Yaani mwanamke mwenye kujiheshim hawezi kufika hapa dahhhhhh hatari
@RachelLaizer-n2pАй бұрын
Kazi ni nzuri kama watajielewa waache kudanga maana kuliko wadange na kuvunja nyumba za watu na kuuwawa bora tu wasaidiwe kupata huko na wakatulie sioni kama ni jambo baya kuna kitu wanaokoa
@ChinoGreen-rh4zd6 ай бұрын
Nakubali sana kazi zenu mnanifurahisha sana
@salehsuleiman1218 Жыл бұрын
Hapo ndio tulipofikia sasa subhanallah Dunia kwel ya mwisho
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Hiyo ni zinaa ya macho waone 😮😮😮
@mariamwanga8431 Жыл бұрын
Dada fuatilia startime Mr Right utaelewavizur nikipind kizur Sana kwa wanaohitaji mke au mume siku ya juma mosi saa 4usiku
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
@@mariamwanga8431 kwani unadhani wanaowana?aidha wanakaa bila ndoa? Na wakiachana mbona hawasemagi?🙄
@mariamwanga8431 Жыл бұрын
@@khadidjasuleiman8006 mi kinachoendelea huwa cjui Ila naona wanachaguana nawengine wakikosa huwa wanalia kwel baada ya kumgombania wakiwa weng wengine wanarud kwenye fodiam
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
@@mariamwanga8431 Sasa 🤣 hapo ndio uelewe kama wanaume ni wachache 😂😂
@omanoman2044 Жыл бұрын
Hakika alfu serekali imekaa kimya ujinga mtup
@MediatriceBt Жыл бұрын
Wow I like the show ❤
@aminamwivita7690 Жыл бұрын
Mashaallah 🎉🎉🎉❤❤❤
@MtegekiKaijage Жыл бұрын
Mr right kavaa vya juma lukole nchi ya ovyo sana hii
@KHAMIS_SHILINGI Жыл бұрын
Na wasimamizi wake ni waislamu innaalillaaahi😢😢😢
@reginaedward4883 Жыл бұрын
Oh my Gosh love this
@JacksonJacob-dr1or Жыл бұрын
❤nvcfgy
@saalim5401 Жыл бұрын
Nyie bwana mnawadhalilisha sana wanawake na hao mabinti nimsiba wa hii dunia kweli tunaishi ktk masiku ya qiyama kila mtu aiokoe nafsi yake ila hii ni fedheha wanawake hao wanawadhalilisha wanawake wenzao duniani wakiwemo mama zao huko nikuzidisha uzinifu mnawaunganisha watu wakazini acheni acheni acheni mtaenda kuadhibiwa sana na aliyewaumba
@tatuaamuuinyi9633 Жыл бұрын
Mwijaku auza wanawake makahaba
@EvelinaMsemwa-d9s Жыл бұрын
Jamani ❤❤❤❤❤
@truthtv2575 Жыл бұрын
Upuuzi tu
@bintside Жыл бұрын
😂😂😂😂 ila huy Mr Right jmn😂😂😂
@carolndinda997 Жыл бұрын
Please do something about your cameras, good job anyways
@fahmiabdulla7690 Жыл бұрын
YAP , THANK U
@IssaMjukuu Жыл бұрын
Inafanyikia wap hii mr right
@Kenyan_Duke Жыл бұрын
Kweli mapenzi hamna
@ramadhanally2027 Жыл бұрын
Wanazingua hatari kafupi sna
@saidiomar6642 Жыл бұрын
Sawasawa na madanguro wanajiuza
@AminaHussein-dc3eq Жыл бұрын
Mbna hamtuletei vedeo kamili
@dogokennmwalemtotowalugari7531 Жыл бұрын
Wekeni video ndefu muache upuzi
@KHAMIS_SHILINGI Жыл бұрын
Udhalilishaji washenzi nyiee 😏😏😏😏
@AnethThomas-rf5km Жыл бұрын
Mbn sikuiziii amna kuvalishaa peteee
@Jamesmwakisambwe-z3x Жыл бұрын
Sijuh imekuwa maigizo awako serious😅
@sergioramoel9704 Жыл бұрын
Nice😂😂
@hassanabdul7141 Жыл бұрын
Washenzi sana nyie wekeni full kama hamwezi hivyo viclip vyenu hatuvitaki
@GloryCharlesy Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@obuyagillian9253 Жыл бұрын
😂😂😂❤
@felicityfsty Жыл бұрын
😂😂😂
@nelsonnyamle Жыл бұрын
Kuvaa vikaputula kwenye hadhara ya watu wengi siyo maadili ya kitanzania
@halimaluhambati-iv3dr Жыл бұрын
Mhmmm uyu jamaa hatali
@JendricksSimiyu Жыл бұрын
Mbona unaweka video nusu
@labelleshashank8852 Жыл бұрын
Jamani sielewi inahusu nini jamani
@FrankworldwideTV16 күн бұрын
