Serikali iko kazini awamu hii mpaka raha yaani bigup kijana Bashe
@blackbeauty84624 жыл бұрын
Natumai apple moja tutauziwa mia mbili badala elfu moja.....big up Hussein Bashe.
@SaadEbrahim4 жыл бұрын
Huyu Mheshimiwa Bashe Ninamkubali sana katika Serikali ya Mheshimiwa Rais Magufuli huyu kijana ni mchapa kazi mzuri sana Mungu amlinde na maaduwi zake amin.
@ambrosempesha77184 жыл бұрын
Safi sana bashe Mungu akupiganie maana maendeleo bila viwanda haiwezekani
@liverpoolfootballclub99854 жыл бұрын
Mliwahi sema bashe Ni msomali. Leo mwamsifu kwa kazi yake nzuri. Tanzania amkeni msiwabague watu kwa misingi ya asili zao. Yaweza kua asili za mbali ndiyo zaleta maendeleo ndiyo maana Mzee Mkapa aliwapa fursa wawekezaji. Kua mtanzania sio tiketi ya kwenda mbinguni. Wakeup guys.🇰🇪🙋
@africanboyamani86404 жыл бұрын
Hussein bashe nakukubali kuliko kiongozi yoyote hapa Tanzania napenda uongozi wako
@nassorntandu45134 жыл бұрын
Viongozi wanao take action instantly kama hawa ndio tunaowahitaji: Kuna mambo mengi hayaendi serikalini kwasababu viongozi hawafanyi maamuzi ya haraka! Mfano_Mwaka mzima, wizara inajibizana kwa barua na wananchi, bila kupata suluhisho! Wakati hata kwa phone mnaweza kupata suluhisho la tatizo! Kuna viongozi/ watumishi wa serikali waoga kufanya maamuzi, na kusababisha masuala yanakaa muda mrefu bila kutekelezwa! Chapa kazi Bashe
@EK-kp2np4 жыл бұрын
Huyu kaka namkubali sana, he can think outside the box, Mungu akubariki Bashe
@micamathew64334 жыл бұрын
Ahsante sana mh Bashe. Ubarikiwe sana na Bwana Yesu. Amen.
@dioskorimtalo23484 жыл бұрын
Action on the spot .. Ndio dunia ya wenzetu inavyoendeshwa. Sie tulichelewa sana ! Vry gd Bashe.
@godfreynyansira82274 жыл бұрын
Nmekuelewa vzuri sana, ,kazi nzuri bashe
@johnkiganga60142 жыл бұрын
the best waziri in tanzania god bless u .a big advicer
@yahyamkone56014 жыл бұрын
Huyu ndiye hussen bashe nazani unaeleweka vizuri sasa
@teddykanondo57534 жыл бұрын
HAWA NDIO WATU TUNAWATAKA TANZANIA KUKAA CCM NI KUPOTEZA MDA. CCM INAZUIA HATA WAWEKEZAJI KUFANYA KAZI UPUUZI MTUPU.
@jumakapesa7264 жыл бұрын
Bashe walikuchelewesha sana mdogo wangu. Maombi yangu kama si awamu hii basi November upewe uwaziri kimili. Unaweza Mhe:
@mossyfimbo35774 жыл бұрын
Hakuchelewa Biblia inasema kila kitu kwa Majira na wakati wake
@issakawanya85114 жыл бұрын
Allah akulinde akupe hekma na afya njema
@elinazadaniel37214 жыл бұрын
Hongera waziri bashe kwa kuzibua palipokwama
@raheemhamisi53704 жыл бұрын
Kilichofanyika apo ni ufisadi ndo maana ata Boss wao anasema haiwezi kuwa bei kubwa kias icho jaman ata kama ni mzungu,,,,mbona anawawezesha wabongo hao growers zaid ya 200 ni wabongo. Duuuuuh,,,,,ama kwel tutapona kwel kwa hali iyo??????? Hongera sana Mheshimiwa Hussein Bashe.
@wahidashabaz59824 жыл бұрын
Umeona kaka
@Linkmycommunity4 жыл бұрын
Yaani wabongo ,,,,,,huwa siwaelewi jaman ,,,,,,90M ???
@pius_kiraka4 жыл бұрын
Msiwaonee TANESCO. Hao wanataka kuvuta umeme mkubwa wa njia tatu kutoka kilometa mbili. Ni lazima bei zake ziwe kubwa.
@khalidikibakuli1324 жыл бұрын
Tanzania naikubali sana kuona viongozi wetu wapo makin
@drgeofreymdede39524 жыл бұрын
Tanesco Iringa wanazingua sana. Hawajitambui. Nafikiri kuna haja ya kutumia nguvu kidogo. Kuna eneo lipo isakalilo wananchi wanahitaji umeme lakini hawataki kuweka. Ni shida sana. Hongera sana Hussein Bashe endeleeni kuchapa kazi nchi inawategemea.
