TAZAMA DIAMOND NA ZUCHU WALIVYOPOKELEWA NA BABA LEVO BIRTHDAY YAKE AFUNGUKA "BABA NA MAMA WAMEFIKA"

  Рет қаралды 94,616

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 96
@TopTop-vo6pe
@TopTop-vo6pe 2 ай бұрын
Mm napenda kuwa ona pamoja ❤❤❤
@RehemaKatana-m6l
@RehemaKatana-m6l 2 ай бұрын
Mm pia
@khadijarama9894
@khadijarama9894 2 жыл бұрын
Siku zuchu akianza kuwa motivational speaker mniamshe nalala kwa sasa, Mombasa baridi tu
@yusternyirenda7231
@yusternyirenda7231 Жыл бұрын
Wake up 👆
@uwimanauwimana7692
@uwimanauwimana7692 2 жыл бұрын
Baba mzazi amefika, mbavu zangu mieeee 😀😀👍
@lodrickmwambene133
@lodrickmwambene133 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@zuchuforlife6182
@zuchuforlife6182 2 жыл бұрын
God tell me they are dating ❤️😍😍
@hawakiwamba9314
@hawakiwamba9314 2 жыл бұрын
Mi nawapenda sana😍😍
@yuzzohcrayze
@yuzzohcrayze 2 жыл бұрын
😂
@zuchuforlife6182
@zuchuforlife6182 2 жыл бұрын
Me too❤️❤️😍
@mymunamymuna4807
@mymunamymuna4807 2 жыл бұрын
Domo kimziki yko chini kazi nikusapoti machawa tu
@mlenglewis1747
@mlenglewis1747 2 жыл бұрын
Baba yangu amefika😂😂🤣
@magrethyeremia2279
@magrethyeremia2279 2 жыл бұрын
Jmn huku MC huku mwenye sherehe duuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@raybby9291
@raybby9291 2 жыл бұрын
Nimecheka MC hasikiki anasikika baba shuhuri🤣
@zubeydazubeyda804
@zubeydazubeyda804 2 жыл бұрын
@@raybby9291 😂😂😂😂
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣eti baba ake mzazi jmn 🙌 baba levo ana wenge sio poa
@coachissah7703
@coachissah7703 2 жыл бұрын
Diamond platnumz the king of Africa
@johnkyara8061
@johnkyara8061 2 жыл бұрын
Baba levo mentally hayupo sawa kabsa
@ruthchaz4536
@ruthchaz4536 2 жыл бұрын
ahahaha
@coachissah7703
@coachissah7703 2 жыл бұрын
Diamond platnumz simba baba Lao africa
@halimajamaniamekuwamndeme9617
@halimajamaniamekuwamndeme9617 2 жыл бұрын
Nampenda sana huyu mtangazaji
@dullysaid9785
@dullysaid9785 2 жыл бұрын
Bob..J kajitahid kupata snup pamoja na king 🦁 but ful mikaushoo mikali alimdharau but nw time yak kujipendekezaaa...simbaa ndo habarii ya mjinii
@youngweezy3846
@youngweezy3846 2 жыл бұрын
Baba levo 😁😁😁😂 dah
@graceedward6130
@graceedward6130 2 жыл бұрын
Mko powaa
@jokhaali5893
@jokhaali5893 2 жыл бұрын
salamu natuma kwa wewe ZUHURA KOPA (ZUCHU). hayo mambo ya starehe unazofanya usiku mkubwa na malaya wa Dar es salaam hayakufalii. Wewe ni mtoto wa kiislamu uliyozaliwa kwenye ndowa, achana na watoto wa haramu ambao ni malaya piya. Pesa yao ni ya hapa duniani tu. Hisabu za M. Mungu zinakusubiri. Jirekebishe darling ♥ 💖
@brayanjose4041
@brayanjose4041 2 жыл бұрын
Jinga ww
@vickydan2869
@vickydan2869 2 жыл бұрын
Waisilamu mna mambo hahahhaha
@stevenkapugi4209
@stevenkapugi4209 2 жыл бұрын
Ahahaha baba levo ni shidaaa
@fatuamjafary4959
@fatuamjafary4959 2 жыл бұрын
Jamani wezangu amujaliangalia ilo mondi kavulugwa na zuchu maana kazunguka apo kwenye gali kama kapoteza kitu
@muzneali5111
@muzneali5111 2 жыл бұрын
Angekuwa Zari kwa kweli asingekubali avae uchafu huo
@work4lifenews276
@work4lifenews276 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 baba levo wapi kabisa
@fidelekahezi5175
@fidelekahezi5175 2 жыл бұрын
Nilichogundua ayo TV mna kamera nzuri
@rashowshine7849
@rashowshine7849 2 жыл бұрын
Umeona eeh huko mwengine ni chenga
@floraundisa3688
@floraundisa3688 2 жыл бұрын
Weweeeee
@jumaamohamed2815
@jumaamohamed2815 2 жыл бұрын
Maskini Bob Junior
@jumamofu9573
@jumamofu9573 2 жыл бұрын
Mi nimeona Bob Junior kaomba picha kwa simba
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 2 жыл бұрын
Mnamuona hanaakili baba leo yake ya duniya yanamwendeya
@JOHNJOHN-pu7wb
@JOHNJOHN-pu7wb 2 жыл бұрын
Bob junior now chawa 😅🥹
@valaryawour6016
@valaryawour6016 2 жыл бұрын
Pesa Jameni
@rizoibrahimovich8217
@rizoibrahimovich8217 2 жыл бұрын
Chawa promax
@malugubrithon1478
@malugubrithon1478 2 жыл бұрын
Bob journal maskin mond ana story hata kidogo
@ukhtyashachannel5505
@ukhtyashachannel5505 2 жыл бұрын
Babaalevo anashobo sana mbona
@marrymenas
@marrymenas 2 жыл бұрын
Hivi? Diamond na Zuchu ni wachumba kweli? Kamoyo kanaanza kuniuma kwa mbali... Zuchu kazubaa au madai yake anajiamin, haoneshi ushirikiano kwa Mondi mpka anajishitukia.
