Sio mnyazi mungu bali mwenye enzi mungu msomaji wa kikristo mbona anakosea Mungu Heshima.
@thingsidotobeatboredom61322 жыл бұрын
Kizuri umemkosoa maana yake
@mustafaabdi77082 жыл бұрын
Allah akupe umri mreefu sheikhe wangu ustadh Mazinge💯🔥
@saidijinebi87672 жыл бұрын
Sasa ndio unasema. Mashekhe wameshindwa kujibu swali wakati sauti mafundi wenu sauti wametoa. Pumbavu Sana
@ismailponda12692 жыл бұрын
Wanajifanya wajanja sna awa muhubri wao alivo ulza swli sauti imetoka vzri lkn wakat wa kuonge shekhe saut inaktshw katshw
@mohdkibaba82852 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@rbagha52802 жыл бұрын
This Sheikh MAZINGE s Fantastic and Amazing! May Almighty Allah bless him. He is indeed blessed by the Lord of all mankind. Christians, please listen to him without bias. He will guide you, using the Quran, and Bible, to HEAVEN. His arguments make sense. Turn your intellectual cup the right side up so you can receive guidance. If your cup is upside down because of BIAS, you will not get any guidance. Listen to him. It is what your LORD wants. May God, ELAHA in Aramaic, ALLAH in Arabic, wants you to do. So you too can be SAVED! Thanks. RAY FROM CANADA
@abeidmrengaofficial17922 жыл бұрын
What u have said it make sense. May Allah grant us understanding. Greetings from capetown Rsa.
@RodgersMae Жыл бұрын
Ikiwa utume wa Mohamed ni wizi wa aya za bibilia nabii alie umi bt Torati alio iba 18:18-20 Mohammed akakufa kudhihirisha ule wizi yan uongo
@omaryaman13122 жыл бұрын
Hamna sauti wakat wa majib ya mazinge hahaha....
@mustafaabdi77082 жыл бұрын
Kidume akifika jukwaani, mnatoa sauti, si mgeacha tu myoroshwe tu😂😂
@josephhjackson76322 жыл бұрын
Mungu alisaidie kanisa lake (SDA) kwa kazi nzuri
@missdida53162 жыл бұрын
Kichwa cha habari ni kibovu shehe wangu mazinge anakipaji kkubwa alichpewa na Allah mashaallah
@masungwasalumu12782 жыл бұрын
Hugo mazinge ajifurahisha Hugo kesho kutwa atatokewa na Yesu MWENYEWE na ataokoka kama Alijojo makanzu alivyookolewa mazinge silolote hiyo inakuja waisla mazinge ukweri anaujua
@omaniomani6432 жыл бұрын
Mwehu wewe huko ndo aliko toka kwa yesu
@khuzeimaabdul42752 жыл бұрын
Jipe moyo wa kujidanganya
@ErastoBiasАй бұрын
Wanapaswa wawaulize wakristo na mayahudi watapata kufunguliwe af mabishano yataisha amen
@zuberihassani44342 жыл бұрын
Sas ss tunajuaje mazinge kashindwa swali hali yakua mmekata saut nyie vp ,,,,,,mazinge niswali gani alishindwa kujibu nandomana tukaangalia tujue kidume was Allah anashindwaje swali .. waislamu takbiiiiiirii🌟🌙
@istambuliahmedi82032 жыл бұрын
الله اكبر
@mwichandemuyinga60072 жыл бұрын
Penye ukweli uongo hujitenga asante
@benyoussoufaboubcar15752 жыл бұрын
Mazinge Allahuma barik
@ibrahimmawee98372 жыл бұрын
Assalam Aleikum, napenda nichangie kwa wanaoshuhulika na vipaza sauti maranyingi vinapoteza mawasiliano nayanaporudi huwa tumepitwa na mengi sana
@kakarashidi85502 жыл бұрын
UHUNII HUO KIDUME KINALETA MAJIBU NYIE MMEKATA SAUTI IMEISHA HIYOO
@saifalhajari44912 жыл бұрын
Hapa nikupamban na iman yako tu jamn hayo yote mwachien tu mungu jamn yey do anajua
@omanbarka15882 жыл бұрын
😀😀😀😂😁😂
@hussaynmuhammad87822 жыл бұрын
Mnajaribu kuficha Haki wakati Haki Unadhihirika!!!! Kwani hamzingatii
@ismailchande5612 жыл бұрын
Mbona mumekataa sauti ya mazinge kipindi kirudiwe ....ndo maana nashangaa ati ni swali gani mashiekh wameshindwa kujibu..Bali munakataa sauti huwa hamukubali kushindwa....
