macho ya kijana Swedi yapigwe na mwanga mkali, kitu kilichomfanya ayafumbe kabla ya kuyafumbua taratibu ili yazoee hali ile. Ilikuwa ndiyo siku yake ya kuachiwa huru kutoka kwenye kifungo kirefu.
Пікірлер: 153
@aishawhite11076 күн бұрын
Tulio malizia msela baada ya kufumaniwa kwenye gari na Kuja hapa weka like za kutosha hapa kwa Anko mavoice 💥💥💥💥🌹🌹🌹
@Shadia5447 күн бұрын
Haya jamaniii SURA YA MAREHEMU KAFANYANINI TENA TUNASIKILIZA HILI TUJUWE LIKE 10 KAMA NA WEWE UMEWAHI KASIKANI KWETU✌️✌️✌️
@@Shadia544 sijakusahau mbona🤣🤣 lakini ww wapenda kuomba omba na ww hutaki kupea wezio😉
@Shadia5446 күн бұрын
@@SusanNeema-re3hrkwa anzia leo nitakupa LIKE kipenzi changu ❤❤❤❤
@StellaSanga-wq4po5 күн бұрын
Dada nakubabali Sana Jambo sikujui
@mumbikibathi70367 күн бұрын
Mumbi Wa Naivasha Ndani wapi likes
@user-yk6dg4kl3s6 күн бұрын
Kama unaskiliza sura ya mareem gonga like 41:15 b
@EddaFredy7 күн бұрын
Nimewahi jamani naombeni like na mimi
@user-rc3om5hs9i7 күн бұрын
❤❤ally mbetu na ankojy asanteni sana asubuh yaleo imenoga, njoon wadau wa ankojy famili huku kumekucha n sura ya marehemu daa!👁️😭🏃
@user-rc3om5hs9i7 күн бұрын
Jamani mapto ya swedy yananipa machungu kweli😭😭 pole Sana swedy
@agnesagnes52887 күн бұрын
@@user-rc3om5hs9i 💔💔💔💔 wa2 upitia aisee
@SusanNeema-re3hr5 күн бұрын
@@user-rc3om5hs9i tena sana mana anapitia kipindi kingumu sana kwakweli
@mercymathias7 күн бұрын
Pendaaa sana aankoy jay nipen like zangu
@HappyBeltod7 күн бұрын
Anko wetu hapo sawa vitu vinakuja Kwa haraka Kama hivi 🎉, ngoja tuone hiyo sura ya marehem sijui imefaje tena
@yalalakashindi45946 күн бұрын
Jamani kila mtu ni wakwanza sawa nimekubali mimi wa mwisho 😢 naomba like wanaokubali SURA YA MAREHEMU😂😂🎉
@JulianaYusto7 күн бұрын
Wakwanza leo nipen maua yangu🎉🎉🎉
@user-rc3om5hs9i7 күн бұрын
🌹🌹👏
@FatumaRamadan.Mwalim6 күн бұрын
Mpe mauwa yake hayo 🎉🎉🎉
@maseleenaesleen81497 күн бұрын
Mmmmh sura ya marehemu 😢acha tuone ina nn hiyo sura ya marehemu❤❤
@MoshiMoshi-qy8dq7 күн бұрын
Wow wakwanza leo ankojay thanks kwa kitu kipya ❤❤❤
@DamariJohn6 күн бұрын
Haya sasa sura ya marehenu yaliyomo yamo haya wadau wa anko J naombeni like zenu hata kumi😊
@sephrinewarenga27457 күн бұрын
Kazi nzuri kaka,listening from Kenya much love.
