SAMIA, LISSU, NA WASIRA: NANI MKWELI KUHUSU UZANZIBARI?

  Рет қаралды 31,694

SK Media Online TV

SK Media Online TV

Күн бұрын

Rais Samia anasema yeye ni Mzanzibari. Mzee Wasira hataki! Kwanini?

Пікірлер: 279
@JoelRichard-hj3bi
@JoelRichard-hj3bi 5 ай бұрын
Tundu lissu yuko vizuri sana zaidi ya sana.
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 5 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@DrSalimNasser
@DrSalimNasser 5 ай бұрын
Jamani huyu mzee Wasira amekaa na hoja zake utadhani kama si msomi ingawaje ni msomi kwa kiasi chake. Mimi napenda nimtaarifu kua sasa tuna paspoti za Afrika Mashariki na watu wanazitumia kusafiria. Je hakuna Watanzania, Walenya, nk. Hivyo hivyo kuna paspoti za umoja wa ulaya E U Pasport. Je hizo nazo zimefuta untaifa na uraia wa nchi husika?
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 5 ай бұрын
CCM I mchoka wazee wapumzike Tanganyika inakwenda kufilisika naomba kuuliza kwa nini mbuga za Ngorongorio haionyeshwi kwenye safari chalnel??????
@viaurfk
@viaurfk 5 ай бұрын
Uchambuzi Makini sana
@rastheunique
@rastheunique 5 ай бұрын
Ukimuondoa warioba sisiem tuna hasara tupu ya wazee wanaomiliki mvi kama mapambo tu 😅
@paulremigiuspaul3293
@paulremigiuspaul3293 5 ай бұрын
Stay blessed Mkuu Ngurumo
@AP-uk3mq
@AP-uk3mq 5 ай бұрын
Mimi mmoja siku zote nasema Im from Zanzibar. WaZanzibari tutabaki kua wazanzibari watake wasitake
@mohammedhamad9392
@mohammedhamad9392 5 ай бұрын
Kabisa sure wewe kama mimi pia
@mohammedhamad9392
@mohammedhamad9392 5 ай бұрын
Inamaana Zanzibar inajulikana kuliko tanzania
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza 5 ай бұрын
Nani mjinga rais anajitambulisha mimi ni mzanzibari wasila anamubatiza rais kuwa ni mtanzania wasila acha kaa chini wazee kama sisi tumesitafu achia vijana siyasa. Utazarawulika.
@RoseKipimo-e4g
@RoseKipimo-e4g 5 ай бұрын
uyo mzee hajielewi amekuwa chawa wa Samia pumbavu
@dionismutayoba3542
@dionismutayoba3542 5 ай бұрын
Ni zaidi ya chawa ni kunguni
@peterkitima4383
@peterkitima4383 5 ай бұрын
Hiyo imeisha Mzee Wasira, unaeyemtetea kasema yeye ni MZANZIBARI
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 5 ай бұрын
Nyie Watanganyika munashangaza Sana!yaani munamjadili Wasira?Kwanza angalieni historia yake ya kisiasa!alipoenguliwa kugombea Bunge Tu akajiunga ktk upinzani(NCCR-mageuzi)na baada ya kukosa tena maslahi akarudi CCM!sasa huyu ni WA kukuumizeni vichwa!
@marymwasiga
@marymwasiga 5 ай бұрын
Mzee yuko Sahihi' Acheni, Ushabiki,,,,
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 5 ай бұрын
Sawa kabisa Samia ni Mzanzibar!je ni Nani Mtanzania?
@GeorgeMhada
@GeorgeMhada 5 ай бұрын
Watu wanalinda maslahi yacham sana hata mama akimsikia wasira😂😂😂😂😂 anajuwa tuu kuwa wasira moyoni hazungumz ivo mwongo hakuna chawa mzanzibar😂😂😂😂 wabongotu
@venatusmukungu3340
@venatusmukungu3340 5 ай бұрын
Juzi nimesikia neno " barakala". Sijui ni sawasawa na " Chawa"?