@alimohamed37302 жыл бұрын
Kweli akili zwnu sizo tutajua vpi kama swali limemshinda n hakuna tunachoskia zaid y salam .
@martinnkuba66832 жыл бұрын
Mambo ya fundi mitambo ka mute sound
@ameenaghubra4224 Жыл бұрын
Mungu akupe uml mlefu shehk wangu mazinge
@janiaoma70932 жыл бұрын
Majibu ya mazige mnayakata alafu mnasema kashidwa
@fardoshnassor78472 жыл бұрын
Mashallah Allah
@elsoody88682 жыл бұрын
Naah hamn swaly gumu apo...hamjamuelew ndio shida🙌
@amurisabiti70372 жыл бұрын
Mazinge sio mchezo hili swali ni ndogo sana kwa mazinge
@sarahmichael75382 жыл бұрын
mbona sasa amechemka
@jumaothman94492 жыл бұрын
Kweli kakaa kama mchungaji wako kweli hujakosea au Nina wasisi yupo juu zaidi ya askofu wako.
@christian-jw4zb2 жыл бұрын
Jesus Christ is the Son of God. he can save us. Acts 17:30
@salumali868 Жыл бұрын
Kwaiyo yesu ni mtoto was mungu. Je Huyo mungu ni mwanamme au mwanamke.
@fredrickonyango94 Жыл бұрын
Dini ni lugha ya kiarabu inayomaanisha njia .....hapo wameshindwa kujibu ni kurukaruka tu because you are more antichrist and na kama mnaelewa yesu ni nani lazima muamini pia maneno yake maana yesu anasema Mimi ndimi njia ya kwenda Kwa baba hakuna haendae isipokua kupitia kwangu. Wapi kataja Mohamed...... bible has a hidden meaning to the antichrist they will never understand because they expect it to work with the world science not knowing God is above everything we are discovering and that's why He sent his son to prove that he has power over nature and science.
@mohamedomaronline74592 жыл бұрын
Allah Akbaru 🥰
@talibmuhsin52212 жыл бұрын
Muislamu hawez kishindwa kwacbb dini yake imekamilika na hakuna kisicho wazi kidalili nyinyi makafiri sio Kama hamuamini Ila tu munaukaidi na mishipa ya kiyahudi rudini kwa Allah na mtume Muhammad awe ni kiongozi wenu , njia munayo fata nyinyi ni yakwenda motoni hiyo Allah awaongoze in shaa Allah
@alicemangat31652 жыл бұрын
So malicious! Wamefunga sauti du!!!!
@sudaissaid84282 жыл бұрын
hakuna suali gumu lisilo na jibu...
@mohamedjuma10192 жыл бұрын
Mbn mmetoa sauti😂ukorofi uwwoo
@cabylake2320 Жыл бұрын
Asalm alaykum mbona sauti akuna masheikh wameshidwa kivp yani Imani yangu imani Yang inanituma kama wameweza masheikh wetu Allah awazidishie umri 🤲🤲🤲
@gilbertnzeyimana6112 жыл бұрын
Hakika ni mafundisho ya mhimu Mungu abaliki watu wake
@yahyawanjiku2 жыл бұрын
Hapo mbele kwa mazinge mbona sauti jameni hatuski😹😹😹😹😹.....
