TAFADHALI WAPINZANI: TULIFIKA HUKO, TUMETOKA HUKO, TUSIRUDI HUKO

  Рет қаралды 16,304

SK Media Online TV

SK Media Online TV

Күн бұрын

Пікірлер: 114
@RahimMallya-fh9zc
@RahimMallya-fh9zc 2 ай бұрын
Allah akupe maisha marefu mzee wetu ngurumo, watanzania wengi tulio upinzani tunakuombea
@charlesshitobelo6870
@charlesshitobelo6870 2 ай бұрын
Ujumbe huu umfikie Mh. Lissu. Baadhi ya kauli zake zinatafsiriwa vibaya na kuuaminisha umma kwamba Chadema kuna mgogoro na hasa kuhusu Mwenyekiti wa Chama taifa Mh. Mbowe. Hongera sana Mh. Mbowe kwa kuchunga kauli zako. Nimshauri Makamu M/kiti atafakari huu ushauri wa Mr Ansbert Ngurumo. Hakika unamhusu zaidi kuliko ulivyo kwa Mbowe.
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 2 ай бұрын
Wewe umemuonea mh lissu ebulejeeni hotubazake zawakati wote
@prochesytesha8040
@prochesytesha8040 2 ай бұрын
Mkuu kama vile tupo pmj
@JohnMabustar
@JohnMabustar 2 ай бұрын
Asante sana mzee Gulumo kwa darasa huru apo ulipo sema kumetoka wapi tuko wapi na tunakwenda (Vipi) tunakuzingatia saaana 😊😊
@bernardngomano6215
@bernardngomano6215 10 күн бұрын
Mzee Ngurumo wewe kweli ni MWANDISHI WA HABARI MWANDAMIZI
@Tumosafarini
@Tumosafarini 2 ай бұрын
Mr Ansebert ubarikiwe kwa ushauri bora ulioutoa. Binafsi nimekuelewa sana.
@joyceharris2093
@joyceharris2093 2 ай бұрын
Umeongea vizuri sana i wish hao viongozi wangeiona hii clip ingewasaidia sana.
@davidpallangyo114
@davidpallangyo114 2 ай бұрын
Hongera Sana Mzee.Ngurumu,Hakika Wewe ni Kiongozi Bora Kabisa,japo huna cheo Lakini Heshima Uliyo Jijengea Ni Kubwa Kuliko Ya Wenye Veo Wengi Sana.
@charleskuyeko1660
@charleskuyeko1660 2 ай бұрын
Ujumbe huo ni mzito sana. Ni ushauri mzuri sana kwa CHADEMA ambao tunaanza kuona viashiria vya kukosekana umoja miongoni mwao. Ndiyo wanaotakiwa kujitafakari.
@PaulRPaul-z1q
@PaulRPaul-z1q 2 ай бұрын
Well said Mkuu Gurumo. Stay blessed.
@bishopmosesmagadula7572
@bishopmosesmagadula7572 2 ай бұрын
UBARIKIWE NDUGU ASBERT GURUMO KWA USHAURI MAKINI SANA MAANA MIMI NIMESHUHUDIA NGUVU ZA MREMA NA UDHAIFU WA MREMA MWISHO WAKE ULISIKITISHA SANA MREMA ALIKUWA ANATIA HURUMA UMAARUFU UNAPITA
@Mwakamele
@Mwakamele 2 ай бұрын
Nimeelewa, anachosema Ngurumo ni kuwa Lissu ameanzisha kampeni ya kushutumu wenzie hadharani kuwa wamepewa hela na Abdul. Lakini hata juzi wameeneza uvumi kuwa Mbowe amezuia mkutano wake na akamkemea hadharani ingawa hajamtaja jina. Kuhusu karama ya kujenga chama nimeelewa kuwa ukimlinganisha Mbowe na Lissu, Mbowe ana uwezo, mbinu, mikakati na nyenzo za kukijenga chama zaidi kuliko Lissu. Lissu kama alivyo Mbatia ni mzuri wa kutoa hotuba tu. Na hotuba peke yake hazijengi Chama
@denisnjaila2182
@denisnjaila2182 2 ай бұрын
Kichwa sana
@isaackmwakapala8663
@isaackmwakapala8663 2 ай бұрын
Hivi watu Kama ww wako wangapi nchi hii? Ukiondoa akina Nyerere, kaunda, D Tutu, Rumumba na wengine. Ubarikiwe Sana kwa kutupa farja, hata mgonjwa anafarijika.
