Ni mtanzania pekee ambae umeamua kuwsaidia watu nakupa5 endelea hivyo wenzetu wa west africa walianza kusaidiana siku nyingi sana ndio mana wapo wengi marekani na ulaya.
@EBMSWAHILI2 жыл бұрын
Asante sana. Maisha ni kusaidiana, yale tunayojua hata kama ni madogo, ila kama yana faida kwa wengine, ni vizuri kushea fursa na wengine nao wanufaike. Tukifanya hivyo mara kwa mara, tutazidi kubarikiwa na kufanikiwa
@bobwhite92522 жыл бұрын
😁😁😁😁😁.. balaaa.. haijawai tokea mtu smart na anajua kufundisha kama huyu jamaa.. aisee broo.. nmechelewa sana kuifaham hii channel.. daah.. madin tup..
@amoskagika88842 жыл бұрын
Kabisa ndugu. Me mwenyewe nimeona nimechelewa Sana kumfahamu huyu jamaa
@johncornel94363 жыл бұрын
brother i like the way you speak straight forward
@hamzamafita40252 жыл бұрын
Nakushauri broo uje tanzania ufungue ofisi dodoma mimi nitakulipia pango na uwe na darasa live angalau mara 4 kwa mwaka wengi naona hawakuelewi tuna maswali mengi ungekua live ana kwa ana ni nzuri sana.
@EBMSWAHILI2 жыл бұрын
Nashukuru sana kwa kweli, na hasa kwa ukarimu wako. Tutazidi kuwasiliana na kupanga
@picsartchannel25813 жыл бұрын
Nice
@vailethdastan59163 жыл бұрын
Great speech!
@wilsonm.73763 жыл бұрын
good speech..
@JOHN-PETER. Жыл бұрын
Hongera sana👊🏽 Ni aina ya Kitabu Gani hicho Baba?
@azizahaji50759 ай бұрын
Habar yko kaka naomba kuuliza ety kama chuo hakitaki hiz test halfu ukaomba viza ukakosa je hp hil ni tatz la hiy test au jengin
@matthewjohn51082 жыл бұрын
😆😆😆😆 kaka nimekuelewa sana na umenisahidia kiasi kuhusiana na cv.