ALIYEDAIWA KUFUFUKA ARUSHA AONGEA KWA HASIRA AKIWA NA MAMA YAKE, "LAZIMA AUZE SHAMBA"

  Рет қаралды 135,437

Millard Ayo

Millard Ayo

5 күн бұрын

Пікірлер: 365
@lovenesszedekia7814
@lovenesszedekia7814 3 күн бұрын
Jmn milard Ayo katika wafanyakazi wako ambao wanastahili kupokea mshahara mkubwa basi hyu Godfrey tomas anastahili pesa nyingi arusha kuna matukio mengi Sana na hyu ana kabiliana Sana na changamoto za watu jmn kama mnamkubali Godfrey nipeni like zangu na comment❤❤❤
@ANNATARIMO-qq1nl
@ANNATARIMO-qq1nl 2 күн бұрын
sio arusha tyu yan matyukio meng yupo on time apewe mauwa yake kwa kweliii
@MashakaMagesa
@MashakaMagesa 2 күн бұрын
Huyu mtangazaji Yuko vizuri na anaipenda kazi yake
@anoldjefsta177
@anoldjefsta177 Күн бұрын
Vido vidox pia
@RachelNathan-yv5zc
@RachelNathan-yv5zc 4 күн бұрын
Mimi kwaupande wangu naona huyo baba alizikwa kweri lakn sio kwamba alikufa kifo cha MWENYEZI MUNGU na mwishowake MUNGU aliamua kutowa sehem walikomfisha ili UKUU WA MUNGU uonekane kwamba uchawi sio kitu mbere ya MUNGU
@halunimnenwa5224
@halunimnenwa5224 4 күн бұрын
Miradi ayo naomba uyo robati awapele uko aliko kuwepo kipindi chote Cha msiba wake tujue alikua akiishi na nani uko
@ndorobocarworks-dx4pf
@ndorobocarworks-dx4pf 4 күн бұрын
Wachaw walikosea ubin haki yao kupata adhabhu
@StellaMwasha
@StellaMwasha 3 күн бұрын
Duuu kaburi kutetema coz wachawi walishindwa kumkamata
@esterpaul5856
@esterpaul5856 3 күн бұрын
Na walichelewa kumkata ulimi na kumpumbaza..ndo maana akatorok
@PendoMatemba
@PendoMatemba 3 күн бұрын
Kweli kabisa,, binafsi naamini unachosema
@GoodluckNjau-km3ym
@GoodluckNjau-km3ym 2 күн бұрын
Kufa na kufufuka sio jambo dogo ni yesu tu ndio alie weza hawa wengine ni maigizo tu wana tufanyia
@magefrenk6722
@magefrenk6722 3 күн бұрын
Mungu ameamua kujithibitisha kupitia Robert, kwakweli uchawi upo na Mungu yupo
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 3 күн бұрын
😂Sana kweli Mungu hajaamua
@evertheobald1811
@evertheobald1811 2 күн бұрын
Haswaaaa
@lilianluhasi311
@lilianluhasi311 Күн бұрын
Huenda walisababisha ili wamdhulumu
@JohanesFaustine-vn9sk
@JohanesFaustine-vn9sk 3 күн бұрын
Kati ya mwandishi anae kutana na majanga ya kihandishi ni uyu bro mwandishi wa ARUSHA
@FredMaulid
@FredMaulid 2 күн бұрын
Umeona eh huwa anaripoti matukio magumu na kushangaza utadhani Arusha siyo tanzania ni nchi nyingine maana wadudu wanamatukio hatari inahitaji muda mrefu kubalika pengine mazingira na malezi yamewaathiri
@jescaprojest7262
@jescaprojest7262 2 күн бұрын
Kabisa
@ramadhanihudhaifani4376
@ramadhanihudhaifani4376 2 күн бұрын
Huyu mzee anayegoma shamba lisiuzwe,anaonekana ana ROHO MBAYA MNO! Hata ongea yake,inaonesha ni mtu mwenye roho mbaya sana na chuki. Jicho lenyewe utadhan aligongwa na katapila. Mashamba yao wameuza wakala pesa. Ila shamba la Robert ndio wanataka asiuze ajenge! Shenzi kabsa. Robert,uza shamba lako! 😡
@suzysam6002
@suzysam6002 Күн бұрын
Kilimanjaro hawana tabia ya kuuza Mashamba ya nyumbani hata ufanyaje hiyo Ni desturi yao
@neemamollel6057
@neemamollel6057 3 күн бұрын
Wafukue ilo kaburi mi naona wmemzika mtu tofauti n.a. si yeye
@mataypanga5262
@mataypanga5262 4 күн бұрын
Serikali iwape vitambulisho vya NIDA wananchi wote ili tusiwe na sintofahamu
@mamafloraofficial4315
@mamafloraofficial4315 12 сағат бұрын
Aliyesikia neno" Mungu hafagi" gonga like hapa
@JULIUSNCHAGWA
@JULIUSNCHAGWA 3 күн бұрын
Hapa kuna mchezo rahisi sana umefanyika ngoja niwasanue 1: baba mdogo na mke wake ndo wamemuogesha marehemu. Baba mdogo ndo anataka shamba so kama alitengeneza jambo hvii 2:robart amekataa yeye hajawahi hata kugongwa na toyo SO JIBU HILI HAPA baba mdg alitengeneza uvumi wa kifo wakazika mtu mwingine kisha watammalizia robart huko huko alipo ila kabla hawajafanikiwa mwamba akarudiiiii😂😂😂😂😂😂
@user-zh8uf3wy2z
@user-zh8uf3wy2z 3 күн бұрын
Mawazo yako😅....