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd 2 ай бұрын
Hongera sana Ndugu H. Ngurumo kwa HEKIMA KUBWA!!! Adui mkubwa wa watu kushindwa kuuzingatia USHAURI WAKO BORA NI UBINAFSI WALIO NAO VIONGIZI WENGI!!!
@SurprisedPotluck-ph6ii
@SurprisedPotluck-ph6ii 2 ай бұрын
Asante Sana kwa somo Zuri Sana la Kutembea pamoja Kama viongozi.nimejifunza kitu kizuri Sana.
@filbertkye2084
@filbertkye2084 2 ай бұрын
Asante Mungu akubariki sana nimekuelewa.
@danielezekieldaniel365
@danielezekieldaniel365 2 ай бұрын
Hongera sana kwa hoja nzuri
@ajmstationery6157
@ajmstationery6157 2 ай бұрын
Safi sana, nimeelewa unamsema nani, hata mimi huwa ananisikitisha sana. Amejisahau.
@louisnyaki1936
@louisnyaki1936 2 ай бұрын
Nimekuelewa Sana mkuu, ukishakipa chama mgogi na kukiacha chama Kwanza jua ipo siku utajibomoa mwenye.
@TheresaZenda-c2o
@TheresaZenda-c2o 2 ай бұрын
Hongera sana Kwa Mang'amuzi
@angeloeugene6091
@angeloeugene6091 2 ай бұрын
Hongera sana Kaka Ngurumo the analysis you made is wonderful. Be bless kaka.
@hezekiamtera3559
@hezekiamtera3559 2 ай бұрын
Labda ndani kwenye vikao vyao kuna kutokukubaliana kuhusu mambo fulani yanayofanya na baadhi ya viongozi kwa siri.
@allysaimoni6929
@allysaimoni6929 2 ай бұрын
Mzee, Mungu akubariki saaana kwa ufunuo huo , wazee kama wewe wako wapi? Vyama vya siasa tumieni busara za huyu mzee
@malinzirutta3391
@malinzirutta3391 2 ай бұрын
Chadema kuwa makini msikilize Ansbert anayowaambia
@ChristerKoku
@ChristerKoku 2 ай бұрын
Somo hili,ni zuri sana kwa watanzania wote,kwa vyama vyote.Tumeelimika ebu viongozi tembea na darasa hili tutaliokoa taifa .
@BishopJohnSaidi
@BishopJohnSaidi 2 ай бұрын
Umefanya sehemu yako, kaka. Mungu akubariki sana.
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 ай бұрын
👍👊✌️.
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 2 ай бұрын
Ngurumo uko sahihi sana.
@antipasmkude3789
@antipasmkude3789 2 ай бұрын
Yeyote mwanachama wa CHADEMA, atakayeona clip hii, amshirkishe mwingine, Na awaonyeshe viongozi wa juu. Kuna viashiria vya kutengana kwa wengine kujiina maarufu ndani ya chama.
@driss4957
@driss4957 2 ай бұрын
Well said, Busara zako Zinahitajika muda. Wote..UBARIKIWE SANA..
@pmt79
@pmt79 2 ай бұрын
POWERFUL!!!!!
@joyceharris2093
@joyceharris2093 2 ай бұрын
Wanaowachonganisha Mbowe na Lisu ni club house kibaya zaidi Lisu anawasikiliza anayabeba.
@safiyaalharthy6382
@safiyaalharthy6382 2 ай бұрын
Well said 👏
@salathielmbengale1365
@salathielmbengale1365 2 ай бұрын
Asante sana mweshimiwa mie nimekuelewa
@orestsanga6294
@orestsanga6294 2 ай бұрын
Umesomeka vyema
@hoffmanlupaya5728
@hoffmanlupaya5728 2 ай бұрын
Ahsante sana. Uko sahihi.
@prochesytesha8040
@prochesytesha8040 2 ай бұрын
Mjomba upo vzr watu wapokee ujumbe mzr sana
@yaronaWilliam
@yaronaWilliam 2 ай бұрын
Correct!
@ChrispinMashauri
@ChrispinMashauri 2 ай бұрын
Upo vizur sana
@VitalisMmassi-oh4jb
@VitalisMmassi-oh4jb Ай бұрын
Ngurumo tumekuelewa sana Lisu ndio anarudia makosa ya mrema sasa.
