Daaah khalidi gangana umembana huyo mzee wa kikurya kisawa sawa ila anang'aka sana 😆😆😆
@simonmagaigwa54963 жыл бұрын
Huyu mzee aliaminika kwa sababu ni mtu mwenye akili nyepesi na uelewa mkubwa wa mambo.
@tanzaniatouristsattraction16223 жыл бұрын
Huyu mzee 🤣🤣
@johnmwicha8503 жыл бұрын
JM Chacha: CCM mna Hasina kubwa ya wazee wenye busara kuliko vyama vingine vya upinzani/ushindani, nashauri mkaanzisha utaratibu wa kuunda kikundi kidogo cha wazee kama Waira wasiozidi 10 mkawatumia kila mara kushauri CCM Na serikali yake. Hawa wazee waliowengi bado mawazo Yao ni mali kuliko ya vijana waliokuwa wengi. Tuestumie.Rais Kikwete alifaidika mno Na busara za wasira. Na zaidi hawa wazee wengi wao si mafisadi na wanaipenda nchi yetu Tanzania kutoka moyoni. Tuwatumie.
@uhurunyereremusa85923 жыл бұрын
wasira pamoja na uongozi wa nuda mrefu hakuna mwananchi alichofaidika nacho ndio maana waajili wame Bunda wakamfukuza kazi. kikundi cha wazee hatukiitaji kwani kama walishindwa kufanya mambo hayo ya maana walipokuwa madarakani wataweza fanya wakiwa nje??waache wapumzike tuokoe fedha zetu za kodi
@petermuganda73223 жыл бұрын
Kwasababu hamna kazi😅🤣
@valenakomba44533 жыл бұрын
Mzee wasira msamehe tu huyo. Anaulizauliza tuu, lakini hajui anauliza nini?. Bora liende.