Siri ya Utajiri ni Kuwa na Vyanzo Vingi Vya Mapato - Eric Shigongo

  Рет қаралды 95,329

Hamasika Tv

Hamasika Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 153
@amansamson-335
@amansamson-335 Ай бұрын
Ili uweze kufanikiwa unatakiwa uondoe akili ya kushindwa kwenye kuanzisha biashara yako
@DrMbonea
@DrMbonea Ай бұрын
Haya ni mawazo ya kitajiri kama una akili za kimaskini huwezi muelewa shigongo
@yoratusndambo8495
@yoratusndambo8495 3 ай бұрын
Safiii sana kaka Eric. Somo la ubosi,heshima.
@vincentmutugi4597
@vincentmutugi4597 2 ай бұрын
This is very true, most people are sinking in the ego of being educated and end up retering poor and become sources of problems in the society. I agree education alone is not enough,but rather let us use our education as a foundation to build multiple sources of income. people without education must use their physical energy to build sources of incomes...i encourage those who not educated that,not only education is the way to life,but good plan and acceptance. Above all put God first in everything and the doors will open 👐
@hamasikatv
@hamasikatv 2 ай бұрын
Asante kwa maoni yako Tuendelee kujifunza
@amourmtungo623
@amourmtungo623 2 ай бұрын
🤔Kweli, hao wanaosema ni kudra za Mungu kwani Mungu kakataza kuwa na vyanzo vingi vya mapato? Hakika Hii ni elimu nzuri kwa wote Asante kwa kuchangia🤝
@mochemba
@mochemba Ай бұрын
Masikini wa akili hao hata uwape milioni mia tano bado watakufa masikini maana hawana akili ya kusema wanataka watoke kimaisha bali watabaki kusema Mungu ndo anajua. Ukiona mtu kila kitu yeye ni anaongelea Mungu Mungu jua huyo ni masikini kuanzia akili hadi maisha, tajiri anawaza kuongeza vitega uchumi masikini anawaza maombi kuwa ndo yatamsaidia. Usiombe uwe na akili za kimasikini kwenye hii dunia.
@JumamohamedJuma
@JumamohamedJuma 9 күн бұрын
Nice😅😅😅
@MungeteMwampulo
@MungeteMwampulo 2 ай бұрын
Asante sana mh Shigongo, kwa kutemà madini.
@PrinceWasa
@PrinceWasa Ай бұрын
Mafunzo ya ajabu ajabu haya, kuna watu hawana hela wala kazi, wafundishe hao namna yakupata hizo vyanzo vya mapato,naona unachofundisha ni kwa wale wanahela tayari ila unataka waongeze kipato zaid.unaruka hatua kubwa sana bro
@amirigogolo6004
@amirigogolo6004 Ай бұрын
Elimu hii mbunge wetu ipeleke kwa wananchi wako wa buchosa watakushukuru sasa....haswaa vijana kama sisi...
@arnold9406
@arnold9406 Ай бұрын
Acheni kumtupia mungu kila tambala bovu, mungu amekupa akili na maalifa ndio maana amekuumba binadamu tumia hivyo vipaji, ukisubilia mungu aje na mkongojo kuja kukupa wewe maalifa utangoja saana, kwahiyo mr Eric upo sahihi.
@colinlegend191
@colinlegend191 Ай бұрын
Kabisaaa mungu alishatubariki tangu kuzaliwa kwetu kilichobaki ni sisi tuu kupata maarifa ya kufanikiwa kwa maana mafanikio sio nguvu bali ni maarifa
@mochemba
@mochemba Ай бұрын
Ujue kuna watu watakufa masikini wamekuta familia zao ni masikini na wao pia wanaendeleza umasikini, kwa kuamini kuwa Mungu Mungu ni lini mtu alikuwa amekaa ndani akasikia sauti ikimwambia kuanzia Leo nakupa utajiri, na huu upumbavu Afrika umetujaa Sana kila kitu utasikia Mungu hiki hapendi mara mambo kibao wazungu hao hao walioleta dini hii wanachapa kazi huwezi kuta mzungu akiongelea Mungu kwenye utafutaji. Sasa mtu anapewa madini yeye anasema Mungu ndo anatoa. Mm naamini kweli kutegemea kitega uchumi kimoja ni kweli huwezi fanya Jambo, ukitegemea mshahara tu siku kazi ikiisha ndo wale hujiua maana hawana cha kuwaokoa. Shigongo mm nakuelewa na hii sio inspiration kama wale wanaosema eti nilianza na mtaji wa elfu tano leo namiliki kampuni, Lkni hapa anamaanisha pale ukiwa na kazi Jitahidi kuwekeza.