@Alexander-th3tn
@Alexander-th3tn 3 күн бұрын
Halafu jeneza lilikua linatingishika maana yake wamezika mtu ambae sie wa hiyo boma
@talents7934
@talents7934 3 күн бұрын
Yani mama anaonekana kama vile ndo mtoto wake marehem ila marehem anaonekana kama ndo baba yake na huyo mama kweli pombe inazeesha😂😂😂
@user-xh7xf2ki3r
@user-xh7xf2ki3r 3 күн бұрын
😂😂😂😂😂 kwa kweli 🙌
@user-et4ny5gj3p
@user-et4ny5gj3p 3 күн бұрын
😂😂😂😂.Pombe cyo maji jamani
@jescaprojest7262
@jescaprojest7262 2 күн бұрын
Yaan nimeangalia Zaid ya mara 10 sielew km huyu mama n mwanae 😂😂😂😂
@user-sv3sv4xd1q
@user-sv3sv4xd1q 4 күн бұрын
Mama hawezi kumsahau mwanae kama wamemuogesha na kumvalisha ndugu yao kweli washindwe kumtambua? Mama amekiri haikuwa imeharibika hapo itakuwa kuwa kuna mkono wa mtu.
@hollocolletha6519
@hollocolletha6519 3 күн бұрын
Aliefufuka Ni yesu pekee mwana wa MUNGU Alie hai. Huu mwingine Ni uongo tu.
@mwanawataifa4889
@mwanawataifa4889 2 күн бұрын
Ulichoandika kimechanganyika ukweli na uongo Jifunze vizuri juu ya kufufuka hata kwenye biblia sio Yesu peke ake Zakayo pia alifufuka
@realmeamyna30
@realmeamyna30 2 күн бұрын
Nilitamani kujua zaidi kuhusu yeye mfano aliondokaje na ni nn kilimfanya aondoke nyumbani vipi kuhusu familia yake mara ya kwanza kutoka nyumbani alienda kulala kwa nani na mpaka anarudi nyumbani alitoka kwa nani??? Na huko alikua haiwazi familia yake???? Na vingine vingi Kijana andaa maswali na ujipange kisawa sawa unapoenda kuhoji mtu bana na wewe BINAFSI NIMEKOSA VINGI NILIVYOTAMANI KUVIJUA NA MTIRIRIKO WA MASWALI..