@verdianabanabi2205
@verdianabanabi2205 2 ай бұрын
Mwenye masikio na asikie.
@MiltonByems
@MiltonByems Ай бұрын
Lissu ni nyoka aliyejipanga siku nyingi, kimya kimya kubomoa CDM. Watu wanamchekea lkn ni mtu hatari sana.
@ChristerKoku
@ChristerKoku 2 ай бұрын
Darasa safi kama mmesikia msikie,rudini muwe pamoja,kubalini kkuwa kitu kimoja pia waaminifu aminianeni ziba mianya yote yenye mafarakano.
@AminielKombe-c1t
@AminielKombe-c1t 2 ай бұрын
Lissu huyo jana,, kaulizwa uliyoongea ni kauli ya chama? Alivyojibu sasa haha
@GodfreyMubyazi
@GodfreyMubyazi Ай бұрын
Natamani Madini haya yaandikwe kama sehenu ya Kitabu kiitwacho JIFUNZE KUTOKA KWA ANSBERT NGURUMO
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 2 ай бұрын
Tundu lissu kaskia lakini hatofata ushauri akiamini yy ana wa2 kumbe hajui tu
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 2 ай бұрын
BIG BRAIN
@KalicKaguz
@KalicKaguz 2 ай бұрын
Du! Kuna watu vichwa bwana, hatari sna
@malinzirutta3391
@malinzirutta3391 2 ай бұрын
Lisu take note of this!
@The1979bornagain
@The1979bornagain 2 ай бұрын
Honestly, sisi wapenzi na wafuasi wa CHADEMA ili tuendelee kuiamini taasisi hii muhimu, ni lazima wawe wazi Sasa watuambie kuna shida gani ndani ya chama hususani kwa viongozi wetu wa juu M/kiti (Freeman Mbowe) na Makamu Mwenyekiti wake (Tundu Lissu). Ni tofauti ambazo hazikuwa wazi sana lakini kidogo kidogo zinaanza kuwa wazi kabisa. Mkutano na waandishi wa habari wa Tundu Lissu kule Singida leo na kusema ambayo yalipaswa kuwa ni kauli ya chama iliyokubaliwa na wote ni ishara ya wazi kuwa kuna tofauti kubwa miongoni mwa viongozi wakuu wa chama na vikao vyao vya maamuzi ndani ya chama. Ni wazi kuwa Tundu Lissu ana jambo kuhusu Mwenyekiti wake Freeman Mbowe lakini halisemi kwa uwazi ila kwa mafumbofumbo. Hii haipendezi hata kidogo na mtaweza kukiua chama hiki ambacho ni tehemeo la wananchi. Tundu Lissu kama ana tofautiana na Mwenyekiti wake, ni lazima atumie approach mzuri kumaliza tofauti zao kuliko njia hii anayotumia ya kumnanga Mwenyekiti wake kiaina. Alifanya juzi kule Same - Kilimanjaro juu ya tuhuma tu kuwa Mwenyekiti wake Freeman Mbowe eti ali - conspire na CCM kuzuia mkutano wake wa hadhara huko. Maneno aliyoyatoa Tundu Lissu kujibu tuhuma hizo huko Same, yaliunga mkono tuhuma hizo kabla hata Tundu Lissu hajawasiliana na Mwenyekiti wake. Kauli yake ilionesha wazi kuwa hakuwasiliana na Mwenyekiti wake kwanza kabla ya kutoa kauli ile. Hapo Tundu Lissu alikosea na wenye akili tulijua amechemka. Ajirekebishe, vinginevyo Yeye ndiye atakuwa shoka la kuiua CHADEMA!!
@yosephatMasanyiwa-oh1rl
@yosephatMasanyiwa-oh1rl 2 ай бұрын
Hapana umenena tofauti. Kaa utilize akili uone Lissu ana tatizo Gani hapo. Fikiria juu ya hekima zote za Lissu.