@aumuelly29097 күн бұрын
Ahsante bwana anko Jay simulizi ❤❤❤😂😂
@user-ui6rf8yx7s4 күн бұрын
Haya Sasa sura ya mare hem ngojea unisikilize naomben like
@user-wq2ok7xl8d7 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ROSEROBERTROBART6 күн бұрын
Afadhali mm napenda simulizi kama hizi lakini msela,mmh hainibambi kwa hayo mambo ya kitandani,yananitia kichefuchefu no matter what 😢
@MamahetuChikuti-mp5lj7 күн бұрын
Tumefika uku kwa sura ya marehemu Asante Ankojay asubui njema insha Allah ❤❤❤❤❤
@victoriangasa7 күн бұрын
Mapema sana na kigongo kipya😂😂waooooh ❤❤🎉🎉nawapenda
@jamilarimo55467 күн бұрын
Wewe kumekucha
@priscillahsirya65447 күн бұрын
Achanikae mkao wakula nijue kilichojiri asante anko kwakibao kipyaa na chenye kichwa chakusisimuaa❤❤❤❤❤yakurudishwa
@user-pj5zp1zr4o7 күн бұрын
Huyaaa 🎉🎉🎉🎉🎉suprice mapema
@luluhashim66447 күн бұрын
We anko jay utaniua huku sijamaliza binti candy, nawaza msela nawasha data nakutana na sura ya marehemu anko jayy jamani 😢😅
@mumbikibathi70364 күн бұрын
Mimi mwisho, Mumbi Wa Naivasha ako Ndani wapi likes
@user-sm4ho6pc5o7 күн бұрын
❤❤ anko unajua kutufulahisha mashabiki zako ni laha tupu unaitaji kupewa mauwa yako
@user-vl1ts1eh8s6 күн бұрын
Ank jay duuuh hii ni noma na nusu
@haleemahhamisi25345 күн бұрын
Ali mbetu🎉🎉🎉 msimuliaji ubarikiwe🎉🎉❤
@Yaslahallyabdulla7 күн бұрын
Umetisha app anko
@mariamjumbe86277 күн бұрын
Jamani naskiliza lakini naogopa
@dianandabirorere63657 күн бұрын
Asante sana Anko j mapesa🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@zenaathumani81447 күн бұрын
🙏🙏🙏♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
@DorcasMuomba-gd3sw7 күн бұрын
Asante nashukuru ok jamanii sura ya marehemu kafanyanini tena aye twende basii ila usisahau binti Lisa
@user-zv6cg3zw3v7 күн бұрын
Asante ankojay ubarikiwe,
@saumunyadzua6 күн бұрын
Daaah sura ya marehemu tena haya wacha nisikize tena kwa makini
@user-ut6yp7ot9o5 күн бұрын
Kaka anko unajua kutufurahisha ❤❤❤
@JosephinaDidas-cs6wo6 күн бұрын
Waooo leo nimewahi
@hdhjdh7756 күн бұрын
❤❤❤wacha tusikilize ❤❤❤❤
@fatmasalum83347 күн бұрын
Aly mbetu na anko jay mungu awabariki kwa buludani❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@user-rc3om5hs9i7 күн бұрын
❤❤
@user-ku3ud4qb7c7 күн бұрын
Mwambaa Ally mbetu❤ napenda sana story zake Jembee letu Anko jay❤ usimuliaj wako mm binafsi hunifanya siwez sikzaa hata saut zengne😢❤
@FatumaRamadan.Mwalim6 күн бұрын
Mmmh 😊😊😊
@FatumaRamadan.Mwalim6 күн бұрын
Sasa siku nzima utaskiliza simuliz Moja tu haya sawa
@user-ku3ud4qb7c6 күн бұрын
@@FatumaRamadan.Mwalim ujaelewa
@christinemwendejuma44017 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@binthassan91917 күн бұрын
Woyooooo, kitu kipya hewani,,Ahsante Anko jay kwa kigongo kipya tunaenjoy sie mashabiki zako,,wacha nisikilize uhondo wa SURA YA MAREHEMU inaonekanaje 😂😂
@aumuelly29097 күн бұрын
Leo mimi wakumina5
@usterbae7 күн бұрын
Congolesheni ankojay mapesa kwa kazi nzuri❤ nakupenda hadi naumwa❤❤
@FatumaRamadan.Mwalim6 күн бұрын
Mapenzi shikamoo na wapendanao pia shikamoo yenu😊😊😊
@chantalmavandu49507 күн бұрын
Wow i can't sleep today
@agnesagnes52887 күн бұрын
ANKOJAY alf jioni binti Lisa 😂❤❤
@user-rc3om5hs9i7 күн бұрын
🙏🙏
@samychance7 күн бұрын
Anavyojua kutukosha sasa😂
@agnesagnes52887 күн бұрын
@@samychance 🤣🤣🤣🤣walai binti Lisa nitamu xn
@nzeyimanaazama6 күн бұрын
Simulizi nzuri kabisa ya mafunzo ila Anko tukumbuke Vip umetuweke njia panda aca tuvute subra basi atuna lakufanya.