@sund2553
@sund2553 4 күн бұрын
Kazeeka kuliko umri alionao…….anyway itakuwa walimtengezea kifo wamzurumu hakiyake
@peninashungu6633
@peninashungu6633 3 күн бұрын
😂😂Jaman raha Sana duniani raha Sana, sasa huyo robat alikuwa wapi wakat wa msiba wa robat mwenzie😂😂
@teddyndungurusabnu4792
@teddyndungurusabnu4792 3 күн бұрын
huyo baba mdogo ashikiliwe kafanya mpango kwa kufeki Maiti ili ionekane kafa auze shamba na lengo lilikua wamsake huyo kaka aliesingiziwa kufa ili wamuulie hukohuko pasipo ndugu kujua coz walishajua wamemzika ba mdogo mpuuzi
@Chrisblaze-beats
@Chrisblaze-beats 4 күн бұрын
HahahH marehem anatugombeza😂😂 ( natania tu) ila hii duniaa😢
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 3 күн бұрын
😂😂
@abdulllyhussein3224
@abdulllyhussein3224 5 сағат бұрын
😂😂😂😂 nmecheka
@user-tv6jj3gt3i
@user-tv6jj3gt3i 4 күн бұрын
Nmependa hiyo ongea ya mama apo. Et eeeeh eeeh eeeeeh eeeeh 😂😂😂
@chocolatekalex1631
@chocolatekalex1631 4 күн бұрын
😂😂😂😂heee heeee
@adolfmathew9698
@adolfmathew9698 4 күн бұрын
Iyo ni kiarusha eeee eee ee kuitikia yan anajijibu ivyo yan
@Pretty22750
@Pretty22750 4 күн бұрын
Keja doii mpaka kaongea lugha ya nyumbani 😂😂😂😂😂😂eehh eehh eehh shikilia hapo hapo
@Zainab-qg6xv
@Zainab-qg6xv 3 күн бұрын
Ila mtoto kazeeka kuliko Mama
@novahrappertz2990
@novahrappertz2990 3 күн бұрын
​@@Zainab-qg6xvsasa mtu alishakufa kaja kufufuka c lazima amzidi mama uzee😂😂😂
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 4 күн бұрын
Kwa hiyo sio kila aliepotea inakuwa ni kweli mfano walie mzika ni marehemu Wa wapi sasa maana robart huyu hapa je aliezikwa ni Wa Kwa nani?
@user-gv8yn9lg1i
@user-gv8yn9lg1i 4 күн бұрын
Uongo, kuna uhuni umefanyika, hilo shamba yaani hata auze kwa laki moja sinunui 😮😮😮
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 3 күн бұрын
😂😂😂😂😂kweli dah laki moja
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 3 күн бұрын
Yaani ata mtu anunui labda asiye jua😂
@hanifamasudi9732
@hanifamasudi9732 4 күн бұрын
Labda nipacha bila kujua masikini 😢😢
@aby21111
@aby21111 4 күн бұрын
Let the higher authority deal with the situation.
@user-uf7oh5eu4v
@user-uf7oh5eu4v 4 күн бұрын
😢so sad
@Rose-ue2ho
@Rose-ue2ho 4 күн бұрын
Sasa kama mwenye kaburi kakubali kaburi lake lifunguliwe kwanini hawafungui???😅
@elizabethmiho9574
@elizabethmiho9574 3 күн бұрын
😂😂😂
@rosehaule6765
@rosehaule6765 2 күн бұрын
Sura mama jamani sura za walevi waliopindukia kama kaka robert hapo uwaga wanafanana samahani kusema hivi lakini mara nyingi uwa wanafananaga kama huyo.marehemu mliyezika na yy alikuwa chapombe lazima wafanane😂😂 tena hasa wachqga wanafanana😂😂 mmezika.mtu siye buana fudueni kaburi kwa kibalk cha serikali basi mtapata jibu DNA itajibu
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 4 күн бұрын
Mungu amemsimamia na mizimu ya kwao
@JohnJoseph-qq7ow
@JohnJoseph-qq7ow 4 күн бұрын
MUNGU achangamani na mizimu
@chocolatekalex1631
@chocolatekalex1631 4 күн бұрын
Afu mimi ninavyoona jamani nipo DRC lakini ili picha lilitengenezwa n'a wale ambao wanataka kumuzulumu robert shamba maana mukifata kwa umakini alieleta habari ya kifo kwa Mara ya kwanza ni BOSCO n'a huku nyuma mama anasema kwamba...n'a yule mtoto wake bosco kwa maana kwamba bosco ni mtoto wa uyo mzee anaesema shamba aliuzwi ambae mama anasema sasa ivi Hana makao nipo DRC🇨🇩