@mgawerevocatus85824 жыл бұрын
Mwanzoni ulipokuwa unajiunga na wapingaji,pingaji nilkuwaga sikuelewi kabisa Bashe Sasa ninakuelewa Mungu akusaidie ufike mbali
@wilfredmoshi65074 жыл бұрын
Ukweli bila kuangalia uchama bashe alikuwa anapinga vitu vyenye tija na ndio maana mweshimiwa rais alimwona na amempa kazi ili atatue yale aliyokuwa anayapinga bungeni.na wote sasa tunaona jinsi anavyotekeleza kwa vitendo. Ninamkubalia sana huyu jamaa
@mossyfimbo35774 жыл бұрын
Alikuwa anataka asikike kwenye Mamlaka ya Juu na alisikika
@sylvanussebastian62094 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mkuu!!!
@masungamnganya86784 жыл бұрын
Daaah big up sana
@ellysilwani92874 жыл бұрын
Hongera Mheshimiwa...
@manyakuulaompondelo44194 жыл бұрын
Kama na wewe unataka pia bei ya apple ishuke gonga like Bashe atuone
@festonawapatasanainaunganl46983 жыл бұрын
Asante kijana uone wakulima wapigwa huku swara ra,umeme
@solemba5953 жыл бұрын
Hiyo ndio maneno watu wafaidike na rasilimali za Taifa, Hongera nyingi ziende kwa Bashe na Waziri muhusika...
@wilfredmoshi65074 жыл бұрын
Good job mweshimiwa bashe kwa kweli ni amkubali sana Huyu mweshimiwa.kwanza anabusara sana hakurupuki na wala haropoki ropoki.
@melchiadgodwine91924 жыл бұрын
Bashe wewe ni jembeeee haukuchaguliwa kwa bahati
@kahamaonelive94324 жыл бұрын
Piga kazi Bashe tuko na wewe 2020
@faustintourstravelzanzibar65064 жыл бұрын
Huyu ukimuita waziri ni sawa kabisa.
@felixmwayeya67164 жыл бұрын
Bashe makini sana mungu akubariki
@dsstanzania4 жыл бұрын
Safi
@petermgmgalula21044 жыл бұрын
Kazi nzuri sema punguza lugha ya kikoloni ongea kiswahilii lugha yako mwanzo mwisho. Weka hata na kinyamwezi utaeleweka zaidi
@dollyandthedoliganeloi30254 жыл бұрын
Mbona kingereza mnaogopa ndugu zangu
@petermgmgalula21044 жыл бұрын
Siogopi kizungu ndugu ninaishi Africa kusini na ni mwalimu wa secondary hata kununua nyanya huku ni kizungu. Nakiongea vizuri tu.
@dollyandthedoliganeloi30254 жыл бұрын
@@petermgmgalula2104 yaani uku UK ukutane na mzungu wa Liverpool au Scotland akiongea kingereza utafikiri anaongea utafikiri anaongea kinyamwezi manake humuelewi kabisaa
@Segerethom4 жыл бұрын
Bashe you are a leader brother. Viva.
@kombuchahluckyMartin4 жыл бұрын
Good job. Tunataka ivi
@kyaro59454 жыл бұрын
client advocacy hiyo safi sana
@chelesielisha59084 жыл бұрын
Hahahahaha kilometa 2 umeme gharama million 90 hiyo ni noma
@juliusntandu4302 Жыл бұрын
If call you waziri ni kama kuna kitu kinapungua wewe ni Baba Fulani ivi alafu kaka yaani kama faraja Fulani ivi God bless
@sponsor78824 жыл бұрын
NDIO MAANA WAWEKEZAJI WENGI WAMEHAMA TZ
@ribambawala4 жыл бұрын
Hawa ndio viongozi tunao wataka
@bornthagylife38023 жыл бұрын
Mmnyamwezi mwenzangu basheanafaaa kua Rais kuriko Jpm msukuma
@teres35194 жыл бұрын
Big up Bashe. Bottlenecks should be dealt up with.
@florianmbena5804 жыл бұрын
Safi sana kijana mwenzetu
@mussaomary71734 жыл бұрын
Mkiongea lugha moja raha sana.ni rahisi pia kuelewana.
@philipoinzag23794 жыл бұрын
Hizo ndio kazi zenu lakini m unataka mpaka Rais apite asimamiswe azitatute shida ambazo nyie ndio jukumu lenu Sasa hapo umempunguzia kazi Rais wetu kwa kweli Safi Sana bashe mungu akuongoze na akujaalie umri mrefu na akuzidishie Imani na akuepushe na maballaa yote ya walimwengu Amin
@daudirajabu67984 жыл бұрын
Kaz nzuri
@sylvanussebastian62094 жыл бұрын
Kwa mbali sana nimesikia kama wabheja sana bhaba ni kweli au masikio yangu tu!!!!
