Rais Samia anasema yeye ni Mzanzibari. Mzee Wasira hataki! Kwanini?
Пікірлер: 279
@JoelRichard-hj3bi5 ай бұрын
Tundu lissu yuko vizuri sana zaidi ya sana.
@MiriamAbdallah5 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@DrSalimNasser5 ай бұрын
Jamani huyu mzee Wasira amekaa na hoja zake utadhani kama si msomi ingawaje ni msomi kwa kiasi chake. Mimi napenda nimtaarifu kua sasa tuna paspoti za Afrika Mashariki na watu wanazitumia kusafiria. Je hakuna Watanzania, Walenya, nk. Hivyo hivyo kuna paspoti za umoja wa ulaya E U Pasport. Je hizo nazo zimefuta untaifa na uraia wa nchi husika?
@MageAwe-hl5zb5 ай бұрын
CCM I mchoka wazee wapumzike Tanganyika inakwenda kufilisika naomba kuuliza kwa nini mbuga za Ngorongorio haionyeshwi kwenye safari chalnel??????
@viaurfk5 ай бұрын
Uchambuzi Makini sana
@rastheunique5 ай бұрын
Ukimuondoa warioba sisiem tuna hasara tupu ya wazee wanaomiliki mvi kama mapambo tu 😅
@paulremigiuspaul32935 ай бұрын
Stay blessed Mkuu Ngurumo
@AP-uk3mq5 ай бұрын
Mimi mmoja siku zote nasema Im from Zanzibar. WaZanzibari tutabaki kua wazanzibari watake wasitake
@mohammedhamad93925 ай бұрын
Kabisa sure wewe kama mimi pia
@mohammedhamad93925 ай бұрын
Inamaana Zanzibar inajulikana kuliko tanzania
@emanuelsinyinza5 ай бұрын
Nani mjinga rais anajitambulisha mimi ni mzanzibari wasila anamubatiza rais kuwa ni mtanzania wasila acha kaa chini wazee kama sisi tumesitafu achia vijana siyasa. Utazarawulika.
@RoseKipimo-e4g5 ай бұрын
uyo mzee hajielewi amekuwa chawa wa Samia pumbavu
@dionismutayoba35425 ай бұрын
Ni zaidi ya chawa ni kunguni
@peterkitima43835 ай бұрын
Hiyo imeisha Mzee Wasira, unaeyemtetea kasema yeye ni MZANZIBARI
@AliSalim-yu4mo5 ай бұрын
Nyie Watanganyika munashangaza Sana!yaani munamjadili Wasira?Kwanza angalieni historia yake ya kisiasa!alipoenguliwa kugombea Bunge Tu akajiunga ktk upinzani(NCCR-mageuzi)na baada ya kukosa tena maslahi akarudi CCM!sasa huyu ni WA kukuumizeni vichwa!
@marymwasiga5 ай бұрын
Mzee yuko Sahihi' Acheni, Ushabiki,,,,
@AliSalim-yu4mo5 ай бұрын
Sawa kabisa Samia ni Mzanzibar!je ni Nani Mtanzania?
@GeorgeMhada5 ай бұрын
Watu wanalinda maslahi yacham sana hata mama akimsikia wasira😂😂😂😂😂 anajuwa tuu kuwa wasira moyoni hazungumz ivo mwongo hakuna chawa mzanzibar😂😂😂😂 wabongotu
@venatusmukungu33405 ай бұрын
Juzi nimesikia neno " barakala". Sijui ni sawasawa na " Chawa"?
@paulremigiuspaul32935 ай бұрын
Isaidie HAKI itande, itapakae kila upande. (Qur'an 4:135)
@simonnaivasha63935 ай бұрын
Vema sana mheshimiwa rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwasaidia hawa mzee wetu. " Mzee Wasira katiba sio ilani ya chama!
@elbaricktv16325 ай бұрын
Mzee sikuiz kajichubua 😂😂😂😂alikuaga uson kama kajipaka matope😂😂😂
@DiwaniMwafongo5 ай бұрын
😂😂anapakaga kalolaiti😢😂
@gowekogoweko58035 ай бұрын
😅😅😅😅😅YEMWEE MBAVUU ETI KAJIPAKA KAROLIGHT 😂😂😂😂😂
@MiriamAbdallah5 ай бұрын
Mbavu zangu mie 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂anarudia ujana😂😂😂😂😂😂
@hadijasufiani61675 ай бұрын
Mzee Wasira kachemka 😂😂😂😂😂
@MohdIkra-d7s4 ай бұрын
A. C. H. E😅
@AmourAmour-f4c5 ай бұрын
Ccm ndio wauwaji wakubwa watanganyika ila marahii kitaeleweka
@MohdIkra-d7s4 ай бұрын
Aaaaa mara hii kitaweleka
@fabby11815 ай бұрын
Hawa watu wanaojiita maccem wasitusumbue bhana!!..