@damiandaniel6468
@damiandaniel6468 2 ай бұрын
​@@yosephatMasanyiwa-oh1rlkuna mengi nyuma hatuwezi kuandika yote
@asungwilemwaifungapenginei2385
@asungwilemwaifungapenginei2385 2 ай бұрын
Mimi naamini, kwa jinsi ninavyoifahamu Lissu si mwoga. Sidhani kuwa kama ana jambo la kumwambia Mwenyekiti Mbowe anaweza kuogopa kulisema ndani ya vikao vya chama. Ninaamini Mwenyekiti anatumia mamlaka ya cheo na pesa zake kuwapuuza viongozi wenzake. Watu wakipuuzwa ndani ya chama chao watasema nje. Haizuiliki. Wananchi wanataka kuona matokeo ya upinzani si kudanganywa kwa pipi. Mbowe amewahi kusema yeye binafsi anasimamia maridhiano mpaka mwisho. Kiko wapi leo? Kuna maridhiano yoyote? Imani hii ya Mbowe kwa Samia inamfanya Mwenyekiti msaidizi wake Lissu asimwelewe. Amesema yeye Lissu ataendelea kupigia kelele pesa chafu popote atakapokuwa. Which is right . Nilidhani Mwenyekiti Mbowe angalijua wa kwanza kuchukua kwa jinsi alivyoingizwa mkinga na Samia kwa mambo yote waliosems wanaridhiana lakini wakati wakati wa uchaguzi hatuyaoni. Wanataka baada uchaguzi waje na maridhiano mapya. Huu utakuwa ujinga
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x 2 ай бұрын
Ngurumo lissu yupo sahihi
@ChristerKoku
@ChristerKoku 2 ай бұрын
Ansibert wasaidie hata kwa faragha hawa wa Chadema,watulize akili.
@stevenmshomi3602
@stevenmshomi3602 2 ай бұрын
Umezungumza kweli kubwa sana kiuchambuzi ila kwa hekima umeacha kumtaja dhahiri Lisu anavyokosea na Dr. Slaa anavyojitahidi kubomoa. Lisu anaenda kuua umaarufu wake na kuiua CHADEMA kwa kukosa hekima.
@willymgaya7618
@willymgaya7618 2 ай бұрын
CHADEMA, MMEUPATA UJUMBE HUO. KUWENI MAKINI.
@asungwilemwaifungapenginei2385
@asungwilemwaifungapenginei2385 2 ай бұрын
Umoja, urafiki usiowafikisha kwenye malengo hauna faida yoyote. Umoja unaokisaidia CCM kutawala kwa ujanja ujanja, huu hauna ma ana yoyote. Umoja unaogopa ukweli bora uvunjike turudi nyuma tujijenge upya. Hakuna maana kuendelea na safari huku ukijua kuwa unakokwenda siko ulikokusudia kwenda
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x 2 ай бұрын
Ukweli lazima usemwe
@dismasmtui729
@dismasmtui729 2 ай бұрын
Lisu anatakiwa kujifunza siasa za kuvumiliana na kushauriana!. Mbona Mbowe hana tabia ya kuita vyombo vya habari na kuanza kutuhumu au kulaumu!?.Au Lisu anajiona yeye yuko perfect sana!.
@frankcharles3980
@frankcharles3980 2 ай бұрын
Mboga Mboga bhana hamjawah kua na akili
@yosephatMasanyiwa-oh1rl
@yosephatMasanyiwa-oh1rl 2 ай бұрын
Kawashauri Wana ccm wenzako
@festokemibala5832
@festokemibala5832 2 ай бұрын
Hii ndiyo inaonekana kushadidiwa na macahwa waliokata tamaa wa CHADEMA ambao bila kujijua wanaanzisha chokochoko ili kukiua chama chao. Hawajui kuwa adui wao anafurahia huu ujinga pasi kujali kama kwake naye ni moto unawaka anafunika hata na magunia lkn wapi nje tunaona mashi!! Kaeni chonjo
@JohnBosco-d3g
@JohnBosco-d3g 2 ай бұрын
Wakati mwingine unakubali kudanganywa heeeee😢😂😂😢😢😅 HAPO MSHAURI TUFAFANULIE!!!!!
@geniusplus8586
@geniusplus8586 2 ай бұрын
Huwezi kuelewa kauli hii hadi utakapooa na kuwa na watoto ndani.
