Zanzibar ni Tanzania
@edwardmunanilaedward82802 жыл бұрын
Ningependa atoe tuhuma zake moja kwa moja kwa rais Samia kama ambavyo alikuwa akitoa tuhuma kwa hayati Magifuri.
@edwardmunanilaedward82802 жыл бұрын
@@sahimm4767 serikali ya mapinduzi inaongozwa na ccm kama ilivyo ya muungano, sasa inakuwaje hata siku moja hajasema lolote kuhusu kuhusu ccm zanzibar kuwa madarakani.
@gulionigulioni32342 жыл бұрын
@@sahimm4767 kama nini mbona hutaji sasa?
@sadockchengula55422 жыл бұрын
Dah! Jamani mtoto wa retired president mnauliza anapata wapi kipato? Mbona wajomba zetu tu tunawawwzesha iwe binti wa mstaafu raisi? Au hamjui raisi mstaafu analipwa kiasi gani?
@highvoltages41692 жыл бұрын
Rais akistaafu analipwa 80℅ ya mshahara wake aliokua akiupokea akiwa madarakani
@gulionigulioni32342 жыл бұрын
@@highvoltages4169 Fatma Karume ni friza open huyo mpunga upo wa kutosha mno tena hata afanye fujo zote za kidunia haziishi. Babu rais, baba rais, baba mdogo balozi. Shangazi sio mwenzenu kimaisha.
@ahmadajafari882 жыл бұрын
Huyo ,Fatma Karume Anafaa aolewe na Tundu lisu wanajidai Wanajua kila kitu.kum be wanatumiwa tu na wazungu tuwemacho
@nixonjohnson49082 жыл бұрын
Mmemchokoza wenyewe mnaamgalia nini nyuma ..huyo ndio Fatma haogopi kitu kwenye maisha haya ..wemye hofu nyie...
@highvoltages41692 жыл бұрын
Haogopi kwakua ni mtoto wa mhe.Rais Karume na baba yake bado yupo hai
@gulionigulioni32342 жыл бұрын
@@highvoltages4169 hata baba yake akifariki ndiyo itakuwaje kwani?
@highvoltages41692 жыл бұрын
@@gulionigulioni3234 muulize Adv.Peter Komba mtoto wa marehem Cpt.Komba alupofariki mzee wake ,angalia misukosuko anayoipitia
@tamimuomulungi21022 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/q32cdnukatqAfdk&feature=share ukweli ndo. Huu
@MegaCaeser Жыл бұрын
Dada Fatma, a.k.a. Shangazi, unaongea maneno mazuri sana, lakini hayaendani na uhalisia wa mifumo ya "MAMLAKA" zozote duniani; iwe Tanzania, Ulaya, Marekani n.k. Kila mamlaka zina mipaka ambayo haitakiwi kuvukwa. Jiulize nini kiliwatokea Jamal Khashogi, Julian Asange, Edward Snowden, watu wa hukohuko unakojaribu kuuaminisha umma wa watanzania kuwa kuna uhuru wa kusema/kuandika. Ukiheshimu MIPAKA ya MAMLAKA ya Tanzania hakuna atayekugusa, lakini ukijiaminisha kuwa unao uhuru hata wa kuvuka mipaka hiyo, shauri zako😄
@rashdiyange77582 жыл бұрын
uyo agopi nimtoto wa rais ndomana awafanyi cchte unge kuwa ww kajamba nani zamani gn saiz tuna kumbuka jina lako alikua magu na akumfanya cchhte kule
@jumamussa26892 жыл бұрын
Hofu ni ujinga
@bakarali38632 жыл бұрын
اتفي الله يا أختي استري رأسك ..أنت مسلمة.
@boazmliwa27092 жыл бұрын
هناك حياة خارج الدين ، يجب أن يُمنح الإنسان حريته
@medimisi69302 жыл бұрын
jaid
@yusufmohamed88742 жыл бұрын
@@boazmliwa2709 من قال لك هذا الكلام
@boazmliwa27092 жыл бұрын
@@yusufmohamed8874 لا داعي لأن يقال لي ، باختصار ، لكل شخص الحرية في الاعتقاد ، ولست بحاجة إلى معرفة إيمان عمتي وأنت لست مقياس إيمانها أيضًا .. دع عمتي تفعل ما تعتقد أنه صحيح. . الله هو المتحدث الأخير وليس الإنسان.
@koburungomubahasha22072 жыл бұрын
Ok kumbe niivo nami nmeona
@emmanuelbonaventura42582 жыл бұрын
Hivi huyu shangazi kaolewa?
