MTAZAME BINTI ALIYEACHA SHULE KIDATO CHA PILI NA KUKIMBILIA UTAJIRI/NJIA ALIZOTUMIA

  Рет қаралды 143,613

TimesFMTZ

TimesFMTZ

Күн бұрын

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Пікірлер: 290
@abdulmalikmehboob4925
@abdulmalikmehboob4925 4 жыл бұрын
Kama umependa alivyojifunika kama mm gonga like na tuendeleee...
@bjzee1981
@bjzee1981 4 жыл бұрын
Kajifunika Kama wewe?
@Juma_Content
@Juma_Content 4 жыл бұрын
Rekebisha kiswahili ila tumekielewa
@sharkbinaally3381
@sharkbinaally3381 4 жыл бұрын
Maji hufata mkondo
@khadijaseif5167
@khadijaseif5167 4 жыл бұрын
Waoooh
@eshynassor5666
@eshynassor5666 4 жыл бұрын
Kajistiri Mtoto wa kiislaam inapendeza
@lovvy854
@lovvy854 4 жыл бұрын
Mashallah mashallah mashallah msichana wa kiislamu mwenye busara na hikkima mungu akupe uwezo zaidi ya kufanya manbo ya kheri
@afficalharith1710
@afficalharith1710 4 жыл бұрын
Babu vp we shungi limekuchanganya
@maryammct3967
@maryammct3967 4 жыл бұрын
Amin
@ilhamali7892
@ilhamali7892 4 жыл бұрын
Cute with her hijjab mashallah
@lovvy854
@lovvy854 4 жыл бұрын
@@afficalharith1710 🤣🤣🤣
@talhasaleh3221
@talhasaleh3221 4 жыл бұрын
MashaAllah what an honest Islamic girl..Allah akuzidishie ur kindness and everything 🤗
@beybieohmine446
@beybieohmine446 4 жыл бұрын
I love this lady 😘😘she inspire me a lot 🤗
@mwajabumussa4860
@mwajabumussa4860 4 жыл бұрын
Mulioko shule musiige hii mwenzenu anaweza kujiendeleza hata kumuita mwalim kwake na pia wanamtaji ila kwa upande mwingine hongera binti mungu akujaalue kwa kazi yako ya halali
@bettymassanja881
@bettymassanja881 4 жыл бұрын
Mwajuma Mussa, una akili kubwa Sanaaa. Naungana nawe kabisaa.
@josephgregory2162
@josephgregory2162 4 жыл бұрын
Congrats binti. Ewee binti mtanzania uyu dada ni wakishua... wew fukara mwenzangu usiache elimu iende zake...
@happykanju297
@happykanju297 4 жыл бұрын
Hahahahaha tumekuelewa mtanzania mwezetu
@evampulule3043
@evampulule3043 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@aasiyaasia338
@aasiyaasia338 4 жыл бұрын
😀😀🤣🤣🤣
@saumually9499
@saumually9499 4 жыл бұрын
Mashaallah Bint anaelezea umakini, vizur nimependa mashaallah anajiamin💕
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 4 жыл бұрын
Allah akuhifadhi. Akuepushe na husda. Ingia deeply kuijua dini vyema. Utafika mbali. A'miin.
@abdullmalik7847
@abdullmalik7847 4 жыл бұрын
Ameen ya raab kwetu sote 🇰🇪
@bjzee1981
@bjzee1981 4 жыл бұрын
Beautiful girl. Angalia chibu asi kuwahi. Mashaa Allah. Nimependa alivyo zungumzia utajiri wao. Alhamdulillah kidogo ni matajiri. Zari njoo ujifunze adabu ya matajiri hapa. Sio ohh I'm rich, I'm beautiful na kuita wengine wajinga utadhani ye ndio Billionaire wa dunia.