@johnkyara8061
@johnkyara8061 2 жыл бұрын
Hii kazi baba levo anafanya mm ataunipe nn kuwa chawa wa mtu siwezi
@masoudmasoud6557
@masoudmasoud6557 2 жыл бұрын
Acha ujinga hujapata nafasi tu
@maloomaalmnsj5111
@maloomaalmnsj5111 2 жыл бұрын
Mie 😂😂😂 nataka uwe chawa wangu
@lynwanje6894
@lynwanje6894 2 жыл бұрын
Maskini Zuchu akaa kama mtoto aliyepotea njia,kwani amelazimishwa??
@asiashaban5809
@asiashaban5809 2 жыл бұрын
😃😄😄kweli kabisaa
@lynwanje6894
@lynwanje6894 2 жыл бұрын
@@asiashaban5809 😂😂
@zubeydazubeyda804
@zubeydazubeyda804 2 жыл бұрын
@@lynwanje6894 kabisa yanii mmmh🤣🤣🤣
@grandmaempiresecret
@grandmaempiresecret 2 жыл бұрын
Jinsi ya kuondoa uvimbe haja kubwa(bawasiri sugu)bonyeza👇kzbin.info/www/bejne/rpKTpqSPrLaar7M
@ramadanmahunja1708
@ramadanmahunja1708 2 жыл бұрын
Ovyoo tu sio maisha hayo tujiandae baada kufa
@fedrickeliezer5521
@fedrickeliezer5521 2 жыл бұрын
Ukifa unajiaandaaje, 🤣🤣
@jovanafidelis2802
@jovanafidelis2802 2 жыл бұрын
Kwani Kuna shida Gani?
@Hawa-ed2hg
@Hawa-ed2hg 2 жыл бұрын
Simba arivo vaaa kama hana pesa vire
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 2 жыл бұрын
Babalevo mbona hv wewe b'day yako lkn unavyohangaika
@mariyamsalalah8204
@mariyamsalalah8204 2 жыл бұрын
Mh mh kazuchu Nako kamalaya tu 😏😏
@modysultan6170
@modysultan6170 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@salumnkugwa9096
@salumnkugwa9096 2 жыл бұрын
Dah! Eti diamond huyu mtoto ndo anamtafuna
@yuzzohcrayze
@yuzzohcrayze 2 жыл бұрын
😂😂😂
@khadijasalum2302
@khadijasalum2302 2 жыл бұрын
Astaghfirullah starehe ya dunia tu hii binadaam pumzi zinatuhadaa mtoto wa kiislam anavyodhalilishwa
@modysultan6170
@modysultan6170 2 жыл бұрын
anajidhalilisha mwenyewe kwani kalazimishwa na dini anaijua
@victormushi6641
@victormushi6641 2 жыл бұрын
acheni kujifagilia basi mnaena kinyume na maandiko sana.
@bakariathumani8105
@bakariathumani8105 2 жыл бұрын
Tutayaona mengi
@petermgaya3812
@petermgaya3812 2 жыл бұрын
Sijaelewa hapa...naona utoto tu
@zuberikwambiana3574
@zuberikwambiana3574 2 жыл бұрын
Pesa kitu cha ajabu sana,kuna namna unavyoipata inapelekea hata kwamba ulikuwa na wazazi halali kabisa sasa heshima yao unawapa watu wenye mambo ya hovyo kabisa.
