Mtikila ALIVYOUKATAA MUUNGANO live bila CHENGAAAAA!

  Рет қаралды 24,115

SUPER TAMUTAMU

SUPER TAMUTAMU

24 күн бұрын

Пікірлер: 58
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u 22 күн бұрын
VIVA MTIKILA....MANENO MAZITO YA MAREHEMU MTIKILA....MTIKILA ALIKUWA MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU.
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s 21 күн бұрын
Mtikila alikuwa genius sana, RIP
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 22 күн бұрын
Hiyo kiboko ccm oyeeeee kazi inaendelea
@athanaschacha.9424
@athanaschacha.9424 22 күн бұрын
Siasa maana yake ni Maisha. Tena ni Maisha ya kila kitu. Na Imani pia ni sehemu ya Maisha nk. Ndani ya Maisha Kuna mambo mengi mno.ikiwemo undugu, ujirani na ushirikiano mwema na kufanya kazi na kutimiza wajibu kwa vitendo na kwa maneno kwa maana ya kujenga au kubomoa pale panapozuia hayo maendeleo. Mungu ibariki Dunia na ulimwengu wake na vyote vilivyomo.Pia Mungu aibariki 🇹🇿.
@dayanikitambi2085
@dayanikitambi2085 22 күн бұрын
Mzee nakukubali unaukwer
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 22 күн бұрын
Watanzania wanamwelewa mtu akiondoka dunia hata lisu atakapondolewa dunia ndo utasikia lisu tunamuelewa unyani ule uleee
@youngsachafurniture5482
@youngsachafurniture5482 18 күн бұрын
Wengi ni wanafikiii
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u 22 күн бұрын
RIP MZEE MTIKILA.
@JosephuSwai
@JosephuSwai 20 күн бұрын
Kweli Rip
@hafidhbarau9981
@hafidhbarau9981 22 күн бұрын
Duh asant Baba umeongea kweli
@AizackKalenge-ro5rc
@AizackKalenge-ro5rc 22 күн бұрын
Huyu Jamaa alikuwa shujaa sana,Mwenye kuona mbali,Alishawishi wabunge55 Kuitete Tanganyika,Mwasisi wa mfumo wa vyama vingi,Mtu wa kwanza kudai Katiba mpya
@fabianmainchanyangachika5017
@fabianmainchanyangachika5017 22 күн бұрын
Fact Mungu akubariki
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 21 күн бұрын
Limbwa la fisiyemu linasema alichanganyikiwa jamani hii nchi Ina ndondocha wa kitosha
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 22 күн бұрын
Kila Grip ya Amani inakumbukwa Mungu tunaombq amani Tanzania
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 18 күн бұрын
Jamaa alikua haogopi kabisa
@francissimwinga-gb2vd
@francissimwinga-gb2vd 20 күн бұрын
Kama ulikuwa humwelewi huyu jamaa basi unaugonjwa wa akili mkubwa
@PaskaliCharles-pz8ds
@PaskaliCharles-pz8ds 18 күн бұрын
Mzalendo wa kweli Hakika tumpate wapi wakuvaa viatu vyake
@user-nz6rs9vn3t
@user-nz6rs9vn3t 13 күн бұрын
Dah ila huyu mwamba ni alijua mambo mengi
@prosperleonard4341
@prosperleonard4341 22 күн бұрын
Ifike mahala tukubali madhaifu tuyarekebishe tuache woga na unafiki
@mamlomamlo9064
@mamlomamlo9064 22 күн бұрын
Kawachukia wahindi mwisho wake ,wahindi kawaacha yeye katangulia
@user-hl4pd2fy5x
@user-hl4pd2fy5x 22 күн бұрын
TANGANYIKA YETU 😂
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 13 күн бұрын