@JohnBosco-d3g
@JohnBosco-d3g 2 ай бұрын
@geniusplus8586 😂😂😂
@ShedrackFaustin
@ShedrackFaustin 2 ай бұрын
Mhh,, kumekucha,, ccm washapanda bomu
@josephlorri431
@josephlorri431 2 ай бұрын
Lissu ajitahidi kuwa na hekima katika kunena na kutenda
@PaulRPaul-z1q
@PaulRPaul-z1q 2 ай бұрын
Stand up with justice being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Quran 4:135)
@MohammedAwadh-gq9si
@MohammedAwadh-gq9si 2 ай бұрын
Wewe mwenyewe ni mnafiki mkubwa huwa unachonga saaana hata kama sio cha kweli ! Ngoja uyaone kwenye Sacco's yenu kaa kimya Lea vijukuu huna jippya
@joseph-fc6ry
@joseph-fc6ry 2 ай бұрын
tatizo ni lissu
@malinzirutta3391
@malinzirutta3391 2 ай бұрын
Ujumbe mkubwa sana kwa vyama na hasa .....
@selemaniigosha
@selemaniigosha 2 ай бұрын
Tatzo la mbowe lilianzia pale alipotoka gerezan na kwenda kukutana na mama, alikatazwa maafikiano yao yeye akaziba masikio. Sasa mama amemgeuka na waliomwambia mbowe kipindi hicho hakuckia na sasa wamekuja juu wakimlaumu kwa mkataba wake na mama ndo maana wana waswas pengne alilamba asali!!
@Kiva1610
@Kiva1610 2 ай бұрын
Ukitaka mbowe asizungumze na Rais? mbona enzi zaKikwete walikuwa wapinzani wanaenda ikulu mara Kwa mara na Hamkusema kitu kuonana na Rais wa nchi Yako sioni sababu ya kupiga kelele ni jambo la kawaida kabisa
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 2 ай бұрын
UMOJA NI NGUVU. UTENGANO NI UDHAIFU MKUBWAA
@godfreymikmta5008
@godfreymikmta5008 2 ай бұрын
Nimeyasikia mengi .illa nilikua nasubirib ufafanuzi wako .MUNGU AKUBARIKI. unafafanua bila mihemko bila kutaka umaarufu .umefafanua kwa maslai ya umoja
@joshuaswai8203
@joshuaswai8203 2 ай бұрын
Lissu unaua chama fikiri ulikotoka unamsikiliza yule dr alianiriwa kuwaangamiza ninyi unajisikia sukari sana unajiona wewe malaika kumbe sio unamsikiliza yule mchungaji aliyesepa ni hatarisana kwa chama tumia akili yako sawasawa br
@louisnyaki1936
@louisnyaki1936 2 ай бұрын
Ningepewa platform hapa SK ningeandika makala ambayo pengine ningalibainisha haya yote
@festokemibala5832
@festokemibala5832 2 ай бұрын
Ndo inavyofanyika kwa waandishi wengi hata wakati mwingine kichwa cha habari kutofautiana na maelezo ya habari yenyewe! Leo tu rais kateua watu wawili tu eti ni uteuzi mkubwa serikalini!! Mabwege wanakera!! Wanashindwa kutulwtea habari kuhusu mtafaruku anaotulwtea Mchengerwa kuhusu hatima ya nchi hii kwa watoto wetu!! Sijui tuwaiteje, kunguni au mdudu gani mchafu?
@ndaro.a.j
@ndaro.a.j 2 ай бұрын
Ume nena vyema sana.
@malinzirutta3391
@malinzirutta3391 2 ай бұрын
Ngurumo call Lisu and talk to him....
@MsabahAli-d6u
@MsabahAli-d6u 2 ай бұрын
Mh lissu usiwe kma lipumba
@marysichinsambwe7708
@marysichinsambwe7708 2 ай бұрын
Mbowe must go.
@RahimMallya-fh9zc
@RahimMallya-fh9zc 2 ай бұрын
Lissu mboe alikusimamia kwenye magumu yote ulio pitia, mogope Mungu jua watanzania chadema ndio tumaini letu,mboe mshike mikono 2 chama kiwe 2, acheni umimi jalin chama sana
@nyembobea7285
@nyembobea7285 2 ай бұрын
Kichwa chako cha habari kimenithibitishia kumbe wewe ni chadema sasa jipange maana mnawekeza nguvu kubwa kuichafua serikali na mimi furaha yangu chadema ife kabisa maana ni mamluki wa wazungu
@williamgeorge-hd2tn
@williamgeorge-hd2tn 2 ай бұрын
Lissu namkubali ila ananikata moto sanq
@bishopmosesmagadula7572
@bishopmosesmagadula7572 2 ай бұрын
Mimi nilikuwepo naelewa VIZURI SANA.. CHADEMA wawe MAKINI wasibomoe chama MAANA ndicho chama PEKEE tunachokitegemea KWA SASA vingine VYOTE hakuna KITU CHADEMA ilindwe..
