Ni kweli kabisa kwamba ktk taasisi yoyote ya kijamii mafanikio au kinyume chake kwa kiwango kikubwa hutegemea aina ya uongozi/viongozi waliopo! Nyuma ya maendeleo makubwa au maendeleo duni ktk jamii yoyote atakuwepo kiongozi au viongozi kadhaa!
@shaurishauritanga2265 ай бұрын
Ni ngumu sana kutenganisha Serikali na CCM teacher's Union is CCM union
@BudodiBudodijohn5 ай бұрын
Acheni kulaumu walimu wote sema baadhi ya walimu usiwaunganishe walimu wote
@elibarikimollel71495 ай бұрын
Haijalishi hata kama wizara na taasisi ya ualimu iko chini ya ccm bado ni haki yao kuteteamaslahi yao wala hawawezi kufukuza waalimu wote,na wakiwasimamisha viongozi wao na wao wagome kufundisha... Tofauti na hivyo waalimu waki-Complomise na serikali hawatakaa wapate haki zao,wataendelea kuwapuuza kama walivyopuuza elimu nchini..watoto wao wanasoma shule bora na nje-ulaya
@KamwandaNzowa-eo4ur5 ай бұрын
Nchi hii I ya ajabu sana yaani unaweza kuleta ugari na nyama ya kuku na mavi ya chooni utashangaa baadhi yao wanasema Mimi nakula mavi
@stewartdyamvunye-wz6rn5 ай бұрын
Ni kweli kabisa. Ni mila na desturi ya CCM kutumia fedha kurubuni wananchi ili wawachaguwe kwa nafasi mbalimbali. Sasa mbinu hiyo wanaweza kabisa kuitumia kupenyeza mamluki ndani ya vyama pinzani. Mimi nina mfano hai. Mdogo wangu uchaguzi wa mwaka 1919/20 aligombea udiwani kata ya jimboni kwetu (naomba nisitaje majina). Akawa ana sifa zote hadi jina lake likarudi kuwa amepita katika waliowania. Mkoani matokeo yakapinduliwa baada ya aliyemfuatia kura ya maoni kuhonga mamilioni kwa vigogo wa mkoani na bw. mdogo akaenguliwa kimauzauza! Kisa kingine unganisha hapo ni kwamba mdogo wangu hakuwa na mamilioni ya kumpiku "hasimu!" wake!
@hajihassan54335 ай бұрын
Uchaguzi ni kama mpira wa kona hata wa ndani ya vyama hautaisha kugombaniwa.
@DiwaniMwafongo5 ай бұрын
Waalimu walihusika kuiba kura uchaguzi uliopita. Vimwalimu vina njaa mpaka basi.... Waalimu wa cku hizi walowengi ni borgus Sana!!
@hajihassan54335 ай бұрын
Jiandae kwa mikakati ya chama chako, kwenye chama cha siasa mkakati ni kushika dola. Kama wakitoa hela watashinda watafanya hivyo nk. Njia bora hutafsiriwa kwenye kufikia lengo. Chama kijipange chenyewe hata goalkeeper pass zote za Wapinzani wake anaziona na hadi mpira unakwenda kwenye nyavu. Hii nakusudia kuona mkakati ni kitu kimoja na kuudhibiti ni kitu kingine.
@BudodiBudodijohn5 ай бұрын
Tu kuulize swali mashinji na Akina Nasari walikuwa walimu acha kuhukumu walimu wote