Genius..... Uyu na wengine wapewe kipaumbele... Nchi yetu na mfumo wetu wa elimu unapoteza vipawa Kama hivi
@abdulazizsharif29842 жыл бұрын
Kumbe bado kazindua nyingine hapo awali na bado anaishi maisha duni 😔 watu kama hawa wanahitaji wapewe kipaumbele kwa maendeleo ya Taifa ...
@sabinaonline65752 жыл бұрын
Tena hiyo ya gesi hiyo safi sana haya inapotokea ajali unaweza kuzima gesi hata ukiwa mbali kwa hatari ya kuungua
@asrymohd66902 жыл бұрын
Mashaaallaaaah elimuyko ni muhimu Sana kwetuuu
@kibatikombo7132 жыл бұрын
Kazi nzuri kijana hongera sana
@gilbertmathias75942 жыл бұрын
Tunaomba serikali watu wa namna hii iwakusanye kwa pamoja wawezeshwe watafanya mambo makubwa . Ndo wanasayansi wetu naipenda Tanzania na Afrika
@saimonijonas43562 жыл бұрын
🙄
@flackomasterbaddest41552 жыл бұрын
Point
@MikereMio2 жыл бұрын
hujamsikia raisi wenu anasema wazungu ndio wataalamu kwa kila kitu
@Michoarbah2 жыл бұрын
we nomaa..
@zainabohus49032 жыл бұрын
Kazi nzuri kaka
@blackwarrior-animations5932 жыл бұрын
Geniuses are Born in TANZANIA
@jamhuri_imala39762 жыл бұрын
Duud big up brother 👏👏 unauwezo mkubwa
@gilbertmathias75942 жыл бұрын
Tunaomba watuka kama hawa kiundwe kikosi kazi ambacho kitakuwa chini ya JWTZ na TIS. Ni maoni yangu. Nchi yetu itasonga mbele . Tusiangalie sasa tujipange yajayo miaka 20
@MikereMio2 жыл бұрын
waliokuwepo madarakani hivi sasa wanajiangalia wao tuu
@Laravel_Africa2 жыл бұрын
keep it up bro
@sabinaonline65752 жыл бұрын
Tunaomba Serikari imtambue rasmi ili kutambulika kitaifa na kimataifa kwa faida ya Tanzania yetu pendwa
@hagarbills40232 жыл бұрын
Mansha'Allah Mungu akuzindishie amiiin
@EngSALAHOT232 жыл бұрын
Hongera Sana.
@BIGBOSS-hl3bu2 жыл бұрын
Vipaji tunavyo shida IPO kwenye kuendelezwa kitaaluma na jinsi ya kupewa connection na makampuni makubwa ili kupata mikataba minono 🙏🙏
@brunompolle14042 жыл бұрын
Kijana wa ukweli tunahitaji huyo asapotiwe zaidi niombee Ayo mfikishe huyu kijana aende kwa viongozi wajuu
@samsonmsetti19492 жыл бұрын
Soon mta mskia yuko america make nabii hakubariki home
@nelsonjonathan76602 жыл бұрын
Yule dogo wa kigoma aliyetegeneza radio station waunganishe na huyu wapewe nguvu na serikali iwatumie kukuza walichonacho ktk akili zao kama nchi tunahitaji watu kama hawa watasaidia kwa namna moja au nyungine sio lazima tuwategemee watu wa mataifa mengine kutufanyia kila kitu
@sabinaonline65752 жыл бұрын
Whaaaaaatttttt wow
@BIGBOSS-hl3bu2 жыл бұрын
Hapo Kwa haraka haraka Kuna APP zaidi ya moja ukipata msimamizi mzuri utapiga mpunga mkubwa sana ,hiyo ya gas's peke yake ni app inayojitegemea nk.
@thatboywithakeyboard92922 жыл бұрын
So sad seeing this Brain 🧠👽 is underrated.
@sansmarttv2 жыл бұрын
Sio mpya watu wameshafanya kitambo hapa hapa bongo na bado maskini
@cmantz88372 жыл бұрын
Nakushauri mtafute zuberi was kigoma mshilikiane katika kazi zenu za ubunifu mtasonga
@Zahrazahra-ue7bp2 жыл бұрын
Manshaallah
@shabanimfinanga75402 жыл бұрын
Vivaviva tanzania
@suddytele36922 жыл бұрын
Auwezi kuwafungia vifaa vya kuchangamka awa waandika sensa maana duuu akuna kitu
@newagecommunications72582 жыл бұрын
All the best, natumaini serikali itakuona utufaidishe raia wengi
@kassebo2 жыл бұрын
Ingekuwa nchi zingine angekuwa kasha ajiliwa. Kwenye makampuni makubwa.