@KHALIDKIRAMA-iq6en
@KHALIDKIRAMA-iq6en 3 ай бұрын
Siri ya utajiri ni Qadari ya MUNGU
@SaimonKazimoto-xt1zo
@SaimonKazimoto-xt1zo 2 ай бұрын
Subri Ivo Ivo uone
@bakariomary5781
@bakariomary5781 2 ай бұрын
Haya mzee alafu wanaofanikiwa useme wachawi na ma-freemason😂😂😂😂subiri Qadar watu wenyew wa nchi za nnje Wanagundua mavitu kila kukicha kwakua wanajua maisha yetu yanahitaji pesa kwa kila kitu
@ElishadBashiru
@ElishadBashiru 2 ай бұрын
Mungu anaweza ibadilisha qadar Yako lakini kwakumuomba Boss
@KIDUCHUCASHPOINT
@KIDUCHUCASHPOINT 2 ай бұрын
😢😢😢
@WechuliMakokha
@WechuliMakokha 2 ай бұрын
Kwenye utajiri hamna mungu wala dini ila bidii tu
@mkambaselemani-ej7np
@mkambaselemani-ej7np Ай бұрын
Bwana na cc wa bupandwa na mwangika tupo na wanyakato meco tekila! Punguza ungenge
@geraldnkya4732
@geraldnkya4732 2 ай бұрын
Kaka ni kweli hili lipo kibiblia kabisa ili SoMo tumefundishwa ,mtumishi Mwl Onesmo wa Mbingu Duniani ministry _na misitari ya Bible hii mwanzo13:2; 2mambo ya nyakati 17:12-13. Zabur 1:3;mwanzo 2:10-11. Kaka nimekuelewa Sana!!
@jumamrisho1389
@jumamrisho1389 Ай бұрын
Nimependa Sana comment yako nalipataje hilo somo ndugu
@roseasimwe827
@roseasimwe827 Ай бұрын
Mwenyezi Mungu nisaidie nipe kitu kingine cha kufanya tofauti na mshahara
@adelmarcymallya772
@adelmarcymallya772 Ай бұрын
Mm ni mwalimu ila napika bites,cake,nna duka,nafanya oda mbalimbali za chakula ko inawezekana
@lucasmgalula8022
@lucasmgalula8022 11 күн бұрын
Maombi yako Ni Kama yangu dada inaumiza Sana kutegemee mshahara pekee yake hatutoboi Siri ya utajiri Ni kuwa na vyanzo vingi vya mapato aisee
@barikislaa80
@barikislaa80 6 сағат бұрын
Fact
@kombomvungi730
@kombomvungi730 2 ай бұрын
Sawa, tuna vianzishaje? Na mtaji ndo kamzozo? Hebu zungumzia swala la mtaji.
@KhamisBakar-i4i
@KhamisBakar-i4i Ай бұрын
Ela ulo nayo ni mtaji wa kitu chengine
@frankbubahe
@frankbubahe 26 күн бұрын
Uza CMU fuga kuku
@fadhilikibinda845
@fadhilikibinda845 14 күн бұрын
Mungu ametujaalia akili, so lazima uitumie vizur
@christagosbert2676
@christagosbert2676 3 ай бұрын
Sijawai kujuta kufatilia na kusoma vitabu vyako since I was 17 years age till now🤗 you are blessed na umeeleweka mnoo🎉🎉🎉🎉
@Le0nardLeonardjmsomba
@Le0nardLeonardjmsomba 15 күн бұрын
Nimeelewa sana naamin ntafanikiwa kwa kuyafanya haya
@gracenunu6108
@gracenunu6108 2 ай бұрын
Asante sana kwa somo zuri,barikiwa
@mathiasmateru9977
@mathiasmateru9977 2 ай бұрын
Somo zuri sana We have to change and to act immediately.