@mohammedhamad93925 ай бұрын
Zanzibar inajulikana kuliko tanzania bro Zanizbar is very cool.
@stephenndagalla81835 ай бұрын
Mzee Wasira kadili unavyozeeka ndiyo fikra zake zinavyo SINYAA tena kwa kasi. Kumbuka alivyo kuwa Bungeni 80% ya muda alikuwa akisinzia, hadi watu wa Bunda wakampiga chini. Hakika anawaaibisha wazee wote (vijana watauogopa uzee kwa kudhani uzee ni kufilisika KIAKILI)
@vickytorry1005 ай бұрын
Sidhani ni uzee bali ni uongo wa kijinga. Mzee wa OVYO sana
@DiwaniMwafongo5 ай бұрын
Mbona Mzee Warioba mtu wa ukweli .hili zee halitosheki
@thadeusmateru13565 ай бұрын
Uongo unaweza kufichwa kwa muda tu. Tatizo la Wasira bado anaamini wstanzania wa leo ni sawa na wale wa 1960 na anajisadifu kwenye propaganda mfu, si mtu wa haki huyu ni mamluki kwetu Watanganyika
@EvaKiswaga-j2o4 ай бұрын
Tunakuelewa mwamba. Na vielelezo unavyo. Safi Sana.
@elioimer84235 ай бұрын
Kila mtu anajua Wasira hana hoja ni maslahi yake ndio kipaumbele yake na si vinginevyo. Huyu mzee anazeeka vibaya anataka kutuaminisha kuwa Zanzibar sio nchi na wakati katiba yake inasema hivyo. Jumuisho unaweza sema “ NJAAA”.
@Fred-Ma5 ай бұрын
Mzee Wassira mbona mwenyewe kataja Canada, Zanzibar na Tanzania bara kana kwamba nchi 3?😅😅😅
@MWIGAADAM-r3e5 ай бұрын
Wazanzibali ni wamoja hata uwaone mmoja anavaa kijani na mwengine zambalau
@kwasmokweka95985 ай бұрын
Kama uzee ni huu wa Wasira, kuna haja ya kuufikia kweliiiii?
@raymondnlelwa4275 ай бұрын
Hahahahahahahah bora tu ufe mapema manake pamoja na nafasi zote za uongozi, hakuna legacy.
@widimaelimushi4 ай бұрын
Wasira watanzani Ni wacheche wajinga usisiemu usikuponze ukaoneka mjinga nenda kweye ukweli acha kupotosha watu tunataka katiba Mpya kuondoa utata akuna nchi moja yenye maraisi wawili oliona wapi wewe mkrito wadini ngani unamjua mungu kweli??
@widimaelimushi4 ай бұрын
Wasira utakumbukwa lipi mzee??
@ShaabanSimai5 ай бұрын
Hili lijamaa linajua kufafanua. Limetulia kweli, limefanya utafiti wa kutosha. Big up bro
@kingmzebez77865 ай бұрын
Uchawa imekua ajira kwa wazee silla mungu ucnpe uzee wa uyu mzeee😎🖐
@MehndiMehndi-t7w2 ай бұрын
Lissu uko sawa sanaaaaa
@nurdinkisaria94765 ай бұрын
Wahasira 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@feisalmwinyi24295 ай бұрын
Kaka Mungu akubarik kwa ukweli na ustarab wa kutuelimishaaaa
@sospeterodhiambo68695 ай бұрын
Wasira tulikuwa naye NCCR Mageuzi kbl hajarudi CCM Hana jipya washauri wake wanshauri apumzike tu Anajidhalilisha Akili imechoka
@MohdIkra-d7s4 ай бұрын
Hana akili uzee ushamchukua
@warrenmgode18375 ай бұрын
Lisuu safii hongela lisuuu
@godlistengodlisten75525 ай бұрын
Kwa Hiyo Ukitoka Tz Ukaenda Zanzibar, Unatakiwa Uwe Na Passport, Ukitoka Zanzibar Ukija Tz Hakuna Haja Ya Passport.🤔Hii Nchi Ni Ngumu Sana.
