MAKUBALIANO YA SIRI YANAYO FICWA KUHUSU SEREKALI YA CONGO NA CORNEILLE NANGAA Www.Tanganyikatv.com
Пікірлер: 171
@MichelOmbaOKITOАй бұрын
MERCI SAANA NAZAIDI
@JulesMusangilaАй бұрын
Félicitations uko naongea kueli buana unaonekana kueli ukona utshungu wa intshi kueli munge patikana watu hâta kumi kamawewe Ndani yamuji hu kemi ingekuwa muzuri merci
@deokoyantarugeraАй бұрын
Ahsante bwana! Maongezi mazuri saana! Vive Tanganika tv
@emmanuelamonique7308Ай бұрын
Bon sujet monsieur les journalistes
@user-io2ek2bj5tАй бұрын
Toka kalemie Tanganyika mimi ni Blaise, aksanti sana ndugu Omari.
@alimasikambale7529Ай бұрын
Merci beaucoup
@odettekamanzi4842Ай бұрын
Asante sana. Naomba wa souscribers wakjfawate. Uko na analyse nzuri sana.
@MusacarahOlivierАй бұрын
Thanks you so much my friend UNAONGEA ukweli kabisa Sasa Congo Ayo ni MUNGU tu 😢
@SardouMutundАй бұрын
Merci pour la revelation
@African_001Ай бұрын
Asante sana ndugu yangu alakini nina swali moja ba Congolese habaone kama inatosha kuwa muaiyi maisha
@Kulimagolddrc26 күн бұрын
Asante sana ndugu blaise
@uviranyumbaniАй бұрын
Merci sana bro vraiment ivi pouvoire ya ba tchilombo iko na ma problems sana
@MutulaSafariАй бұрын
@@uviranyumbani Auwezi ji uliza kwanini aongelei kuusu Joseph kabila alie changanya Maskari wa Rwanda 🇷🇼 na wakongo? Huyo jamaa anaongea kama vile ni wale waliletwa na Na Mzee laurant
@TchikomaLazarАй бұрын
vizuri kaka niko goma
@hudumablack9339Ай бұрын
Pamoja sana brother 🙏
@SaidNgoziАй бұрын
Brother Abari za Asubuhi unacho zungumza niukweli mtupu pamajo nakua kiswahili kinakusumbua Ila unaongea point, kabisa chamsingi D.R.C hamna Uongozi,kiongozi kama yule hana xifa yakua Rais.pole xana Ila Uwe Makini maana Ukweli wako Unaweza kukuponza kwenye serekali kama hiyo ya najambazi Ahsante
@user-eq9tg9qo8dАй бұрын
Hiyo ni kweli mpendwa muzalendo mwenzangu
@DeborahzabusuАй бұрын
Ni kweli❤❤❤uko mwana siasa wa kweli
@odettekamanzi4842Ай бұрын
Aksanti sana. Unasema vizuri sana
@BinMasengoАй бұрын
Hayo ndiyo masungumuzo yanahofunvuwa vichwa.Endeleya mwanainchi
@felixmkl3851Ай бұрын
Siasa ya uwongo kwa niaba ya wananchi ni ukorofi, usaliti mkubwa sana...✓😎
@lambertlundambo5196Ай бұрын
Jambo ndugu , Ni mefurahi sana na kipindi chako ya leo, ivi na kuwa abonné kwako. Yote unasema ni ukweli, na sema asanti sana na kazi unafanya.
@stephanengongo7744Ай бұрын
Mara yangu ya kwanza kukufata aksanti sana ndugu yangu kazana vilevile na mungu akulinde
@MazimpakaJeanmareАй бұрын
Pore sana ndugu yangu Congo inahitaji Wana mapinduzi kama wewe dawa ni kuwa na Rais anayetanguriza Congo kwanza sio wezi Marais wote wariotawara Congo
@ndayishimiyejean6262Ай бұрын
Mukongomanii anaonaonambali nakuombeya maisha marefu
@user-vn9hb8rz4wАй бұрын
Nakukubali Ku masemo Yako!
@mbonihankuyeclaudemichel7019Ай бұрын
hii ndio mala yangu ya kwanza kukusikia na umeongea vizuli sana! watu wa eastern congo ( nord kivu na sud kivu) musipojitetea hakuna mtu atakuja kuwatetea! mupe support wazalendo alafu nawo wapige m23 bila kusikia maagizo kutoka kinshasa! au moins tusikie nord kivu na sud kivu inaongozwa na wazalendo kuliko kusikia ati inaongozwa na m23. kulialia mbere ya inchi zingine haitasaidia kwasababu hakuna mtu anaitaji machonzi yenu! pale watu wanaweza wasaidia ni burundi pekeake kwasababu hatuwezi kubali m23 isogereye mipaka yetu! kama mtu amevamia ardi (territoire) yako, hakuna mambo za kuomba ruhusa ati marekani ama UN. mupige kabisa alafu nae akisikia kichapo ataenda kushitaki!!
@PatchoKuluАй бұрын
Una sema vizuri sana kabisa.