@claudematemu1852 жыл бұрын
Saafi kaka
@josephsimbili43442 жыл бұрын
Daa!! Saf sana
@michaelipius26602 жыл бұрын
🙏🔥🔥🔥🔥
@conganyoyo31952 жыл бұрын
Jamaa anakipaj kikubwa sana,serikal imwone Kama m2 wapekee na kumsaidia
@shabanimfinanga75402 жыл бұрын
Watu kama hawa ndo serikali iwachukue waje watusaidie kweny mamb ya technology lakin chaajabu serikali yetu inawachukulia poah tujifunze kwa wenzetu urusi na marekan watu kama hawa huchukuliwa na kutumika na vyombo vya usalama ata jeshi kulisaidia kweny vit mbali mbali sasa jesh la zimamot mchkue kijan huyu tuachen umimi tuikuze tanzania yetu
@nelsonjonathan76602 жыл бұрын
Sahihi kabisaaaaaa
@fredysiwale54132 жыл бұрын
Mimi nahitaji utaalam huo sh ngapi itagarim
@omarizuberi23002 жыл бұрын
Je cct inaweza pia ?
@cheiknamouna20582 жыл бұрын
Tayari ni mwalimu ameshasoma ila Tanzania yangu hii utaskia kapelekwa chuo kuongeza ujuzi😁 badala wampe mtaji wamwezeshe atoe elimu kwa wengine afungue darasa lake
@yolenimocheng87452 жыл бұрын
Huyu tayr ni prof. Anatakiwa akafundishe elimu ya juu sio kufundishwa ten
@Maconcepty2 жыл бұрын
Co kufundisha tu aanze kuzarisha tuuze ndan ya inch na nje ya inch pia nasisi twende na kas ya dunia🙋
@Mwika122 жыл бұрын
JWTZ 👂🧠
@albusaidi51322 жыл бұрын
Je nikipoteza izo kad au kutibiwa sm je aetaokota au alieba sm awez kufungua
@Skomi-0nedayyes2 жыл бұрын
Mungu amwinue uyu jamaa lakin serikali lazima itoe kipaumbire kwa wabunifu kuwe na mfuko maarumu ili Taifa lisonge mbere.
@hamisiprinsi52402 жыл бұрын
Naam bro app inaitwaje?
@vibetz99912 жыл бұрын
Tengeneza ya kuweka luku bila kulipia😆🤣🤣
@johnbernad39902 жыл бұрын
Unapenda kamseleleko 🤣🤣
@maprosokelly29862 жыл бұрын
Angekwepo JPM duh?? chap angekuita mambo kama haya aliyapenda san ? pamoja San kwasasa sijuw pongez kwako ubunifu mzur san
@salehjuma52422 жыл бұрын
Dah hatar na nusu
@yolenimocheng87452 жыл бұрын
Wazo langu waanze mashule
@nururaymond52 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿kuna vipajo
@japhethbaalinda17562 жыл бұрын
Serikali ya Tanzania inajua kunyonya raia tu
@yolenimocheng87452 жыл бұрын
Wizara ya Elimu sayansi na teknolojia iv kaz kazi yake ni nn jamani naomba nijuzwe tafadhal
@schosay_2 жыл бұрын
Huyu apatikane mfadhili apelekwe masomo ya IT ili kipaji kitumike ipasavyo
@josephswai23742 жыл бұрын
Apo kwenye maji tu
@tnuhappy54972 жыл бұрын
Kwahiyo asaidiwe ili watu wasitumie umeme mwingi au? Tunataka umeme usitumike mwingi ili TANESCO wakose mapato? HUYU HASAIDIWI NG'O...
@jrsaid42702 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣kapigwa na kitu kizito au unasemaje
@Prishnakdrama2 жыл бұрын
mchawi wewe
@djtiffa96642 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/sImcYXpjoZd_e80 DAWA YA KUPANDISHWA CHEO..*# kzbin.info/www/bejne/sImcYXpjoZd_e80
@charlesmgina81802 жыл бұрын
🚒🚒🚒🚒🚒😁😁😁😘😁😁😁
@peteralfred70062 жыл бұрын
Jamaa anachokifanya kinaitwa Internet of Things (IoT)
@peteralfred70062 жыл бұрын
Namtafuta huyu mwamba
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
.mh
@raykul75092 жыл бұрын
IoT hyoo
@jumannempweza5682 жыл бұрын
Instagram account?
@djtiffa96642 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/sImcYXpjoZd_e80 DAWA YA KUPANDISHWA CHEO..*# kzbin.info/www/bejne/sImcYXpjoZd_e80