Рет қаралды 6,845
Azam TV
Wakazi wa Manispaa ya Sumbawanga wametakiwa kuanza kujenga nyumba ambazo zinafanana kwa rangi za kuta zake na bati za kuezekea ikiwa ni mkakati wa Manispaa hiyo kuufanya mji huo kuanza kuwa wa kisasa na wenye kuvutia.