@Magdalena-lg7jv
@Magdalena-lg7jv 4 жыл бұрын
Hongereni sana @timesFMTZ. Tunahitaji mahojiano ya namna hii kuwahamasisha vijana. Binti hodari sana huyu. Safi sana
@kijangwazay7711
@kijangwazay7711 4 жыл бұрын
Maa sha Allah Hongera mpendwa Allah aibarik kazi ya mikono yako
@sammasadika8561
@sammasadika8561 4 жыл бұрын
Mashaallah dadagu hongera sana kanza kamba Allah atakufungulia milango ya kheri in shaa Allah 🤝
@abdullmalik7847
@abdullmalik7847 4 жыл бұрын
Ameen ya rabil alameen 🇰🇪
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 жыл бұрын
Mashallah🌹🙏. Inspiration kubwa sana nimeipata
@mambotvswahili9629
@mambotvswahili9629 4 жыл бұрын
Hhhhahh Munira Ahmed ciwezi pitia coment nsion coment yko kwny mikasa
@doriceprosper6588
@doriceprosper6588 4 жыл бұрын
Anezylitta, Mungu azid kukupa uhai na ubarikiwe sana, sio kitu rahisi mtu kufanikiwa kw kiwango cha juu ktk umri huo, napenda unavyojib vzur maswal na una ushawish mzur sna. God bless you dear
@محمدعبيد-ت5ي
@محمدعبيد-ت5ي 4 жыл бұрын
Maashaallah ur looking so cute big up ma SISTER
@nabu.barbim9219
@nabu.barbim9219 4 жыл бұрын
Mimi kabs uyu dada yan mm niliacha nikiwa kidato cha kwanza umbali washule atal nashukl now nimekuwa nafanya biashara zangu 💃💃na ni mama safiii
@mizarabdalla2227
@mizarabdalla2227 4 жыл бұрын
Mashaallah uko sahihi mwmke mwenzangu mm nipo znz nahitaji hicho kitabu cha baking nakipataje mpnz ,keep it up hongera sanaa
@sakinaabdallah7874
@sakinaabdallah7874 4 жыл бұрын
Masha Allah dadangu Allah akuzidishie ufahamu
@rizikimohammed4297
@rizikimohammed4297 4 жыл бұрын
Masha allah mungu akuhifadhi akubariki na wazee wako,na akufungulie kila lenye kheri wewe na wenzako wenye kutafuta radhi za allah
@rosemaryminja3299
@rosemaryminja3299 4 жыл бұрын
szzZD
@dogobeauty3858
@dogobeauty3858 4 жыл бұрын
Ameen
@abdillahifeisal5927
@abdillahifeisal5927 4 жыл бұрын
Mtume asema mwenye kuleya yatima basi ataingia mguu kwa mguu na yeye peponi...keep it up sis Allah akuhifadhi na akufungulie biashara zako zote in sha Allah.
@liliansamwely7228
@liliansamwely7228 4 жыл бұрын
Mtu akifanikiwa yataongelewa mengi yotee kwa yoteeee utaongelewa uongooo mtupuu
@husseinahmad932
@husseinahmad932 4 жыл бұрын
Mashallah! Keep it up...
@rashidalshaid445
@rashidalshaid445 4 жыл бұрын
Mashallah. Allah akuzidishie zaidi ilmu na busara.
@athmanchihangu3384
@athmanchihangu3384 4 жыл бұрын
Maashallah. Allah akuzidishie kwa mema unayoyafanya
@mozasaid3869
@mozasaid3869 4 жыл бұрын
Mashaallah hongera sana binti! Allah akuongoze zaidi
@mosesnyamhanga449
@mosesnyamhanga449 4 жыл бұрын
Hapa sio inshu ya watanzania kubadirika tu bali serikali inapaswa i change katika mfum wa elimu zetu...kuna watu wao kwenye upande wakusoma hawawezi kabisa ila maswala ya ujasilia malia na ufundi mara nyingi mtu anazaliwa nao nibora hili swala lijumuishwe katika mfumo wetu wa elimu kama wenzetu wazungu mtoto anafanya anachopenda sio mzazi anachopenda....
@allykhamis5946
@allykhamis5946 4 жыл бұрын
It is not a fan base, kakuta mtaji upo nyumbani na biashara imeshasimama, that is why ana kila reason ya kufanya vizuri. If you want to be role model, start with your own little capital and see how the world of business in though.