@user-vg3bf5vi1y2 жыл бұрын
Hahaha c kweli tulioiyo tunajua achen uwongo hii channel mwogopeni Allah bhna daah
@LinaLina-jg3wb2 жыл бұрын
Waisilamu lini mtaacha majivuno na kipri ilali ? Odoweki majivuno na kipri mpate kujuwa kweli
@frankellyswaggz16512 жыл бұрын
Ukweli Gani?
@hadijahshabani26742 жыл бұрын
Ww ndo hujui ukwel
@danielnyerera2 жыл бұрын
Very well Jesus said i am the way the true and the life no one comes to the father true way ... I dont know this kind of Prophet Muhammed... Yeyote aki amini kwamba Yesu ndie Bwana ataokoka
@keddydonchedda18942 жыл бұрын
all the prophet of god they are the way to father ,and if jesus is way to go to the father why you people you plaised him as father .
@danielnyerera2 жыл бұрын
@@keddydonchedda1894 Every thing about the father is possible is the way and the life
@hijatumbo87092 жыл бұрын
Wakristo wakiuliza swali nje ya mada na wakajibiwa sema mda wa Mazinge uliisha.
@saeedmbarak65502 жыл бұрын
Haiko full n maneno ya mazinge yamekatwa ili msifahamu huyo ni professor hashindwi na jibu Al Hajj Usthadh Professor mazinge
@charlesmapunda59052 жыл бұрын
Professar wa Majini hana lolote zaidi yakulazimisha nyekundu kuwa kijani ingawa ukweli anaujua. Atachomwa sana huyu Mzee Mshirikina
@SAM_1632 жыл бұрын
Eti Professor 😆😆😆😆😆😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kapewa na Nani huo uprofessor au mnapeana kwenye vigenge vyenu?🤣🤣🤣
@SAM_1632 жыл бұрын
Mazinge mjanja mjanja tu. Elimu hakuna 😄😄😄😄😄
@salhatyjuma21312 жыл бұрын
Mmekata sauti ya nini???Hamjielewiii kabisaaaa,wakati Wa kuuliza sauti IPO ila wakati Wa majibu sauti hamna??Sheikh Mazinge hakuwahi kushindwa na swalii
@loudcrytv89492 жыл бұрын
Waislam ndiyo walikata Sauti kwenye vyombo vyao vilivyokuwa vikirekodi Sauti. Wewe huoni mwisho mwenyekiti wa Waislam anampa mipasho Mazinge kwamba hakutumia muda vizuri anaeleza utumbo. Na Mara ya Pili hakurudi Tena ikabidi mwenyekiti atafite Mwalimu mwingine naye swali likamshinda
@hassanussein18172 жыл бұрын
Mazinge kawashinda siku nyingi tuu bona
@masashelecomedien46262 жыл бұрын
Mazinge Allah akurehemu
@aminrendis72492 жыл бұрын
UNAONA UJANJA WA WAKRISTO WAMEKATA SAUTI HALAFU WANASEMA WAMESHINDWA KUJIBU SWALI ACHENI LONGOLONGO
@sudaissaid84282 жыл бұрын
watu wa injili ni watu wa Nabii Issa (yesu )ambae ni mtume wa Mungu..waislamu...
@zainaikoki49542 жыл бұрын
Wallahi ukweli wanauona wanafanya ubishi kwa kichwa
@jabirsaid42452 жыл бұрын
Naona wakristo mnakaza vichwa achen jeuri muaminini Allah
@hassanmugire14972 жыл бұрын
Mnakazi ya kubishania dini tumnaboa
@venancemwanya42122 жыл бұрын
Ukweli ndivyo ulivyo,huwezi ikalazimisha uongo uwe ni ukweli. Dini ya zamani inajulikana ,
@blueeyes59522 жыл бұрын
Waislam ni wabishi achana nao
@luckygmdegela84772 жыл бұрын
Hizi dini zitawasaidia nn , amini nawambia yeyote asie amini na kukili kuwa yesu kristo ndio njia ya kweli na uzima na kumfuata yeye Kisha aka okoka , hato uona ufalme wa mbinguni.