@naomisamwel18
@naomisamwel18 4 күн бұрын
Robert sijasikia km unamke😅naomba nije uniowe tusaidiae kupambania shamba
@DM.2200
@DM.2200 4 күн бұрын
​@@naomisamwel18 Ila nimesikia kasema yupo na watoto wawili upo tyar kuwa mamdo 😂😂
@lucymbena2538
@lucymbena2538 Күн бұрын
Bosii na babaake hawakumlipa mganga walimzulumu 😅pesa yaka 😂akaamua kurudisha mwenyeshamba ambae Ni Robert Safi Sana
@marcelinabwakila7049
@marcelinabwakila7049 2 күн бұрын
Baba mdogo nae aache mbamba! Mbona mashamba yake kauza
@user-dh6oc7um6f
@user-dh6oc7um6f 3 күн бұрын
Kumbe baba mdogo kauza mashamba yote sahiv anamnyima robart kuuza shamba yake kumbe kauza yake kala na mtoto wake bosco manina robart tuko na wewe lazima shamba liuzwe bt mimi sitalinunuwa hata kama unauza buku
@peninashungu6633
@peninashungu6633 2 күн бұрын
Nenden hospital kaulize kama walipokea mait uwe mchunguzi
@marcelinabwakila7049
@marcelinabwakila7049 2 күн бұрын
Baba mdogo nae aache mbamba! Mbona mashamba take kauza
@halimatutupa3149
@halimatutupa3149 3 күн бұрын
Robert sijafariki kabisa😅 jomn marehemu wa moto😂😂
@muddywatown
@muddywatown 3 күн бұрын
Huyu akili itakua washazichezea au kashaziacha huko 😂😂
@OmarAyman-pn6ck
@OmarAyman-pn6ck 3 күн бұрын
😂😂😂😂
@magdalenashayo1256
@magdalenashayo1256 3 күн бұрын
Eeeeeee
@waltermachange7300
@waltermachange7300 4 күн бұрын
Chimbeni kaburi kama kuna mtu, tujue ndo muvi iendelee
@user-bz7kg2lr3f
@user-bz7kg2lr3f 3 күн бұрын
🤣🤣
@techsavvyswahili
@techsavvyswahili 2 күн бұрын
Nikajua washachimba tupate update
@MariamKileo-mu8rv
@MariamKileo-mu8rv 3 күн бұрын
Na hapo baba mdogo amehusika kabisa
@benancejohn1198
@benancejohn1198 4 күн бұрын
Hata kama jamaa alifariki na akafufuka kweli,anaweza kufa tena kwa stress kutokana na changamoto alizonazo.
@Rose-ue2ho
@Rose-ue2ho 4 күн бұрын
😂😂
@nafuwswedi2465
@nafuwswedi2465 4 күн бұрын
Yaani😂😂😂😂,sababu ni Kama wanataka afe kweli
@hyy4114
@hyy4114 4 күн бұрын
😂😂😂asije akajinyonga tu
@OmanOman-ns3iw
@OmanOman-ns3iw 4 күн бұрын
😂😂daah
@OmanOman-ns3iw
@OmanOman-ns3iw 4 күн бұрын
​@@Rose-ue2honimecheka kama mazur
@johnteonas3144
@johnteonas3144 3 күн бұрын
Mama is beautiful
@Yanarichbiz
@Yanarichbiz 3 күн бұрын
Black cute
@danielthomasmsigwa31
@danielthomasmsigwa31 3 күн бұрын
Kila linapotokea hili najitahidi ku-comment kuipuuza kauli ya biblia kunafungua milango ya mapepo; kitabu hiki muhimu sana kwa sasa "mtarudia udongo..." mwakani(2025) duniani kote masheni yatachukua maumbile ya wapendwa wetu waliofariki hata maraisi wetu tuliowapenda wataigizwa na pepo na kutuhutubia tutawashangilia. Ujumbe wao utakuwa kuiheshimu JUMAPILI
@MandoliiMoshi
@MandoliiMoshi 4 күн бұрын
Jaman eleweni arusha kuna vita sna ya mashamba mana wanauza mashamba sana ndomana wanalogana na kimazingira uyu jamaa n ndugu wamemchezea ila uyu jamaa yuko na nguvu ya mungu
@user-et4ny5gj3p
@user-et4ny5gj3p 3 күн бұрын
Marehem kazeeka kuliko mama yake dah.Hii noma sana
@waduduinctv6537
@waduduinctv6537 4 күн бұрын
Hatari
@user-wv1pu4jo3k
@user-wv1pu4jo3k 2 күн бұрын
Huyo mungu anampenda ashike ibada sana
@GiftMwandosya-uf7pf
@GiftMwandosya-uf7pf 14 сағат бұрын
Eeeeee, MUNGU wangu ninaomba nawangu aonekane leo, kwani ninaamin katika wewe ameeeeeeen.