@mulondalwessorockyАй бұрын
Kwa kweli mpendwa unayosema ni kweli
@RushimishaBienvenuАй бұрын
Merci beaucoup courage
@user-oc7ie7ug7rАй бұрын
Bro nimekupenda sana jikaze Wende soma mu Russie wenda putine anaweza kusaidia ukarudia kutengeneza inchi
@EustacheBikariАй бұрын
Hiyo ni kweli hatuna president kbs haangaliye interet za population mawazo yake nisawa ya president waburundi wa congomani tusimame tuseme hatuna president nikupola tu
@dollarskatembobob8896Ай бұрын
And I gotta subscribed your channel bro God bless you 🙏
@user-vn9hb8rz4wАй бұрын
Vos analyses son fondées!
@buregeyaahadi1401Ай бұрын
Asante sana ndugu
@DavidDavid-i4jАй бұрын
Iyon kweli kabisa ndugu yangu mukongo mani njon adui yeah mwezake mukongo mani iyon njon point
Uyo diama onaongeya lakini Nanga action anafanya ju inamutia kama m23 because the friend of your enemy is your enemy.
@user-ve1gy3ie6mАй бұрын
Bien parlé merci votre numéro svp bonne journée
@sebihogoChristophe25 күн бұрын
Unasema ukweli baba
@BanzaMrishoАй бұрын
Hivi wewe ni nanga pure acha maneno ya uongo sana umwache amalize miaka yake mitano
@omariselemani6578Ай бұрын
Wakongomani hawajui siasa na kama wanajua , si wazalendo Pia kuongoza nchi sio hadi usome sana no waweza kuwa na elimu kidogo na ukaongoza watu isipokuwa ni kuwa mzalendo
@sendeesupriydewoochiagaliy7474Ай бұрын
Viogonzi wa Congomani ni vibaraka Vijana amukeni!!!
@NyakuzaYolandeАй бұрын
Si réellement comment nos frontières sont libres l,udps vraiment nous sommes déçu Fathsi premier complice '
@SaidNgoziАй бұрын
Jamaa nimfanyakazi,kwajina lingine nikibaraka wa wazungu yey,kgme,na m7 wote ni Magang,star niwezi
@kasongoJacques-ee2jeАй бұрын
Ukufunga Batu y'a Goma baata kufa
@user-yl3be9ix4yАй бұрын
Tupekweli omari traore nipe nambazako nitume ukuu wa africa
@user-nq5fk7qu4cАй бұрын
Akanti ndugu yangu, maonyi yako niya lazima kwa wa ngongomani wote.
@mbayomaikoАй бұрын
Niwambie kitu ndungu zangu wote mnao fuata hii taharifa kagame alifanya kazi kubwa sana pamoja na wamarecani ili kutuendesha kwatahari zauwongo unajuwa kwamba ukitaka kumuhuwa mbwa wako mpe jina mbaya ndo kazi wanayo fanya kwa ajili ya Tchisekedituweni makini ungekuwepo pale leo ungekuwa tayari wamesha kukata kichwa bro
@KulimagolddrcАй бұрын
Kuma ya mama yako
@mbayomaikoАй бұрын
@@Kulimagolddrc bro najuwa wewe ni mnyarwanda nahongrlea waKongo wenzangu atakae nielewa atajuwa nacho kisema kwahiyo wewe kama unakuja kijifanya matusi kwakuwa wewe ni mnyaranda broo aunisumbui ninachojuwa mimi siko marecani bure udongo huo paka damu yamwisho ndo atapitikana mshindi
@GodenBMDanielАй бұрын
Felix alikuwa Rwanda mwaile ceremonie
@user-zi4lt2vj8dАй бұрын
Basi afanye nini yeye mwizi mukubwa,aliiba kura zake fayulu Martin, inchi gani duniani kura za ucaguzi zidumu jumaa pia vyombo viketi nyumbani mwa mutu?
@JeromeMunyangeyo23 күн бұрын
Kisengiti anatumikia mumakwapa yakangame na museveni nakabila enibi kubuka hiyi nipronglama minanfasa nonasisi wacongo mani natukolona kuyungands na Rawanda mwanzo nikabila kisengeti ni photo
@alphavet6912Ай бұрын
Chisekedi... Kwanini hataki kuzungumza na waasi wakati hao waasi Wana nguvu za kijeshi.kulko yeye.?? Je anangojea washike nchi yote ???
@alainkiza9733Ай бұрын
Ba kinoit banatuitaka sie ba Kivu tuko ba Rwandes main isingelikuwa bazalendo kama Congo ilasha enda
@kambaviva4980Ай бұрын
Haujui fafanua habari. Wende🎉ujifinze Tena namna ya kufafanua habari
@ratohabi6459Ай бұрын
Mukubali kabila la banyarwanda kama ni raia ya DRC kama bengine. Matatizo itaisha.
@djumaadrien2793Ай бұрын
🎉
@GodenBMDanielАй бұрын
Hasante sana Traore 2 wa Kongo
@LaviekaАй бұрын
Kwa nini, haku sema hapo mbele, kwa sababu hana tena madaraka anapenda sasa tukubali nini hapo… 2028 njo final.