@FakihiNapunda
@FakihiNapunda 4 жыл бұрын
Ally khamis fact
@mariammayenga3575
@mariammayenga3575 4 жыл бұрын
Exactly
@precydaniel2193
@precydaniel2193 4 жыл бұрын
It's true
@happylusinde9215
@happylusinde9215 4 жыл бұрын
Yes
@leskarmeikok8956
@leskarmeikok8956 4 жыл бұрын
Kuna wanaokuta na wakashidwa kutoboa
@abdullmalik7847
@abdullmalik7847 4 жыл бұрын
Maashaallah tabaraqllah baraqkallah fikum 🇰🇪
@wj1421
@wj1421 4 жыл бұрын
Mashallah Allah awafanyie wepes
@joharlijuma9445
@joharlijuma9445 4 жыл бұрын
Masha allah dada yangu allah akuzidishie ufike mbali zaidi
@zainabushaban8810
@zainabushaban8810 4 жыл бұрын
Maashallah Allah Atufanyiye wepes sote Ameen
@mezeaali4559
@mezeaali4559 4 жыл бұрын
Ninependa ushauri wako, mashallah mwenyezi mungu akujaliye mafanikio yako
@abubakaryalmas7673
@abubakaryalmas7673 4 жыл бұрын
Allah akuzidishie dada 🙏
@leahsaid6754
@leahsaid6754 4 жыл бұрын
Mashaallah 👌 Allah akupe umri mrefu na imani na akuepushie hasad mwanangu mpendwa Allah Hafiz
@nyayeedeboss4886
@nyayeedeboss4886 4 жыл бұрын
Hongera sana mdada pia ni jambo LA kheri kufanya unachokipenda maana elimu sio kutoboa kimaisha
@Salhiya-hr7dy
@Salhiya-hr7dy 4 жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah Mashaallah Mashaallah Allah akubariki hbbty akufungulie milang y khery akujaalie kil la khery Inshaallah ktk maish yk
@laylatali9203
@laylatali9203 4 жыл бұрын
confidence woman mashaallah
@clevershop6441
@clevershop6441 4 жыл бұрын
Masha Allah..nimekupend bure habbity nakupataje nipate kujiungaa
@yahyay9615
@yahyay9615 4 жыл бұрын
Super girl deserved everything fine. Yahya Alkharusi
@tausingomeni2568
@tausingomeni2568 4 жыл бұрын
Hawa wanakuwag na chembe chembe za akil za biashar makwao, na kuwezeshan tofaut na sie rang nyeusi. Hongera
@aloycemacha9894
@aloycemacha9894 4 жыл бұрын
Ni mazingira tuu
@aloycemacha9894
@aloycemacha9894 4 жыл бұрын
Hawa wanajengewa mazingira ya biashara
@tausingomeni2568
@tausingomeni2568 4 жыл бұрын
@@aloycemacha9894 eeh, sio akina sie
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 4 жыл бұрын
Na waraabu wengi hawaendi watoto wao wasome sana moja achague kuolewa au akae home au kazi km hivi umeona wazazi wake jambo 1 kaulizwa kuolewa
@LeeUfudu
@LeeUfudu 4 жыл бұрын
Huyo dada ansema ajasoma lkini anvvyozungumza anawazidi hta hão waliosoma Ana weredi mkubwa saana saaafi kabisa
@mirhatiealamin8255
@mirhatiealamin8255 4 жыл бұрын
Mashallah...u hv inspired me a lot girl
@timberlandcompany6238
@timberlandcompany6238 4 жыл бұрын
Ma shaa Allah, nakukubali sana
@abubakaryalmas7673
@abubakaryalmas7673 4 жыл бұрын
Ila bora kufanya unachokipenda kuliko kupoteza muda na pesa za wazazi
@saharahassan3967
@saharahassan3967 4 жыл бұрын
So inspiring
@calvinpaul2171
@calvinpaul2171 4 жыл бұрын
U made it course umetokaa kwenyee nyumbaaa iliyoo barkiwaa...kwaiyoo unachangamoto 2lioo nazo cc watoto wa wazazi 2naopewa 2sichotaka bali kinachopatikanaa
@famhahassan3221
@famhahassan3221 4 жыл бұрын
