Mdahalo uliofanyika Tanga Tarehe 2 Hadi 3 Feb. 2023.
Пікірлер: 437
@ibrahimfarha38539 ай бұрын
Nampenda prof.Mazinge Allah akupe pepoo ya ngazii yajuu kwakweliii.....ana Experience Saana na hawo watu
@v_simon26776 ай бұрын
Mazinge ni ujanja ujanja usiokuwa na ukwel wote wote
@moramtanga-dar7372 Жыл бұрын
Mazinge proffesa dah Toca nimtambue nilikuwa mdogo Sana Allah ampe Long life
@user-wi9zi1wm3m2 ай бұрын
Yesu ndiye jia ya kweli na uzima wa milele
@sakinahassani14557 ай бұрын
MashaAllah,, Mazinge Allah akupe mwisho mwema
@johnatika56578 ай бұрын
Mungu ana haja na moyo c viatu,Bwana yesu asifiwe
@jabirkasunzu68415 ай бұрын
Masister wanajisitiri sana
@saudaumar33547 ай бұрын
mazinge azungumza ukweli kuhusu quran.mashallah Allah barik
@gasperjohnson33886 ай бұрын
Hawa watu hawako tayari kuamini kuwa yesu ndie bwana na mwokozi wa maisha yako
@magrethdaniel84414 ай бұрын
Kiukweli ndugu zangu mgesimama kuhusu kuwafundisha watu kuhusu njia ya ufalame wa mungu na si kubishana kwa ajili ya utukufu wa mungu mungu ndyo alileta hao watume wake na kila mtu ana haki ya kumuamini mungu kwa njia ya mitume hao
@husseinguyo4929 Жыл бұрын
Professor mazinge Allah akupe maisha mrefu
@kimanidatch60968 ай бұрын
Mazinge siyo mwalimu ni mkosoaji tu...Wala hawezi kusaidia WATU...Mazinge okoka tu,,MPOKEE Yesu KRISTO,,Kwa MAANA ukweli unaujua vizuri.
@trophywilson72114 ай бұрын
Na Akienda Nyumbani roho inamsuta ,Na Ipo siku atakutana Na Yesu live atatuhadithia
@h.alshidhani89713 ай бұрын
Wewe ni kichaa
@SaalimmodyAbubakar3 ай бұрын
Wew umelewa
@user-zs6qg7ql1i2 ай бұрын
Kafiri ww uokoke ww unaemuabud mtu katahiriwa govi
@legendaction202Ай бұрын
Kwani ww ni uluminati mpaka wataka mazinge aingie kwa dini yako ya uluminati
@UwimanaAzzia3 ай бұрын
Mashaallah Allah akutuhifadhiye kiongoz mazinge
@ipyanapaulo4774 Жыл бұрын
Safi sana walimu wa kikristo mbarikiwe sana
@mohammedal78649 ай бұрын
Safi kwa lipi wanajikanyaga tu nyie badilikeni huo sio ushabiki wa mpira mtajuta siku ambayo hayatowafaa majuto
@bekamwaba35718 ай бұрын
Wabarikiwe kwa kupotosha watu? M.Mungu hapendi uongo kama vyenye nyinyi wakristu mnafikiria
@elikinebeni46838 ай бұрын
@@bekamwaba3571 wao na Muhammad Nani muongo,
@paullazaro31277 ай бұрын
@@bekamwaba3571wapi kasema uongo?