@mbwanarajab47562 жыл бұрын
Dini zilizotangulia zilikua kwa wanaoamini na kuabudu MASANAMU kisha Mungu akatuma manabii waje kuwaonyesha ipi dini ya Mungu ambayo ameridhika nayo
@blueeyes59522 жыл бұрын
@@mbwanarajab4756 mbona bado mnafuata inshala ya mwezi unapo andama ndipo mnafanya ramazani?? Je kufuata inshala ya mwezi sio kuabudu sanamu??? Je unafahama mtume Muhammad alipovunja sanamu zote pale makha mu na sanamu ya Allah nayo ilikua miongoni ??? Je unajua kabla ya kifo cha Muhammad alisema anaogopa kifo chake ju anajua baada ya kufa kwake wafuasi wake wanaweza kugeuka?? 1. Point of correction dini ilio tangulia ni ya wayahudi, na mwanzilishi ni Abraham sasa ni wapi Abraham aliabudu sanamu????? Ya pili ni ukristo na sio ukatoliki. 3. Ukatoliki sio ukristo bali ni upangani , (roman empire in religion) na izo misanamu ni viongozi wa roman empire wakafanya uongo na kujingiza katika ukristo lakini ki ualisia sio bali ni waongo na mashetani
@flova70222 жыл бұрын
@@blueeyes5952 duu uromani ni upagani hivi maana ya upagani nini?
@suleymanally47292 жыл бұрын
Wameshindwa jukwaaani wanakuja taka kushinda kweny youtube 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@angellomarcel56772 жыл бұрын
Always waislam ni Pasua kichwa hawajui lolote hukalia sana Ubishi na ujuaji feki
@yahyawanjiku2 жыл бұрын
Toa hoja kwa vitabu sio kwa kichwa ndugu yangu😹😹😹😹
@ibnseyf57242 жыл бұрын
Hao wanaojiita wakristo mm naona wasaelewi wana akili gani kila wanavofahamishwa haki wao wanapinga na kutanga batili au ndio wanatetea vibarua vyao
@gracegelege17062 жыл бұрын
Jamani nenda You tube tafuta Christian Prince mwanafunzi mahiri wa kitabu cha Allah atakutafsria kiarabu uelewe
@hidayaamri11122 жыл бұрын
Sauti hakuna kipindi kirudiwe hatusikii kabisaaaa
@anwarambar61412 жыл бұрын
mbona sauti imekatwa ya Mazinge? tutajuaje kama Ustadh Mazinge kashindwa kujibu, Ndugu zetu wakristo acheni ujanja, swali mboga kabisa hilo, Mazinge haezi kushindwa kujibu swali hilo
@zakhianzuki93482 жыл бұрын
Jamani mie ushauli wangu watu tumche MWENYEZI MUNGU ili kujiwekea amali yako ya kesho utakapo lejea kwa MOLLA wako lakini haya mambo mengine sioni kama yana mantiki
@veronicalaizer39402 жыл бұрын
Mazinge nakuhurumia,ungemjua unae dadisi habari zake ni mfalme wawafalme ambae baada ya maisha haya ya duniani Utasimama MBELE ZAKE kutoa hesabu ya maneno ya kinywa chako,
@alimatambwe34022 жыл бұрын
Kkkkk’ila wakristo mnaakili ndogo sana wazungu wanawadanganya sana tu na kuwatawala ndiyo maana hamuwezi kuelewa.