@khalfanothuman99884 жыл бұрын
Nikweri msukuma huyo
@macoc83794 жыл бұрын
😅😅😅
@malikisombi9804 жыл бұрын
Basheee oyeeee💪💪
@jacklineminja20224 жыл бұрын
Nakila sababu ya kumpenda kiongozi wangu makini mh Bashe asante sana
@reganikalenga9884 жыл бұрын
Napafahamu nilishafanya kazi hapo Huyo mzungu anaitwa Annah
@swahiliforex4 жыл бұрын
Anna Thomas cluivert
@andrew294684 жыл бұрын
hongera Waziri,nakuunga mkono
@lawmaina784 жыл бұрын
Raha sana kwa kweli, hongera.
@worldstartz4 жыл бұрын
Safi sana
@franaelisumari51084 жыл бұрын
Yes,Yes,Tanzania Kwanza.
@Ba638284 жыл бұрын
TOUGH JOB EXECUTED EXCELLENTLY VIONGOZI
@zefamange72814 жыл бұрын
WATANZANIA TUNAJIKWAMISHA SISI WENYEWE, SIJUI NANI KATULOGAA
@kyaro59454 жыл бұрын
yaani hawa mameneja naamini sasa ndo waliouwa viwanda vya kambarage...umrme m90?????
@sheynarhere42774 жыл бұрын
Heh Hawa wamezidi wakiona wazungu Tena ndio wanazidi
@Ba638284 жыл бұрын
TUMELOGWA NA RUSHWA INAUMA SANA
@zefamange72814 жыл бұрын
@@kyaro5945 wamshukuru mungu mm sijapewa uwaziri, ninge wafukuza kazi kuanzia vibarua walio shika tep wakati wa kupima mpaka walio piga hesabu za milion 90
@happynicholaus64744 жыл бұрын
Yani umesema kama mimi kila siku nasema nani katulonga watanzania
@wilsonjohn19194 жыл бұрын
Wabeja sana uko vizur kwa kinyamwez
@peterokalo96324 жыл бұрын
Wake up all Africa’s country’s What about land for Tanzania 🇹🇿 citizens
@mcluciana45544 жыл бұрын
Safiii sana Kiongozi
@omararale79623 жыл бұрын
Huyu mzungu Mtanzania anahaki kama watanzania wenziye
@chayogasperi97834 жыл бұрын
HAPA KAZI TU , MIJITU YA KUKWAMISHA MAMBO SERIKALI HII HAINA NAFASI . HONGERENI VIONGOZI MNAOCHAPA KAZI BILA KUHITAJI RUSHWA . WALIOTAKA KUKWAMISHA WATUMBULIWE .
@ridhiwaniomari74254 жыл бұрын
WASUKUMWE NDANI TU!
@antoinea.katembo53264 жыл бұрын
Huyu kijana nilimuona kwa mbali sana vile yaani jamaa yupo kivingine katika swala la mfumo wa uwongozi
@bjzee19814 жыл бұрын
Wasomali ni stone face hawanaga kuchekacheka.
@saloujohn36394 жыл бұрын
Good job sir
@RANKMANTANZANIACOLTD4 жыл бұрын
Dah! Hawa ndo mawaziri tunaowahitaji awamu ya tano na Tanzania kwa ujumla
@adammakoye41984 жыл бұрын
Naibu waziri nadhani umesikia kuhusiana na nzige kule kaskazini mwa Kenya na sehemu ktk SOMALIA na Ethiopia vile sisi kma majirani wa Kenya ni vipi tunajilinda na nzige hapo kabla hatufikiwa na hilo janga
@kamalofanuel81204 жыл бұрын
Zige kenya zishauliwa kitambo
@Anita-fn5cv4 жыл бұрын
Nzige wanaendelea kuenea sehemu nyingi za Kenya
@florakankutebe39874 жыл бұрын
Nimekuelewa waziri
@bijampolamsemakweli96874 жыл бұрын
Yaani Tanesco wamezidi mimi kwangu kuna mradi wa REA lakini wanataka ninunue nguzo 380000 yaani wananchi tunanyanyasika sana
@gabrieldenicc45024 жыл бұрын
Kiukweli sisindio tunao ludishana nyuma maendeleo hv yeye wao tanesco walimtoza beikubwa hvyo awakujua yupo maeneo gani
@kyaro59454 жыл бұрын
Wabong tuna shida sana, eti kwa kuwa ni mzingu basi piga bei
@samweljuma5854 жыл бұрын
Kazi njema kaka.
