Ili uweze kufanikiwa unatakiwa uondoe akili ya kushindwa kwenye kuanzisha biashara yako
@DrMboneaАй бұрын
Haya ni mawazo ya kitajiri kama una akili za kimaskini huwezi muelewa shigongo
@yoratusndambo84953 ай бұрын
Safiii sana kaka Eric. Somo la ubosi,heshima.
@vincentmutugi45972 ай бұрын
This is very true, most people are sinking in the ego of being educated and end up retering poor and become sources of problems in the society. I agree education alone is not enough,but rather let us use our education as a foundation to build multiple sources of income. people without education must use their physical energy to build sources of incomes...i encourage those who not educated that,not only education is the way to life,but good plan and acceptance. Above all put God first in everything and the doors will open 👐
@hamasikatv2 ай бұрын
Asante kwa maoni yako Tuendelee kujifunza
@amourmtungo6232 ай бұрын
🤔Kweli, hao wanaosema ni kudra za Mungu kwani Mungu kakataza kuwa na vyanzo vingi vya mapato? Hakika Hii ni elimu nzuri kwa wote Asante kwa kuchangia🤝
@mochembaАй бұрын
Masikini wa akili hao hata uwape milioni mia tano bado watakufa masikini maana hawana akili ya kusema wanataka watoke kimaisha bali watabaki kusema Mungu ndo anajua. Ukiona mtu kila kitu yeye ni anaongelea Mungu Mungu jua huyo ni masikini kuanzia akili hadi maisha, tajiri anawaza kuongeza vitega uchumi masikini anawaza maombi kuwa ndo yatamsaidia. Usiombe uwe na akili za kimasikini kwenye hii dunia.
@JumamohamedJuma9 күн бұрын
Nice😅😅😅
@MungeteMwampulo2 ай бұрын
Asante sana mh Shigongo, kwa kutemà madini.
@PrinceWasaАй бұрын
Mafunzo ya ajabu ajabu haya, kuna watu hawana hela wala kazi, wafundishe hao namna yakupata hizo vyanzo vya mapato,naona unachofundisha ni kwa wale wanahela tayari ila unataka waongeze kipato zaid.unaruka hatua kubwa sana bro
@amirigogolo6004Ай бұрын
Elimu hii mbunge wetu ipeleke kwa wananchi wako wa buchosa watakushukuru sasa....haswaa vijana kama sisi...
@arnold9406Ай бұрын
Acheni kumtupia mungu kila tambala bovu, mungu amekupa akili na maalifa ndio maana amekuumba binadamu tumia hivyo vipaji, ukisubilia mungu aje na mkongojo kuja kukupa wewe maalifa utangoja saana, kwahiyo mr Eric upo sahihi.
@colinlegend191Ай бұрын
Kabisaaa mungu alishatubariki tangu kuzaliwa kwetu kilichobaki ni sisi tuu kupata maarifa ya kufanikiwa kwa maana mafanikio sio nguvu bali ni maarifa
@mochembaАй бұрын
Ujue kuna watu watakufa masikini wamekuta familia zao ni masikini na wao pia wanaendeleza umasikini, kwa kuamini kuwa Mungu Mungu ni lini mtu alikuwa amekaa ndani akasikia sauti ikimwambia kuanzia Leo nakupa utajiri, na huu upumbavu Afrika umetujaa Sana kila kitu utasikia Mungu hiki hapendi mara mambo kibao wazungu hao hao walioleta dini hii wanachapa kazi huwezi kuta mzungu akiongelea Mungu kwenye utafutaji. Sasa mtu anapewa madini yeye anasema Mungu ndo anatoa. Mm naamini kweli kutegemea kitega uchumi kimoja ni kweli huwezi fanya Jambo, ukitegemea mshahara tu siku kazi ikiisha ndo wale hujiua maana hawana cha kuwaokoa. Shigongo mm nakuelewa na hii sio inspiration kama wale wanaosema eti nilianza na mtaji wa elfu tano leo namiliki kampuni, Lkni hapa anamaanisha pale ukiwa na kazi Jitahidi kuwekeza.
