Amiin ya rabi l~alamiin.....najitahidi kufatilia mapishi yako lakini vifaa vingi kwenye supermarket zetu vinamiss
@latifahjamal29994 жыл бұрын
Ameen
@raashidibrahim8514 жыл бұрын
Elfu kumi Original. Hhhhhh hhhhh umenifurahisha. Ila mashallah
@ubwakhamis75204 жыл бұрын
Very good shaimaa.Allah bless u
@hafidhali72944 жыл бұрын
Ameen
@aliymurid44333 жыл бұрын
Masha Allah. Allah akubarik . Na azidi kukufungulia na mambo mengine. Amiin
@LADYZEE7024 жыл бұрын
Am kenyan but am proud to say am so proud of you shaymaa. May Allah continue to put baraka in all that you do. You are a beautiful example for our ummah
@thuthasworldworld1374 жыл бұрын
Bravo habibty wewe ni mfano bora kwa jamii yetu naamini hakuna kisichowezekana. Allah akuongoze pema zaidi kwa ujuzi zaidi ili usaidi wengi. Jazakillah kheir.
@amourmtungo6234 жыл бұрын
Hongera Shaima, utakuwa mfano wa wanawake wengine hapo Zanzibar. Kujitegemea ni ngao na ni silaha halisi ya kukimbia manyanyaso ya kuajiriwa.
@fahadfahmy4 жыл бұрын
Kabisa bro mimi mwenyewe nimepitia hayo unayoyasema
@awadhtevez29184 жыл бұрын
Mashallah we need more women's like her hapa Zanzibar Allah afungulie milango ya kheri na pia ningeomba angeanza seminar ndogo ndogo kuwa motivate vijana wengine wakike wakizanzibar pia km atakua anahitaji mchumba mwenye connection au information zozote tusaidiane jamani I'm serious about this guys this woman she's the future KTV Tz Online tusaidiane jamani
@kisunannannav.92104 жыл бұрын
awadh tevez wataka muoa ?
@kisunannannav.92104 жыл бұрын
Wataka muoa ?
@awadhtevez29184 жыл бұрын
@@kisunannannav.9210 eehh! haswa kama kuna uwezekano ila kama hakuna uwezekano basi tutazid kuombeana dua azid kufanikiwa katika maisha yake
@kisunannannav.92104 жыл бұрын
@@awadhtevez2918 Swadakta!
@awadhtevez29184 жыл бұрын
@@kisunannannav.9210 Swadakta kabisa ss kama kuna uwo uwezekano wakusaidiana tusaidiane seriously
@safiyatheonlything78484 жыл бұрын
Mashallha ongera sana Mungu akuzidishie zaidi me napenda sana nije kuwa mfanya biashara lnshallha mungu atufanyie wepesi nasisi tuliokuwa na ndoto za kufanya pia mm nina makovu sijui kama nitapata sabuni ya kuniponesha miguuni ninge kuwa tz basi najua nisinge kosa kwa sheimha
@buzyformylovedone59644 жыл бұрын
Maa Shaa Allah Allah amlinde na hasad ktk kazi zke I'm so proud of her wallah nikioma Wanawake wanamaendeleo halafu ktk umri mdogo nakua naona raha kweli kweli hata cjali ikiwa namjua au cmjui. Any way km kuna contacts zke tuekeeni tumfollow she is an inspirational for me.
@suleshkaka66223 жыл бұрын
Masha Allah Allah akuongeze katita kazi zako pimoja nakumtii yeye na akuongezee ubunifu zaid pia akueepusha na shari ya hiyo kazi yako But also never be boast for what allhu gave to you and pray for only yeye
@hamidahamdoun82014 жыл бұрын
Kila la kheri mdogo wangu. Allah akufungulie rizki zaidi, Soma uje kufikia ndoto yako na ufikie ngazi za kimataifa. Allah aliibariki kazi ya mikono.
@nayraseif28764 жыл бұрын
MashaAllah mungu akulinde na hasad na akujaalie mafanikio makubwa kwani ur talent deserves an appreciation 🌟🌟🌟🌟🌟
@swacreativeproductions29154 жыл бұрын
Aamiin
@khadijakhalfan82753 жыл бұрын
A.alaikum shaimaa dukalako likowapi tunahitaji nasiye mashallah allah akuzidishiye
@al-mamarial-mamari54574 жыл бұрын
MaShaAllah. Allah akuzidishie ujuzi na uzidi kupata mafanikio ktk biashara yako . Allah akuhifadhi na kila Hassid . Ameen.
@samohazakwani68994 жыл бұрын
Assalaam alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh Mashaa Allah TabaarakAllah. Allah ambarikie na ampe elimu zaidi bint Shaymaa aendee na anufaishe umma. Awe ni kiigizo chema kwa wengine. Pongezi sana bint wa Kizanzibari tunaona fakhari.