Uyo careen sio careen anaitwa mage anakaa kimata
@AihmAli-d8x11 ай бұрын
Anakangua mizingo
@mjjovelyn4689 Жыл бұрын
Can someone tell me the title of that song in the background
@fathmamwkto9250 Жыл бұрын
Ekeni video full bwna
@ruthdaudi5239 Жыл бұрын
Kweli mnakera kwanin msiweke full episod Ani mlianza na nin na mlimaliza na nin
@EdinaHerman Жыл бұрын
Naomba muwe wa bunifu kama Mr Right ya kenya imechangamka kuliko hiyo ya kwenu tatizo ubunifu hamna maneno mengi Kusema kweli Mr Right ya Tanzania imepoa kuanzia waendesha kipindi mpaka mashabiki
@chadracknshimirimana4761 Жыл бұрын
Sema nini ile ya kenya hawana heshima kwakweli hii ya tz nimependa walivyo na adabu tuu
@DainessSimba Жыл бұрын
Mnaeka vipande vidog mn
@sultansallah8772 Жыл бұрын
Danguro live
@SeciliaChilimo-lj6dw Жыл бұрын
Mnavyotuwekea vi clip nusunusu mnaweza mje mtufanye tukaibe ving'akuzi vya startimes kwa majirani 😂🤣
@BabyRema-kn9fy Жыл бұрын
Jmn nimefurah
@juniorYB Жыл бұрын
Acheni ujinga garabi tunaitaji ndefu tumesha lala mika san
@jeremymakis1715 Жыл бұрын
Huyu jamaa anajiamini mzima
@mariamjuma7014 Жыл бұрын
Ongezeni video bhna mnazoweka nifupi mno
@nairaathumani4949 Жыл бұрын
Mje na mikoan buana
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
chaguweni wanaume hapo tu halafu iwe nguo na viatu vya kuazima mutakoma mukifika geto kuna kigodoro tu chini hahahaaaa mutakoma tamaa
@lightnesscharlse2281 Жыл бұрын
Mbonakukaguliwa tena wanajinadi au
@allihabibu3509 Жыл бұрын
Ndio ndo maana wapo hapo
@ommymehmed8880 Жыл бұрын
Hivi kwann wasiwe na muonekano halisi kwa washiriki wote,tukaona uhalisia wao kuliko kuwa hivi washavyo jipodozoa.
@kidasishabani Жыл бұрын
Mim mpaka Leo sijaelewa hiki kipindi kina kuhusu nini
@farhanixhaka2840 Жыл бұрын
huo ugoko jamaa yng katisha
@RamadhanJuma-j4b Жыл бұрын
Sindio sas video fupi sana bana aloo ata atuelew 😮😮
@SelestinSelemani Жыл бұрын
Sasa mbona video nifupi sana garb
@KHAMIS_SHILINGI Жыл бұрын
Kishki kashawachamba😂😂😂
@AliceMwaba-zz2cu Жыл бұрын
Ule ni upuhuzi mtupu , owa mzuri Tabia upate kunyuzurika, en suite la beauté d'une fille dépend de celui qui l'aime
@ellywillisgotora1473 Жыл бұрын
mnakera mnavyoweka video fupi hatuelewi nn kiliendelea
@bbaccabb9445 Жыл бұрын
Angalia kipindi kamili kila jumamosi saa moja na nusu usiku
@DianneZeberto Жыл бұрын
Apo sasa
@DianneZeberto Жыл бұрын
@@bbaccabb9445 kwenye tv gani
@mchinamponda203 Жыл бұрын
ilo lenyewe bwabwa 2
@felistafelista7088 Жыл бұрын
@@DianneZeberto startime
@dianahnyabonyi7415 Жыл бұрын
Naaa huyu Mr right alitoka na mrembo tena leo karudi kitafuta
@montanajuma8508 Жыл бұрын
Wimbo huu unaitwaje huo wa barinaba
@salmakashau-ib9fq Жыл бұрын
Mr right
@gracelyamuya2176 Жыл бұрын
Nampenda
@timotweyf.malashi4567 Жыл бұрын
Mr right barnabar
@ameenaameena4907 Жыл бұрын
Ukitaka full ipo kwenye TV kila j Mos
@miltonjohn9779 Жыл бұрын
Tv Gani?
@rachelmuhehe7789 Жыл бұрын
Ivi ni maigizo au nini vile? Yaani sielewi kabisa
@tatuaamuuinyi9633 Жыл бұрын
Makahaba wanajiuza
@simonjongoja Жыл бұрын
Nusu inakuwa nusu
@hyacinthe313 Жыл бұрын
Anaangalia mzigo😂
@SelestinSelemani Жыл бұрын
Sunajuwa tena
@simeonmazigo5918 Жыл бұрын
Hii MR.RIGHT huwa inahusu nini na nini umuhimu wake?
@ernestking6681 Жыл бұрын
Kweli wanaume tumekuwa wachache🤣
@msafirimiracle6613 Жыл бұрын
Hii maana yake unachagua kisasa,sio kwenda usiku,kazi ipo nchi hii.