@KHALIDKIRAMA-iq6en3 ай бұрын
Siri ya utajiri ni Qadari ya MUNGU
@SaimonKazimoto-xt1zo2 ай бұрын
Subri Ivo Ivo uone
@bakariomary57812 ай бұрын
Haya mzee alafu wanaofanikiwa useme wachawi na ma-freemason😂😂😂😂subiri Qadar watu wenyew wa nchi za nnje Wanagundua mavitu kila kukicha kwakua wanajua maisha yetu yanahitaji pesa kwa kila kitu
@ElishadBashiru2 ай бұрын
Mungu anaweza ibadilisha qadar Yako lakini kwakumuomba Boss
@KIDUCHUCASHPOINT2 ай бұрын
😢😢😢
@WechuliMakokha2 ай бұрын
Kwenye utajiri hamna mungu wala dini ila bidii tu
@mkambaselemani-ej7npАй бұрын
Bwana na cc wa bupandwa na mwangika tupo na wanyakato meco tekila! Punguza ungenge
@geraldnkya47322 ай бұрын
Kaka ni kweli hili lipo kibiblia kabisa ili SoMo tumefundishwa ,mtumishi Mwl Onesmo wa Mbingu Duniani ministry _na misitari ya Bible hii mwanzo13:2; 2mambo ya nyakati 17:12-13. Zabur 1:3;mwanzo 2:10-11. Kaka nimekuelewa Sana!!
@jumamrisho1389Ай бұрын
Nimependa Sana comment yako nalipataje hilo somo ndugu
@roseasimwe827Ай бұрын
Mwenyezi Mungu nisaidie nipe kitu kingine cha kufanya tofauti na mshahara
@adelmarcymallya772Ай бұрын
Mm ni mwalimu ila napika bites,cake,nna duka,nafanya oda mbalimbali za chakula ko inawezekana
@lucasmgalula802211 күн бұрын
Maombi yako Ni Kama yangu dada inaumiza Sana kutegemee mshahara pekee yake hatutoboi Siri ya utajiri Ni kuwa na vyanzo vingi vya mapato aisee
@barikislaa806 сағат бұрын
Fact
@kombomvungi7302 ай бұрын
Sawa, tuna vianzishaje? Na mtaji ndo kamzozo? Hebu zungumzia swala la mtaji.
@KhamisBakar-i4iАй бұрын
Ela ulo nayo ni mtaji wa kitu chengine
@frankbubahe26 күн бұрын
Uza CMU fuga kuku
@fadhilikibinda84514 күн бұрын
Mungu ametujaalia akili, so lazima uitumie vizur
@christagosbert26763 ай бұрын
Sijawai kujuta kufatilia na kusoma vitabu vyako since I was 17 years age till now🤗 you are blessed na umeeleweka mnoo🎉🎉🎉🎉
@Le0nardLeonardjmsomba15 күн бұрын
Nimeelewa sana naamin ntafanikiwa kwa kuyafanya haya
@gracenunu61082 ай бұрын
Asante sana kwa somo zuri,barikiwa
@mathiasmateru99772 ай бұрын
Somo zuri sana We have to change and to act immediately.
@ayubuayubu2811Ай бұрын
Upo sahii sana ..kaka
@leonardmisalaba79463 ай бұрын
Hii nimeipenda bwana shigongo
@elizabethmhapa3658Ай бұрын
Asante sana nimekuelewa
@erastosanga16942 ай бұрын
Yesu mkombozi wangu hakika nitafanya,Amina.
@kevinmary7129Ай бұрын
Tafuta Mungu na fanya kaz na biashara usiwe maskini sio dhambi
@magdalenamoro76292 ай бұрын
Asante sana mchungaji.ni kweli kabisa, chanzo kimoja chamapato ni muhimu sana.😊
@MdOmane-yg9gi2 ай бұрын
Nimekupata vizuri na nimekifunza kitu...
@ChristerKoku2 ай бұрын
Husimuache,jusimdhalilishe,husimdhiaki siku ukifanikiwa ukaanxa kupata mlichochuma wote.Ahsamte kws elimu nzuri kufanya kazi mbalimbali utafanikiwa.