@ShukuruMinga3 ай бұрын
Mungu awabariki walimu na wachungaji Kwa kuwafundisha hawa waislam
@MwanatwahaАй бұрын
Acha ujiga dini ya kweli ni kiclam na siukristo kwahiyo mtakemsitake wislam ndodini ya kweli
@user-zv7mt2sn5h7 ай бұрын
Allah akuinde professor mazinge akupemaisha marefu
@user-ot5cr4hy1c6 ай бұрын
❤🙏🙏🙏✍️ Allah bless you mazinge
@AlfayoEliahu8 ай бұрын
mchungaji panga nguvu ilioko ndani ya damu ya yesu katika ulimwengu wa Roho vitu saba 7 katika damu a).Damu ni uhai mwanzo 9:4 b).Damu hua inazungumza mwanzo 4:10 c).Damu inafanya upatanisho kolosai 1:20 d).Damu inauwezo wa kufungua milango 1wafalme 18:24 ruka nenda 33 danieli 7:10 e).Damu inauwezo wakununua vitu vyote inategemea unanunua nini ufunuo 5:1-10 f).Damu inabadilisha majira na nyakati kutoka 12:1-3 g).Damu inabeba tabia mwanzo 19:36-38 mungu alimtoa yesu kafara ili atupate sisi ndomaana damu ya yesu aifanani na damu yoyote 1petro 1:18-19 matendo ya mitume 5:1-10
@BenardLazaro-nl6oy4 ай бұрын
Very good my teacher very nice
@magrethlubimbi405510 ай бұрын
Waislam YESU ATAWATENGENEZA TU
@halimahalifa3 ай бұрын
You know nothing
@jabirkasunzu68418 ай бұрын
Allah Akbar ♥️♥️♥️
@cabylake2320 Жыл бұрын
Allah akbar Allah akbar
@OMARYKAHUNGO-mn4mf5 ай бұрын
Allah awape viongozi wetu afya njema ili kuweka wazi yaliyofichika
@saidmasoud-vv1io Жыл бұрын
Mazinge Allah bless you🙏🙏
@jasonirakoze-jk9ic Жыл бұрын
Tafsiri za mameno ya Mungu anatambuwa na wenye wanaongozwa na Roho mtakatifu,waislam watumiya ujuzi tuu ,ila Roho mtakatifu hawaana
@saumbliz89839 ай бұрын
Roho mtaka vitu ama roho mtakatifu we kafiri
@mobigo2unlocker-iv7kn8 ай бұрын
Kama utatubu nimekutabilia njaa juu yaako amen
@saphinalutaha90778 ай бұрын
@@mobigo2unlocker-iv7kn😂😂😂😂😂 mtajpa uungu na bado ety njaa kal
@abdullahmasakata1707 ай бұрын
Wewe unajua maana ya roho mtakatifu au Unafikili roho mtakatifu ni Kama mnavyo jazana matangopori.
@user-ik8yg4gx4g5 ай бұрын
MWANA YESU ASIFIWE ONGELENI KUFUNDISHA
@SalimuKavughe5 сағат бұрын
Allah awaonhozi wakristo mutoke ndani ya ujinga
@user-kz2lp9lv7i4 ай бұрын
Mazinge Allah akupe maisha marefu, ili wapuuzi wanyookee
@JamesMoses-jd1yqАй бұрын
Allah na mazinge wenyu ni comedian
@NditimanaEmanweri3 ай бұрын
Mash Allah shehe wangu hapo endelea kuwakomesha
@user-ze4su9pg3o22 күн бұрын
Uislamu ndiyo dini ya haki Allah tujaalie tuzidi kuupenda uislamu aamiin
@JasminWilberd4 күн бұрын
Pro mazinge ALLAH akupe umri mrefu ili uwaonyeshe njia ya haki na kweli
@karenzifaustin21777 ай бұрын
Wasabato wanaijua biblia sana
@user-uf6rp7pp2l7 ай бұрын
Waislamu tunahitajika sana kuisoma dini ytu na kuielewa kabla ya kuizungumzia hasa ktk mazingira haya ya mihadhara, kuna ubabaishaji mkubwa unaonekana ktk ujibuji wa maswali kwa masheikh kiasi kwamba mtu mwenye uelewa wa dini anashangaa kwa namna swali linavyojibiwa. Nasaha zangu tumche Allah na tujikite katika kuisoma kwanza dini kabla ya kuizungumzia. Wallahu-aàlamu.