Nice but changamoto ni pesa yy anapesa katika familia yake Ila tatizo lipo kwa wale ambao wanatoka katika familia za kimackin
@zainabmaulidi9846
@zainabmaulidi9846 4 жыл бұрын
Masha Allah umependaz xn mwenyew mzuri masha Allah
@hamidaramadhan7735
@hamidaramadhan7735 4 жыл бұрын
Jazakallah khairan ukhty
@malcolmkomba4067
@malcolmkomba4067 4 жыл бұрын
This genius for real
@kishunaazzuu2020
@kishunaazzuu2020 4 жыл бұрын
MashaAllah Allah akuzidishie kipaji chako Amin
@salhamrishoaish9292
@salhamrishoaish9292 4 жыл бұрын
Mashallah mashallah😘
@bakarirutengwe3036
@bakarirutengwe3036 4 жыл бұрын
MASHALLAH TABARAKALLAH. KITABU CHA MAPISHI UNAUZAJE NA NAKIPATAJE MI FARIDA NIKO BAGAMOYO
@bimkubwasaid3994
@bimkubwasaid3994 4 жыл бұрын
Mashaallah mung akuzidishie
@zainaramadhan7769
@zainaramadhan7769 4 жыл бұрын
ubalikiwe sana zena kuhudumia watoto yatima
@mohamedkitwana7501
@mohamedkitwana7501 4 жыл бұрын
Hongera jithd kuendelea juwalea mayatima ni.baraka ... umenipa mwamko dada
@ummuhassan2268
@ummuhassan2268 4 жыл бұрын
Maashaallah hongera sana mdogo wangu
@khalidiissihaka5311
@khalidiissihaka5311 4 жыл бұрын
Ana akili ya kutafuta pesa, anafanya anachokipenda kwa dhati, kikubwa zaidi anajistiri mwili wake wakati anapesa, wachache wanaoweza huu mtihani
@surayakhan3955
@surayakhan3955 4 жыл бұрын
Hongera sana msichana mwenzangu kwa kusubutu kujituma mbona so zimekuwa nyingi🙄🙄
@seifjuma3471
@seifjuma3471 4 жыл бұрын
Unakereka kwani
@sasbinjuma518
@sasbinjuma518 4 жыл бұрын
Samira unaonekana mswahili tena mshamba kabisa
@nasraissa4219
@nasraissa4219 4 жыл бұрын
Mashaallah, very much interested
@alexlingwendu6780
@alexlingwendu6780 4 жыл бұрын
Kwetu huku kitaa cha Kwa TUMBO Binti kaacha shule Amejiajiri Kulia misibani kwa kukodiwa.
@othmanomary9618
@othmanomary9618 4 жыл бұрын
Mashaallah
@husnahassan4771
@husnahassan4771 4 жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@saveraedward1274
@saveraedward1274 4 жыл бұрын
Hongera
@sakinat2527
@sakinat2527 4 жыл бұрын
Maa shaa Allah
@hamzaadrin941
@hamzaadrin941 4 жыл бұрын
Ukizaliwa kwenye pesa lazima umiliki pesa .sasa sisi wengine mama yangu ukipata pesa mama atataka hapo hapo dogo hapo hapo bado dada hapo hapo bado ujanihamasisha mimi
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 4 жыл бұрын
Ni kweli lakin hatutakiwa kukata tamaa,nahisi wewe ni muislamu Allah hampendi mja wake kukata tamaa na rehema zake
@lipymuscat4779
@lipymuscat4779 4 жыл бұрын
kweli maneno yako..ila ndio tusikate tamaa
@kamongokaole6461
@kamongokaole6461 4 жыл бұрын
@@lipymuscat4779 ha ha ha
@fannimohamed364
@fannimohamed364 4 жыл бұрын
wow Allah azidi kukujalia uwe hivo hivo mashaAllah
@ahlansawia4882
@ahlansawia4882 4 жыл бұрын
wow mashaallah
@samwagathoni2220
@samwagathoni2220 4 жыл бұрын
Yes,Thanks for creativity but on your case I term it LUCKY, it's only that you come from a rich background. Ingekuwa ni mtoto wa maskini, ningekupa hongera thumb up,yaani 5 star,but now NO! it's only that your father is rich. Anyway good job keep it up coz you have created employment to few.