@judyngowi3912 жыл бұрын
Ana mchumba
@emmanuelbonaventura42582 жыл бұрын
@@judyngowi391 😁😁😁 haya bhana maana simuelewagi mambo yake
@judyngowi3912 жыл бұрын
Hicho kichwa kukioa unadhani kazi rahisi! Hapo apate msosi mwenzie, tena sio msomi mbabaifu
@hazimboy1142 жыл бұрын
Copy ya Bi. Fatma Jinja
@norbertmwashiga88502 жыл бұрын
Shida ni kuwa tunapenda kuinga kwamba sheria iliyoko wingereza na kwetu iwe sheria hatuendi ivo watu wangu Tanzania 🇹🇿 tunatakiwa tuwe na tamaduni zetu.na ndio maana wameanza ndoa ya jinsia moja na hapa bongo mnataka iwe haki,TUKIWAPELEKA ULAYA KUSOMA TUNATAKA MNOE VICHWA ZENU KUJA KUSIMAMA NA INCHI HATUWATUMI KWENDA KUCHUKUA TAMADUNI ZA KILE MTULETEE HILO LIELEWENI SANA TUSIISHI KWA KUKALIILI
@nasibumaiko60962 жыл бұрын
Hujui Sheria tunazotumia uliza Kwanza kabla ya kulaumu
@ibrahimkibira99432 жыл бұрын
Mbona upo nje ya mada😁 serikali yako haitaki kuambiwa ukweli period
@husseinkarim92112 жыл бұрын
P
@saidimpako51862 жыл бұрын
Sasa ulaya muliwapeleka wakafanye nini kwanin wasisome tamaduni zetu
@ellymaz21872 жыл бұрын
Kushambulia siyo kutoa maoni
@w40582 жыл бұрын
Hakuna kushambuliwa kuna kupewa ukweli sasa ukiwa huutaki ukweli ndio wanasiasa wakageuza kuwa unashambuliwa
@w40582 жыл бұрын
Shangazi Muungano wetu ukoje kwa ujuzi wako?
@ellymaz21872 жыл бұрын
@@w4058 Shangazi anasema kumkashifu kiongozi ni sehemu ya kutoa maoni. Sasa vaa viatu vya kiongozi. Watu wawe wanakukashifu tu kwa kisingizio cha kutoa maoni. Utajisikiaje?
@mugemainyas52412 жыл бұрын
Hanna anayeamini hivo ni huyo muuliza swali. Peleka uzungu wako huko
@jumakapilima72952 жыл бұрын
Afya ya akili ya huyu mtu nadhani haiko Sawa,,,
@jumamohamed31682 жыл бұрын
Afya ya akili ya kwako tu ndio iko sawa.
@zehrahaji15662 жыл бұрын
Km YAKO pia
@jumakapilima72952 жыл бұрын
@@zehrahaji1566 unateseka ukiwa wapi?
@jumakapilima72952 жыл бұрын
@@jumamohamed3168 unateseka ukiwa wapi?
@yusuph99812 жыл бұрын
Ni kwel uyu mama akili yake inaonekana ana stress sana that's why hawez elezea kitu kinyooke watu wamekoment negatively but ni kwel akil yak haiko sawa kuna vit vina m-drive inside
@gordiansoko91132 жыл бұрын
Mbona baba yako hujawahi kumshutumu wakati alipokuwa Rais wa Zanzibar wakati kulikuwepo na mambo ya hovyo kule kwenu.Nakumbuka Kuna wakati fulani baba yako mdogo balozi Ali Karume alishawahi kusema kuwa wewe Fatuma huna adabu na umejaa jeuri.
@sonnyr18992 жыл бұрын
Mama hakuna uhuru kama huyo sehemu yoyote duniani. We tuambie kwa nini Julian Assange kakamatwa??? Na ndio ulaya na marekani. Edward Snowden kwa nini anatafutwa na Marekani???
@filamupictures93492 жыл бұрын
Yule alikuwa anatoa classified information, ambazo nyengine aliapa kutozitoa, yani mfano, kuna nafasi na nyadhifa ambazo mtu akizipata anaapa kutunza siri zake mfano baraza la mawaziri huapa kutunza siri, sasa ikitokea umefuja siri hilo ni kosa hata ni freedom of speech, assange alikuwa na nafasi na aliaminiwa kupata taarifa nyeti kwa nafasi alizowahi kuwa nazo, akakiuka akatoa siri, anahukumiwa kwa kiapo chake alichoapa
@sonnyr18992 жыл бұрын
@@filamupictures9349 Tatizo la wazungu Wapo double standard yani kinacho wafurahisha wao ni uhuru wa kujieleza “freedom of speech”ila kinacho wakwaza kwao ni jinahi “crime” The wikiless ni taasisi huru Ya kuvumbua uhalifu popote unapo fanyika. Swali la kujiuliza je serekali Ya Marekani haikufanya yale makosa? Na kama walifanya nani wakuwawajibisha? Tatizo la hawa kina Shangazi yani wao wanakandandia kila kitu bila kuja na wazo mbadala na mpaka sasa walio kuwa wakimkandia kesha ondoka ila bado wanankankania ishu zile zile. Ulaya wamefungia TV zote Za mrusi ikiwemo RT. Kwa nini wamefanya hivi? Ni kwasababu hawataki watu wajuwe upande wa pili kina nini.