@idrisamapesa2732
@idrisamapesa2732 2 жыл бұрын
Jamaa anamtaja harmonize kila mda ajuw Kama ni 1 yakiki
@emmanuelkivenule875
@emmanuelkivenule875 2 жыл бұрын
Sasa Bob junior anaomba picha na Diamond wewe nani jaman
@johasaeed391
@johasaeed391 2 жыл бұрын
Ayibu sana anachokifanya diamond
@yuzzohcrayze
@yuzzohcrayze 2 жыл бұрын
😂
@wennceslausmushi2356
@wennceslausmushi2356 2 жыл бұрын
Diamond hana kosa huyo mtoto wa kike ndio shida.
@johasaeed391
@johasaeed391 2 жыл бұрын
@@wennceslausmushi2356 kivipi yaani daimond alitakiaa awe na msimamo kashakuwa mkubwa siyo kina mbosso anatakiwa awake heshima sasa kwa Jamiii wallah kama angemuoa huyo zuuchu hakika Angela ya jambo lamaaana sana kwa jamii
@wennceslausmushi2356
@wennceslausmushi2356 2 жыл бұрын
@@johasaeed391 nasema hivi huyo ni boss wa zuchu,zuchu kenda kufanya kazi pale iweje akubali kutembea na boss wake kwanza inaharibu reputation ya lebal na yeye mwenyewe inaonyesha boss hajiheshimu kutembea na staff wake kisha boss mwenyewe hana sifa nzuri kimahusiano,itoshe kusema zuchu kusafisha jina aolewe tu.
@johasaeed391
@johasaeed391 2 жыл бұрын
@@wennceslausmushi2356 sana inaharibu na mwanaume ndo kaponyeza dem akabonyea ila atakuja ayibika sana zuuchu diamond bado sana namwisho atakuja kurudi kwa zari
@lovenessitiku6293
@lovenessitiku6293 2 жыл бұрын
Zuchu kamteka kijana wa kibara
@maulidihassani8324
@maulidihassani8324 2 жыл бұрын
nyiee muacheni baba levo maana akiliyake inamtuma sasa mtapata shida kuumiza vichwa hapa hapaitaji nguvu wala akili kikubwa uwena macho ukiangalia unaachia hapohapo
@salmayahya1107
@salmayahya1107 2 жыл бұрын
Makubwaaa
@hamisisefu1071
@hamisisefu1071 2 жыл бұрын
alie buni pesa ajafika mbingin
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 2 жыл бұрын
Astaghafirulwah baba na mama yanu wazazi
@givensanga3524
@givensanga3524 2 жыл бұрын
Kamkana baba yake
@christianmbappe8900
@christianmbappe8900 2 жыл бұрын
Make no mistake: DIAMOND LOVES ZUCH!! Take that to the nearest bank!!
@idrisamapesa2732
@idrisamapesa2732 2 жыл бұрын
Anatakiwa apimwe akili kabisa uyu m2
@lelahngumbao9998
@lelahngumbao9998 2 жыл бұрын
nani ameskia beb kiatu
@fatumaamani5271
@fatumaamani5271 2 жыл бұрын
Mm hapa 😄
@noelkalinga
@noelkalinga 2 жыл бұрын
@@fatumaamani5271 wwewwwe
@lelahngumbao9998
@lelahngumbao9998 2 жыл бұрын
@@fatumaamani5271 kumbe umeskia nilikuwa naona n mm peke yangu🤣🤣
@modysultan6170
@modysultan6170 2 жыл бұрын
unamasikio kama popo imebidi nirudie🤣
@lelahngumbao9998
@lelahngumbao9998 2 жыл бұрын
@@modysultan6170 🤣🤣🤣🤣naukaskia nn
@psuccess6045
@psuccess6045 2 жыл бұрын
Tazama Mbosso alichokifanya usiku wa Jana👉👉👉👉👉👉👉kzbin.info/www/bejne/q5C2p3ulmq2Yi6s
@johasaeed391
@johasaeed391 2 жыл бұрын
Kwa yeye mwanamziki mkubwa niayibu sana
@joshuabryson8044
@joshuabryson8044 2 жыл бұрын
Piga hela baba levo ......watu wacheke wee ndo ushachomoka hivo
@tynnahpaul620
@tynnahpaul620 2 жыл бұрын
Kwa kwel
@lomnyakikimoi8624
@lomnyakikimoi8624 2 жыл бұрын
bwakila
Air Sigma Girl #sigma
0:32
Jin and Hattie
Рет қаралды 45 МЛН
번쩍번쩍 거리는 입
0:32
승비니 Seungbini
Рет қаралды 182 МЛН
Andro, ELMAN, TONI, MONA - Зари (Official Audio)
2:53
RAAVA MUSIC
Рет қаралды 8 МЛН
Air Sigma Girl #sigma
0:32
Jin and Hattie
Рет қаралды 45 МЛН