@Ligida-57
@Ligida-57 2 ай бұрын
Nadhani Hawa jamaa wameingiliwa na vilusi. Wawe makini
@MmbagaMmbaga
@MmbagaMmbaga 2 ай бұрын
Picha ya tukio sio kinachozungumzwa inakera sana
@JosephSanga-j4q
@JosephSanga-j4q 2 ай бұрын
Kaka Ngurumo una akili kubwa sana,we ni moja ya watu muhimu sana ktk tasnia ya habari na pia ni hazina kubwa sana CHADEMA,umeongea neno kubwa sana na somo kubwa kwa viongozi wa upinzani
@nedlly2
@nedlly2 2 ай бұрын
Lissu mhemko umemzidi! Anamsikiliza Dr. Slaa ambaye ni saa mbovu! Alitupoteza 2015 kwa ubinafsi wake, sasa anajifanya kutoa ushauri!
@Globalpeace123
@Globalpeace123 2 ай бұрын
Lisu alitakiwa aongee na viongozi wote wa Chadema akiwepo mwenyekiti kama anaona mapungufu yako wapi ili wakae kama chama na sio yeye kipeke yake anaitisha press halafu anaongea I hope ataipata hii clip na asiwe na kichwa ngumu.
@willardbarongo5076
@willardbarongo5076 2 ай бұрын
Sasa kwa hiki kinachoendelea ktk uchaguzi huu wa serikali za mitaa na vitongoji tunahitaji kuona viongozi wakikaa kimya bila kujitokeza na kukemea vitendo hivyo?
@willymgaya7618
@willymgaya7618 2 ай бұрын
MBOWE NA LISSU KAENI CHINI ILI CHAMA KISIBOMOKE. CHADEMA KAMA CHAMA TUNAIPENDA. NINYI MKIWA CHADEMA TUNAWAPENDA , MTAKAPOKUWA NJEE MMMHHHH !!!!!! SIJUI.
@yosephatMasanyiwa-oh1rl
@yosephatMasanyiwa-oh1rl 2 ай бұрын
Sisi hatuyajui hayo. Yaani ni kama inzi kuangukia kwenye maziwa siwezi kuyamwaga. Migogoro ipo tu kila sehemu yataisha tu. LISSU hana ubaya wowote kwa mwenyekiti wake labda shetani tu anataka kuingia.
@StevenGendo-vx9jo
@StevenGendo-vx9jo 2 ай бұрын
We nilipumbavu
@AnyosTemitope
@AnyosTemitope 2 ай бұрын
Ngurumo uishi milele
@rosekessy5968
@rosekessy5968 2 ай бұрын
umeongea vizur pasipo kumtaja mtu,Japo nimekuelewa unamzungumzia Mboye na Tundu lisu.Tundu lisu ameanza kuwa kama mrema
@DiwaniMwafongo
@DiwaniMwafongo 2 ай бұрын
Moshi unaofuka CHADEMA kutokana na ubinafsi wa Mbowe ndio chanzo Cha hayo Kaka...? Mke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe na mwenyekiti mpumbavu wa chama hukiua chama chake kwa mikono yake mwenyewe!!
@MiriamAziz-z5t
@MiriamAziz-z5t 2 ай бұрын
CHADEMA....CHADEMA....CHADEMA....VIONGOZI WAKUU WOTE MSIKUBALI KUGONGANISHWA....WATANZANIA WANA IMANI SANA NA CHADEMA....CHAMA MBADALA WA CCM KWA SASA.
@1961nungwi
@1961nungwi 2 ай бұрын
A desperate lament from afar!
@kamazimakyaruz1219
@kamazimakyaruz1219 2 ай бұрын
Nyosha maneno, umezunguka Sana, mda ni Mali, hata kukusikiliza kwa mda mlefu hiyo nayo ni Mali, weka wazi una maanisha nini? Mimi nikati ya watu ninao kufatilia Sana.
@SHIJADAVIS
@SHIJADAVIS 2 ай бұрын
Huwezi kumuelewa maana inaonekana elimu Yako ni ndogo. Kujua Hilo ni maandiko yako.
