Mzeee bana😂😂,, eti ukiniuliza kwa nni,, mmi sifatiliagi majeneza kwenye makaburi... amejibu vzur saaana
@StevenGiven9 күн бұрын
😂😂
@ElimiliusNduhe9 күн бұрын
Hongera sana Mzee, hakika wewe ni mtu mzma unatoka majibu yaliyoshiba.
@davidjoseph11435 күн бұрын
Hakufa alichukuliwa msukule but alifanikiwa kutoka kwenye kifungo hicho cha misukule.na ipo hivy inawezekan wanajua wachawi hya vzr
@Dipeson70010 күн бұрын
Huu msiba nimeukumbuka,tena Millard alipost😌
@nasrasway71439 күн бұрын
Ndio nakumbuka
@Dipeson7009 күн бұрын
@@nasrasway7143 😌😌😌😌
@victorianchimbi86409 күн бұрын
Ndiyo episode inaendelea
@agnesnicholaus849 күн бұрын
Si kwamba amekosa habari anatpatia mrejesho wa taarfa ilivyokuwa baada ya kufukuliwa maana tliachwa njia panda
@3leggedbird2229 күн бұрын
Mi nilidhani hii issue imekwisha
@phinias.zacharia565710 күн бұрын
Imejiludia hiii tena 😅😅😮
@madetetv657610 күн бұрын
Hatari sana hio kwakweli
@pendosailo19899 күн бұрын
DNA ndio inaweza toa majibu ya kweli... watakuwa walizika mtu mwingine.. mbona ni simple tu!!
@ibrahimalex49787 күн бұрын
Wapime vinasaba
@MbwiloJane-jj6hy7 күн бұрын
Nataman baba yangu afufuke mana siamin kama amekfariki had leo
@LoisoloiTailek6 күн бұрын
Sorry my dear
@dicksonpangani164410 күн бұрын
Mungu wa miujiza
@irenebeddah65247 күн бұрын
Dah.. kweli nimekuwa nayaona
@themanofGod1279 күн бұрын
Mara ya kwanza mzee mmoja alihojiwa na kukiri Robert kweli anashamba ila hawatampa auze ata kama amefufuka😂😂 leo mzee wa pili ambaye pia ni Baba mdogo wa Robert anadai kuwa Robert hana shamba ata atua mbili ,Sasa mbn kama wazeee wa Boma la Robert mnazidisha sintofahamu???? Na kwa mda uo uliopita tangu Robert kuonekana tutapataje kudhibitisha kwamba kaburi alikufukuliwa na kufanyiwa mabadiliko ili kuzima swala la ushirikina la kutaka kumdhumu Robert shamba ???? Maana Robert anadai shamba na ndiyo chanzo cha yote na yeye kurud????
@Frosita8 күн бұрын
Nimepata wasiwasi pia na.huyu mzee.manake alijibu jeneza lilivyokuwa wamezoea maana yake nini halafu akageuza kuwa yeye hafuatiliagi majeneza..
@HusseinAmiri-pp8dy8 күн бұрын
Nami nina mashaka na maelezo yake ukilinganisha na tukio na uhalisia
@rogatimushi6897 күн бұрын
Aisee kumbe ulimsikia yule mzee alivyokuwa anaongea kwa panic siku ile akasema hata kama amefufuka hapa hakuna shamba analo dai mm nina wasiwasi hawa wazee ni wachawi na ndio waliomchezea alafu baadae ikashindikana
@Frosita7 күн бұрын
@@rogatimushi689 Dunia inamengi tusali na kuomba tuu..na maiti iliyokutwa usishangae ni nyingine...ila.wangefukuwa ryt away ile siku tungeshuhudia maajabu
@khalifasultan267710 күн бұрын
Wamezika wamelewa hao,wamechanganya watu hao! Wamzike tena afufukee kulaleki,wanaleta habari za kiboko ya wachawi hapa!