@paulremigiuspaul3293
@paulremigiuspaul3293 5 ай бұрын
Isaidie HAKI itande, itapakae kila upande. (Qur'an 4:135)
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 5 ай бұрын
Vema sana mheshimiwa rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwasaidia hawa mzee wetu. " Mzee Wasira katiba sio ilani ya chama!
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 5 ай бұрын
Mzee sikuiz kajichubua 😂😂😂😂alikuaga uson kama kajipaka matope😂😂😂
@DiwaniMwafongo
@DiwaniMwafongo 5 ай бұрын
😂😂anapakaga kalolaiti😢😂
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 5 ай бұрын
😅😅😅😅😅YEMWEE MBAVUU ETI KAJIPAKA KAROLIGHT 😂😂😂😂😂
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 5 ай бұрын
Mbavu zangu mie 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂anarudia ujana😂😂😂😂😂😂
@hadijasufiani6167
@hadijasufiani6167 5 ай бұрын
Mzee Wasira kachemka 😂😂😂😂😂
@MohdIkra-d7s
@MohdIkra-d7s 4 ай бұрын
A. C. H. E😅
@AmourAmour-f4c
@AmourAmour-f4c 5 ай бұрын
Ccm ndio wauwaji wakubwa watanganyika ila marahii kitaeleweka
@MohdIkra-d7s
@MohdIkra-d7s 4 ай бұрын
Aaaaa mara hii kitaweleka
@fabby1181
@fabby1181 5 ай бұрын
Hawa watu wanaojiita maccem wasitusumbue bhana!!..
@mohammedhamad9392
@mohammedhamad9392 5 ай бұрын
Zanzibar inajulikana kuliko tanzania bro Zanizbar is very cool.
@stephenndagalla8183
@stephenndagalla8183 5 ай бұрын
Mzee Wasira kadili unavyozeeka ndiyo fikra zake zinavyo SINYAA tena kwa kasi. Kumbuka alivyo kuwa Bungeni 80% ya muda alikuwa akisinzia, hadi watu wa Bunda wakampiga chini. Hakika anawaaibisha wazee wote (vijana watauogopa uzee kwa kudhani uzee ni kufilisika KIAKILI)
@vickytorry100
@vickytorry100 5 ай бұрын
Sidhani ni uzee bali ni uongo wa kijinga. Mzee wa OVYO sana
@DiwaniMwafongo
@DiwaniMwafongo 5 ай бұрын
Mbona Mzee Warioba mtu wa ukweli .hili zee halitosheki
@thadeusmateru1356
@thadeusmateru1356 5 ай бұрын
Uongo unaweza kufichwa kwa muda tu. Tatizo la Wasira bado anaamini wstanzania wa leo ni sawa na wale wa 1960 na anajisadifu kwenye propaganda mfu, si mtu wa haki huyu ni mamluki kwetu Watanganyika
@EvaKiswaga-j2o
@EvaKiswaga-j2o 4 ай бұрын
Tunakuelewa mwamba. Na vielelezo unavyo. Safi Sana.
@elioimer8423
@elioimer8423 5 ай бұрын
Kila mtu anajua Wasira hana hoja ni maslahi yake ndio kipaumbele yake na si vinginevyo. Huyu mzee anazeeka vibaya anataka kutuaminisha kuwa Zanzibar sio nchi na wakati katiba yake inasema hivyo. Jumuisho unaweza sema “ NJAAA”.
@Fred-Ma
@Fred-Ma 5 ай бұрын
Mzee Wassira mbona mwenyewe kataja Canada, Zanzibar na Tanzania bara kana kwamba nchi 3?😅😅😅
@MWIGAADAM-r3e
@MWIGAADAM-r3e 5 ай бұрын
Wazanzibali ni wamoja hata uwaone mmoja anavaa kijani na mwengine zambalau
@kwasmokweka9598
@kwasmokweka9598 5 ай бұрын
Kama uzee ni huu wa Wasira, kuna haja ya kuufikia kweliiiii?