@GeazKatabi
@GeazKatabi 2 ай бұрын
Kaka Ngurumo umenena vyema sana Mimi nasema kweli ulichokimanisha Tundulisu ajitahidi kwenda na wenzake hata kama anaongea vilivyo sahihi ila aende na taasisi yake
@driss4957
@driss4957 2 ай бұрын
MBOWE ANAKAAA KIMYA SANA,UONEVU UNATAMALAKI, YEYE KIMYA TUUUU, SSSM KWA SASA HAWATAKI BUSARA WALA DIPLOMASIA...WANATAKA UNDAVA UNDAVA, UMEONA PRESS YAKE MOJA, KINA NCHIMBI WAMEJITOKEZA NA KUTAKA WALIOENGULIWA WARUDISHWE...MBOWE KAMA VIPI AMPISHE LISU,AMSAPOTI KIROHO SAFI...LISU ANMHESHIMU SANA MBOWE....NI HOFU YAKO TU..
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo 2 ай бұрын
We! Press conference zote zilipagwa kabla ya leo. Sisi wafuatiliaji tulishajua uamuzi wao kabla ya leo. Jifunze mambo haya!😂😂
@joshuaswai8203
@joshuaswai8203 2 ай бұрын
Lisu ameota pembe zikatwe ,Mbowe uko wapi br mmempa ccm sauuti awaangamize Dr slaa funga mdomo mnafiki mkuu
@illomowerner7690
@illomowerner7690 2 ай бұрын
​@@AnsbertNgurumobarikiwa sana,ishi maishi marefu Kwa neema ya Mwenyezi Mungu kwa tija ya busara ya kizazi chetu na baadae, binafsi ninakuombea uione, uiishi na uwe sehemu ya washauri madhubuti wa serikali hiyo Kwa tija ya umma, nimekuwa mfuatiliaji wa hotuba zako for so long, hujawahi kuwa mfukoni mwa yeyote Kwa sababu yeyote, daima hujawa na rafiki wala adui wa kudumu, umekuwa na ukweli wa kudumu, nwanadiplomasia NGULI wa siasa....Aluta continua.
@yosephatMasanyiwa-oh1rl
@yosephatMasanyiwa-oh1rl 2 ай бұрын
​@@AnsbertNgurumo KUBALI LISSU ANAMHESHIMU MNO MBOWE KUPITA MAELEZO.
@victoreleonardmdee9158
@victoreleonardmdee9158 2 ай бұрын
Acha inyeshe Tuone panapo Vuja
@Kazera-y2w
@Kazera-y2w 2 ай бұрын
Jicho la tatu linamwona tundulisu
@DICKSONTimoth-xk7rj
@DICKSONTimoth-xk7rj 2 ай бұрын
Ndio maana magufuli alivipiga pini vyombo vingi vya habali kwa sababu ni wachochezi sana lakini hamukumuelewa
WASHINDANI WETU SI ADUI ZETU
16:31
SK Media Online TV
Рет қаралды 6 М.
WATEKAJI, WAUAJI WAMEPATA HAMASA
4:06
SK Media Online TV
Рет қаралды 12 М.
Мясо вегана? 🧐 @Whatthefshow
01:01
История одного вокалиста
Рет қаралды 7 МЛН
Quando eu quero Sushi (sem desperdiçar) 🍣
00:26
Los Wagners
Рет қаралды 15 МЛН
Леон киллер и Оля Полякова 😹
00:42
Канал Смеха
Рет қаралды 4,7 МЛН
TUSITISHANE. TUVUMILIANE
14:12
SK Media Online TV
Рет қаралды 16 М.
SHUHUDA: MAMBO YA KUTISHA ALIYO PITIA EMMANUEL KUTOKA MOROGORO
1:54:31
Reality of Christ Church
Рет қаралды 424 М.
NI CHAMA GANI CHA SIASA KINAOGOPA SIASA?
17:20
SK Media Online TV
Рет қаралды 7 М.
Were Israel’s Actions in the Gaza War Justified? Eylon Levy vs. Mehdi Hasan
1:06:50
NINI KIMETOKEA KWENYE MITANDAO HII GHAFLA?
14:36
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 40 М.
Мясо вегана? 🧐 @Whatthefshow
01:01
История одного вокалиста
Рет қаралды 7 МЛН