@saidirajabu78632 жыл бұрын
UFalme mnampa nyie ilihali amesha sema yeye simungu
@saidirajabu78632 жыл бұрын
Wazungu wanasilimu nakugeuza makanisa miskiti webado unaamini kitabu walicho kuandikia wazungu wakat yesu hakuwai ata kukanyaga ulaya
@amoscharles14202 жыл бұрын
@@saidirajabu7863 ni wapi alisema yeye si Mungu
@joshuaandrew3862 жыл бұрын
Yani kusema wakiristo tunafuata wazungu Kama Ni hivo na ninyi mnafuata mkumbo wa waarabu ,Ila ukweli ipo siku ambayo mtakuja kujutia Sana NAFSI zenu na wakati huo rango la rehema litakuwa limefungwa
@ernestrichard85992 жыл бұрын
Sasa mbona Mlikata sauti hiyo ni ishara ya kushindwa tusidanganyane. Tena hapa mmeshindwa kujibu.
@shabanimaarifa33362 жыл бұрын
Nafikiri mashekhe upo sahihi
@aliramjaane2362 жыл бұрын
Sauti wameipoteza sio
@mwechizumbabaraka7082 жыл бұрын
Makafiri mnatabu sana,
@ayubukhamis86732 жыл бұрын
Kafiri ndonin ndugu
@kusagakusaga7292 жыл бұрын
Mnakata sauti ya mazinge
@millitarybattalion75152 жыл бұрын
Hata sauti yenyewe mmekata
@fabianmasenganya77912 жыл бұрын
Ninyi nyote hamjui maana ya Imani. Imani huwa haina mjadala.
@eliapendamollel44862 жыл бұрын
Huu mjadala mzuri Sana nimeupenda
@najmahyerkhan21572 жыл бұрын
Mmekata sauti nyooo shekh mazinge angewanyoosha
@sarahmichael75382 жыл бұрын
Mazinge hana ubavu wa kuinyoosha Injili. Maana injili ya Yesu imenyooka kama chuma cha pua
@charlesmapunda59052 жыл бұрын
Anyooshe wapi Mada manabii wa kale ni wakristo na Quran imesema jadilianeni na Dini zilizo tangulia ambazo ni waislam na Wakristo sasa anabishana na kitabu chake mwenyewe si Chizi huyo mzee? Jibu ndio au hapana basi sasa yeye anaanza Ukristo sio Dini mara Wasabato sijui nini hapo hakuna blabla jibu kutokana na Quran ilivyo jieleza Kafiri mkubwa Mfuga Majini Mazinge.
@user-sf6lp9vt5g2 жыл бұрын
Maiki imefeli hapo yaonyesha.
@bashirabdalla28432 жыл бұрын
Mbona Mme poteza sauti ama tusipate ukweli ndio maanake subhana Allah
@hussaynmuhammad87822 жыл бұрын
Hapa mtafaidika tu na views lakini Mna cha maana
@halarihamadi49262 жыл бұрын
Lol 😂😂😂 dude out of the subject
@haronokesa95452 жыл бұрын
Mazinge leo amelemewa mpka akapoteza sauti..Tumia sign language please
@cathiberteliastesha29282 жыл бұрын
Sauti mmekata kabisa
@shufaamwambashi15472 жыл бұрын
Majibu bila sauti tutayasikia vp
@ericlondonmuwazijimmy12214 ай бұрын
Mazinge kapata kibano na ndancha 😂😅😅
@user-cg9tl3ys5l2 ай бұрын
Mungu Yuko upande wetu kina la bwana libalikiwe
@adamrusheke22242 жыл бұрын
Sauti mlinyakua
@taufikihamisi63852 жыл бұрын
Akili huna wewe unasemaje mazinge ameshindwa kujibu swali wakati video sauti inakatakata
@user-hb8vi9fx6g2 жыл бұрын
MBONA SAUTI YA MAZINGE HAISIKIKI
@cathiberteliastesha29282 жыл бұрын
Wamezingua
@achanifumos10932 жыл бұрын
Si uhodari wa mazinge bali ni maneno ya kweli ya Allah ndio mazinge hwezi kushindwa na swali...na munamuongopea mbona mumemnyima time na sauti mulimuondolea aliposhika mic...wacheni kujidanganya rudini kwa Allah...