@neemaally89814 жыл бұрын
Mashaallah jaman, nmepata moyo wa kufanya nami nnachokipenda, ALLAH akufanyie wepes
@swabriali45834 жыл бұрын
MashaAllah Mola akuzidishie kheri na baraka
@Boeyrbx4 жыл бұрын
MashaAllah Allah akubarik akupe siha afya na umri taweel wenye kheri akutilie barka rizqi yako Ameen
@salmasaidi28754 жыл бұрын
MASHAA ALLAH Mungu akuzidishie Elimu na wengine pia In Shaa Allah
@mussakiziyzi4084 жыл бұрын
Alf mabrouk Shaymaa Allah akutilie barka na ufanis zaid katika kazi zako.Aamiyn
@salmaalbarwani26184 жыл бұрын
You are gifted God bless you shaimaa
@khazinaadulla2114 жыл бұрын
MashaAllah nimependa sana kaziyako InshaAllah Mwenyezi Mungu akufungulie barka iendelee nawatu wa furahi
@judithsalvatory28924 жыл бұрын
Hongera sana Mungu azidi kukubariki Mungu akijaria nikirudi Zanzibar nitakuja kununua
@hamadatahir93073 жыл бұрын
Jitahidi kutoa sadaka kwa kile kidogo unachokipata haswa kwa kuwapa Mayatima,masikini na wajane in shaa Allah.
@nasranassor67964 жыл бұрын
Maasha allah c kazi rahisi,
@hassanmkuta77844 жыл бұрын
Mashaa Allah my students from memon Academy
@alawiali34754 жыл бұрын
Hongera sana kwa ubunifu na juhudi ya kujituma ktk kujiletea maendeleo,hongera sana ubarikiwe
@ukhtyalpha13444 жыл бұрын
Very impresive mwanangu I adore you May Allah Bless you
@abdulkadiraminawes58814 жыл бұрын
MaShaa Allah. Fikiria. think of expanding your products market. Unaweza hata kupata wateja hapa Kenya.
@maryamswaleh13334 жыл бұрын
Ma shaa Allah Tabaraka'Allah,Allah akuzidishie
@muhmuhsini0054 жыл бұрын
Taarifa nzuri sana na yakushajiisha, asanteni 👍🏼
@rizikimohammed42974 жыл бұрын
Mashallah akubariki mwenyezi uziidi wako ujuzi.akuepushe na ftina na hasad n husda za viumbe wakiwemo binadaamu,mashetani na majiini. Alkah akujaaluw afya na afwa insha allah
@thelistener83574 ай бұрын
Welldone. I hope you succeed in life n you help many
@aminaothman97573 жыл бұрын
MASHAAllah Shaymaa 😍 nimewahi kutumia sabuni yake na ni nzuri sana ..Keep it up shayma👍🏻♥️
@sonaamohd54614 жыл бұрын
Mashallah allah akupe wepesi wa kazi zako na akulinde na mahasidi
@khadijaangore44084 жыл бұрын
Masha Allah , Lalwa wakuwatah ilabilah . Mungu akuzidishie Elimu na akuruzuku fahamu. INSHA ALLAH mwaka ujao utahajiri wenzako.♥️♥️😍😍
@jamaalali45644 жыл бұрын
Maa shaa Allah Allah akubarikie kazi zamikono yako
@wizardshop42643 жыл бұрын
Habar duka liko wap nataka huduma mm nataka dawa ya nywele na ngozi
@samoocoolingsystem934 жыл бұрын
Dada Mrembo Halafu Kazi Kazi 🔥🔥🔥
@mtitimtiti3764 жыл бұрын
Dada sadia una sauti nzur sana ya utangazaji siku inshallah itafika na utakuwa mtangazaji bora wa kike wa zanzibar/Tanzania/Africa/Dunia
@khadijaali86304 жыл бұрын
Wow congrats sheyma i lyk da way u do
@aishaabdurahman11854 жыл бұрын
Yah good luck 🍀 my sis,insha Allah mola akutilie baraka kwa kazi yko
@MaulidAllymeli13 күн бұрын
Hongera sana, naweza mleta bint yangu umfundishe?
@hafsanatoo83654 жыл бұрын
Maa shaa Allaah ,Allaah akubaarik..