@raymondnlelwa427
@raymondnlelwa427 5 ай бұрын
Hahahahahahahah bora tu ufe mapema manake pamoja na nafasi zote za uongozi, hakuna legacy.
@widimaelimushi
@widimaelimushi 4 ай бұрын
Wasira watanzani Ni wacheche wajinga usisiemu usikuponze ukaoneka mjinga nenda kweye ukweli acha kupotosha watu tunataka katiba Mpya kuondoa utata akuna nchi moja yenye maraisi wawili oliona wapi wewe mkrito wadini ngani unamjua mungu kweli??
@widimaelimushi
@widimaelimushi 4 ай бұрын
Wasira utakumbukwa lipi mzee??
@ShaabanSimai
@ShaabanSimai 5 ай бұрын
Hili lijamaa linajua kufafanua. Limetulia kweli, limefanya utafiti wa kutosha. Big up bro
@kingmzebez7786
@kingmzebez7786 5 ай бұрын
Uchawa imekua ajira kwa wazee silla mungu ucnpe uzee wa uyu mzeee😎🖐
@MehndiMehndi-t7w
@MehndiMehndi-t7w 2 ай бұрын
Lissu uko sawa sanaaaaa
@nurdinkisaria9476
@nurdinkisaria9476 5 ай бұрын
Wahasira 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@feisalmwinyi2429
@feisalmwinyi2429 5 ай бұрын
Kaka Mungu akubarik kwa ukweli na ustarab wa kutuelimishaaaa
@sospeterodhiambo6869
@sospeterodhiambo6869 5 ай бұрын
Wasira tulikuwa naye NCCR Mageuzi kbl hajarudi CCM Hana jipya washauri wake wanshauri apumzike tu Anajidhalilisha Akili imechoka
@MohdIkra-d7s
@MohdIkra-d7s 4 ай бұрын
Hana akili uzee ushamchukua
@warrenmgode1837
@warrenmgode1837 5 ай бұрын
Lisuu safii hongela lisuuu
@godlistengodlisten7552
@godlistengodlisten7552 5 ай бұрын
Kwa Hiyo Ukitoka Tz Ukaenda Zanzibar, Unatakiwa Uwe Na Passport, Ukitoka Zanzibar Ukija Tz Hakuna Haja Ya Passport.🤔Hii Nchi Ni Ngumu Sana.
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 5 ай бұрын
Ni kweli, Wazanzibar walishatuona Watanganyika sisi kama watoto
@AmourAmour-f4c
@AmourAmour-f4c 5 ай бұрын
Yani hii comnti yako iweke sawa umeifanya kama zanzibr nimpangaji hakuna tz bila ya zazibar kwaiyo ukitolea mfano sema tanganyika na zanzibar usiseme tz nazanzibar😅
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 5 ай бұрын
​@@AmourAmour-f4c Tatizo liko pale pale 😂 watanganyika mpaka leo hawajui kama kuna Tanganyika na Zanzibari wanajua kuna Tanzania na Zanzibari 😂😂😂
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 5 ай бұрын
Nadhani watu wengi hasa kutoka Tanganyika hawafahamu msingi hasa wa huu Muungano unaolalamikiwa!wanashangaa kauli ya Mbunge ya kutaka watu wasio Wazanzibari kuingia Kwa passport!hili sio geni warudie historia Tu wakati wa hao waasisi wake je Watanganyika na Wazanzibari wakiingia vipi hizo nchi mbili zilizoungana?kama ilikuwa ni ubaguzi Nyerere na Karume hawakuuona?Tanganyika ni nchi kubwa Sana ukilinganisha na Zanzibar!na hata tamaduni zetu ni tofauti hivyo si kuviacha visiwa vya Zanzibar watu waingie kiholela bila ya utaratibu inakuwa ni kuharibu Mila, silka