@juliusmlula1658
@juliusmlula1658 3 күн бұрын
Yule waliomwona mwochwari alikuwa Hana kovu na chanzo Cha kivo ni ajali so Robati hakufa alikuwa zake mjini familia walinda mwochwari kuchukua marehemu mwingine na kumzika
@user-zh8uf3wy2z
@user-zh8uf3wy2z 3 күн бұрын
Niseme nini mungu wangu......
@michaelismail5572
@michaelismail5572 Күн бұрын
Mtangazaji,uko sawa lkn sisi kama waganga wa Tiba Asili,hapo tu tunaona huyo Robert unamhoji lakin bado ni mtu nusu Ushauri maalum; wazazi watafute mganga anayejuwa dawa,robert arudishwe rasmi awekewe na kinga lasivyo hata akaishi hatakuwa na akili timamu maana wachawi wanaogopa akirudi kumbukumbu atasema yote
@DotoLemako-np3lp
@DotoLemako-np3lp 3 күн бұрын
Mbona Robert ni mzee kuliko mama yake, hakufufuka aisee walizika mwili ambao sio yeye
@IssaSandali-tk2zp
@IssaSandali-tk2zp 2 күн бұрын
Big up bro Godfrey
@pendosailo1989
@pendosailo1989 4 күн бұрын
Huyu anaonekana ni mtu wa kilaji kile cha nanii...so kutokuwa sawa kwa mtu wa namna hiyo ni sawa. Swala la kufa au kuchukuliwa msukule sio... huyu alikuwa na misele yake huko..hawa wamezika mtu mwingine..hapo serikali ifukue wakazike kiserikali manispaa.
@ShukraniChomolla
@ShukraniChomolla 4 күн бұрын
Swali la kujiuliza wamuulize kipindi msiba unatokea yeye alikua wapi maana na yeye si mwanafamilia? Au huo msiba hakuusikia
@vickytango5591
@vickytango5591 4 күн бұрын
@@ShukraniChomolla 😂😂😂😂😂😂
@doreenemanuel6024
@doreenemanuel6024 3 күн бұрын
Dah
@emmanuelmasemba7612
@emmanuelmasemba7612 Күн бұрын
Wafukue kaburi , tuone kilichozikwa tujifunze kitu Kwa sababu tunaskiaga tu Imani hzo zipogo, mara saa mnazika marehem anakua kafichwa mahali pale kina kua kimvuli tu
@user-zr9sj8sf3w
@user-zr9sj8sf3w 4 күн бұрын
Hiyo eeh,eeeh,eeeh,eeh, sas 😂😂😂😂😂
@florianhenry7198
@florianhenry7198 3 күн бұрын
Maitu ufa na chake mpen AUZE BHANA
@BIGCHENDREADLOCKS
@BIGCHENDREADLOCKS 4 күн бұрын
Mi naona bora ata kabla ya kufukua kabuli awapeleke uko kwa aliko kua anaishi huo mwezi mzima jaman😢😢
@MsAisha-w4o
@MsAisha-w4o Күн бұрын
Wamezika kivuli mungu wangu duh kweli ... uchawi upo..ila mungu mkubwa..🙆🙆
@techsavvyswahili
@techsavvyswahili 2 күн бұрын
Umechukuliaje taarifa za kifo kajibu nimependa 7bu Mungu hafi. Any way naona kuna uwezekano hicho kijiji watu wengi chanel hazisomi
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 3 күн бұрын
KUMKISIA MTU ZAMBI RAKINI YULE MZEE ANAYOSEMA ATAKAMA KALUDI SHAMBA AUZI YULE MZEE BABA MDOGO WA MCHAWI NA ALIMUUA KIMAZINGALA KWA TAMAA 😂😂😂
@jenipharobert9694
@jenipharobert9694 9 сағат бұрын
Hyu anahitaji maombi sana hakuna vita mbaya kama vita ya ardhi safar hii watamuua mazima kama hataomba sana. Hyu baba mdogo anaonekana kuna kitu anajua kujusu hiki kifo
@user-yt5wg3yy8b
@user-yt5wg3yy8b 4 күн бұрын
Huyo mzee anamdhulumu mnyonge shamba mpaka anamfanyia mazingaumbwe ya kifo ndugu yake! Dunia imeisha dhambi dhambi. Jamii iwashughulikie huyo mchawi waache dhuluma Kwa ndugu yake
@olivernyange2349
@olivernyange2349 4 күн бұрын
😂😂😂 mbavu zangu Arusha shkamooni wote!!