@JeromeMunyangeyo23 күн бұрын
Pronglame mafuta ya unganda kubuka vitayeyi irikuwandemirisisi kwenye bahali turiunjishewa nakabila kubu barimarizishindazawa zamafuta ndiyo hauwaziku njuamambo ya mafuta iranimunca waripangakuchezza unganda ndiyo inantese congo ndiyokwenyi vitairitokeya
@NdayishimiyeJacques-e6z25 күн бұрын
Lequel secret?
@kambaviva4980Ай бұрын
Wewe🎉eleza hayo makubaliyano ni gani. Il ne faut pas terv..
@degratiasseАй бұрын
Unastahili ile poste, sasa kule kwenu kinshasa munaikaliya kuongeya alakini hakukuwake réaction, sisi tuko nateseka uku ku EST ya RDC. Mushaka shindwa kutshuka ku barabara nakusema NON et STOP kwa vita ambaye iko napitika uku kwetu ku EST?
@Amanibaraka974Ай бұрын
Soyez prudents vraiment ils vont te cherché
@JeromeMunyangeyo23 күн бұрын
Pronglame mafuta ya unganda kubuka vitayeyi irikuwandemirisisi kwenye bahali turiunjishewa nakabila kubu barimarizishindazawa zamafuta ndiyo hauwaziku njuamambo ya mafuta iranimunca waripangakuchezza
@MutulaSafariАй бұрын
Wewe ni zaidi ya mchawi
@KulimagolddrcАй бұрын
👊🏻
@jafaricharles2975Ай бұрын
Unasema kueli kabisa kabisa
@levimukwiza1582Ай бұрын
Inchi inaenda Vibaya chambo yako mon fils Jounaliste.
@adolphyamin1245Ай бұрын
Il y a la diplomatie qui est privilégiée dans cette agression injuste du Rwanda sur la RDC, joseph Kabila ndiye mtu pekee ambaye aliacha inchi katika mikono ya Rwanda (accord 2009 confirmé en 2013) ndio maana Colonel Mamadou aliuawa kusudi aache kupiga m23 sababu accord ilikuwa tayari kati ya Kabila na Rwanda. Tshisekedi alikiuka zile accord ndo sababu m23 walianza vita tena sababu Tshisekedi aliamuwa kupinga accord za Kabila na Rwanda anataka ku libéré inchi par les solutions diplomatiques ndomana iko pole pole sana. Iyi chaîne iko naongelea Tshisekedi vibaya lakini tatizo ya Congo sio tatizo ya Burkina Faso wala Mali... Kabla yakulaumu raisi tujifunze kujua Congo iko na tatizo gani na ilianza wakati gani
@inkotanyi1Ай бұрын
Alakini mbone hawuseme problemes ya bale ba FDRL- GENOCIDAIRES benye biko mu FARDC
@AlbertKAGANDALUSHUMBA24 күн бұрын
Il faudrait que la Diaspora congolaise depose une plainte vs Felix Antoine tshisekedi tshilombo pout enrichissement illicite, Detournements et assassinats des congolais.
@lwangacharles7514Ай бұрын
Mutafungua maco siku gani ? FDLR muna iweka kwenu na interet gni???
@OlivierKULIMUSHI-bz6uyАй бұрын
Kakaongerasana kwasababunabihana eshimakwawo nangaasivunjike moyokwasababu gouvernement yetuhaipindi sikiyakweli atapiyamimindaweza kujiwunga nananga mon grand ni Bertrand bisimwa mushi100pourcent.
@gasuzugurojosephАй бұрын
4verite
@KB-rd9vgАй бұрын
🛑🛑🛑Ukweri kabisa. Hatuna President
@mrhayaaa4194Ай бұрын
ni macozi kwangu!! what a waste of useless leaders.
@samsonalia441Ай бұрын
Habari yote unatoa Lea haikuwana habari kamili Haina kichwa Wala mungu .Afazali usiendela hivi rejeseni
@Patrick-n2uАй бұрын
Duuuh!! Mnamitiani wacongo tatizo kila mmoja anajiangalia kibinafsi
@FlorentKatembo-ln5ssАй бұрын
Dawa ya Salama yetu niku shukuwa silaha Sisi sote tuji shunge naku fukuza wageni, tu shimbe munaire sisi kwa Sisi ba commerçant Ba itishe ba industrie ijengewe mu inzi.
@nkusiinnocent9786Ай бұрын
Batasema namweye muko M23
@lwambafataki5880Ай бұрын
Je, siku ambayo utakuja kuelewa ukweli kwamba serekali kumbe haikuweza kufanya makubaliano na AFC ya akina Naanga utasimama na kutuambia kuwa kwakweli ulikuwa uwongo?
@didierilombe5572Ай бұрын
Kweni wewe kwa akili yako unahona que inchi iko ina henda pazuri? Ao ni mateso tu . Kwani falix iko na tengeneza inchi ao kina bomowa inchi. Santiment ita watesa . Mutakufa hivyo hivyo katika mateso.😅