@leonardgachenia22002 ай бұрын
Uko sawa mzeia, nitajitahidi
@robertamos36463 ай бұрын
Umeeleweka sana.Bravo.
@adinaismail118Ай бұрын
Imdet
@trillhappybeautypoint987415 күн бұрын
Asante sana👏
@mohammedrashid290621 күн бұрын
Ok
@myself41282 ай бұрын
Tanzania Hakuna Mfanyabiashara Kuna wapiga deal tu,Huwezi kuwa na Biashara 30 Ukajiita mfanyabiashara,Wahindi wanakuja Bongo wanafanikiwa kuliko wazawa wao wanabobea katika biashara Moja mpaka wanaimudu, sababu Mzawa amelala usingizi na Serikali Yetu ni Kama Shamba la Bibi walowezi wanakuja wanafungua Biashara ndogo ndogo kwa mitaji mikubwa ambazo Wazawa walitakiwa wafanye kwahiyo Hatuna Wawekezaji pia bali Tuna Walanguzi tuu,mfanyabiashara Lazima uwe na Speacialty au Biashara ama huduma maalum unayotoa sio mara vitunguu mara mikate mara boda boda mara Mikaa ni Vurugu tupu ukifa nani ataendeleza upuuzi wako huo??lazima mtoto arithi biashara fulani ya familia ambayo ameikulia na kuimudu na pia Serikali yetu lazima Tuilazimishe iwe na Sera zinazohamasisha wananchi waachane na Uvivu na Umaskini kwa kuwapa mikopo na kuondoa Tozo pumbavu za watu wa chini na pia kuwalinda sehemu zao za Biashara
@mutaji54542 ай бұрын
Inabdi ufungue Nawe sasa biashara
@jfisherkaaya59582 ай бұрын
Hujakaa na wahindi hawategemei jambo moja kama unavyofikiria wao wanatengeneza mambo mengi ila wanagawana katika familia flani wewe utasimama dukani, flan utakua hapa so nyumba inakua na vyanzo vingi vya mapato na havimtegemei mtu mmoja kama tunavyoaminishwa.
@ShabanAbdulrahman-b6r2 ай бұрын
Umeongea Kwa uchungu sana ndugu mungu akubariki tukayafanyie kazi mawazo yako🙏
@MIBWAАй бұрын
Thanks
@suedahmadi90912 ай бұрын
Utajiri sio kitu rahisi kama unavyoongea kirahisi ongea ukweli uliopo nyuma ya siri ya mafanikio yako
@liannsambu72642 ай бұрын
Upi Sasa , kama wewe unahistoria Yako SI useme ,mbona kikinzana na anachosema yeye ndugu , tuache kujaji watu Kwa mitazamo yenu , TAFUTA ELA NDUGU FANYA KAZI , HUTAKI ACHA HAHAHAAAAAA
@revocatusmartine7159Ай бұрын
Ilo n wazo litakalokufanya ubak kua maskin ukibak kuamini nguvu za giza,, utaish maisha ya kulalamika
@PhilbertGosbert2 ай бұрын
Car wash tuaje
@erickchitumbi13082 ай бұрын
Mwajina umefundisha kitu kikubwa kwenye maisha.
@EbsonSanya-ps6spАй бұрын
Mkuu kwenye kuanzisha ndo panachangamoto baba hapo ndipo watu wengi tunakwama
@johnsmwandu7338Ай бұрын
Saana mbunge wangu
@msetikebwasi72702 ай бұрын
Mimi sikubariani na huyu jamaa ,kwani ukifungua duka kubwa lenye bidhaa nyingi zenye kuigusa jamii nyingi Kwa Nini usiufikie huo uhuru wa kifedha ?kuliko kutapanya Mali zako na wasimamizi wenyewe no majizi TU.