na Utamaduni wake!na si hayo Tu Mbunge kenda mbali zaidi kuhusu bajeti ya Zanzibar ya kila mwaka unawezaje kudhibiti huduma za kijamii Kwa hivyo wanavyotaka wenzetu wasioliona hili na kupachika jina la "UBAGUZI"Mimi nadhani hawana Nia njema na Zanzibar!na kuhusu kauli za Lissu na Mbowe kuwa Rais Samia ni. Mzanzibari anayeongoza Tanganyika hii sio Sahihi! Maana kwasasa hakuna kitu kinachoitwa Tanganyika ni hadithi Tu za kusadikika ingawa Sisi Wazanzibar tumewaambia miaka Mingi hili na kutuona pia ni ubaguzi Lin sasa tunaona wameanza kuzinduka kutoka ktk usingizi mzito juu ya godoro la "QFL MAGODORO DODOMA"
@Khamisalih4g
@Khamisalih4g 5 ай бұрын
Ww sema ukitoka tanga nyika kwenda zanzibar so ktoka tz kwenda zanzibar
@paulremigiuspaul3293
@paulremigiuspaul3293 5 ай бұрын
Stand up with Justice being witnesses for GOD. And then even if it is against your own people. (Qur'an 4:135)
@frankcharles3980
@frankcharles3980 5 ай бұрын
HILI ZEE JINGA SANA HOVYO KABISA KICHWA HASARA
@danielmwanjali2449
@danielmwanjali2449 5 ай бұрын
Mzee Wasira hajui Sheria
@allyshaban406
@allyshaban406 5 ай бұрын
Ukimya wa Hawa vijana anapowauliza maana yake hawamuelewi.
@fredysiwale5413
@fredysiwale5413 5 ай бұрын
Hansibeti nimekuelewa vizuri sana
@IsayaMedot
@IsayaMedot 5 ай бұрын
Tundu lisu Nia kweli ✌️✌️✌️
@eliasmedutieki7578
@eliasmedutieki7578 5 ай бұрын
Watanzania wengi hawajui hili na hata kama wanajua tayari wanarubuniwa kwa visenti
@sabrinafadhil8835
@sabrinafadhil8835 5 ай бұрын
Namuhelewa uyo jamaa wa pili kuzungumza
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 5 ай бұрын
Mzee wasira 😈😈😈😈
@salummohamed2689
@salummohamed2689 5 ай бұрын
Mzee huyu kapitiliza kutokuelewa au anajifanya kuwa sisi siyo waelewa kabisa? "Udanganyifu huwa unaeneza chuki".
@ayubumwile1
@ayubumwile1 5 ай бұрын
Jku,na Zanzibar Kuna urais mbona
@piuspanga864
@piuspanga864 5 ай бұрын
Huyo Mzee mpotoshaji
@maisarirajab4846
@maisarirajab4846 5 ай бұрын
Sasa na nyinyi watanganyika jitambueni ss tunajitambua km wazanzibari na tunajua km zanzibar ni nchi na inatabulika dunia mzima
@AbdallaHassan-gu6fi
@AbdallaHassan-gu6fi 5 ай бұрын
PIA KUNA NCHI YA ZANZIBAR NA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KIKATIBA. KULIKO KUIKATA TANZANIA. NILIVOSOMESHWA INAANZA NA NENO JAMHURI....
@OlosekiLokoy-sy6qg
@OlosekiLokoy-sy6qg 5 ай бұрын
Mkweli ni lisu
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 5 ай бұрын
MWENYE KUJITAMBUA URAIA WAKE NDIO MKWELI...PERIOD
@SundaySteven-bz4yq
@SundaySteven-bz4yq 5 ай бұрын
Ni kweli hata huku bara tunashuhudia hata maduka yao wanaandika zanzibar shop
@godlistengodlisten7552
@godlistengodlisten7552 5 ай бұрын
Kama Mama Samia Sio Mzanzibar Na Sio Mbara,Ni Nani Basi Mzee Wetu Wasira?