@ayubuayubu2811
@ayubuayubu2811 Ай бұрын
Upo sahii sana ..kaka
@leonardmisalaba7946
@leonardmisalaba7946 3 ай бұрын
Hii nimeipenda bwana shigongo
@elizabethmhapa3658
@elizabethmhapa3658 Ай бұрын
Asante sana nimekuelewa
@erastosanga1694
@erastosanga1694 2 ай бұрын
Yesu mkombozi wangu hakika nitafanya,Amina.
@kevinmary7129
@kevinmary7129 Ай бұрын
Tafuta Mungu na fanya kaz na biashara usiwe maskini sio dhambi
@magdalenamoro7629
@magdalenamoro7629 2 ай бұрын
Asante sana mchungaji.ni kweli kabisa, chanzo kimoja chamapato ni muhimu sana.😊
@MdOmane-yg9gi
@MdOmane-yg9gi 2 ай бұрын
Nimekupata vizuri na nimekifunza kitu...
@ChristerKoku
@ChristerKoku 2 ай бұрын
Husimuache,jusimdhalilishe,husimdhiaki siku ukifanikiwa ukaanxa kupata mlichochuma wote.Ahsamte kws elimu nzuri kufanya kazi mbalimbali utafanikiwa.
@leonardgachenia2200
@leonardgachenia2200 2 ай бұрын
Uko sawa mzeia, nitajitahidi
@robertamos3646
@robertamos3646 3 ай бұрын
Umeeleweka sana.Bravo.
@adinaismail118
@adinaismail118 Ай бұрын
Imdet
@trillhappybeautypoint9874
@trillhappybeautypoint9874 15 күн бұрын
Asante sana👏
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 21 күн бұрын
Ok
@myself4128
@myself4128 2 ай бұрын
Tanzania Hakuna Mfanyabiashara Kuna wapiga deal tu,Huwezi kuwa na Biashara 30 Ukajiita mfanyabiashara,Wahindi wanakuja Bongo wanafanikiwa kuliko wazawa wao wanabobea katika biashara Moja mpaka wanaimudu, sababu Mzawa amelala usingizi na Serikali Yetu ni Kama Shamba la Bibi walowezi wanakuja wanafungua Biashara ndogo ndogo kwa mitaji mikubwa ambazo Wazawa walitakiwa wafanye kwahiyo Hatuna Wawekezaji pia bali Tuna Walanguzi tuu,mfanyabiashara Lazima uwe na Speacialty au Biashara ama huduma maalum unayotoa sio mara vitunguu mara mikate mara boda boda mara Mikaa ni Vurugu tupu ukifa nani ataendeleza upuuzi wako huo??lazima mtoto arithi biashara fulani ya familia ambayo ameikulia na kuimudu na pia Serikali yetu lazima Tuilazimishe iwe na Sera zinazohamasisha wananchi waachane na Uvivu na Umaskini kwa kuwapa mikopo na kuondoa Tozo pumbavu za watu wa chini na pia kuwalinda sehemu zao za Biashara
@mutaji5454
@mutaji5454 2 ай бұрын
Inabdi ufungue Nawe sasa biashara
@jfisherkaaya5958
@jfisherkaaya5958 2 ай бұрын
Hujakaa na wahindi hawategemei jambo moja kama unavyofikiria wao wanatengeneza mambo mengi ila wanagawana katika familia flani wewe utasimama dukani, flan utakua hapa so nyumba inakua na vyanzo vingi vya mapato na havimtegemei mtu mmoja kama tunavyoaminishwa.
@ShabanAbdulrahman-b6r
@ShabanAbdulrahman-b6r 2 ай бұрын
Umeongea Kwa uchungu sana ndugu mungu akubariki tukayafanyie kazi mawazo yako🙏
@MIBWA
@MIBWA Ай бұрын
Thanks
@suedahmadi9091
@suedahmadi9091 2 ай бұрын
Utajiri sio kitu rahisi kama unavyoongea kirahisi ongea ukweli uliopo nyuma ya siri ya mafanikio yako
@liannsambu7264
@liannsambu7264 2 ай бұрын
Upi Sasa , kama wewe unahistoria Yako SI useme ,mbona kikinzana na anachosema yeye ndugu , tuache kujaji watu Kwa mitazamo yenu , TAFUTA ELA NDUGU FANYA KAZI , HUTAKI ACHA HAHAHAAAAAA
@revocatusmartine7159
@revocatusmartine7159 Ай бұрын
Ilo n wazo litakalokufanya ubak kua maskin ukibak kuamini nguvu za giza,, utaish maisha ya kulalamika
@PhilbertGosbert
@PhilbertGosbert 2 ай бұрын
Car wash tuaje
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 2 ай бұрын
Mwajina umefundisha kitu kikubwa kwenye maisha.