@ndojes711Ай бұрын
Mchek Bakheresa, MO, GSM woooote hao wanavitu vingiiiiiii. Unga, nguo, vinywaji na vitu vingi,. You may start slowly ukikurupuka UTAIBIWA MZEEEE
@gabrielmoses68602 ай бұрын
Ahsante Shigongo
@benjaminmlaghila5453Ай бұрын
MUNGU MWEMA alitupa kila kitu kwa kutupa utambuzi wa mema na mabaya. Kwahiyo kupanga ni kuchagua kama mtu akili yake imemtuma afanye maisha ya umaskini ni maamuzi yake mwenyewe sio MUNGU leo hii mtu hafanyi kazi na kama akifanya kazi au biashara hana akili ya jinsi gani anaweza kufikia malengo makubwa, unapata pesa unahonga,kulewa,kubet,kunujua vitu bila mpago na kupelekea maisha kuganda
@renatusamos90182 ай бұрын
Amina kaka, nimekuelewa Sana. Nimepokea
@nassorrama6839Ай бұрын
Mimi nimeelewa sana mwalimu
@graceanakisenga8046Ай бұрын
Asante sana kutufunulia siri hii baba...vitabu vyako nimevisoma sana kweli kupitia wewe nimejifunza
@JosephSimiyu2 ай бұрын
Amina Barikiwa ndugu kwa ushauri wako wa busara
@suedahmadi90912 ай бұрын
Gharama unazolipa/Sadaka/Kafara unazotoa kwenye kuimalisha utajiri wako, muda
@QUEENJoseph-kh6cb3 ай бұрын
Na mimi nataka nije huko maana ninahasira ya utajiri kweli kweli😂😂
@Henrynoble_2 ай бұрын
😂😂
@BukelebeTv3 ай бұрын
Somo zuri
@marykibogoya27692 ай бұрын
Umenena kweli mdau. Ubarikiwe
@BulugushindikaMathias-zk3yf25 күн бұрын
Hayapoa nimekuerewa..kaka ❤Buchosatupo
@daviddonatus81212 ай бұрын
Kuwaza jambo ni vyepesi sana na kudhubuti ni jambo gumu sana ...😂
@PineTree-n9yАй бұрын
Mwalimu ubarikiwe sana hata Mimi nimekuelewa vizuri sana
@PraxedaKishenyi-w8t2 ай бұрын
Tumutafute mungu sana, wakati wa kukuinua ukifika, maharifa atakupa mwenyewe, kikubwa nibaraka.
@babujeishayo25762 ай бұрын
Maarifa tunapaswa kutafuta sisi si kupewa na Mungu
@babujeishayo25762 ай бұрын
Maarifa tunapaswa kutafuta sisi si kupewa na Mungu
@calvinloveambroce8422 ай бұрын
Mungu hampi maarifa wala kumuinua mtu aliyekaa tu akiamini siku yake ipo
@hadithizetutv2 ай бұрын
Endeleeni kujaza huo ujinga
@EneaMwakamyanda-i7pАй бұрын
Kuna sehemu ya Mungu kufanya yaani kukupa wazo lakini kuna sehemu ya wewe kufanya namaanisha kutekeleza wazo lile Mungu kakupa.
@radojembe73472 ай бұрын
Nakubali my mentor
@beatricedanken893625 күн бұрын
Baba wew ni mtu mkubwa unae ni influence sanaa
@salmongivoh23072 ай бұрын
namshkuru Mungu kwa ujumbe huu
@erastosanga16942 ай бұрын
Thanks giving shigongo
@GodfreyMalenge2 ай бұрын
ninaomba kuelewa zaidi apo kwenye ku create multiple sources of income vipi kama mtu ametenga biashara yake moja na akawekeza nguvu zake zote apo will it not make him or her affluent
@josephjotham463Ай бұрын
Yes
@shepherdnoelkeneth2 ай бұрын
Nmekuelewa sana sana
@amourmtungo623Ай бұрын
Hakika mkuu. Asante kwa mchango wako
@WitinessJoseph29 күн бұрын
Nimejifunza kitu leo
@thobiasLoti2 ай бұрын
Hv kwa madini haya ni kweli shigongo ni darasa la 7 au mnatudanganya tu
@thobiasLoti2 ай бұрын
Cjui mnamuelewa mwalimu?😅acha kuuliza chakula kwa mama ntilie😅
@ericfelician79963 ай бұрын
Amina nitaanzisha muda siyo mrefu kwa jina la yesu
@samsonmusyimi17822 ай бұрын
Aky ni kweli
@karlschrader40262 ай бұрын
Hapo Ndo ushasema unaenda kijijini kumbe mchizi Uko kwenye pipa unaenda Dubai afu pipa limedondoka 😮kazi italipia mazishi na kiinua mgongo ulichoacha?