@rehemamajaliwa2 жыл бұрын
@@sonnyr1899 humfahamu Fatuma aseee ...ungemfahamu usingeongea hayo... Fatuma hakandii bali anaonesha weakness / challenge na kutoa solution like what should be the correct position to stand with...kila anachochallenge lazima achallenge kwa hoja kikatiba....
@florameza10282 жыл бұрын
Huko haoni
@sonnyr18992 жыл бұрын
@@rehemamajaliwa Namfahamu vizuri sana Shangazi na alikua na ukakasi mwingi kipindi cha Magu ila siku hizi kapowa sana kwa kuwa mambo ni mazuri labda? Kuna hoja nyingi Za kutetea wananchi mfano Leo wa Masai wanachangamoto na ardhi Ya Ma Babu zao na hadi damu kumwagika ila kwenye hayo hayupo wenyewe wanankankaniya tu uhuru wa kujieleza kujieleza kila siku wimbo ni huo huo wakati watu wanadhulumiwa ardhi Za mababu zao. Hakuna anae kata uhuru huyo ila sisi bado hatujafika ktk kujipima na ulaya. Wazungu wamejenga miji yao mizuri na mahospital mazuri na barabara nzuri kisha wamemaliza wanarudi kutuambia sisi tusijenge tutunze mazingira Alafu twende kutali kwao.
@ellymaz21872 жыл бұрын
Kumkashifu mtu haiwezi kuwa ni sehemu ya kutoa maoni. Labda huko Uingereza, lakini kwa nijuavyo hakuna mtu anapenda au anafurahi kukashifiwa.
@zakkan94742 жыл бұрын
My friend vuka boder njoo Kenya criticism mpaka rais anapata. Tofauti ya matusi na kukashif ni two different things.
@ellymaz21872 жыл бұрын
@@zakkan9474 Ina faida gani kumkashifu au kumtukana Rais? Nafikiri tunatakiwa kudai maendeleo badala ya kudai uhuru wa kutukana
@sonnyr18992 жыл бұрын
@@ellymaz2187 Uko mji gani nikununuliye nyama choma na Pepsi baridi??? Umegusa ninapo pafikiria. Yani sijuwi uyu uhuru wa kila siku kutukana unahitajika tu kwenye serekali zetu Za Afrika.
@ellymaz21872 жыл бұрын
@@sonnyr1899 Asante sana.
@w40582 жыл бұрын
Nyie maana ya kukashif hamuifahamu kukashif ni kusema ukweli bila ya kuficha na kwa uhakika hayo wanakosolewa hawakashifiwi n
@raymondmsuya71272 жыл бұрын
Usidanganye watu unalindwa na position ya baba yako .
@zehrahaji15662 жыл бұрын
Hiyo siyo sababu na tundu lisu je atasemaje km uelewi tulia dawa ikuingie
@EliyacostantinoPius2 жыл бұрын
Akili fupi..Sasa position ya baba yake inakujaje ??unamfaham fatma wewe??
@raymondmsuya7127 Жыл бұрын
@@EliyacostantinoPius ukimfahamu wewe inatosha c mama ako
@hajiabdalla57722 жыл бұрын
Kama wewe ni malaya au mwenda uchi
@jamespeter21872 жыл бұрын
Peleka ujinga wako uko
@florameza10282 жыл бұрын
Mbona ss hivi umefunga domo na yanayotokea ?? Halafu ss hv UMEZEEKA kweli wakati wa baba yako ulifunga domo fyoooooooo
@johnnytravo2 жыл бұрын
Pongezi kubwa sana kwa wanawake 🙏 kzbin.info/www/bejne/n4rNmp2ci5KMiNk
@virendavictoria51742 жыл бұрын
shangazi kaongea kitu kikubwa na muhimu mno
@hamissalum86044 ай бұрын
Elimu ndogo ni sumu sasa kuongea kupo ilakuelewana ndio huwa shida watu tunao changia hatutofautishi kati ya uhuru wa mtawaliwa katika kuikosoa serikali, na makosa wanayo kosolewa.huyo Dada yukokisheria, serikali inapokosea isilinde makosa yake kinachotakiwa kurekebisha au kuacha. Asijuwa neno haambiwi neno.