@EbsonSanya-ps6sp
@EbsonSanya-ps6sp Ай бұрын
Mkuu kwenye kuanzisha ndo panachangamoto baba hapo ndipo watu wengi tunakwama
@johnsmwandu7338
@johnsmwandu7338 Ай бұрын
Saana mbunge wangu
@msetikebwasi7270
@msetikebwasi7270 2 ай бұрын
Mimi sikubariani na huyu jamaa ,kwani ukifungua duka kubwa lenye bidhaa nyingi zenye kuigusa jamii nyingi Kwa Nini usiufikie huo uhuru wa kifedha ?kuliko kutapanya Mali zako na wasimamizi wenyewe no majizi TU.
@ndojes711
@ndojes711 Ай бұрын
Mchek Bakheresa, MO, GSM woooote hao wanavitu vingiiiiiii. Unga, nguo, vinywaji na vitu vingi,. You may start slowly ukikurupuka UTAIBIWA MZEEEE
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 2 ай бұрын
Ahsante Shigongo
@benjaminmlaghila5453
@benjaminmlaghila5453 Ай бұрын
MUNGU MWEMA alitupa kila kitu kwa kutupa utambuzi wa mema na mabaya. Kwahiyo kupanga ni kuchagua kama mtu akili yake imemtuma afanye maisha ya umaskini ni maamuzi yake mwenyewe sio MUNGU leo hii mtu hafanyi kazi na kama akifanya kazi au biashara hana akili ya jinsi gani anaweza kufikia malengo makubwa, unapata pesa unahonga,kulewa,kubet,kunujua vitu bila mpago na kupelekea maisha kuganda
@renatusamos9018
@renatusamos9018 2 ай бұрын
Amina kaka, nimekuelewa Sana. Nimepokea
@nassorrama6839
@nassorrama6839 Ай бұрын
Mimi nimeelewa sana mwalimu
@graceanakisenga8046
@graceanakisenga8046 Ай бұрын
Asante sana kutufunulia siri hii baba...vitabu vyako nimevisoma sana kweli kupitia wewe nimejifunza
@JosephSimiyu
@JosephSimiyu 2 ай бұрын
Amina Barikiwa ndugu kwa ushauri wako wa busara
@suedahmadi9091
@suedahmadi9091 2 ай бұрын
Gharama unazolipa/Sadaka/Kafara unazotoa kwenye kuimalisha utajiri wako, muda
@QUEENJoseph-kh6cb
@QUEENJoseph-kh6cb 3 ай бұрын
Na mimi nataka nije huko maana ninahasira ya utajiri kweli kweli😂😂
@Henrynoble_
@Henrynoble_ 2 ай бұрын
😂😂
@BukelebeTv
@BukelebeTv 3 ай бұрын
Somo zuri
@marykibogoya2769
@marykibogoya2769 2 ай бұрын
Umenena kweli mdau. Ubarikiwe
@BulugushindikaMathias-zk3yf
@BulugushindikaMathias-zk3yf 25 күн бұрын
Hayapoa nimekuerewa..kaka ❤Buchosatupo
@daviddonatus8121
@daviddonatus8121 2 ай бұрын
Kuwaza jambo ni vyepesi sana na kudhubuti ni jambo gumu sana ...😂
@PineTree-n9y
@PineTree-n9y Ай бұрын
Mwalimu ubarikiwe sana hata Mimi nimekuelewa vizuri sana
@PraxedaKishenyi-w8t
@PraxedaKishenyi-w8t 2 ай бұрын
Tumutafute mungu sana, wakati wa kukuinua ukifika, maharifa atakupa mwenyewe, kikubwa nibaraka.