@gwijitv4 ай бұрын
Uko sahihi, unajua Elimu dunia nayo ni muhimu sana, ili mtu uwe na uelewa pia,
@trophywilson72114 ай бұрын
Lugha ya kigeni inatumika na Watu hawajaenda kusoma wataweza kujibu??hapo ndo wanawauza
@babyakasha4002Ай бұрын
umeongea point kubwa mnoo.
@user-sg6iy4kv4y4 ай бұрын
Dini ya haki ni uislam hapa dunian mpaka kwa mungu mungu ni mmoja
@nourdinpro8 ай бұрын
Aendeleye kupumzika milele Yahya msomaji
@user-ot5cr4hy1c6 ай бұрын
❤🙏🙏🙏✍️mazinge Allah bless you
@TherenceNishemezwe2 күн бұрын
Manshallah
@aminasaid5097Ай бұрын
Allah akubalik can
@christophercostantine74978 ай бұрын
Hili limezungumziwa kwenye Mathayo 24 ,Unabii wa Yesu Kristo dalili za nyakati za mwisho "kutakuwa na Vita " ,Vita hivi ni vya kiroho (Vita vya Mafundisho) - Imani ya dini flani dhidi ya Imani ya dini flani , Pia akasema watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe kwa kuzifurahisha nafsi zao. KUWENI MAKINI NA WATU HAWA .
@NancyBunja-gd5vz Жыл бұрын
Wachungaji mjichunge xaaana na hao waislamu. Kwani wako n mzaha mwingi na neno la mungu
@user-yl7zp6dd1d8 ай бұрын
Mashaallah kheykh 🎉
@SaleheAmiry-mx1yn25 күн бұрын
Mashaallah
@user-dm6ol8cc7j8 ай бұрын
Only Jesus is truthfuly no one else
@abbastetere6536 ай бұрын
Boo ni
@AdamuJumane2 ай бұрын
Dini ya kweli na ya haki ni uislam
@mussacharles53118 ай бұрын
Amina
@nayeemn92757 ай бұрын
Takbiiiiiiiiiiiir
@NtezimanaLubhingagiza-us2izАй бұрын
Hongereni wachungaji wetu
@Mjdlvt-ug4en6 ай бұрын
Amina Amina
@MathewMaliva2 ай бұрын
Seventh day Adventist church is a ministry of truth
@MaryamShafii-v1y17 күн бұрын
mungu anataka moyo wako yaani ufupi ni kuwa ukitakaswa ndani,umetakaswa nje pia
@rhiophiri68576 ай бұрын
professor Mazinge you are indeed the professor, the pastor has failed beyond Lamentation
@JohnMashamba4 ай бұрын
Biblia inaponyaza Mungu ni Mungu wa amani si Mungu wa machafuko,Mungu awabariki.
@user-zw8sx1lk9f3 ай бұрын
Mungu ipo moyoni amini mungu washa wasiwazi
@AliMohammedAli-ms5zu3 ай бұрын
Good thing congrat
@lizndunchez7206 ай бұрын
Waisalamu mnaujinga sana ntna mna utoto sna ata mkipewa maswali z ukijinga sna mnauliza swali ju y swali alfu swali moja 😊😊
@halimahalifa3 ай бұрын
Acha k2kana waislam yes so mng kma kwl mum mbn akli A mng amsaidie asisulubiwe
@MwanatwahaАй бұрын
Achaujinga wewe dd😊😊😊😊😊
@bekamwaba35718 ай бұрын
Pastor muogope Mungu haki. Wacha kuzua kwa kutetea uongo ulonao kwa kusudi la kumtumikia shetani. Msiwapotoshe wenzenu ilhali ukweli mnajua ila mnaficha ili mpate wafwasi ndo mpate mkate. Bila hiyo kazi ya kudanganya wenzenu M.Mungu bado atawapeni rizq zenu tu
@user-oj1dv7ci1v8 ай бұрын
Amina mungu awabaliki sana mchungaji
@baumaeddytoutestprophetiqu63226 ай бұрын
Anayezani anasimama kumbe ameanguka! Nyote hamusheriya sababu hamujaamini Mungu. Munapenda kujionesha tu kwamba munaujuzi zaidi. Mungu hatumiki na kicwa ila na roho kwa tarifa yenu wote hapo
@Abdulhamid_Suleiman Жыл бұрын
Allahu Akbar M.Mungu ni Mkubwa wakristo hawana ushahid wanazunguka zunguka tu kama Saa ya Ujiti...
