Рет қаралды 48
Siku moja baada ya Serikali kutoa takwimu za matukio ya utekaji yaliyofanyika tangu kuanza kwa mwaka huu, baadhi ya wadau wamekuwa na mitazamo tofauti kutokana na kauli hiyo ya Serikali.
#AzamTVUpdates
Mhariri | Alpha Swai, John Mbalamwezi