@gulamnanji57474 жыл бұрын
Very inspirational, may God take you long way and big success in your future life
@swafiyyasuleyman39244 жыл бұрын
Masha allah allah akuxidishie ujuz zaid
@zainabmaulidi98464 жыл бұрын
Mzuri tena mrembo kweli masha Allah 😘😘😘All the best shaima
@suleymanseif50004 жыл бұрын
MashaAllah mungu azidi kumpa kipaji zaid y hicho n kiweze kuendeleza jamii n maisha yake n wazazi wake...🤲🥰
@aydasalim46794 жыл бұрын
MashaAllah our lil one❤keep on going and make us proud dear
@suleimankhalfanaltiwan15834 жыл бұрын
Well done dada Allah akulinde katika maendeleo ya kazi na akujalie mwendelezo mwepesi katika kusudio lako la kusaidia taifa ammin
@muradiseifhumoud78803 жыл бұрын
Mashaallah mrembo mzuri
@zainabomar30134 жыл бұрын
Unafanya vizuri ...endelea na usichoke .napenda
@hadiyajuma39744 жыл бұрын
MashaAllah ubunifu Mzuri hio ni biashara kubwa ulaya watu wanauza mpaka supermarket jaribu kupeleka na madukani au supermarket
@nuraabdi13794 жыл бұрын
Asalam ghalaikum hongera Kwa kazi nzuri shaimaa nipo omani nimetokewa na mabaka usoni nimejaribu kutumia mafuta mengi Sana lkn bado yapo
@didabeibz80144 жыл бұрын
Mashallah hongera dada ... Allah akufanyie wepesi wa kazi yako.....nilichokipenda ni jinsi unajisitiri..... ALLAH akuzidishie stara daima....
@nassernajm54174 жыл бұрын
Nikweli MashaAllah!! Kujistiri kwake kunaonesha kiwango cha imani na dini yake MashaAllah...!! Allah atambarik na kumjalia kila la kheri katika maisha yake inShaAllah. Ningekuwa cjaowa basi nafikiri leo hii hii ningepeleka posa wallahi 😭😭😭 lol!😇
@rashidiali4174 жыл бұрын
Vizuri Shayma Allah akuzidishie
@mrfix65964 жыл бұрын
KTV Leo mmenipatia kwa kweli, dk 14 zote nimeangalia kipindi hiki, Mashallah, zidini kupekechuapekechua vipaji vipo vingi mitaani, wale wanaohangaika na vyeti kutafuta ajira wazinduke.
@ktvtzonline4 жыл бұрын
Mr Fix Ahsante Kwa Kuwa Nasi "KTV TZ ONLINE HAKIKA HII NI FAHARI YETU"
@khalidbahorera81064 жыл бұрын
Mzee baba sema tu umeangalia dakika zote 14 kwasabab hujatosheka kukitizama hcho chuma hapo😄😄😄
@sanaaseif27314 жыл бұрын
In sha Allah utafika mbali ndugu yangu... Allah akuepushie hasad🌹
@hameidseif70834 жыл бұрын
😁Mashallah
@sumaiahamimu67054 жыл бұрын
Allahuma Aamin
@pilikhamis29244 жыл бұрын
Maashaallaah mung akuzidishie mdogo wang
@arqamibnarqam.71854 жыл бұрын
@@pilikhamis2924 Amiina
@arqamibnarqam.71854 жыл бұрын
@@sumaiahamimu6705 amiina
@aliahmed15384 жыл бұрын
Mashallah mola akuzidishie na akufungulie milango ya kheri katika biashara yako na wala usitishike na maneno ya waja watasema mchana usiku watalala ( plz naomba ya whasup shukran )
@ummyhassan3834 жыл бұрын
MASHALLAH ALLAH AZIDI kukufanyia wepesi ktk mafanikio yako
@Minosfoods4 жыл бұрын
Maa shaa Allah Allah azidi kukubariki dada
@salwasaeed57164 жыл бұрын
Maa shaa Allah Namuomba Allah akulinde na KILA shari za binaadam na Walimwengu habibty Ntaichukua number yako ya sim In shaa Allah Namuomba Allah akupe kipaji zaidi na zaidi ya hapo ulipofikia AAMIN
@myrafarijallah89274 жыл бұрын
Ma sha allah ....
@nourkondo7144 жыл бұрын
Aalykum ww hongera sana binti mwenzngu Allah akusimamie na kazi yako
@International_Admin4 жыл бұрын
mashallah hongera sana allah akuepushe na vijicho
@ruksanaeddy76164 жыл бұрын
MashaAllah ❤️🌹.. Allah azidi kukupaa ujuzi
@anansiauronu4414 жыл бұрын
Hongera sana Shymaa! Keep up the spirit girl! Instagram anatumia jina gani tafadhali?