@edsonnelson44645 ай бұрын
Ni kweli, Wazanzibar walishatuona Watanganyika sisi kama watoto
@AmourAmour-f4c5 ай бұрын
Yani hii comnti yako iweke sawa umeifanya kama zanzibr nimpangaji hakuna tz bila ya zazibar kwaiyo ukitolea mfano sema tanganyika na zanzibar usiseme tz nazanzibar😅
@DonMooSTUDIO_Express5 ай бұрын
@@AmourAmour-f4c Tatizo liko pale pale 😂 watanganyika mpaka leo hawajui kama kuna Tanganyika na Zanzibari wanajua kuna Tanzania na Zanzibari 😂😂😂
@AliSalim-yu4mo5 ай бұрын
Nadhani watu wengi hasa kutoka Tanganyika hawafahamu msingi hasa wa huu Muungano unaolalamikiwa!wanashangaa kauli ya Mbunge ya kutaka watu wasio Wazanzibari kuingia Kwa passport!hili sio geni warudie historia Tu wakati wa hao waasisi wake je Watanganyika na Wazanzibari wakiingia vipi hizo nchi mbili zilizoungana?kama ilikuwa ni ubaguzi Nyerere na Karume hawakuuona?Tanganyika ni nchi kubwa Sana ukilinganisha na Zanzibar!na hata tamaduni zetu ni tofauti hivyo si kuviacha visiwa vya Zanzibar watu waingie kiholela bila ya utaratibu inakuwa ni kuharibu Mila, silka na Utamaduni wake!na si hayo Tu Mbunge kenda mbali zaidi kuhusu bajeti ya Zanzibar ya kila mwaka unawezaje kudhibiti huduma za kijamii Kwa hivyo wanavyotaka wenzetu wasioliona hili na kupachika jina la "UBAGUZI"Mimi nadhani hawana Nia njema na Zanzibar!na kuhusu kauli za Lissu na Mbowe kuwa Rais Samia ni. Mzanzibari anayeongoza Tanganyika hii sio Sahihi! Maana kwasasa hakuna kitu kinachoitwa Tanganyika ni hadithi Tu za kusadikika ingawa Sisi Wazanzibar tumewaambia miaka Mingi hili na kutuona pia ni ubaguzi Lin sasa tunaona wameanza kuzinduka kutoka ktk usingizi mzito juu ya godoro la "QFL MAGODORO DODOMA"
@Khamisalih4g5 ай бұрын
Ww sema ukitoka tanga nyika kwenda zanzibar so ktoka tz kwenda zanzibar
@paulremigiuspaul32935 ай бұрын
Stand up with Justice being witnesses for GOD. And then even if it is against your own people. (Qur'an 4:135)
@frankcharles39805 ай бұрын
HILI ZEE JINGA SANA HOVYO KABISA KICHWA HASARA
@danielmwanjali24495 ай бұрын
Mzee Wasira hajui Sheria
@allyshaban4065 ай бұрын
Ukimya wa Hawa vijana anapowauliza maana yake hawamuelewi.
@fredysiwale54135 ай бұрын
Hansibeti nimekuelewa vizuri sana
@IsayaMedot5 ай бұрын
Tundu lisu Nia kweli ✌️✌️✌️
@eliasmedutieki75785 ай бұрын
Watanzania wengi hawajui hili na hata kama wanajua tayari wanarubuniwa kwa visenti
@sabrinafadhil88355 ай бұрын
Namuhelewa uyo jamaa wa pili kuzungumza
@omarmohammed51575 ай бұрын
Mzee wasira 😈😈😈😈
@salummohamed26895 ай бұрын
Mzee huyu kapitiliza kutokuelewa au anajifanya kuwa sisi siyo waelewa kabisa? "Udanganyifu huwa unaeneza chuki".
@ayubumwile15 ай бұрын
Jku,na Zanzibar Kuna urais mbona
@piuspanga8645 ай бұрын
Huyo Mzee mpotoshaji
@maisarirajab48465 ай бұрын
Sasa na nyinyi watanganyika jitambueni ss tunajitambua km wazanzibari na tunajua km zanzibar ni nchi na inatabulika dunia mzima
@AbdallaHassan-gu6fi5 ай бұрын
PIA KUNA NCHI YA ZANZIBAR NA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KIKATIBA. KULIKO KUIKATA TANZANIA. NILIVOSOMESHWA INAANZA NA NENO JAMHURI....