@dicklenny19579 күн бұрын
Hahahahahah
@AngelMazola9 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@PhyinaElias-mu4wf8 күн бұрын
😂😂😂😂 dadekkk 🤣🤣🤣🤣 nmecheka kiboya
@Maxpaul-oi8pw7 күн бұрын
Sasa watu si waliangalia mara ya mwisho wakiaga na wakaona n yeye
@AfricaQueen10 күн бұрын
🤔🤔🤔✍🏽✍🏽Hii Tunawasiwasi hawa watueleze huyo ndugu yao alipata ajali ni kichwa kilipondeka? Kama ni ajali ni vigumu kumtambua kwa kweli kama ni mali mlicheza mchezo kununua maiti za watu 🤔mumzulumu Shamba ??? Kwa kweli tutajua ukweli wa haya yote mbona watu wa moshi mnaleta mambo ya kutisha jamani huko Kilimanjaro 🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️😭😭😭
@Kutaila9910 күн бұрын
Sikiliza kwa makini wewe
@hildagabriel100310 күн бұрын
😂😂kwanza sio Moshi ni Arusha @@Kutaila99
@dizzonofficial260010 күн бұрын
Nani kakuambia ni Kilimanjaro kuwa Makini ww😂😂
@deogratiusyudatadei56589 күн бұрын
Jifunze kusikiliza kwa makini
@AngelMazola9 күн бұрын
@dizzonofficial2600😂😂😂😂😂😂😂😂
@ukhutfatumah11549 күн бұрын
Innalillah wainnah lillah rajun daaaaa msiba mzito huu jamn daaaa Dunia hii inaenda kasi sana zaid ya sanaaa mzeeeee aelewi somo yupo yupo 😢
@remigiusrwechungula70479 күн бұрын
Mzee anaonekana kuna ukweli kijana alifanyiwa mazingaombwe
@themoredwamichano86368 күн бұрын
Maajabu kwakweli
@elbaricktv16328 күн бұрын
Kwan walivyofungua jeneza wakekuta kitu gan mbona hamsem
@asteriashios18527 күн бұрын
Wamesema wamekuta mtu anafanana nae robert
@NeemaMtui-xb1wf9 күн бұрын
Wakt robert anazikwa huyu robert aliefufuka alikua wapi😆😆
@lucypatrick78309 күн бұрын
Kwani wakati msiba unatengwa mpaka mke sijui anahudhuria ye Robert alikuwa wapi mpaka msiba unaisha
@Maxpaul-oi8pw7 күн бұрын
Alikuwa ngarenaro
@rashidmaulid731210 күн бұрын
Allahu aalam
@mcgabby9 күн бұрын
Au walikua mapacha aulizwe vizuri mama yao😂😂
@noahchepe80368 күн бұрын
😂😂Sasa mtangazaji unasema huyo ni kijana?
@zedekiahjulius65 күн бұрын
Issue pombe nyingi
@directorabiero3405 күн бұрын
Arusha mna epsode nyingi daaah😂😂😂😂
@loitengia421710 күн бұрын
Mwili ukae zaidi ya miezi minne bado haujaharibika duuh
@pendosailo19899 күн бұрын
Ajabu... eti ndio yule yule
@3leggedbird2229 күн бұрын
Itakua mgomba
@husnathabiti41149 күн бұрын
Mwezi
@HusseinAmiri-pp8dy8 күн бұрын
Hata nami nmestaajabu
@VionaMuthoni2894 күн бұрын
Wakenya tunajua kuwa watanzania hawakufangi😂😂😂mnazika baadae wanarudi,yaani utazika jirani leo kesho umpate kwako kukuomba chumvi😂😂😂
@Glorydavid24810 күн бұрын
Sasa hii ni miujiza ya mungu au miujiza ya shetan
@nasrasway71439 күн бұрын
Mzee kanichekesha eti afukuagi makabur so ajui
@janethjonas17005 күн бұрын
Huyu mzee kuna kitu anajua muangalieni vizuri
@JayUnique-r6c9 күн бұрын
Kwahyo kumbe akufufuka ila wamezik mtu ambaye siye
@JosefuNgasi9 күн бұрын
Haya ni maajabu je! Alifia wapi na dactari alidhibitisha?
@AsendeNyota3 күн бұрын
Meno yalibaki kweny jenezi
@nasrasway71439 күн бұрын
Hatari sana
@zepinashatibu51499 күн бұрын
Wenda tofauti watu wawili wawili
@chrixyaugust712710 күн бұрын
Robert mwamba sana😂
@TonyMasterog9 күн бұрын
Maasai wanafanana sana Hao 😅😅😅😅😅
@MrossoBarth7 күн бұрын
Mngemleta tu
@BONGOINMOTION8 күн бұрын
Miezi minne jeneza iharibike??