@gigimarco25928 ай бұрын
Mohammed alikua Shetani wale walio kataliwa na Mungu.
@miltonjohn97796 ай бұрын
Huna hata aibu
@MICHEZODAIMATVАй бұрын
Nipe haya kutoka kwenye kitabu cha kislam inayosema mvue viatu
@binseif22163 ай бұрын
Am proud to be muslim tunahoja za msingi nahakuna atakae tutoa kwenye mstari
@seiflugendo7141 Жыл бұрын
Hilo sio.swali gumu Kwa waislam wakristo mnatapatapa sana
@eyesonsecurity83847 ай бұрын
Ameen
@user-ws8yb8xu4o7 ай бұрын
Amen
@MeneMhepela-hq4of6 ай бұрын
Mungu anaangalia mayo mazinge saw
@baumaeddytoutestprophetiqu63226 ай бұрын
Shika sana ulicho nacho. Hata siku moja hamuta elewana. Foot ball na hand ball hamuchezi match moja. Nyiye wote wanadimi tu, ila hamujuwi Mungu, hamujuwi neno la Mungu hata. Yaani Mungu awajaliye neema tu, ndio nawaombea
@mutulaObedi3 ай бұрын
Nafikiri Musingi ya manambi na mitume si viatu' naikiwa Mungu alimwambiya Musa vuwa viatu ilikuwa nineno maana kila mara Mungu alitumiya mifano' naye yesu ivyo ivyo' yani kuvuwa viatu niko acha zambi hii ndiyo maana yake' yani kwa wa eslamu na kwa wa kristu tunaomba sote tuvuwe viatu tukaache zambi tu mwamini kristu yesu kristu wapendwa
@ShebeAlawi6 ай бұрын
❤
@user-dl1dy6fo1j7 ай бұрын
❤❤❤❤
@NaimaSalim-hv6bd9 ай бұрын
Nawasikitikiya Sana wakiristo cz hawajui wanachokisema kama kweli nisawa kwenda kanisani uchi maana kuvaa mini troza je yesu alisema watu waende uchi kanisani🙄🙄
@user-pz3ux1np8x7 ай бұрын
Louvado seja o nosso senhor Jesus Cristo
@petergitonga859029 күн бұрын
Nakuwaga na swali kwa wachungaji...Ndani ya BIBILIA KWA NINI VTABU ZIKATOLEWA kama Kitabu cha HENOKO???
@user-bw6il6nn7k7 ай бұрын
Waisilamu imeonekana kabisa wamechemka lakini wanataka kupata ushindi wa siasa ya maneno mixer kitabubu njooni Kwa yesu nyie
@isaacotieno79008 ай бұрын
hizi mijadala ni kuharibiana wakati ju hakuna mahali watakubaliana
@0fedality6 ай бұрын
Mazinge hakika ni professor wa mchongo mbn anashindwa kutoa evidence
@h.alshidhani89713 ай бұрын
Mimi Ninahisi Hawa WAKIRISTO makafiri hawajui kiswahili... 70% ya lugha ya kiswahili ni kiarabu. Waacheni Hawa majahili
@lutegomakoyeluhahula3614 ай бұрын
Mazinge acha kukwepa ukweli.umejibiwa na hutaki kukubali.tuambie Kama Hilo ni kuelimishanaaaa,au ni kubishania ili tujuwe moja.