@sultansallah8772 Жыл бұрын
Kama na ww umegududua nakupa like
@denisrukangula2227 Жыл бұрын
Huu ni uhuuni
@allyslim7774 Жыл бұрын
mnatuwkea clip fup jaman sio kwer ivo
@mercypeter162 Жыл бұрын
Biashara ya ukahaba kitaalm
@munilamohamedi673 Жыл бұрын
Jamani na mi naitaji raiti wangu huko
@HawaIddi-tc9bi Жыл бұрын
Naitaji mume
@MaimunaYussuf-dv8cw Жыл бұрын
Usijali utapata inshaallaah kipenz muombe mungu tuu
@jamesokiru9809 Жыл бұрын
Kaka zangu video zenu fuuupii!!
@amosfredrick4599 Жыл бұрын
Kaptura za nn
@muhammadmuhammad5043 Жыл бұрын
Kweli Nadhani Wengi Husema Vidio Zinakuwa Ndigo Kama Hata Tujaona Nani Katoka..???????? M.R.
@maftahmusa9513 Жыл бұрын
Hivi huyu mpuuzi mwijako si uwaga unajitia kusoma aya za quran leo bila aibu wala haya unaenesha umalaya hadharani alafu unajiita mtoto wa kiislam shame on you.
@angelinapauls2943 Жыл бұрын
Guys ur videos are short hata hatuelewi wat is happening 😢
@NkurunzizaBosco-s7c Жыл бұрын
Jamani video fupi Sana hatu elewi Ongezeyeni dakika
@MikeMwaibanje-nw6oq Жыл бұрын
Kweli dada zangu Hamna samani iko siku watawaweka uchi mwisho hawo washeshi,wapumbavu, wanawo waibisha dada zetu wawato...e ili waone mnato Na wenye maji.washenzi kabisa
@xasancenbaceyn6905 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@asunigohagi5177 Жыл бұрын
Acheni hizo video zenu fupiiiiiiii
@chandostreezy7157 Жыл бұрын
Nyimbo hi ya hello Mr right nitaipata vip
@omanoman2044 Жыл бұрын
Mwinjaku unajifanya ni mtuy wadin ujinga gan mnafanya huu
@arbinuwamahoro7370 Жыл бұрын
Mc nimturivu wahar ya juu
@lewisleonard3672 Жыл бұрын
Kaavaaje Sasa hivyo 🙄
@rastafare878 Жыл бұрын
Kwanini wanawake munajidhalilisha hivi , kweli mapenzi hivyo ndivyo yanavyotafutwa ! Hebu elimikeni huo sio ustaarabu ni ujinga tu!
@jumaaman6260 Жыл бұрын
Sasa hawapati watu wafanyaje??
@zainablove22 Жыл бұрын
@@jumaaman6260😂😂😂😂😂😂
@nahimanamayassa8305 Жыл бұрын
Umeonae 🤷 mwenyew siwaelewi,alaf unakuya wengi wao apo ati Wana miaka 23 mara 25,ssa kwa iyo miaka kweli utakua umesha pitia kweny mahusiano mangapi mpaka u give up wende kujidhalilisha ivo🤔
@tomholland7358 Жыл бұрын
@@nahimanamayassa8305 Ngoja nikusbr wew wakwang wa moyo
@josephkajinga5114 Жыл бұрын
Ni kweli ukimchagua mrembo anakuwa mke na kumtolea mahari au ni mchezo tuu?
@ReyMungure Жыл бұрын
Ata me natak nijue hiliii
@lavyshams99 Жыл бұрын
Angalia kipindi kila jumamosi
@neemamabena-xx5er Жыл бұрын
Kwanini msiw munapost yote izi fupi mnauzi mfyuuuuuuuu
@HELLENWARUGURU-f4o Жыл бұрын
Comedy
@alloycejames5285 Жыл бұрын
Ushenzi mtupu
@sammuelkutayi3088 Жыл бұрын
Show ya kenya huyo kijana angechambuliwa vibaya sana niaje kaja na kisuruali kwenye show huyu
@HonorathaKairu Жыл бұрын
Ndio atujui video ni fup
@consolatamasunga903 Жыл бұрын
Maneno mengi KULIKO vitendo vinavyotakiwa kufanyika rekebikeni
@Neemajoseph-g1s Жыл бұрын
Nikwel
@BunjuBase Жыл бұрын
Ujinga uliopo dunia hii kwa sasa ni hatareee
@yussufkhamis5909 Жыл бұрын
Twambieni tukitaka video refu twende wap jamaan msaada
@celineerick7740 Жыл бұрын
Kama mnaweka wekeni full sio nusu nusu ndio Nini
@montanajuma8508 Жыл бұрын
Wimbo ulio kuwa unaimba ni wa barinaba naitwaje
@sarazacharia Жыл бұрын
@@montanajuma8508 Mr right
@kijanahashim2006 Жыл бұрын
Kiukweli wengine si waume ni wapita njia tu, wanataman wapite njia halafu wasepe, bora muwatembelee wanakuish ili mukawaone jins wanavoishi, wengine wanapata mateso matupu, au nyinyi nikuwapatia waume tu, mengine yahawahusu?
@teteniwery758 Жыл бұрын
Video zenu hazieleweki ......mnafanya fupi fupi sana