@LaizerSangau
@LaizerSangau 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 wasira
@jofreymwakibete9128
@jofreymwakibete9128 5 ай бұрын
Ukiwa na mzee Kama wasila j jua una baba
@bonifacerobert2960
@bonifacerobert2960 5 ай бұрын
Wewe Wasira wewe! Unatudanganya mchana kweupe? Mzee WARIOBA kakuzidi mbali mno! Zanzibar ni nchi pumbafu wewe!
@johnkessy4966
@johnkessy4966 5 ай бұрын
Lisu, Wasira wako sawa.
@humphreymkony8915
@humphreymkony8915 5 ай бұрын
Huyu wasira amepitwa na wakati. Kukaa kimya nako ni busara vinginevyo unatuabisha
@NdeshaPaul-uz9bw
@NdeshaPaul-uz9bw 5 ай бұрын
Linaitwa Mzee hovyooooo
@alexanderankiza3185
@alexanderankiza3185 5 ай бұрын
Nadhani ni context mbili,NATIONALITY na ETHNICITY, kila moja ni sahihi kutegemea unazungumzia kwenye muktadha gani.
@humphreymkony8915
@humphreymkony8915 5 ай бұрын
Stupid! Wewe limbo umesoma wapi ATI NATIONALITY NA ETHNICITY! Mjinga!!
@mohdyussah825
@mohdyussah825 5 ай бұрын
Hiyo nchi Vilaza ni wengi Sanaa
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 5 ай бұрын
Hili lizee kumbe ndo mana lilinyang'anywa ubunge na Ester Bulaya.Hawa ndo walitutungia katiba mbovu inayotuumiza uongo uongo mwingi
@CoachMuu-gg7te
@CoachMuu-gg7te 5 ай бұрын
Zanzibar zanzibar zanzibar
@abdulrasheedabass1698
@abdulrasheedabass1698 Ай бұрын
ZANZIBAR IS MY BLOOD
@oscarmnyawami6667
@oscarmnyawami6667 5 ай бұрын
Mzee Wasira naomba nikuulize una mvua ngapi hadi leo hii...nadhan inatosha sasa katiba ya Zanzibar ipo haipo na ipo unaielewa??
@KisagasiLuyangi
@KisagasiLuyangi 5 ай бұрын
Duh.. inahitaji umakini Sana kujua hili, ila Tanzania inapoipoteza Tanganyika na kuibakiza Zanzibar
@IpyanaPaul
@IpyanaPaul 5 ай бұрын
😂😂😂😂 tundu lisu hoyeeeeeee jembe wasila ni mwizi
@DeusiMorisi
@DeusiMorisi 5 ай бұрын
Ccm wenyewe wanadhani wataendelea kuwazima watanganyika mnooo
@dicksonwanyama1689
@dicksonwanyama1689 5 ай бұрын
Hawa wakina wasira ndio wanao ivuruga Nchi muda wao ulishapita waachieni Mama na team yake wapambane
@charleslukumai7875
@charleslukumai7875 5 ай бұрын
Kuwa Chawa umri huu shida sana. Katiba ya Zanzibar imetamka "Zanzibar"ni nchi. Hajaisoma, au hajui hiyo katiba ipo?
@zawadimbwambo1091
@zawadimbwambo1091 5 ай бұрын
Lizee Lina upara kama uwanja wa ndege wa chato. Akili ni nywele . Sasa Mzee Hana nywele.