@user-ue6iu6go5d7 ай бұрын
Mazinge ni mjingà sana. Ole wao anaowafunza
@safaringaku50405 ай бұрын
Wanachukulia mambo juujuu. Kuvua viatu ukiingia kwenye nyumba ya ibada haimaanishi viatu alivyo vaa mtu. Bali inamaana: Yale mambo machafu uliyonayo kwa kuwaza, au uliyotenda usiyafikirie tena. Abraham aliambiwa hivo kwa maana alikuwa ameua mtu kule Egypt na akatoroka.
@ashurafarhan833521 күн бұрын
Yaan hao wenzetu hawajui swali kazi ni ubishi mmeshaambiwa yesu sio mungu
@leilasaid36234 ай бұрын
Takbiri waislamu takbiri
@UwimanaAzzia3 ай бұрын
Allahou Akbar
@Abdulhamid_Suleiman Жыл бұрын
(28:54 Qur-an) These will be granted their reward twice over because they remained stead fast;they repel evil with good, and spend (in alms) out of the sustenance We provided them,
@dennisezakiel33806 ай бұрын
Daaah leo nimegundua waislam elimu ni ndogo sana , huyo Musa alikuwa anachunga kondooo ndipo sauti ya Mungu ilimuita
@ibulahimuzuberi94808 ай бұрын
Yesu hakuingia kanisani aliingia kwenye sinagogi na maana yake ni msikiti na huko alivua viatu
@ConsolataKanyi-pi1uq2 ай бұрын
Katika kitabu kipi hicho
@IKUWASAMWEL3 ай бұрын
Waislamu hawana hoja ni siasa tu ndio maana watu wameshajua ukweli waislamu wengi wanajiunga na u kristo
@AllanMisiko-dp5ew5 ай бұрын
Mkisto ako sawa
@Abdulhamid_Suleiman Жыл бұрын
Wakristo wanakusanyika kwa hasara tu na kwa maelezo haya kanisani ni sawa na Bar tu maana ndani yake kuna walevi kama wote Innalillah wainna ilayh rajioun
@barakaanangisye4812 Жыл бұрын
pepon kuna mvinyo iyo vipi😂
@callennyabonyi5580 Жыл бұрын
Eti ?????muislamu anastasia na sigara mfukuni na miraa
@lwagamwakalinga80389 ай бұрын
Hivi leo aje kiumbe toka sayari nyingine akae na kundi la wakristo kwa mwezi then akakae na kundi la waislamu kwa mwezi atagundua wepi kichwani hamnazo ?
@SebastianJugle-lb7ob7 ай бұрын
Msikitini kuna Malaya na wabakaji watupu
@operabetaoperabeta8813 Жыл бұрын
Kama SISI ni safi , tumboni kuna vinyesi na ibadani tuningia navyo na Mungu anatuvumilia tunamuabuduna MAISHA yanaendelea.
@newbwejuu4302 Жыл бұрын
Akili mbovu
@hamidmohd87598 ай бұрын
Unaakil ww???
@JuliusKinyuanduyo-me7nb6 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe mungu awasaindie wasilam kujua ya kwamba yesu ndie muokosi
Bi hadija alikua mkristo na mahamadi alikua mpagani
@irenekaluse3213 Жыл бұрын
Sasa km c mkristo mbona mwamkataa nyinyi
@irenekaluse3213 Жыл бұрын
@C DRAMA COVERS mariam alilala na nani hd kumpata Yesu?