@babujeishayo2576
@babujeishayo2576 2 ай бұрын
Maarifa tunapaswa kutafuta sisi si kupewa na Mungu
@babujeishayo2576
@babujeishayo2576 2 ай бұрын
Maarifa tunapaswa kutafuta sisi si kupewa na Mungu
@calvinloveambroce842
@calvinloveambroce842 2 ай бұрын
Mungu hampi maarifa wala kumuinua mtu aliyekaa tu akiamini siku yake ipo
@hadithizetutv
@hadithizetutv 2 ай бұрын
Endeleeni kujaza huo ujinga
@EneaMwakamyanda-i7p
@EneaMwakamyanda-i7p Ай бұрын
Kuna sehemu ya Mungu kufanya yaani kukupa wazo lakini kuna sehemu ya wewe kufanya namaanisha kutekeleza wazo lile Mungu kakupa.
@radojembe7347
@radojembe7347 2 ай бұрын
Nakubali my mentor
@beatricedanken8936
@beatricedanken8936 25 күн бұрын
Baba wew ni mtu mkubwa unae ni influence sanaa
@salmongivoh2307
@salmongivoh2307 2 ай бұрын
namshkuru Mungu kwa ujumbe huu
@erastosanga1694
@erastosanga1694 2 ай бұрын
Thanks giving shigongo
@GodfreyMalenge
@GodfreyMalenge 2 ай бұрын
ninaomba kuelewa zaidi apo kwenye ku create multiple sources of income vipi kama mtu ametenga biashara yake moja na akawekeza nguvu zake zote apo will it not make him or her affluent
@josephjotham463
@josephjotham463 Ай бұрын
Yes
@shepherdnoelkeneth
@shepherdnoelkeneth 2 ай бұрын
Nmekuelewa sana sana
@amourmtungo623
@amourmtungo623 Ай бұрын
Hakika mkuu. Asante kwa mchango wako
@WitinessJoseph
@WitinessJoseph 29 күн бұрын
Nimejifunza kitu leo
@thobiasLoti
@thobiasLoti 2 ай бұрын
Hv kwa madini haya ni kweli shigongo ni darasa la 7 au mnatudanganya tu
@thobiasLoti
@thobiasLoti 2 ай бұрын
Cjui mnamuelewa mwalimu?😅acha kuuliza chakula kwa mama ntilie😅
@ericfelician7996
@ericfelician7996 3 ай бұрын
Amina nitaanzisha muda siyo mrefu kwa jina la yesu
@samsonmusyimi1782
@samsonmusyimi1782 2 ай бұрын
Aky ni kweli
@karlschrader4026
@karlschrader4026 2 ай бұрын
Hapo Ndo ushasema unaenda kijijini kumbe mchizi Uko kwenye pipa unaenda Dubai afu pipa limedondoka 😮kazi italipia mazishi na kiinua mgongo ulichoacha?
@judicalosika7642
@judicalosika7642 2 ай бұрын
🇮🇱 eh wewe unawaza kuzikwa na Company 😳😳😳😳😳
@OctaviaMakunda
@OctaviaMakunda 2 ай бұрын
Nikiwa mkubwa nataka kuwa kama wewe
@JasminHassan-p8u
@JasminHassan-p8u 2 ай бұрын
Unapata wap mtaji wa kuanzisha hzo multiple sources? Mbn mnatuchanganya,mara mnatwambia tudeal na kitu kmoja
@tukumbwikemwakatundu2052
@tukumbwikemwakatundu2052 2 ай бұрын
Uki deal na kitu kimoja kikifanikiwa kitakuwezesha kuanzisha kingine na kingine. Hauwezimkuwa na multiples kwa mara moja..
@tukumbwikemwakatundu2052
@tukumbwikemwakatundu2052 2 ай бұрын
Ameeleza vizur sana.
@dannypeter4951
@dannypeter4951 3 ай бұрын
Unaongea na wadada peke yao?
@hamasikatv
@hamasikatv 3 ай бұрын
Asante kwa maoni yako, Hiyo Seminar alikua anazungumza na Hao Wanawake Wahasibu ingawa ujumbe ni kwa wote Tuendelee kujifunza
@DishenKabuje
@DishenKabuje 3 ай бұрын
chukua linalo kuhusu
@asaphasaph6415
@asaphasaph6415 2 ай бұрын
Mathayo 16:26 [26]Kwani atafaidiwa nini mtu akiupata ulimwengu wote, na kupata hasara ya nafsi yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake? For what is a man profited, if he shall gain the whole world, and lose his own soul? or what shall a man give in exchange for his soul?