@emanuelandedela2771
@emanuelandedela2771 4 жыл бұрын
Young boss hatari sana
@khadijaali8630
@khadijaali8630 4 жыл бұрын
Wow i lyk da way u work
@halimanasihu1200
@halimanasihu1200 4 жыл бұрын
Mashallah allah barik
@amranjuma2713
@amranjuma2713 4 жыл бұрын
mhhhh anaitwa nan huyu dada i love her
@kyaro5945
@kyaro5945 4 жыл бұрын
you are right my sista. shule mbali ilikuwa. you did right choice sweety heart though parents wpuld have been really angry on you.
@maymunamakungu6265
@maymunamakungu6265 4 жыл бұрын
MaashaAllah
@ayoubsuleiman3675
@ayoubsuleiman3675 4 жыл бұрын
Hahahaaaa maji hufuata mkondo mtoto mkali na anamkwanja wakutosha na anapenda kujistiri na anaipenda dini yake yn anakila kitu pesa kipaji kujituma imani na mungu pia yn kwann astoboe jmn mh sijui ukitaka kumtongoza unampataje natamani awemke Wang yn
@mankatemba4746
@mankatemba4746 3 жыл бұрын
Kwa nn sasa ety
@hakikahoman615
@hakikahoman615 4 жыл бұрын
mashaallah allah akuifadhi
@jasminali5921
@jasminali5921 4 жыл бұрын
Mashaaallah mashaa Allah
@mwakakhamis9823
@mwakakhamis9823 4 жыл бұрын
Hongera dada MashaAllah Salut kwako
@osamashakeeb7194
@osamashakeeb7194 4 жыл бұрын
Masha Allah
@innocentjay5844
@innocentjay5844 4 жыл бұрын
Ma sha Allah. Confidence girl
@khadijahali4837
@khadijahali4837 4 жыл бұрын
Kigamboni to Upanga ndo uchelewe shule' hongera lkn maana hata waliomaliza hakuna walicho kifanya
@lovvy854
@lovvy854 4 жыл бұрын
Education is not the key ama uki fail in school haimaanishi uta fail hadi maishani mwako
@nairathkajubu9537
@nairathkajubu9537 4 жыл бұрын
😂😂
@khadijahali4837
@khadijahali4837 4 жыл бұрын
@@nairathkajubu9537 ☺️☺️
@masoudmohd2160
@masoudmohd2160 4 жыл бұрын
Hongera bora ulivyo fkiria kufanya kituambacho unakipenda
@ghhhhy1812
@ghhhhy1812 4 жыл бұрын
From 🇧🇮Saudia onger dad
@fredjames7784
@fredjames7784 4 жыл бұрын
Mungu amjaalie
@fredjames7784
@fredjames7784 4 жыл бұрын
Mungu amjaalie
@fredjames7784
@fredjames7784 4 жыл бұрын
Amfanyie wepesi
@fredjames7784
@fredjames7784 4 жыл бұрын
Amfanyie wepesi
@hamishamis9905
@hamishamis9905 4 жыл бұрын
Hongera bihaloo...
@ashwramashallah7242
@ashwramashallah7242 4 жыл бұрын
Masha"allah.💓💓
@marhaban2012
@marhaban2012 4 жыл бұрын
Learn to say Ma shaa Allah !!!
@hemedhemed2075
@hemedhemed2075 4 жыл бұрын
Mashallah!