@collinsghambi7315 Жыл бұрын
Alafu mohamad alibadili ili kumuoa bi Khadija. Bi khadija Maana alikua ni mkristo
@peterwandena8206 Жыл бұрын
Mpendwa wa Mungu naomba nikulainishe kidogo Ili swali la (masinge) lijibike, Yohana aliposema hanabudi kuilegeze kamba ya viatu vyake Hakumanisha kwamba Yesu alikuwa na viatu miguuni mwake",..unaposema hivyo una tafsiri ya moja kwa moja na hakuna Ufunuo wa neno hilo; sawa! Yohana alimaanisha kutosema lolote kwa Yesu! Acha ajieleze mwenyewe. "Just As simple as that"? Ni kwa sababu Yohana hakumjua Yesu, soma hapa chini 👇 Yohana 1:31 31. Wala mimi sikumjua; lakini kusudi adhihirishwe kwa Israeli ndiyo maana mimi nalikuja nikibatiza kwa maji. Inarudia Yohana 1:33 33. I did not know Him, but He who sent me to baptize with water said to me, 'Upon whom you see the Spirit descending, and remaining on Him, this is He who baptizes with the Holy Spirit.' Kuwa na vyatu na kutokuwa hiyo sio shida. Shinda ni??? {masinge} nimpinga kristo
@magrethlubimbi405510 ай бұрын
Kubwa ni Unyoofu wa mioyo yaani utakatifu.,hata ukiingia na viatu au kuvua viatu sio viatu sio ticket ya kuingia mbinguni ni utakatifu tuu
@gadielpaulo89253 ай бұрын
Ustaadhi Dominick mapima
@GilbertLugonzibwa2 күн бұрын
Jamani mazinge maswali mengine 😮
@MichaelDonaldnchingaMichaelDonАй бұрын
Yesu alingia kanisani na viatu haina upinzanu kanisa nimkutano siyo jengo,nyumba ya ibada ambayo ni misikiti ya kitaudi hakuingia na viatu maana ilikuwa hailusiwi,Jibu ni laisi tu
@MasanjangwesaJiganga5 ай бұрын
Hao hawana roho wa Mungu wala hakili za kawaida hazipo kama swali linajibiwa afu mtu anakataa majibu wahubiri kweli bila roho mtakatifu Haiwezekani maana kuna maudhi ya shetani kwa wanadamu
@sebastiansalamba3137 ай бұрын
Mazinge Mzee Sasa akizidi kukosa uelewa na mambo ya masihara tu hajui na hajui kwamba hajui
@Esther-os7fi2 ай бұрын
Tena sanaaa
@user-ek1ni8fn8u5 ай бұрын
Haki waislamu mnakuanga na vichwa ngumu aje mmejibiwa na bado mnasema sio jibu
@ChrisPaul-vw2ts4 ай бұрын
Kweli uislamu ni ukombo.yaani mnaonyesha haya zenye zinajibu utata wenu na bado muwazushi tu.
@kalifree2855 Жыл бұрын
Yesu alikuwa mtoni wakati huo na yohana mbatizaji alikuwa hapo mtoni akibatiza sio katika mjengo wa ibada ,
@user-ue6iu6go5d7 ай бұрын
Mtoni akifanya ibada . Panafanyiwa ibada takatifu ni nyumba ya Bwana
@user-op9fx3by1k7 ай бұрын
Ndio mtume wetu aliswali na viatu(khofu) Na inafaa sio kila aina ya viatu
@josephkilambo55294 ай бұрын
Simple Yesu hakuingia kanisani
@salluhimuhammed862 Жыл бұрын
Kanisa tushageuza msikiti kenya uko kwa mara nyengni, bakini na kuishi na ujinga tu
@user-zk3gt9ol9h7 ай бұрын
👍👍👍 good mchungaji
@wilsonlameck40466 ай бұрын
Kumbe wakristo na waislamu wanatakiwa kujifunza kwa Yesu! Je, waislamu wanabatizwa? Maana Yesu alibatizwa! Aliwaambia wafuasi wake wajitwike msalaba wake na kumfuata,je, waislamu wanafanya hivyo?