@upendotarimo2965
@upendotarimo2965 3 күн бұрын
Marahabaaaa
@magdalenashayo1256
@magdalenashayo1256 3 күн бұрын
Eeeeeee
@user-uf7oh5eu4v
@user-uf7oh5eu4v 4 күн бұрын
Marehemu anataka uza shambaaa😂😂
@JanethManga-c1w
@JanethManga-c1w 3 күн бұрын
Mchongo huo...watu wa huko tunaelewa
@Mzunah
@Mzunah 4 күн бұрын
Mara walimtengenezea kifo cha uongo ili wamdhurumu shamba tu Any way kabla hamjafukua ilo kaburi awapereke aliko kuwa anaishii.
@gfydfdf8869
@gfydfdf8869 4 күн бұрын
Arusha Kuna matukio ,hata kiyama kitatokea kwanza Arusha,ndio Mungu ataruzu ulimwengu mzima ,haya maisha tumuishie Mungu tu,
@user-tk4ej5hx2q
@user-tk4ej5hx2q 3 күн бұрын
Arth inafanya watu watoane roho jmn
@PendoMatemba
@PendoMatemba 3 күн бұрын
Huyu baba mdogo ni mchawi
@user-wv1pu4jo3k
@user-wv1pu4jo3k 2 күн бұрын
Mungu nimkubwa
@sarahgilbert1084
@sarahgilbert1084 3 күн бұрын
Robert anaonekana cha pombe😅
@RamadhanMabwabwa
@RamadhanMabwabwa 3 күн бұрын
Amefufuka katika wafu😂😂😂
@JosephineMbelwa-jy3qy
@JosephineMbelwa-jy3qy 2 күн бұрын
Mama mzazi wa Robert eeeh eeeh 😂😂 unaniuwa mbavu zanu eeeh😂😂 eeeh eeeh eeeh eeeh😂😂😂
@vivianfortunatus5518
@vivianfortunatus5518 Күн бұрын
🤣🤣🤣🤣
@ProsperReuben-fg6uh
@ProsperReuben-fg6uh 3 күн бұрын
Duuh sipat picha ngwajima angekua na mkutano arusha ingrkuajee angechukua maujiko balaaa
@emmy2449
@emmy2449 2 күн бұрын
Huu bwana anaongea kweli mim pia hii sura sio geni Kama nimemwona maeneo ya ngarenaro kambi ya fisi hao walizika mtu mwingine huyu bwana nimeshawahi kumwona na sio zaidi ya Mara moja
@jimushijoseph2408
@jimushijoseph2408 2 күн бұрын
Haya ni mambo ya kishirikina kabisa. Alihamishwa tu kimazingara.Adui zake ndio waliofanya hayo.Waache.
@bensonwissa5777
@bensonwissa5777 4 күн бұрын
Vipi michango yetu irudishwe😅
@Yanarichbiz
@Yanarichbiz 3 күн бұрын
Mama ana ngozi nzuri sn
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 4 күн бұрын
Hlf huyu jamaa kama dishi limeyumba au ni mimi
@esabelfadhili8432
@esabelfadhili8432 4 күн бұрын
Hayupo sawa huyu...
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 4 күн бұрын
Nimeona pia mimi,naona haxipo xote.
@johnkiimbila6799
@johnkiimbila6799 4 күн бұрын
Hapana Yuko timamu.
@johnkiimbila6799
@johnkiimbila6799 4 күн бұрын
​Yupo sawa, sema anaonekana ni mywaji sugu wa pombe kali.
@andrystephan5869
@andrystephan5869 4 күн бұрын
Mtu kajibu maswali sawaa unaona hayupo timamu Broo duh!! Binadamu🙌
@salumualoyce5620
@salumualoyce5620 Күн бұрын
Mama kijana,mtoto ndo mzee.
