Kennedy Onyango Burial Stalemate Burial Protest Victim, 12, In Mbita Suffers Stalemate Victim’s Father Got Court Order Stopping Burial Kennedy Onyango Was Shot Dead In Rongai Father Of Victim Wants To Be Allowed To Bury Son
Пікірлер: 118
@HibiscusfamilyKE9 күн бұрын
He speaks with the confidence and authority of a man who paid dowry. Na hata Jacinta atazikwa kwa huyo bwana.
@b.98119 күн бұрын
Somebody should talk with this mum and just allow the real dad also to take part.
@MAINA_THETHERE_17049 күн бұрын
Real dad hakulea, kwani kuzaa ni kazi, ama ni kulea
@annea57819 күн бұрын
@@MAINA_THETHERE_1704 both ni kazi. Akalea until last year. Mama akaanza kuishi naye a year ago. Tumeelewa kwako kulea inacount tu kama inafanyika physically wakati wa kifo, kama inafanyika kwa umbali sio kulea. Issue ni, the Kenyan law haiangalii hivyo. Utaona vile Kenyan law inacheki hizo situations on the 17th.
@marywanjiku54439 күн бұрын
😢
@MAINA_THETHERE_17048 күн бұрын
@@annea5781 ati kuzaa ni kazi u mean, ata mtoto wa 12yrs anaweza weka mtu mimba, point ni kulea, so if huyo mtoi umeweka mtu mimba hakupata mtu wa kumlea angekufa, so bona utokee wakati mtoi Ako successful or Kuna issue, am not on this case, juu baba mzazi alimlea, but have seen many cases, mtoi akiomoka ama awe celebrity, ndio baba mzazi hakulea, anajitokeza, so it's all about money, coz if the child didn't make in life, the real dad, hangetokea, I can't terolate that on my side.
@toptv25499 күн бұрын
The child belongs to the father as long as he has been in the life of the child whether he paid dowry or not.... I stand with Baba kennedy
@user-yg7no2jk1t9 күн бұрын
Very true, wazae wao , queen drama
@milkahmwangi24799 күн бұрын
That's never the case...so long as no dowry paid...he has no right!!
@emilysawayi57878 күн бұрын
Akikufa custody changes? Just asking?
@sylviamalade41929 күн бұрын
Kumbe ule baba alikua tuko sio baba ya mtoto.
@sheilaokila55799 күн бұрын
My question too so u saw the interview then this other dad mm niliona kama ni mdogo kwa huyu mama
@joyousjn33009 күн бұрын
All this is after money,,but let them reconcile to let the body to be buried,go well ken😭😭
@annea57819 күн бұрын
@@joyousjn3300 lol I doubt it’s after money cos whichever parent buries him they both get compensation as per the law as they are both his biological parents
@immaculateajambo9 күн бұрын
Those who were saying that its government who took the boy where are you
@catherinegitau90539 күн бұрын
Imagine!
@Joannekesa-cc2ib9 күн бұрын
Mtoto azikwe kwao
@Nexus.zone19 күн бұрын
The person with death certificate is to be compensated that's why all this vuta nikuvute
@toxxyg89 күн бұрын
hakuna kitu kama hiyo. Sheria zimebabilika sana.
@Nexus.zone19 күн бұрын
@@toxxyg8 sawa mwanasheria 😂😂
@emilysawayi57878 күн бұрын
The boy is gone ,why fight over a dead body, more so a child,
@Stephennjoroge2549 күн бұрын
The time tht mother has been raising the kid, where was tht father? Some men...aah..aah
@Beingme20249 күн бұрын
The boy was staying with the farther when mum was married to another man till 2022 the mother steal took the boy that he’s going to visit and never return it’s wrong the boy should be buried in the father’s land
@ayuma47479 күн бұрын
@@Beingme2024 what stealing? It's just that she is not hear thank God you baba got you the defender. Whatever the case they could agree as families not father and mother now
@elizabethngare22839 күн бұрын
It's like the mother wanted the best for her son and that's why she's hustling washing clothes to fend for her son. This man looks lazy waiting to be given the mother could not have taken the boy if he was well taken care of. Ni pesa anataka
@emilysawayi57878 күн бұрын
@@elizabethngare2283I also wonder custody charges after death,
@elizabethann25278 күн бұрын
Instead of the family disturbing the boy who needs to rest why can't they take his body to the cemetery place because the father wasn't there all that time and they all want to benefit.