@asmaaramadhani319
@asmaaramadhani319 4 жыл бұрын
Masha Allah mamy
@hannatyussuf2671
@hannatyussuf2671 4 жыл бұрын
Mashallah mashallah mashallah jazakallahulhair
@elieshishamy9902
@elieshishamy9902 4 жыл бұрын
Weee ukishaskia SKABA ni hatar msitutanie mko vizuri
@aminakassim6853
@aminakassim6853 4 жыл бұрын
I like the way u speak english
@samsadicknkono1013
@samsadicknkono1013 4 жыл бұрын
Mashallah
@muniramtika3614
@muniramtika3614 4 жыл бұрын
Mabroukkkk😍😍😍😍😍😚❤❤❤
@jamilarashidrashid5418
@jamilarashidrashid5418 4 жыл бұрын
Allah barik
@mwanamwinyi6602
@mwanamwinyi6602 4 жыл бұрын
Mashallah l like it
@hibaalfarsi7756
@hibaalfarsi7756 4 жыл бұрын
mashllh mdogo wangu umeweza Allah akuwezeshe
@allygholam1707
@allygholam1707 4 жыл бұрын
i have never seen such a adorable girl she has expereance for explaing something so far i wish her all the best
@evadonald5848
@evadonald5848 4 жыл бұрын
Allah akupe zaidi ya kile ulicho kiomba
@sharifaswai6060
@sharifaswai6060 4 жыл бұрын
Mashaallah ,jazaka llahu khayran
@nurusaleh255
@nurusaleh255 4 жыл бұрын
Mashaalaah Mungu akuzidishie
@khadijaseif5167
@khadijaseif5167 4 жыл бұрын
So wonderful
@fadyaimani4626
@fadyaimani4626 4 жыл бұрын
Mashallah mungu akuwezeshe kila hatua ..nilikuwa nataka kujuwa office yko inapatikana t'nia 2 au zanzibari upo pia? ?
@nassorhaji2637
@nassorhaji2637 4 жыл бұрын
Maashaallah very nice
@jackilinram1083
@jackilinram1083 4 жыл бұрын
Hongera dadaaa
@omarverani4438
@omarverani4438 4 жыл бұрын
ivi zena umeolewa au bado mm nimekupenda nipo Zanzibar
@nehadong7946
@nehadong7946 4 жыл бұрын
Kwao pesa ipo hatukatai nia pia inatakiwa kwa kiwango kikubwa lkn 90. %pesa inachangia
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 4 жыл бұрын
Ila pamoja na pesa ni mbunifu sana na jitihada ya kazi
@lovvy854
@lovvy854 4 жыл бұрын
Halafu sio lazma muzaliwe kwenye hela Ila unaeza kua na bidi na Imani kwa kumueka mungu nbele lazma utafanikiwa
@nehadong7946
@nehadong7946 4 жыл бұрын
abdul wahab hatokua rahis maybe after ten years ndio utaweza na hadi apo utakua umesota sana
@lovvy854
@lovvy854 4 жыл бұрын
@@nehadong7946 ukifanya Kwa kujiamini na umueke mungu nbele ndio itachukua mdaa vitu vya kheri vinaitaji wakati sio 🙏
@fatmehfaraj5188
@fatmehfaraj5188 4 жыл бұрын
Mashaallah zaynab.
Un coup venu de l’espace 😂😂😂
00:19
Nicocapone
Рет қаралды 4,6 МЛН
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
Когда отец одевает ребёнка @JaySharon
00:16
История одного вокалиста
Рет қаралды 7 МЛН
TAZAMA BINTI MREMBO ZANZIBAR ANAVYO TENGENEZA PESA NYUMBANI KWAO
14:06
ISHINDE TABIA YA KUGHAIRISHA MAMBO SEHEMU YA PILI
35:42
Harris Kapiga
Рет қаралды 67 М.
ZenaAlly Engagement & Wedding.
1:59
ZENA AND ALLY
Рет қаралды 28 М.
тгк - hahalivars
0:48
HAHALIVARS
Рет қаралды 2,6 МЛН
小丑牌ATM提款机?#short #angel #clown
0:14
Super Beauty team
Рет қаралды 33 МЛН
😅Я и петь могу #сериал #кино #фильмы #камеди
0:28
Царь Фильмов🎬
Рет қаралды 1,5 МЛН
DAD REVEALS MY MAGIC TRICKS 😱🤣
0:37
Milaad K
Рет қаралды 122 МЛН