@rizikibakari35987 күн бұрын
Thanks Ankojay wetu ❤️
@user-wp4sk2hn1f6 күн бұрын
Duu nizuli❤
@lilianmwanthi96487 күн бұрын
Thank you Anko Jay ❤❤
@user-cw4mv3kw7y7 күн бұрын
Asante sana ankojay Allah akulipe kheri Inshaallah ❤❤❤❤
@alicesidi95747 күн бұрын
Wooow thanx anko jay ❣️❣️❣️❣️🇴🇲tunakupenda
@user-vr5bu5pn5x3 күн бұрын
Jamn nyie hamjaborka Mimi mambo hayaend bila simuliz anko ana nn jamn
@alicesidi95743 күн бұрын
@@user-vr5bu5pn5x wasema ww
@avelinabaluhya28046 күн бұрын
Khaaa! ila ninyi matajiri wenye kiburi na majivuno,Mungu anawaona
@PaulinaLwena7 күн бұрын
Anko jay simulizi pamoja sana❤❤❤❤
@RehemaMundu2 күн бұрын
Anko kam Anko❤❤🎉🎉🎉🎉
@user-fs7eu1be6o6 күн бұрын
Ni rah sana ikitajwa sehemu unajua yote unakuwa una enjoy
@medinahsamita39817 күн бұрын
Wow ❤❤❤❤
@racheluwda65526 күн бұрын
Sura ya marehemu dhaaa wacha tuona vaya tutamalizea simulizi tamu 😢😢😢
@MarimGodifrey5 күн бұрын
Leo 2po na sura ya marehem like kwenu vipenzi wa anko jey
@user-yk8em1bh8g6 күн бұрын
❤❤❤
@judikadzo87126 күн бұрын
Thanks ankojay mapesa 🥰🥰
@user-sf5gk8cn1j7 күн бұрын
Leo mapem jaman asanteee anko j
@samychance7 күн бұрын
Anko marehemu tena😢, basi ni asubuhi ningelala kwenye comments 🎉😂. Enewei naombeni like basi mi chauoga😊
@vailethmwakipesile66987 күн бұрын
Wacha weeeee hii nikali san
@queenqueen-en1ds4 күн бұрын
Anko wetu jamani tumalizie binti lisa
@Beathasimon7 күн бұрын
Mimi
@user-pt4zw9ct3x4 күн бұрын
Jaman tuletee msela Bhana anko j
@Kellyperry9477 күн бұрын
ᴴᵃʸᵃ ⁱᵏᵃᶠᵃⁿʸᵃ ᵃʲᵉ ᵗᵉⁿᵃ 🤔🤔🤔
@user-bo3qz1yk2x7 күн бұрын
Ankojay mwambie Ali mbetu atumalizie jini mahaba😂😂
@user-vr5bu5pn5x4 күн бұрын
Anko wetu ana nn sio kwa kuboeka huku
@safiyabenda95357 күн бұрын
🫶🫶
@nancynancy43627 күн бұрын
Wa 19
@user-gn5xl6kk6n6 күн бұрын
🎉🎉
@hildegardemaurice15097 күн бұрын
Reo nimewahi
@nurafedrick3783 күн бұрын
Huyuu dada nayee kayapitia mimba kutoka na kizazi pia kutolewaa mamamkwe ndoalikuwa akimpa sumu akitia kwa juice kuna watu wanarohoo mbayaa aiseeee😢😢
@user-cb7tb8rj5w7 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤
@user-qm9rr8fr1j7 күн бұрын
Sura ya marehemu , hili balaa
@AishaAljadidi6 күн бұрын
❤❤❤❤
@Zaynab-ny6gr7 күн бұрын
Haya kumekucha 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@UmayyaNkya-ze3ri7 күн бұрын
Uwii nimeogopa🙄🙄🙄
@Kuwait-tf2mj4 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@haleemahhamisi25346 күн бұрын
Swedy😢😢
@zawiyanaser30767 күн бұрын
Haya sasa ngoja tuenjoy na sura ya marehem😂
@FatumaRamadan.Mwalim5 күн бұрын
Viumbe wazito
@shazimna7 күн бұрын
ankojey tuletee musela
@mundhirsalum214 күн бұрын
Mm nimechoka na story za mapenzi 😢
@KuvunaGonda7 күн бұрын
❤
@user-lm9wz2ix8g4 күн бұрын
Wapi part 2
@ZalhaMohammed-f1d4 күн бұрын
Anko j tunaomba utumalizie msela jaman😫
@jasminmohagthari37304 күн бұрын
Koh ankol umetususa jaman sio lisa wala msela😢😢
@user-vr5bu5pn5x3 күн бұрын
Kumbe hata wew hata mim nimeboeka sn
@jasminmohagthari37303 күн бұрын
@@user-vr5bu5pn5x kashapost lisa ndo naelekea mwsho ntamalizia kipolo asubuh
@ccbajayem47444 күн бұрын
Kwani sikuhizi Tatum what's wrong with anko jay au hatutaki Sisi wa viporo
@user-lx3bs3iq8t7 күн бұрын
Mal papu nimetulia nikakuta kun aimuli mpya
@LetisiaWilliam7 күн бұрын
Sura ya marehemu tena jamani
@user-oh7un2hr4z2 күн бұрын
Huyu Msanja au baba yake Pamela Masanja 🤔
@user-zj7hd6sg3y5 күн бұрын
Mwenzenu ndio naingia Jana mwarabu alizima Wi-Fi
@adellaakupenguvumtumishika92176 күн бұрын
Sura ya marehemu?!!!
@JeromeBaraka6 күн бұрын
Muserayure yukokamamubwatuu
@nurafedrick3783 күн бұрын
Nahisi huyu mxee wakuvhukua Mali zawatu amefanya hata mama Swed kichaa msafii iliamuingizie pesa mana haiingi akilini kichaa akasafirii huyuu baba anahusika lkn chake kimotoni sikuzote Mali zazuluma hazidumuu
@susansamira81377 күн бұрын
Jamani sura ya marehemu iko na nn Tena?
@elizabethkatoko88674 күн бұрын
Mm nilikua n shughli z masndamono aki ndio narudi mtandaoni🤔🤔