@kuy40112 жыл бұрын
Tusiwe na ubishi
@achanifumos10932 жыл бұрын
@@kuy4011 si ubishi...someni maandiko ndio mutajua kuwa wachungaji wanawapoteza
@ahmadamwawalo5651 Жыл бұрын
Nilifikiri limeshinda kweli kumbe sauti haitoki . Basi ingeandikwa ivi. Swali lililotolewa sauti wakati wakujibu Habib Mazinge
@111dudi2 жыл бұрын
Huyu mchungaji anashangaza sana. Wanadai ukristo ni dini ya "Kristo" yaani Yesu, Yesu mwenyewe kaja baada ya manabii wengine, vipi hao wlmanabii wengine wawe wakristo? Akili ni mali
@izaurajuma34522 жыл бұрын
🤣🤣🤣wanashangaxa sana mbona mwatoa saiti kunanyengine pia walisema maxinge atangaxa kubatizwa🤭hawanajipya wataomba sana maxinge ashindwe kujibu swali Allah atakulinda maxinge🙏
@muhammadmuhaznun3802 жыл бұрын
Nyie mtatujazia pepo bure sio lazima muwe waislamu uisilamu haulazimishi Mtu ....kaeni huko huko Bora tushafikisha ujumbe...
@willysospeter92702 жыл бұрын
Nyie Pimbi mmeandika heading mkijua kbs mkitumia jina la Mazinge watazamaji watakuwa wengi na mtapiga hela ya kutisha. Mi nilitaka kushangaa, swali Nyanya Kama Hilo Mazinge ashindwe!!!???
@RayaRashid-dc2hn2 ай бұрын
Always mazinge jembe
@sootb84702 жыл бұрын
God is one and that's it
@benedictinestory1454 Жыл бұрын
Huyooooooo swali kashindwa
@111dudi Жыл бұрын
Mmemzimia mic Mazinge ili jibu lake lisisike.ujanja wa wakristo daima
@talibmuhsin52212 жыл бұрын
Na spika mumeizima halaf muuchafue uislamu ata mufanye VP uislamu utabaki kua Ndo dini sahihi TU mpaka mwisho wa dunia na uyo munaedai mungu wenu ni mtume Kama mitume wengine , kwaiyo mutambue kwmba munamshirikisha Allah alieumba binadamu na kila kitu nawala hajafanana na kitu chochote mnaabudia misanamu wakati haisemi wala haina uhai
@yassirrashid78022 жыл бұрын
Takbiiiiir
@achuzesalim83612 жыл бұрын
Makafiki muko na shida mumeamua mukate sauti isiskike
@mohamedturanardan88712 жыл бұрын
Yoyote atakekuja mbele ya Allah hali ya kuwa dini yake sio uislamu, hatokubaliwa mtu huyo na atakuwa kuni ya Motoni. Allah atuhifadhi. Ameen
@mgangaruban93832 жыл бұрын
Acha wew
@martinisadru98992 жыл бұрын
Sio kweli, kila nabii atavuna watu wake, na watatengwa na makundi yao, watajumuishwa manabii wote wenye uma mkubwa, na uma mdogo, manabii waongo na wa ukweli, na atae pewa mamlaka na MUNGU ya ku hukumu ni isa bin Mariam, yeye hakua muislam wala hakua mjudarizim, na hakua katika dini ya mayahudi, na ndo kwa maana walipishana na hao viongozi wa hizo dini!