@juliusmwita-ye3eg
@juliusmwita-ye3eg 2 ай бұрын
Mawazo ya umaskini hayo
@bonifacemkasanga3448
@bonifacemkasanga3448 2 ай бұрын
Ulitaka kusemaje?
@asaphasaph6415
@asaphasaph6415 2 ай бұрын
Mathayo 6:24 [24]Hakuna mtu awezaye kutumikia mabwana wawili; kwa maana atamchukia huyu, na kumpenda huyu; ama atashikamana na huyu, na kumdharau huyu. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali. No man can serve two masters: for either he will hate the one, and love the other; or else he will hold to the one, and despise the other. Ye cannot serve God and mammon.
@soberhousetv2245
@soberhousetv2245 2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@adinaismail118
@adinaismail118 Ай бұрын
Vizur
@kalumangachannel4760
@kalumangachannel4760 2 ай бұрын
Sir you deserve to be minister.
@VeronicaPanga-zd6yt
@VeronicaPanga-zd6yt 2 ай бұрын
nmekuelewa sana
@richkaja3317
@richkaja3317 2 ай бұрын
Eric unajua sanaa
@basilvenance1368
@basilvenance1368 2 ай бұрын
Tufanye kazi
@Greystonmwazembe
@Greystonmwazembe 2 ай бұрын
Ok
@franknyamungu9703
@franknyamungu9703 Ай бұрын
Amina
@joshuanzioka4611
@joshuanzioka4611 2 ай бұрын
Well said
@erastosanga1694
@erastosanga1694 2 ай бұрын
Upon sawa shigongo
@charlesruwa5844
@charlesruwa5844 2 ай бұрын
Ft
@ashabogasi
@ashabogasi 2 ай бұрын
Love it❤❤❤
@SuleimanButa
@SuleimanButa Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@magrethwilliam1436
@magrethwilliam1436 2 ай бұрын
Asante sana
@VeronicaMkunga
@VeronicaMkunga 2 ай бұрын
Ni kweli kaka,
@emmanuelfari8924
@emmanuelfari8924 3 ай бұрын
No! VISION No! Solving problems...✍️ UBARIKIWE sana hata na uzao wako baada yako YOHANA 14:14🙏
@hamasikatv
@hamasikatv 3 ай бұрын
Asante kwa maoni yako Tuendelee kujifunza
@FrancoLubuva
@FrancoLubuva 3 ай бұрын
Ok
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 2 ай бұрын
Mbona wewe maskini
@simo_n_jilala
@simo_n_jilala 2 ай бұрын
Humjui Eric Shigongo. Kama humjui mtu bora uulizie Ndugu yangu. Huyu ni tajiri.
@shamyathman9198
@shamyathman9198 2 ай бұрын
Dini haruhusu kutegemea qadar
@thomasudoba7077
@thomasudoba7077 2 ай бұрын
Shigongo the hero
Tengeneza Tabia Zitakazokupa Mafanikio - Eric Shigongo
14:14
Hamasika Tv
Рет қаралды 52 М.
🍉😋 #shorts
00:24
Денис Кукояка
Рет қаралды 3,6 МЛН
РОДИТЕЛИ НА ШКОЛЬНОМ ПРАЗДНИКЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 2,8 МЛН
Spongebob ate Patrick 😱 #meme #spongebob #gmod
00:15
Mr. LoLo
Рет қаралды 19 МЛН
Do you choose Inside Out 2 or The Amazing World of Gumball? 🤔
00:19
SIFA 10 ZA WATU WANAOFANIKIWA KWENYE MAISHA | Victor Mwambene.
17:59
Victor Mwambene
Рет қаралды 12 М.
Hizi ndo aina za uwekezaji kwa mTanzania. With Salum Awadh (Financial Advisor)
1:42:33
TIPS (The Insightful Podcast Show)
Рет қаралды 13 М.
Dr. Chris Mauki: Mambo 5 kamwe usiendekeze kushirikisha watu
8:15
LIFE WISDOM:MUEPUKE MTU WA NAMNA HII - JOEL NANAUKA
12:03
Joel Nanauka
Рет қаралды 21 М.
🍉😋 #shorts
00:24
Денис Кукояка
Рет қаралды 3,6 МЛН