T.B.T...IJUE HISTORIA YA JABALI LA MUZIKI MARIJANI RAJABU.

  Рет қаралды 23,363

CHAKULA CHA UBONGO

CHAKULA CHA UBONGO

Күн бұрын

Пікірлер: 18
@maikonyakundi4209
@maikonyakundi4209 8 ай бұрын
Mimi ni mmoja wa wale wanamuenzi kwa nyimbo zake za mafunzo mengi. Nitahishi kumukumbuka mwalimu wa maisha yangu❤❤❤❤.
@jeromechembe2206
@jeromechembe2206 8 ай бұрын
Aiseee! Nakushukuru sana kwa KUMKUMBUKA mtu huyu. Huyu ndiye alikuwa Mwanamuziki wangu NILIYEMPENDA SANA na bado NAMUENZI sana na Super Bomboka ndiyo ilikuwa bendi yangu. Nilimtarajia sana Mzee Joh Jambele kutimiza ahadi yake kuwa atatengeneza album yake ya MOBVIE. Nakusalimia sana Mzee Jambele.
@zanukazididi3699
@zanukazididi3699 9 ай бұрын
Ni historia nzuri saana Asante
@absalomaloo3022
@absalomaloo3022 5 ай бұрын
I respect this man..usia wake utadumu milele
@HisanHaji
@HisanHaji Жыл бұрын
Nazipenda nyimbo zake hadi zinatupa raha sanaaa
@aminaomarimaidi
@aminaomarimaidi 3 ай бұрын
Allha amlaze mahali pena lnshaalha
@hakimundabila7940
@hakimundabila7940 5 ай бұрын
Nilikutana nae Arusha 1988 akiwa na band ya Kurugenzi jazz band, alitunga wimbo mama nioe mke gani na band hiyo aliokuwa akiupiga pale equator hotel
@abuukarata9653
@abuukarata9653 2 ай бұрын
40 tu
@aud548
@aud548 Жыл бұрын
Nikushauri tu ...simulizi ni nzuri ila asee background music ni mbovu na haiendani na story
@DASTAN_FRED_KAMALA
@DASTAN_FRED_KAMALA Жыл бұрын
Asante Mkuu nimepokea ushauri wako next time nitajirekebisha.
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 Жыл бұрын
@@DASTAN_FRED_KAMALA kwa nini unatoa historia ya mtu ambae anafahamika vizuri bila kufanya utafiti wa kutosha!!! Unasikitisha!!! Hao ndo waandishi wa Tz ingekua nchi nyingine ungekiona na mtema kuni😔😔
@DASTAN_FRED_KAMALA
@DASTAN_FRED_KAMALA Жыл бұрын
@@mamboshepea8888 Mheshimiwa nashukuru kwa kunikosoa hakika wakati mwingine nitakuwa Makini zaidi ila ningefurahi zaidi kama ungeeleza Makosa yalipo ili tujirekebishe, maana hata hao wa nje unaowasujudia pia nao ukosea mara dufu kwakuwa nao ni binadamu kama Mimi na Wewe.
@b.3940
@b.3940 Жыл бұрын
Marijani Rajabu alijulikana pia kwa jina la kitani kama Jabali la Muziki.
@DASTAN_FRED_KAMALA
@DASTAN_FRED_KAMALA Жыл бұрын
Naam ni kweli kabisa.
@abdulpagali7476
@abdulpagali7476 Жыл бұрын
Mtangazaji umeweka picha ya bendi ya wanafunzi wa shule ya Mkwawa ya mwaka 1972. Mwaka huo Marijani alikuwa kidato cha pili Tambaza. Les Orchestra Mkwawa ilikuwa inaundwa na wanafunzi wa kidato cha sita wa Mkwawa. Je, kulikuwa na uhusiano gani kati ya Marijani Rajabu na bendi hii iliyokuwa inaongozwa na Mhina Simon Sewando?😮😮😮
@DASTAN_FRED_KAMALA
@DASTAN_FRED_KAMALA Жыл бұрын
Hakika sikuwa na maana yoyote nimeweka picha hizo ni kwasababu na yeye yupo katika picha hiyo. Asante.
@juliusmagembe6089
@juliusmagembe6089 Жыл бұрын
Na pia alikuwa mwanafunzi,
@petermuchiri4616
@petermuchiri4616 2 ай бұрын
Marijan rajab died too young
Mwana Meta
7:05
Dar International - Topic
Рет қаралды 17 М.
Tupendane - (Official Video )  Kilimanjaro Band Njenje
5:58
Kilimanjaro Band Njenje
Рет қаралды 1,1 МЛН
Жездуха 41-серия
36:26
Million Show
Рет қаралды 5 МЛН
Ful Video ☝🏻☝🏻☝🏻
1:01
Arkeolog
Рет қаралды 14 МЛН
«Жат бауыр» телехикаясы І 30 - бөлім | Соңғы бөлім
52:59
Qazaqstan TV / Қазақстан Ұлттық Арнасы
Рет қаралды 340 М.
NDOA YA MATESO (cover) Lejendari MARIJANI RAJABU
6:39
babloom kisauji
Рет қаралды 134 М.
Talaka Ya Hasira
6:31
DDC Mlimani Park Orchestra - Topic
Рет қаралды 330 М.
MIAKA 24 YA KIFO CHA MARIJANI, MUZIKI WAKE BADO GUMZO
5:43
Mwananchi Digital
Рет қаралды 28 М.
Ni Sababu Ya Mapendo
6:37
Dar International - Topic
Рет қаралды 12 М.
Si Wema
6:41
Dar International - Topic
Рет қаралды 20 М.
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
Wasafi Media
Рет қаралды 1,8 МЛН
Mpenzi Aisha
6:26
Dar International - Topic
Рет қаралды 8 М.
MASOUD MASOUD : NGURUMO HAKUWA VILE / WATANGAZAJI HAWASOMI
23:15
Gangana Info Channel
Рет қаралды 89 М.