@tichtishy9 күн бұрын
those all years where was the father...waah
@omodesigner9 күн бұрын
😢😢
@alicenalulwe849 күн бұрын
So those who were calling Ruto Ruto mko wapi always listen to 2sides of story
@vivianawuor51855 күн бұрын
It is the mother who feels the pain of this boy. Wababa wengine ni jina tu na visirani. Let the mother decide , whom was the boy living with? Baba ameona pesa
@user-cs5bs8xd8r8 күн бұрын
Waah.
@nicholasmbembe78219 күн бұрын
Mtoto azikwe kwa babake, na pia bibi arudi kwa bwanake, whaat we know ruto atawapea pesa wale wote period........
@360g0alsallan9 күн бұрын
Sasa wanafanyia nini huyu mathe?rudisha mwili
@annea57819 күн бұрын
Si wote wanajua kwa kina mtoto. Wamwache tu azikwe kwao. I fail to understand how burying him place sio kwao can be important to some. Hata hao wasee wanaona mtoi anazikwa kwao na si kwa kina mtoi, si wakatae?! So weird.
@MAINA_THETHERE_17049 күн бұрын
Unasema Nini, kuweka mtu mimba na hukulea, hustahili kuitwa baba
@Borvia1099 күн бұрын
You are a confused person amekua baba yake now? Where has been the so called father? Akipatiwa hiyo body atamufufua ?
@annea57819 күн бұрын
@@Borvia109 read the comments before asking questions that have already been answered in the comments and showing us you are your first comment. Use your common sense, if any, to answer your last question.
@Borvia1099 күн бұрын
@@annea5781 am not in any competition here being number one or number sijui nini that mama has the right for his boy Making some pregnant it doesn’t make you the father of the baby cause they so many babies out here who are being raised by step parents
@annea57819 күн бұрын
@@Borvia109 good thing no one claimed you were in a competition then
@alicenalulwe849 күн бұрын
Uko na bahati sana babake alijitokezea relax mtoto awekwe poa
@philomenamueni302 күн бұрын
Msichana alifanya vizuri sana kuambia baba yao.wachaneni na mama aolewe na mrudi home
@murianzi63369 күн бұрын
Mama kabila yako iko na mila na desturi, hata ulie mtoto ni wa baba heshimu mila na desturi, msichana wako ni mwerevu sana.
@annea57819 күн бұрын
It’s weird that she doesn’t want to bury the child kwa kina mtoto. Anajitafutia curses za bure. Like whose place does she intend to bury him in surely?
@jeffkoveti43779 күн бұрын
She is also quite dramatic in as much as I empathise with her
@annea57819 күн бұрын
@@jeffkoveti4377 explains her action of taking the corpse to a home that is not his
@eleanorkinadiali47219 күн бұрын
Guys acheni mambo mengi,where was the dad tangu kijana aage? Ni wangapi hawazikwa kwao n we have never seen anything happenning? Mbona hakupinga akiwa nairobi? He is greedy n selfish.
@eleanorkinadiali47219 күн бұрын
@@annea5781stop being judgemental.This man is an idiot.where was he from the time he died?
@toptv25499 күн бұрын
Ruto has no powers over court orders, they should agree amongst themselves.
@mumbimumbi59509 күн бұрын
Akubaliane na baba mtoto hii ruto hahusiki
@achibelatotolakijaka46878 күн бұрын
Kwann huyu mama anateswa hivi tayari amepoteza mtoto wake jamani
@agnesouma87848 күн бұрын
From the interview on TUKO, Kennedy was living with another man, who now we are learning isnt the biological dad!! The question is, where was this biological dad and did he have a relationship with Kennedy and invest in him apart from being his biological dad? This is becoming dramatic and complicated.😮
@obungafelistas9608 күн бұрын
Mtoto alikuwa anaishi na babake biological huyu mama alienda kumuiba 2022
@ayuma47479 күн бұрын
Sasa huyu baba.... Anyway God is faithful
@eleanorkinadiali47219 күн бұрын
He is afool. Tangu kennedy aage,wherebwas he?