@irenebeddah65247 күн бұрын
Tutayaona Mengi dunia hii
@RenaldaZeramula9 күн бұрын
Waxhaga na wa Arusha kwa tamaanya ardhi ni shida. Mbona mbona mapori mengi tuu
@knowledgeispower11189 күн бұрын
Huyu mzee anaulizwa swali alafu anazunguka kutoa mazungumzo mengi duh
Kipind kile hawakufukua ndyo wmeleta mrejesho baada ya kufukua
@FatumaMombo10 күн бұрын
Mungu mkubwa
@zuberito.worldwide10 күн бұрын
😢
@zepinashatibu51499 күн бұрын
Mpimeni damu kujua ndiyo au siyo wenu
@FredMwamgogwa-td6ni9 күн бұрын
Hiyo arumeru kiboko kwa matukio.
@asteriashios18527 күн бұрын
Sasa huyo robert alizikwa kwenye shamba la nani na km siyo kwao kwanini mumzike sehemu ambayo siyo kwa baba yake ? Inaonekana robert alizikwa kwenye shamba lao yaani la baba yakemtakuwa mmemdhulumu shamba nyie
@EvangelistJsolomonMkwata9 күн бұрын
Wezi tu mmesha cheza na akiri za Robert
@melomusictz10799 күн бұрын
Huyu mzee anaongea kama mchungaji hananja kwa mbaliiiiiii
Sasa km ni msukule mbona kaonekana na kaburi pia Lina mtu anafanana
@Fofo-z6t5 күн бұрын
Kuna mambo yanaogopesha
@JulvanJulius9 күн бұрын
Mtangazaji awamu hii umezingua sana, yaani maswali ya msingi hujauliza, Huo mwili uliofukuliwa ulirudishwa tena kwenye hilo kaburi au ulipelekwa wap ? Umerudia kuuliza maswali uliyouliza kwenye Interview ya mwanzo
@EmilianMasheyo9 күн бұрын
Utakuwa hujasikia vzur mbona amesema kuwa mwili waliondoka nao Polisi
@UrassaGodliving-dm3lp7 күн бұрын
Wewe tu ndugu hujawa makini polisi walienda kuuzika pasipojulikana hapo wamezika mgomba
@aronmilinga73039 күн бұрын
Hyo anajua kitu, mbon hashtuki jmn . Kwl amezoea geneza kutooza miez 3. Anauzoefu na nn apo?
@victorianchimbi86409 күн бұрын
Jeneza linaweza lisioze, je binadamu anaweza kukaa miezi mi3 hasioze?
@victorianchimbi86409 күн бұрын
Mwili ulianza kuharibika police walijuaje anafanana mtu ameshaanza kuoza
@HusseinAmiri-pp8dy8 күн бұрын
Fuct
@Pascaltz9 күн бұрын
Tanzania sihami
@gabrielmchau87646 күн бұрын
Kwanini hawakufukua ilo kaburi siku ile ile alipopatikana, daaah
@RobertLyimo-vj3up9 күн бұрын
Wachukue DNA
@khalsasalim793010 күн бұрын
Ndugu mtangazaji hao walifananisha 😂
@ashurakodd15899 күн бұрын
Na nyie muelew mwili ukiwa kwenye udngo hauhribiki haraka kama vile ukiwa hewani kwa maana .
@FrankGasper-eq2ui10 күн бұрын
Uyu mwandish wa Millard Ayo akikosa habar bhana anakuja kutuletea mahabar tuliyoyasahau
@mwanaidimussa9 күн бұрын
Hiii yakufukua kabur sio mpya wew
@FredyRichard-q5n9 күн бұрын
Mh
@jumamustapha82549 күн бұрын
Kwahiyo maiti mwezi umefika haija haribika.
@victorianchimbi86409 күн бұрын
Hapo nimeshangaa na mm
@G-JMK6910 күн бұрын
Mchakato wa yeye kufa hadi anawekwa mochwari ulikuwaje? Aliuguzwa akafa? Walisikia ameuawa? Alipata ajali wakamchukua bila kumtambua? Nani alimpeleka mochwari? Ni ndugu au haijulikani?
@trophywilson721110 күн бұрын
Sikiliza Jamani
@yasintajoseph74959 күн бұрын
Anzia taarifa ya kwanza
@pendosailo19899 күн бұрын
Hawa wamezika mtu mwingine...na may be hawamtaki huyo Robert ndio wanasisitiza aliekufa ni Robert. Yani science iko wazi leo TZ tunazungumza vitu vya kusadikika.
@G-JMK699 күн бұрын
@@pendosailo1989 inashangaza
@salimlubuva98605 күн бұрын
Itakuwa alikuw na pacha wake. Majibu ya DNA wafuatilie.