siku mkivunja muungano hamtaamini , kaskazini inakua nchi moja hatuwezi kuongozwa na wasenge kama hawa kipara kama mkundu
@frankhoffa8356
@frankhoffa8356 13 күн бұрын
Shida kubwa anamkundu kama wa mamayako hivi
@mauamkamba4906
@mauamkamba4906 21 күн бұрын
Kikwete alifanya makosa kutokumchapa kagame kipindi kile. Haya matusi sio binadamu kabisa aisee
@GilbertNhigula
@GilbertNhigula 14 күн бұрын
Nyie Wana Siasa ivi Kweli Mna dini Kweli ? hii hapana na Mashaka na Nyie , ! Mjue Siasa imetoka Kwenye dini !, Mnataka kitugawa hee Sababu ya Kukosa Madaraka ? Jueni Sasa Madaraka yanawekwa na Mungu Si Mwanadamu hata Waliopo Wametokana na Mungu Sababu Mungu Aliruhusu ndiomaana Wapo !, Basi Zigaweni na Familia Zetu tuone Kama mtaweza , . !
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 13 күн бұрын
Mungu huyo huyo ndiye aliwapa watu wake akili ya ufahamu na utambuzi, kujua mema na mabaya, uhuru wa kuamua na kutenda ili kuyatawala mazingira anamoishi. Hayo yanapofanyika katika jamii ndiyo siasa. Kwa hiyo kila binadamu maisha yake yamefungamanishwa na siasa. Mungu hatuchagulii viongozi bali anabariki maamuzi yetu ya kuwapata viongozi, isitokee tukawa na viongozi mafisadi, tukabaki tumekunja mikono tukiomba Mungu atuondolee viongozi mafisadi, wahujumu, wabadilifu au makatili. Uhuru wa kuwaweka au kuwaondoa uko mikononi mwa jamii husika. Hiyo ndiyo dini ya kweli isiyo na unafiki!
@KhaleedHamad-vl7lz
@KhaleedHamad-vl7lz 21 күн бұрын
Apedomia manyani wasio elewa
@abdallahkaskas6168
@abdallahkaskas6168 20 күн бұрын
Kwaiyo LOWASA kiasili ni MTUSI mtu wa kutoka Rwanda au nimelewa vby..
@sautikuu212
@sautikuu212 18 күн бұрын
Umeelewa vibaya
@HappyIceSkate-sb8uf
@HappyIceSkate-sb8uf 22 күн бұрын
Ww hamnazo
@KhaleedHamad-vl7lz
@KhaleedHamad-vl7lz 21 күн бұрын
Nahuyu semeni udini na ukabila kenge nyie
@emmanuelmakorere4835
@emmanuelmakorere4835 20 күн бұрын
Huyoni unyani
@user-tn7ic2ky3i
@user-tn7ic2ky3i 22 күн бұрын
Hivi yupo wapi kitikila
@TAMUTAMUTV
@TAMUTAMUTV 22 күн бұрын
Alishaafariki kitambo
@user-tn7ic2ky3i
@user-tn7ic2ky3i 22 күн бұрын
Tanzania 🇹🇿 ilipoteza mtu mtukweli kupata mtu kama mtikila na Makufuli itachukuwa myaka 30 mbele Mungu awalaze maali pema Peponi
@sautikuu212
@sautikuu212 18 күн бұрын
@@user-tn7ic2ky3i zungumzia watu wa maana sio magufuli.
@imranijuma6955
@imranijuma6955 16 күн бұрын
Walimuua
@rajabunziku8188
@rajabunziku8188 20 күн бұрын
Wana siasa tunawajua mdomo ndo unawapa rizq amani hii tuliyo nayo imejengwa
@JosephuSwai
@JosephuSwai 20 күн бұрын
Ujinga ndio amani
@ClemoohPeter
@ClemoohPeter 13 күн бұрын
Hawa wazanzibari wabaguzi sana wao wanakuja kwetu wanajenga sisi wabara wanatukataa kwao mi mungano sioni faida nao siutaki kwanza wanaubinafsi arafu wao wanakatiba yao tena inasema Mali ya wazanzibari iwanufahishe wazanzibari tu hatutaki mungano kira mtu apambane na hali yake
@user-hn3oz7xu1z