@maryamhadid77534 жыл бұрын
Masha Allah allah azid kukubariki kwa neema aliyokupa pambana dada usichoke 😍😍😍
@nawabmtambo83364 жыл бұрын
Mawasiliano yako
@ktvtzonline4 жыл бұрын
Namba za simu za Shayma Zipo Upande wa Kushoto Juu Ya Video Hii
@hawaasaidi22464 жыл бұрын
wekaa number tutawasiliana nae vp
@nassormussa50624 жыл бұрын
Hongera sana. Allah akujaaliee uwezo zaid
@hakabo4 жыл бұрын
Mashaa allaah
@abdulkhanyraashid78874 жыл бұрын
Shayma mm napenda sana harufu ya ya wali wa mpunga mpya vipi mamaaaa utaweza nijeuko unitengenezeee maana kipindi tukowadogo ilikuwa tunaposkiya harufu kwajirani ilikuwa hatuondoki nyumbaiyo itakuwa fresh ukiweza shayma
@zuhurasega1674 жыл бұрын
Mashaallah Allah bless you in all things inshaallah🎁
@magdalenashija12034 жыл бұрын
Beauty with brain💪🏻 I like that and personally am crazy about natural cosmetics 🥰
Mashaallah Allah azidi kukufanyia wepesi ktk ujuzi wko na upate kuwapa elimu watu weng
@abdullahabubakar23574 жыл бұрын
Mashaa Allah shaymaa congratulations ur the best ur one girl I like ur hard working keep going mungu akufungulie akusimamie katika kazi zako akutie nguvu imani usivunjike moyo alf alf mabrouk
@rayyanalkindy1764 жыл бұрын
MashaAllah tabaraka Rahman Allah akuzidishie elimu ya kuweza kutengeneza vitu vyengine zaidi ya hivi Allah akuondoshee husda na akulenda na macho na midomo mibaya امين يارب العالمين
@fatmajuma92014 жыл бұрын
Mashaallah hongera kwa kuvumbua biashara hio ambayo ni tiba kwa binaadam, labda nikuulize unapatikana wapi nije nikutembelee?
@al-khairat634 жыл бұрын
Wow mashallah 😚
@saidatmasoud42394 жыл бұрын
Mashaa Allah....Allah kazidishie
@mohamedabubakarmohamed84654 жыл бұрын
ma shaa Allah Baraka Allahu fiik🤗
@Nouruyoun4 жыл бұрын
Maa Shaa Allaah. Mola akuhifadhi na hasada
@fatmasalim71324 жыл бұрын
Maa shaa Allah! Tabaaraka Allah! Mwenyezi Mungu akufanikishe ufikie malengo yako,jicho la hasad lisikupate yaarabby,nielekeze ulipo pls...
@suleimanalisaid31784 жыл бұрын
Allha akuzidishie Dada
@bintirashid32694 жыл бұрын
How can I get it products am from kenya niko na shida ya ngozi stretch Mark's
@hagarbills40234 жыл бұрын
Bismillah manshaAllah Allah abariki kazi ya mikono yake nimependa kazi zake
@suleimanalisaid31784 жыл бұрын
Tumuombe mungu kwa wote atujaalie tuwe wepes wa kuelewa hongera sana dada
Mashaa Allah keep the good work habibty,twawezeje kupata contacts zako ama kupata hizo dawa tukiwa Kenya?
@medysaid27044 жыл бұрын
Mashallah mungu akuzidishie Zaid nazaid
@alaynaathmn19394 жыл бұрын
Hongera sana,sasa mm ninamakovu mengi uson ,kifuan,na mgongoni,unanishauri nitumie nn ,naomba mawasiliano
@aliarkam95484 жыл бұрын
Mashaa allah . Hongera sana
@laylamohammed67084 жыл бұрын
Congrates shaymaa U can do more than that dear May Allah bless you
@abdulrahimkhamis85943 жыл бұрын
Vzry
@Abla_habiba024 жыл бұрын
Mashallah habbty Allah akuzidishie
@natashanatasha37554 жыл бұрын
Sheymaaa. Masha Allah...
@fatmakombo75844 жыл бұрын
Mashallah mashallah mungu akubariki katika mazur zaidi inshaallah
@ukhtyalpha13444 жыл бұрын
Mashaa Allah tutakuja kununuwa mwana kwetu Allah akubari zaidi na wanawake wengine tafuteni chengine kama yeye
@salimharrasy70474 жыл бұрын
Allah akuhifadhi na husda. Nakupenda kwa ajili ya Allah. Jitahidi utafika mbali. Biashara yako itakua ukitoa sadaka hivyo sadaka yako ni kumpunguzia mteja bei. Allah yuko pamoja nawe. A'iin.
@haythamally30554 жыл бұрын
Na mm nahitaji
@haythamally30554 жыл бұрын
Upo maeneo gn
@rahimaally64714 жыл бұрын
Mashallah support muhimu hilo ndio tatizo letu ishallah Mwenyenzi Mungu atamjaalia ndoto zake zitimie 🙏