@duniamapitosotewamungu3467
@duniamapitosotewamungu3467 5 ай бұрын
mungu ametuumba katika makabila tofaut na mataifa tofaut lengo lake tutambuwane sio tubaguane
@petromgaya1746
@petromgaya1746 5 ай бұрын
Hv mbona Mimi hata spendi muungano 😂
@begumisachristopher4697
@begumisachristopher4697 5 ай бұрын
Hata katika hili kuna watu hawakuelewi. Hapo ndipo nasema watanzania "nani aliyeturoga"? Ukweli unabakia kuwa ukweli. Mimi sioni maana na faida ya Muungano. Na hii ni dharau kubwa kwa watanzania wa bara. Nawapenda watu wa aina ya Tundu Lisu wanajitambua
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 4 ай бұрын
Muungano sio vibaya watu kuungana lkn huu muungano haukuwashirikisha wananchi
@JohnMunisi
@JohnMunisi 5 ай бұрын
Mulizeni Mzee warioba awasaidie kuhusu hili.
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 5 ай бұрын
👍👊✌️.
@duniamapitosotewamungu3467
@duniamapitosotewamungu3467 5 ай бұрын
sisi wazanzibar tunajitambua sana na kiukweli tunaelewa kuwa watanzania ni wale famalia milion 1 wanaomiliki ccm ambao wamejimilikisha tanganyika na kwa juhud zote wanataka wajimilikishe na zanzibar
@mohammedhamad9392
@mohammedhamad9392 5 ай бұрын
😂😂😊😊
@hadijasufiani6167
@hadijasufiani6167 5 ай бұрын
Lisu na rais samia wapo sahihi
@microssadamu7556
@microssadamu7556 5 ай бұрын
Mzee hyo ni nchi. Ndiomaana ina katiba yake.
@kilinakoshengelo2944
@kilinakoshengelo2944 5 ай бұрын
Naenda Kilimanjaro
@magorymara5515
@magorymara5515 5 ай бұрын
Hamwezi kuishi bila chokochoko na ujinga maneno maneno tu kuwaza upumbavu mwingi mnatumia mda mwingi kuropoka ropoka kwanini msiutumie shambani tukavuna
@MohdIkra-d7s
@MohdIkra-d7s 4 ай бұрын
Waambiee aooi machogoolo
@JoelRichard-hj3bi
@JoelRichard-hj3bi 5 ай бұрын
Wasira ni chizi.
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 5 ай бұрын
HUYU MZEE AKILI ZAKE SIPO SEHEMU GANI KTK MWILI WAKE? 🤣🤣🤣
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 5 ай бұрын
Chini ya miguu 😂😂😂😂😂😂😂😂
@EnockFumbuka
@EnockFumbuka 5 ай бұрын
I STAND FOR JUSTICE ZANZIBAR IS NOT YET FREE COUNTRY IT IS PART OF TANZANIA INTERNATIONALLY.
@ernestkaji9640
@ernestkaji9640 5 ай бұрын
Kwa mawazo yangu wasira anaumwa akili na lissu ako sawa
@DiwaniMwafongo
@DiwaniMwafongo 5 ай бұрын
Asante Mungu wangu, nilikataa uchawa toka zamani. Angalia huyu Mzee mwenye sura kaa wale homo habilis niliowasoma nikiwa njuka pale NJOMBE. Aumbuka hata mjukuu wake amuona Babu boya huyu!!
@gangmore9091
@gangmore9091 5 ай бұрын
Hata hiyo passport pia kunasehem inasema imetokea Zanzibar but hiyo hiyo passport hakuna sehem inasema kama inatokea Tanganyika 😂😂 so Zanzibar soon inakuja juu time will tell insha Allah watagombana wenyew kwa wenyewe Watanganyika sisi tuligombana sna kutaka Tanganyika irudi kila mtu awe n mamlaka kamili
@HajjHajj-he6ey
@HajjHajj-he6ey 5 ай бұрын
Siasa siasa siasa
@msongojumbe486
@msongojumbe486 Күн бұрын
Mzee wasira ni aibu
@AbdallahJuma-wb8lq
@AbdallahJuma-wb8lq 5 ай бұрын
Wazanzibr,tunakuru,wazirai,kwa,somo
@mathiasbulima4466
@mathiasbulima4466 5 ай бұрын
Kwani Hussein Mwinyi ni Rais wa Nchi gani sasa kama Zanzibar sio Nchi? Wasira atuambie.