@ernestsinje86934 жыл бұрын
Yaani huyu anapendwa mpaka nchi za jirani
@paulkisatulusana11424 жыл бұрын
Bashe oyeeee
@abdul-rahmanfakijuma18794 жыл бұрын
👍👍👍
@somanikhaliphan59504 жыл бұрын
Vizuri sana
@nimrodsigulu20534 жыл бұрын
Safi..sio yule anaejiita nje ya box
@abdallahjeshi91644 жыл бұрын
Nc Mr bashe
@franciskavyega2804 жыл бұрын
Good sana...
@saidsuleiman17534 жыл бұрын
Waziri wa Kilimo mbona simsikii namsikia Naibu Waziri siku zote
@abermstafa28734 жыл бұрын
Hawa ndo viongoz tunaowataka
@juliuschacha77534 жыл бұрын
Bongo ukisikia ni mzungu watu wanajua pesa ipo
@imaculatadominic70054 жыл бұрын
afadhali maeple yalimwe kwetu maana ni tunda adim hata mlaji huwa anaonekana VIP SANA
@msafiriaugustino29574 жыл бұрын
tumbua kuna watu wanapiga hapo sio bure hehehehe
@erickzephania10304 жыл бұрын
Tanesco na baadhi ya wafanyakazi hapo uchunguzi ufanyike. Maana waswahili tukiona ngozi nyeupe tu tunajua fursa
@peterezrom51943 жыл бұрын
Kwa Sasa inapendeza
@emanuelmoshama38994 жыл бұрын
mimi mwenyewe kiwanda changu, nimefunga generator, tenesco waliniandikia bill ya ajabu nikawapotezea
@khamisrashidy10794 жыл бұрын
Bashe wabheja sana
@fehomliez45494 жыл бұрын
bashe huna usanii kabisa, hii ndio quality ya watendaji tunaowahitaji ktk awamu hii, heko dr john magufuli
@mushtaqdada98044 жыл бұрын
Tanzania first
@mkambotv54184 жыл бұрын
MSOMALI YUWAPIGA KAZI SANA
@ikrissaidrissa86134 жыл бұрын
Wabenja sana baba
@allyflavour80054 жыл бұрын
Mungu awasaidie viongozi wa namba hiii nisafi sana ila sisi binaadamu wengine tukipata hivyo vyeo khaaa allah ndie anaejua kama hatukuzaliwa vile
@feasalhanad10944 жыл бұрын
Salaaaaah 90m watu wahisidi kweli
@carremmajan45504 жыл бұрын
Kilos cha simba
@Rashidmhedhery4 жыл бұрын
Show up!
@tanzaniakwanza16994 жыл бұрын
Ndo maana ya "kawazungukieni waliowapigia kura". Na si wazungu. Ungekuwa ulaya Mh. Bashe ungelijulia wapi hilo?
@prosperbucheyeki26072 жыл бұрын
Anasifa yakua waziri
@Utadowot4 жыл бұрын
Wariahe toka Kenya atawaonyesha ufisadi vilvyo
@joellumala32064 жыл бұрын
Wabheja sana bhabha
@augustinomwamasinga22004 жыл бұрын
Good
@Baba-JJ4 жыл бұрын
Ya kujifunza hapa mi nimeyaona mambo mawili ila nawewe msomaji kama una yako ongezea. 1. Bei zinazotolewa na Tanesco huwa sio halisi na hazina msingi au chanzo (basis) 2. Ukihitaji gharama halisi na halali watafute viongozi wa kisiasa.
@ridhiwaniomari74254 жыл бұрын
Mipango mikubwa kama hii ya kuanzisha viwanda bora kuongea moja kwa moja na Waziri husika kuliko kupitia watu wa chini,ili wao wapewe maagizo kutoka juu. Ukianzia kwao lazima wakupige dili,na hii inaonyesha wazi kuwa hawana huruma na watu wa chini
@josephsoka15654 жыл бұрын
Huyu bashe urais 2040!!!
@mchuumchu98014 жыл бұрын
Hawa jamaaa waliomwambia ml 90 wachunguzwe mpaka waziri anasema hiyo gharama ni kubwa kwani wao hawaelewi? Watumbuliwe.
@denismakweba38703 жыл бұрын
2km,90 millions they are no serious at all. Kuna vitu tunajikwamisha sana,wanataka tuendeleee kununua apple south?
@nenomoja96334 жыл бұрын
Huyu Jamaa bashed ni kama mkuu wa Mkoa wangu wa mtwara. Anamaliza kazi hapo hapo hakuna sijui njoo kesho. Anaita pande Mbilinyi Anatolia maelekezo unajua sisi watanzania hatupendani hata Mtu ukianzia kamladi ka maandazi kwa mtaji wa 50000 ukihitaji umeme jasho litakutoka na utajuta.