@judicalosika76422 ай бұрын
🇮🇱 eh wewe unawaza kuzikwa na Company 😳😳😳😳😳
@OctaviaMakunda2 ай бұрын
Nikiwa mkubwa nataka kuwa kama wewe
@JasminHassan-p8u2 ай бұрын
Unapata wap mtaji wa kuanzisha hzo multiple sources? Mbn mnatuchanganya,mara mnatwambia tudeal na kitu kmoja
@tukumbwikemwakatundu20522 ай бұрын
Uki deal na kitu kimoja kikifanikiwa kitakuwezesha kuanzisha kingine na kingine. Hauwezimkuwa na multiples kwa mara moja..
@tukumbwikemwakatundu20522 ай бұрын
Ameeleza vizur sana.
@dannypeter49513 ай бұрын
Unaongea na wadada peke yao?
@hamasikatv3 ай бұрын
Asante kwa maoni yako, Hiyo Seminar alikua anazungumza na Hao Wanawake Wahasibu ingawa ujumbe ni kwa wote Tuendelee kujifunza
@DishenKabuje3 ай бұрын
chukua linalo kuhusu
@asaphasaph64152 ай бұрын
Mathayo 16:26 [26]Kwani atafaidiwa nini mtu akiupata ulimwengu wote, na kupata hasara ya nafsi yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake? For what is a man profited, if he shall gain the whole world, and lose his own soul? or what shall a man give in exchange for his soul?
@juliusmwita-ye3eg2 ай бұрын
Mawazo ya umaskini hayo
@bonifacemkasanga34482 ай бұрын
Ulitaka kusemaje?
@asaphasaph64152 ай бұрын
Mathayo 6:24 [24]Hakuna mtu awezaye kutumikia mabwana wawili; kwa maana atamchukia huyu, na kumpenda huyu; ama atashikamana na huyu, na kumdharau huyu. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali. No man can serve two masters: for either he will hate the one, and love the other; or else he will hold to the one, and despise the other. Ye cannot serve God and mammon.
@soberhousetv22452 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@adinaismail118Ай бұрын
Vizur
@kalumangachannel47602 ай бұрын
Sir you deserve to be minister.
@VeronicaPanga-zd6yt2 ай бұрын
nmekuelewa sana
@richkaja33172 ай бұрын
Eric unajua sanaa
@basilvenance13682 ай бұрын
Tufanye kazi
@Greystonmwazembe2 ай бұрын
Ok
@franknyamungu9703Ай бұрын
Amina
@joshuanzioka46112 ай бұрын
Well said
@erastosanga16942 ай бұрын
Upon sawa shigongo
@charlesruwa58442 ай бұрын
Ft
@ashabogasi2 ай бұрын
Love it❤❤❤
@SuleimanButaАй бұрын
❤❤❤❤❤❤
@magrethwilliam14362 ай бұрын
Asante sana
@VeronicaMkunga2 ай бұрын
Ni kweli kaka,
@emmanuelfari89243 ай бұрын
No! VISION No! Solving problems...✍️ UBARIKIWE sana hata na uzao wako baada yako YOHANA 14:14🙏
@hamasikatv3 ай бұрын
Asante kwa maoni yako Tuendelee kujifunza
@FrancoLubuva3 ай бұрын
Ok
@RenaldaZeramula2 ай бұрын
Mbona wewe maskini
@simo_n_jilala2 ай бұрын
Humjui Eric Shigongo. Kama humjui mtu bora uulizie Ndugu yangu. Huyu ni tajiri.