@user-uf7oh5eu4v
@user-uf7oh5eu4v 4 күн бұрын
Daaaah hii ni magic 😢daah
@joycekalago532
@joycekalago532 3 күн бұрын
Yaan ni maajabu sana aliezikwa anasema yeye hajawahi kufariki😢😢
@user-xh7xf2ki3r
@user-xh7xf2ki3r 3 күн бұрын
😂😂😂 jaman mama kuitikia huko kunachekesha yaan
@FloraChuja
@FloraChuja 2 күн бұрын
Hii ndo nchi ya Arusha barani Tz😂 hii ni maajabu😢
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 Күн бұрын
Hapo kuna namna aliyetoa taarifa za msiba ni mtt wa bamdogo aliyekagua mwili ni bamdogo anaeuza mashamba ni bamdogo nyie mmegundua nini hapo hebu tujailiane kidogo mimi naona Robart alitekwa na jimama la pombe za kienyeji likamtumia huko mjini wakajua hatarudi bora wamzushie kifo😢
@kalebphilip3426
@kalebphilip3426 Күн бұрын
Huyu jamaa Kama vile ufahamu wake sio mzur atakuwa na shda
@prezgal8869
@prezgal8869 3 күн бұрын
Mwandishi nae hamuogopi marehemu
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g 4 күн бұрын
Huyu dishi limelegea kidogo inabidi likazwe
@Pretty22750
@Pretty22750 4 күн бұрын
😂😂😂😂Nauza nauza eeh eeh this life no balance
@aloycekiwia8613
@aloycekiwia8613 4 күн бұрын
Jamaa amezeeka kuliko Mama yake
@estermathias8354
@estermathias8354 3 күн бұрын
Inatokea tu hata mimi kuna kaka yangu amesema kuliko mama
@winiemajengo1679
@winiemajengo1679 3 күн бұрын
nami nimeona aiseeee
@suzanambatta1126
@suzanambatta1126 3 күн бұрын
Huyu ni cha pombe anaonekana
@chocolatekalex1631
@chocolatekalex1631 4 күн бұрын
Jamani mungu anisamehe inasikitisha kidogo lakini iyo heee ya maman jamani inaniweka hoi heee!!! Heee!!😂😂😂
@adolfmathew9698
@adolfmathew9698 4 күн бұрын
Kiarusha kichuga Iyo
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 3 күн бұрын
Anaongea kama wamasai
@user-ex9sd8wm4l
@user-ex9sd8wm4l 3 күн бұрын
Allah aqbaru
@hosea7919
@hosea7919 3 күн бұрын
Mtoto anazeeka kuliko mama
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 3 күн бұрын
Gongo aisee siyo maji ya kunywa😂
@doreenlema7612
@doreenlema7612 Күн бұрын
hakuzikwa yeye alifananishwa na ndo sababu Jeneza lilitingishika walizika mtu sio ndugu yao
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 4 күн бұрын
Lilitingishika maana mmezika mtu ambae sio Robert fukueni kaburi muone kilichopo
@cosmatitus5509
@cosmatitus5509 4 күн бұрын
Jamaa anatoa majibu marahisi sana kwenye maswali magumu
@winiemajengo1679
@winiemajengo1679 3 күн бұрын
umeonaeee 😂😂😂😂😂😂😂
@omytifa6403
@omytifa6403 3 күн бұрын
😂😂😂
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 3 күн бұрын
How sure huyo ni yeye pia, 😢. Cause by listenin him seem like he is not normal.
@user-vo3wk9yr7k
@user-vo3wk9yr7k 4 күн бұрын
Mbona mama anaonekana kijana kuliko mtoto wake?? Au mnaonaje jamani
@dfinalpatrick8555
@dfinalpatrick8555 3 күн бұрын
Amejitunza
@HappyAsajile
@HappyAsajile 2 күн бұрын
Daaa sikutegemea kam ungempata uyu mwe asant sana ayo tv
@lusajomwakajoka4955
@lusajomwakajoka4955 4 күн бұрын
Nauza nauza kabisaaaa😅😅😅
@omaryjudasymwanga7172
@omaryjudasymwanga7172 Күн бұрын
Mamae huyo mzee kweli bora walikwaruzana na mganga akarudisha mnyama hewani yeni yeye zake auze ale kapesa alafu za robart ajenge watakuja kuishi wote au?, ampe jamaa uhuru sasa kama maishe yenyewe ni hayo robart anajengaje kama sio kumcheka mtoto wa ndugu yake kuna mdada anataka kuvaa mabomu nemda na mimba kabisa ili deal liwe sawa dadeki mdada naomi wahi fursa ila jipange kati yako na mwimba kimoja kinakufa maana baba mkwe sio mchezo
@user-co4li6bn6m
@user-co4li6bn6m 4 күн бұрын
Huyo mama alifananisha kwa kiwewe cha familia.
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 4,7 МЛН
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 4 МЛН
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН
PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI  | Love Story
40:44