@MrLonesome73rd
@MrLonesome73rd 5 ай бұрын
Wazanzibari tumeungana, watanganyika wanagombana.
@adamyussuf1678
@adamyussuf1678 5 ай бұрын
ZANZIBAR ipo na itaendelea kuwepo hofu Tanzania kuwepo miaka 60 ijayo naona kama itakuwa imefutika katika ramani ya dunia
@SubiranTimo
@SubiranTimo 5 ай бұрын
Wasira ana potosha
@johakhimu.mgembe.3297
@johakhimu.mgembe.3297 5 ай бұрын
Enderea Ndg. kutuabarisha habari ni Darasa tosha kujifunza na kuelewa,wale tuliosoma habari za Safari ya Bulicheka, tukubariane na Mabadiriko kwa Habari na Safari Uria tufike kwenye Ukweri na Mwanga.Tumchangie tochi Babu ya kale si Ndwere tugange mapya na yajayo.Naililia Tanganyika yetu irudi tu..
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 5 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 5 ай бұрын
Sasa kila nchi ina Katiba yake sasa kelele za nini Wasira unazeheka vibaya
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 4 ай бұрын
Wasira kama uraia ni watanzania kwann Kuna katiba ya Zanzibar Hii katiba ya Zanzibar nikatiba yawatu wa nchi gani
@cyprianboniphace-oz5lw
@cyprianboniphace-oz5lw 4 ай бұрын
Sasa kama ni hivyo serikali ya Zanzibar ya nini,rais wa Zanzibar wa nini.
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp 5 ай бұрын
Mengine hayapo kwenye mungano yapo kwenye nini
@duniamapitosotewamungu3467
@duniamapitosotewamungu3467 5 ай бұрын
tunaitaji watu kama ww brother mm ni mzanzibar
@gulalakitinya7615
@gulalakitinya7615 5 ай бұрын
Wassira ana akali mfu.
@JosephuSwai
@JosephuSwai 5 ай бұрын
Kweli kabisa ndugu
SPANA ZA WARIOBA: CCM WAMEMSALITI NYERERE. TANGANYIKA IJIFUNZE KWA ZANZIBAR
27:30
버블티로 부자 구별하는법4
00:11
진영민yeongmin
Рет қаралды 20 МЛН
Help Me Celebrate! 😍🙏
00:35
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 86 МЛН
😜 #aminkavitaminka #aminokka #аминкавитаминка
00:14
Аминка Витаминка
Рет қаралды 1,4 МЛН
SISTER EXPOSED MY MAGIC @Whoispelagheya
00:45
MasomkaMagic
Рет қаралды 9 МЛН
WAZANZIBARI WANANG'ANG'ANIZWA UHUNI BADALA YA UHURU TANGU 1957
20:46
SK Media Online TV
Рет қаралды 16 М.
LISSU: WEMA WA SAMIA NA "UKWELI WA MUNGU" KUHUSU MAGUFULI
56:07
SK Media Online TV
Рет қаралды 33 М.
SATIVA AMSHIKA UCHUKU KAMANDA MULIRO
31:58
SK Media Online TV
Рет қаралды 21 М.
JUSSA AFICHUA SIRI NZITO YA MUUNGANO
34:06
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 60 М.
UWEKEZAJI NA MIKOPO KUTOKA CHINA: NI NEEMA AU KITANZI KWA MLALAHOI?
29:00
SK Media Online TV
Рет қаралды 4,1 М.
MNYIKA ATILIA MKAZO ''SAMIA LAZIMA TUMUONDOE........''
29:22
JAMBO TV
Рет қаралды 39 М.
Tundu Lissu Amjibu Fatma Karume Sakata la "Ubaguzi"
16:37
The Chanzo
Рет қаралды 159 М.
버블티로 부자 구별하는법4
00:11
진영민yeongmin
Рет қаралды 20 МЛН