@OlosekiLokoy-sy6qg5 ай бұрын
Mkweli ni lisu
@gowekogoweko58035 ай бұрын
MWENYE KUJITAMBUA URAIA WAKE NDIO MKWELI...PERIOD
@SundaySteven-bz4yq5 ай бұрын
Ni kweli hata huku bara tunashuhudia hata maduka yao wanaandika zanzibar shop
@godlistengodlisten75525 ай бұрын
Kama Mama Samia Sio Mzanzibar Na Sio Mbara,Ni Nani Basi Mzee Wetu Wasira?
@LaizerSangau5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 wasira
@jofreymwakibete91285 ай бұрын
Ukiwa na mzee Kama wasila j jua una baba
@bonifacerobert29605 ай бұрын
Wewe Wasira wewe! Unatudanganya mchana kweupe? Mzee WARIOBA kakuzidi mbali mno! Zanzibar ni nchi pumbafu wewe!
@johnkessy49665 ай бұрын
Lisu, Wasira wako sawa.
@humphreymkony89155 ай бұрын
Huyu wasira amepitwa na wakati. Kukaa kimya nako ni busara vinginevyo unatuabisha
@NdeshaPaul-uz9bw5 ай бұрын
Linaitwa Mzee hovyooooo
@alexanderankiza31855 ай бұрын
Nadhani ni context mbili,NATIONALITY na ETHNICITY, kila moja ni sahihi kutegemea unazungumzia kwenye muktadha gani.
@humphreymkony89155 ай бұрын
Stupid! Wewe limbo umesoma wapi ATI NATIONALITY NA ETHNICITY! Mjinga!!
@mohdyussah8255 ай бұрын
Hiyo nchi Vilaza ni wengi Sanaa
@mathiaszakaria70525 ай бұрын
Hili lizee kumbe ndo mana lilinyang'anywa ubunge na Ester Bulaya.Hawa ndo walitutungia katiba mbovu inayotuumiza uongo uongo mwingi
@CoachMuu-gg7te5 ай бұрын
Zanzibar zanzibar zanzibar
@abdulrasheedabass1698Ай бұрын
ZANZIBAR IS MY BLOOD
@oscarmnyawami66675 ай бұрын
Mzee Wasira naomba nikuulize una mvua ngapi hadi leo hii...nadhan inatosha sasa katiba ya Zanzibar ipo haipo na ipo unaielewa??
@KisagasiLuyangi5 ай бұрын
Duh.. inahitaji umakini Sana kujua hili, ila Tanzania inapoipoteza Tanganyika na kuibakiza Zanzibar
Hawa wakina wasira ndio wanao ivuruga Nchi muda wao ulishapita waachieni Mama na team yake wapambane
@charleslukumai78755 ай бұрын
Kuwa Chawa umri huu shida sana. Katiba ya Zanzibar imetamka "Zanzibar"ni nchi. Hajaisoma, au hajui hiyo katiba ipo?
@zawadimbwambo10915 ай бұрын
Lizee Lina upara kama uwanja wa ndege wa chato. Akili ni nywele . Sasa Mzee Hana nywele.
@duniamapitosotewamungu34675 ай бұрын
mungu ametuumba katika makabila tofaut na mataifa tofaut lengo lake tutambuwane sio tubaguane
@petromgaya17465 ай бұрын
Hv mbona Mimi hata spendi muungano 😂
@begumisachristopher46975 ай бұрын
Hata katika hili kuna watu hawakuelewi. Hapo ndipo nasema watanzania "nani aliyeturoga"? Ukweli unabakia kuwa ukweli. Mimi sioni maana na faida ya Muungano. Na hii ni dharau kubwa kwa watanzania wa bara. Nawapenda watu wa aina ya Tundu Lisu wanajitambua
@PhilipoMwita-wc1ku4 ай бұрын
Muungano sio vibaya watu kuungana lkn huu muungano haukuwashirikisha wananchi
@JohnMunisi5 ай бұрын
Mulizeni Mzee warioba awasaidie kuhusu hili.