@pisgatv58632 жыл бұрын
Unajidanganya
@EK-kp2np2 жыл бұрын
Unatia huruma, hukumu ya kiama atoe Yesu halafu mbinguni waingie Waislam 🤷🏼♂️
@mohamedturanardan88712 жыл бұрын
@@mgangaruban9383 usije kusema hukuonywa
@janiaoma70932 жыл бұрын
KUNAWALI LAKUMSHIDA MAIGE MAZIGE HATAFUTI SWALI MAZIGE ANA JIBU KUTOKANA NA VITABU VYA DINI YAUKWELI SIYO WAKIRISTO KUBABAISHA
@fahimabdul74942 жыл бұрын
Alaah barok
@ibrahimgumbo68142 жыл бұрын
Nyie makaafiri mmeondoa sauti
@yassirrashid78022 жыл бұрын
Mmeona bora mtoe saut ili watu waamini kua mazinge kashindwa kujib swali poleni 😀
@mbwanarajab47562 жыл бұрын
Sauti imekatwa kusudi tu ili kuendelea kuwadanganya wakiristo wakt dini yao sio ya Kweli kabisa
@Chekanamimi_2 жыл бұрын
I think NI Bora binadamu kujifunza kubalance Mambo,ukitaka kulijua Jambo jifunze kutoka kwa wanaolijua jambo lenyewe,ikiwa umejifunza kwa ambaye mwenyewe kafundishwa n'a ambaye hajui n'a wewe kuamini ndio ukweli unajidhulumu,nashauri mkristu akitaka kujua ukweli kuhusu uislamu aende madrasa n'a kama muislamu unataka kuujua ukweli wowote kuhusu ukristo basi n'a uende kwenye mafundisho yao ukajifunze kutoka kwao ili uupate ukweli wenyewe
@flova70222 жыл бұрын
Be aware of false information is more dangerous than ignorance
@musamulungu8222 жыл бұрын
Swali safi hilo
@sitihassan43092 жыл бұрын
Hmm mnaminya sauti kisha eti wameshindwa kujibu Weka sauti upate majibu usiyoyapenda hapo Umeishiwa hoja kaa pembeni
@111dudi2 жыл бұрын
Wakristo wamemfungia sauti Mazinge
@paulkaranja30992 жыл бұрын
Jesus is God
@111dudi Жыл бұрын
Swali.Vipi mungu amuue mwanae wa pekee kwa ajili ya makosa ya shetani, badala ya kumuua shetani?
@emmanuelmogela58712 жыл бұрын
Waislam Kwa ubish ukristo raha najivunia kua ma mkristo
@mohammedrajabumwamba13222 жыл бұрын
Wakristo Hawana maswali yakuwashida Waisilam Hatasiku MOJA acheni kupotoa ktk Title
@loudcrytv89492 жыл бұрын
Tunapenda kuomba radhi kwa kukatika Mawasiliano katika Video hii. Hii Ni sababu ya kiufundi ambayo haikuwa ndani ya uwezo na Wala siyo kwa Maksudio ya kuficha ujumbe weowote. Kuna Chanel zingine Tena za Kiislamu zili rekodi mdahalo huu. Hapa Ni link ya kipande hicho hicho Cha Mazinge kushindwa kujibu swali. kzbin.info/www/bejne/pGjGnpKoitmEl6c
@eunicebukokhe68052 жыл бұрын
Mazinge ni kujigamba na kujipiga kifua cha kiburi,utakula kiburi chako siku moja,nayo ni ya kiama utasimama mbele yake Yesu huyo mnaye msukuma kwenye ukuta. Uta juta ndugu, chaguo ni lako
@abeidbinissaissa68482 жыл бұрын
Siku mutakapo fumba macho ndio mtajua kwanini mliku mnlipwa mshahara kwasbabu ya uongo nyie mnaojiita wasabato wafuas wa Helen g white, Hakika mmezitia nafsi zenu katika upumbavu,
@KADALAtv2552 жыл бұрын
Kumbe kuruani inasema inawatambua wakristo hao bana Wanashida
@nathanielmkuki30482 жыл бұрын
Mjibuji wa injili, usinge jibu kwa mzunguko mrefu yaani kusoma vitabu kwanza, ungejibu kwamba! Manabii waliotangulia walikuwa dini ya kiyahudi na kikristo, ili wakikataa ndipo utoe maandiko.