@florencenduku44279 күн бұрын
Sheitani wewe jibaba ulikuwa unagoja afe ndio ujitokeze?.uchungu wa means aujuaye ni mzazi Mwenye kumzaa.
@anointedhandmaiden52618 күн бұрын
Nonsense....the boy you never catered for is now yours? Sema ni pesa ya compensation umesikia...bure sana
@Beingme20247 күн бұрын
@@anointedhandmaiden5261 dont comment before you know the story the dad stayed with the boy till 2022 the took the boy hes going to visit her and never return there are other siblings with dad actuall she left those kids when he was young 2015 took the boy 2022 cmon
@HibiscusfamilyKE9 күн бұрын
Jacinta is a drama queen
@toptv25499 күн бұрын
True
@swts4k9 күн бұрын
She's in pain and just lost her child. Be kind.
@fatimaabdulla69679 күн бұрын
Very dramatic hata hiyo kulia yake zii Ana over do
@b.98119 күн бұрын
But why can't the mother just be in a talk with his ex husband. They came in terms on where to burry the kid. If it is at dads place let her just go in peace and burry. If it is at mothers place let him go in 🕊️ and burry For sure it will be hard for another dad baba wakambo to burry a son in his own land while the real dad is still a live .❤❤
@eleanorkinadiali47219 күн бұрын
Who said ni kwa baba ya kambo,n what's wrong with that? Get info correct.
@MAINA_THETHERE_17049 күн бұрын
Kuweka mimba ni one second, kulea ndio kazi
@annea57819 күн бұрын
@@MAINA_THETHERE_1704 your point?
@annea57819 күн бұрын
@@eleanorkinadiali4721 it was in the news, that the mother wanted to do it at the stepfather’s family and the dad at his family’s.
@fatimaabdulla69679 күн бұрын
@@MAINA_THETHERE_1704but the boy has been staying with his dad he went for a visit to his mom and never went back to his dad just a year ago so that's means he has been raised by his dad all along
@carolinenjoroge90929 күн бұрын
Aache mtoto azikwe kwao
@MAINA_THETHERE_17049 күн бұрын
Kwao ni kusema nini
@user-cs5bs8xd8r8 күн бұрын
Mtoto azikwe kwO. Incase serikali ilipe kitu they should both benefit
@TheRonoTV20249 күн бұрын
Mwili ni ya baba
@eleanorkinadiali47219 күн бұрын
Babako ama?Akiwa hai where was he? Mbona Hakuja Nairobi for burial plans? Angepinga mwili ikiwa Nairobi?
@MAINA_THETHERE_17049 күн бұрын
Unaongea aje
@graceamadi10969 күн бұрын
Wewe rono baba alijipatia mimba na akasikia labour pain akazaa ? Mtoto niwa wote wawili.shallow mind
@annea57819 күн бұрын
@@eleanorkinadiali4721 akiwa hai he was at his place. He had no legal binding to come to nairobi. The Kenyan law does not bind people on their position during a funeral arrangement. Alipinga mwili ikiwa nairobi just like you are saying he should have
@Nexus.zone19 күн бұрын
@@eleanorkinadiali4721looks like you have Dady issues bana punguza hasira naniii
@eleanorkinadiali47219 күн бұрын
Mum,azike mtoto wake,kwani wakati ameaga ndio baba amejua ni mzuri?? He is only after money. The daughter is a fool,baba yake hakujua aje na ilikua hata kwa media na newspaper. Kindly the court should rule in favour of the mum.
@Nexus.zone19 күн бұрын
The father has been there in his child's life and the child has been living with the father until 2022
@Nexus.zone19 күн бұрын
You truly are a fool yourself the daughter said well about kumzika not death even the media didn't know when the kid was to be buried
@Beingme20249 күн бұрын
@@Nexus.zone1it’s as 2022
@Nexus.zone19 күн бұрын
@@Beingme2024 yes thanks for correction
@marykariuki30989 күн бұрын
Where was he 2023
@chrispinochieng9 күн бұрын
Even joseph was agovernor in misr and when he died the body rest there till the door to Canaan was open and he was taken straight up to where his father was burried so huyo mama yeye aendelee na kupea watu wa midia vichekesho na mtoto azikwe kwao kama ni pesa ndio anataka ataachiwa tu usless mother