@King_Of_Everything5 ай бұрын
👍👊✌️.
@duniamapitosotewamungu34675 ай бұрын
sisi wazanzibar tunajitambua sana na kiukweli tunaelewa kuwa watanzania ni wale famalia milion 1 wanaomiliki ccm ambao wamejimilikisha tanganyika na kwa juhud zote wanataka wajimilikishe na zanzibar
@mohammedhamad93925 ай бұрын
😂😂😊😊
@hadijasufiani61675 ай бұрын
Lisu na rais samia wapo sahihi
@microssadamu75565 ай бұрын
Mzee hyo ni nchi. Ndiomaana ina katiba yake.
@kilinakoshengelo29445 ай бұрын
Naenda Kilimanjaro
@magorymara55155 ай бұрын
Hamwezi kuishi bila chokochoko na ujinga maneno maneno tu kuwaza upumbavu mwingi mnatumia mda mwingi kuropoka ropoka kwanini msiutumie shambani tukavuna
@MohdIkra-d7s4 ай бұрын
Waambiee aooi machogoolo
@JoelRichard-hj3bi5 ай бұрын
Wasira ni chizi.
@natafutamatatizo43825 ай бұрын
HUYU MZEE AKILI ZAKE SIPO SEHEMU GANI KTK MWILI WAKE? 🤣🤣🤣
@MiriamAbdallah5 ай бұрын
Chini ya miguu 😂😂😂😂😂😂😂😂
@EnockFumbuka5 ай бұрын
I STAND FOR JUSTICE ZANZIBAR IS NOT YET FREE COUNTRY IT IS PART OF TANZANIA INTERNATIONALLY.
@ernestkaji96405 ай бұрын
Kwa mawazo yangu wasira anaumwa akili na lissu ako sawa
@DiwaniMwafongo5 ай бұрын
Asante Mungu wangu, nilikataa uchawa toka zamani. Angalia huyu Mzee mwenye sura kaa wale homo habilis niliowasoma nikiwa njuka pale NJOMBE. Aumbuka hata mjukuu wake amuona Babu boya huyu!!
@gangmore90915 ай бұрын
Hata hiyo passport pia kunasehem inasema imetokea Zanzibar but hiyo hiyo passport hakuna sehem inasema kama inatokea Tanganyika 😂😂 so Zanzibar soon inakuja juu time will tell insha Allah watagombana wenyew kwa wenyewe Watanganyika sisi tuligombana sna kutaka Tanganyika irudi kila mtu awe n mamlaka kamili
@HajjHajj-he6ey5 ай бұрын
Siasa siasa siasa
@msongojumbe486Күн бұрын
Mzee wasira ni aibu
@AbdallahJuma-wb8lq5 ай бұрын
Wazanzibr,tunakuru,wazirai,kwa,somo
@mathiasbulima44665 ай бұрын
Kwani Hussein Mwinyi ni Rais wa Nchi gani sasa kama Zanzibar sio Nchi? Wasira atuambie.
@MrLonesome73rd5 ай бұрын
Wazanzibari tumeungana, watanganyika wanagombana.
@adamyussuf16785 ай бұрын
ZANZIBAR ipo na itaendelea kuwepo hofu Tanzania kuwepo miaka 60 ijayo naona kama itakuwa imefutika katika ramani ya dunia
@SubiranTimo5 ай бұрын
Wasira ana potosha
@johakhimu.mgembe.32975 ай бұрын
Enderea Ndg. kutuabarisha habari ni Darasa tosha kujifunza na kuelewa,wale tuliosoma habari za Safari ya Bulicheka, tukubariane na Mabadiriko kwa Habari na Safari Uria tufike kwenye Ukweri na Mwanga.Tumchangie tochi Babu ya kale si Ndwere tugange mapya na yajayo.Naililia Tanganyika yetu irudi tu..
@MiriamAbdallah5 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@margarethpolepole74385 ай бұрын
Sasa kila nchi ina Katiba yake sasa kelele za nini Wasira unazeheka vibaya
@PhilipoMwita-wc1ku4 ай бұрын
Wasira kama uraia ni watanzania kwann Kuna katiba ya Zanzibar Hii katiba ya Zanzibar nikatiba yawatu wa nchi gani
@cyprianboniphace-oz5lw4 ай бұрын
Sasa kama ni hivyo serikali ya Zanzibar ya nini,rais wa Zanzibar wa nini.