@user-hn3oz7xu1z 11 күн бұрын
Pole Ila msikilize vizuri mchungaji anachosema
@lmdos4382
@lmdos4382 8 күн бұрын
punguza chuki mkuu utaweza kufikiri vizuri
@saidabdala4980
@saidabdala4980 16 күн бұрын
Mtikila aliuliwa. Ccm walimuuwa. YOYOTE atakae zungumziya kuhusu MUUNGANO. Kifo kiko mbele yake. Au kigungo. Mtkila alikyfa kwa exdent ya gari. Jee uchaguzi ulifanywa ?? .wazanzibari sio wajinga. Hata kufo cha karume ni NYERERE ndio aloagiza
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 21 күн бұрын
Sasa mafuta yakiisha je meli zitaleta mchele?utajiri ni ardhi mkiwa nayo hakika njaa mtaisikia kwa wenzenu
@kwisa4899
@kwisa4899 20 күн бұрын
Wewe nawe jifunze kuwekeza unapo pata pa kuazia Dubai wamebadili mfumo wamepata mjaji kwene mafuta wamewekeza kwene utarihii wa majengo ya.kushangaza
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 20 күн бұрын
Utajiri wa mwanadamu ni akili timamu .
@1961nungwi
@1961nungwi 17 күн бұрын
​@jumamohHapoamed3168 hapo umenena! Tizama Japan, !Nchi ndogo kwa Ardhi lakini kubwa kwa akili Duniani.
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 22 күн бұрын
Huya jamaa alishachanganyikiwa
@NorbethJosphath-hm1zb
@NorbethJosphath-hm1zb 22 күн бұрын
Nani amechanganyikiwa
@saimonisichimata8559
@saimonisichimata8559 22 күн бұрын
Mkondya uccm unakusumbua
@user-oy5dz5xl8s
@user-oy5dz5xl8s 22 күн бұрын
Kalambe wenzako miguu upewe kuwa mkuu wa ukoko baada ya toplyear
@HappyIceSkate-sb8uf
@HappyIceSkate-sb8uf 22 күн бұрын
Hamnazo
@hafidhhemed1514
@hafidhhemed1514 22 күн бұрын
Kwa kuongea ukweli?? Au na ww una tatizo la unyani, apedomia??
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 21 күн бұрын
Limbwa la fisiyemu linasema alichanganyikiwa jamani hii nchi Ina ndondocha wa kitosha
@JosephuSwai
@JosephuSwai 20 күн бұрын
Bwege
@lupyanamatimbwi8064
@lupyanamatimbwi8064 19 күн бұрын
huyu mzee alikuwa intelligent
В ДЕТСТВЕ СТРОИШЬ ДОМ ПОД СТОЛОМ
00:17
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 2,5 МЛН
WHY DOES SHE HAVE A REWARD? #youtubecreatorawards
00:41
Levsob
Рет қаралды 42 МЛН
$10,000 Every Day You Survive In The Wilderness
26:44
MrBeast
Рет қаралды 102 МЛН
JUSSA AFICHUA SIRI NZITO YA MUUNGANO
34:06
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 53 М.
WEWEEE!!...Lissu AMVUA NGUO Mwigulu MBELE za WATU!!
11:30
SUPER TAMUTAMU
Рет қаралды 12 М.
Why is Ukraine the West's Fault? Featuring John Mearsheimer
1:14:16
The University of Chicago
Рет қаралды 29 МЛН
Makutano Show: Muungano UmeKufa - Tundu Lissu
8:37
MakutanoShow
Рет қаралды 49 М.
MAMAAAAAA...Lissu kama OBAMAAA, ATIKISA NCHI, Dunia YASIMAMAAAA!!!
43:55
Makonda Kama Magufuli, DUUUH! Ona anachokifanya EE!!!!
29:44
SUPER TAMUTAMU
Рет қаралды 47 М.
Они убрались очень быстро!
0:40
Аришнев
Рет қаралды 1,2 МЛН
Spongebob team his wife is pregnant #spongebob #marriage #pregnant
0:12
100❤️
0:20
Nonomen ノノメン
Рет қаралды 61 МЛН