TAZAMA KIJANA ABUNI APP YA KUPUNGUZA MATUMIZI YA UMEME, INATUMIA KADI KUWASHA UMEME NYUMBANI

  Рет қаралды 7,509

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 69
@abdulmajaliwa6376
@abdulmajaliwa6376 2 жыл бұрын
Genius..... Uyu na wengine wapewe kipaumbele... Nchi yetu na mfumo wetu wa elimu unapoteza vipawa Kama hivi
@abdulazizsharif2984
@abdulazizsharif2984 2 жыл бұрын
Kumbe bado kazindua nyingine hapo awali na bado anaishi maisha duni 😔 watu kama hawa wanahitaji wapewe kipaumbele kwa maendeleo ya Taifa ...
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 2 жыл бұрын
Tena hiyo ya gesi hiyo safi sana haya inapotokea ajali unaweza kuzima gesi hata ukiwa mbali kwa hatari ya kuungua
@asrymohd6690
@asrymohd6690 2 жыл бұрын
Mashaaallaaaah elimuyko ni muhimu Sana kwetuuu
@kibatikombo713
@kibatikombo713 2 жыл бұрын
Kazi nzuri kijana hongera sana
@gilbertmathias7594
@gilbertmathias7594 2 жыл бұрын
Tunaomba serikali watu wa namna hii iwakusanye kwa pamoja wawezeshwe watafanya mambo makubwa . Ndo wanasayansi wetu naipenda Tanzania na Afrika
@saimonijonas4356
@saimonijonas4356 2 жыл бұрын
🙄
@flackomasterbaddest4155
@flackomasterbaddest4155 2 жыл бұрын
Point
@MikereMio
@MikereMio 2 жыл бұрын
hujamsikia raisi wenu anasema wazungu ndio wataalamu kwa kila kitu
@Michoarbah
@Michoarbah 2 жыл бұрын
we nomaa..
@zainabohus4903
@zainabohus4903 2 жыл бұрын
Kazi nzuri kaka
@blackwarrior-animations593
@blackwarrior-animations593 2 жыл бұрын
Geniuses are Born in TANZANIA
@jamhuri_imala3976
@jamhuri_imala3976 2 жыл бұрын
Duud big up brother 👏👏 unauwezo mkubwa
@gilbertmathias7594
@gilbertmathias7594 2 жыл бұрын
Tunaomba watuka kama hawa kiundwe kikosi kazi ambacho kitakuwa chini ya JWTZ na TIS. Ni maoni yangu. Nchi yetu itasonga mbele . Tusiangalie sasa tujipange yajayo miaka 20
@MikereMio
@MikereMio 2 жыл бұрын
waliokuwepo madarakani hivi sasa wanajiangalia wao tuu
@Laravel_Africa
@Laravel_Africa 2 жыл бұрын
keep it up bro
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 2 жыл бұрын
Tunaomba Serikari imtambue rasmi ili kutambulika kitaifa na kimataifa kwa faida ya Tanzania yetu pendwa
@hagarbills4023
@hagarbills4023 2 жыл бұрын
Mansha'Allah Mungu akuzindishie amiiin
@EngSALAHOT23
@EngSALAHOT23 2 жыл бұрын
Hongera Sana.
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 2 жыл бұрын
Vipaji tunavyo shida IPO kwenye kuendelezwa kitaaluma na jinsi ya kupewa connection na makampuni makubwa ili kupata mikataba minono 🙏🙏
@brunompolle1404
@brunompolle1404 2 жыл бұрын
Kijana wa ukweli tunahitaji huyo asapotiwe zaidi niombee Ayo mfikishe huyu kijana aende kwa viongozi wajuu
@samsonmsetti1949
@samsonmsetti1949 2 жыл бұрын
Soon mta mskia yuko america make nabii hakubariki home
@nelsonjonathan7660
@nelsonjonathan7660 2 жыл бұрын
Yule dogo wa kigoma aliyetegeneza radio station waunganishe na huyu wapewe nguvu na serikali iwatumie kukuza walichonacho ktk akili zao kama nchi tunahitaji watu kama hawa watasaidia kwa namna moja au nyungine sio lazima tuwategemee watu wa mataifa mengine kutufanyia kila kitu
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 2 жыл бұрын
Whaaaaaatttttt wow
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 2 жыл бұрын
Hapo Kwa haraka haraka Kuna APP zaidi ya moja ukipata msimamizi mzuri utapiga mpunga mkubwa sana ,hiyo ya gas's peke yake ni app inayojitegemea nk.
@thatboywithakeyboard9292
@thatboywithakeyboard9292 2 жыл бұрын
So sad seeing this Brain 🧠👽 is underrated.
@sansmarttv
@sansmarttv 2 жыл бұрын
Sio mpya watu wameshafanya kitambo hapa hapa bongo na bado maskini
@cmantz8837
@cmantz8837 2 жыл бұрын
Nakushauri mtafute zuberi was kigoma mshilikiane katika kazi zenu za ubunifu mtasonga
@Zahrazahra-ue7bp
@Zahrazahra-ue7bp 2 жыл бұрын
Manshaallah
@shabanimfinanga7540
@shabanimfinanga7540 2 жыл бұрын
Vivaviva tanzania
@suddytele3692
@suddytele3692 2 жыл бұрын
Auwezi kuwafungia vifaa vya kuchangamka awa waandika sensa maana duuu akuna kitu
@newagecommunications7258
@newagecommunications7258 2 жыл бұрын
All the best, natumaini serikali itakuona utufaidishe raia wengi
@kassebo
@kassebo 2 жыл бұрын
Ingekuwa nchi zingine angekuwa kasha ajiliwa. Kwenye makampuni makubwa.
@claudematemu185
@claudematemu185 2 жыл бұрын
Saafi kaka
@josephsimbili4344
@josephsimbili4344 2 жыл бұрын
Daa!! Saf sana
@michaelipius2660
@michaelipius2660 2 жыл бұрын
🙏🔥🔥🔥🔥
@conganyoyo3195
@conganyoyo3195 2 жыл бұрын
Jamaa anakipaj kikubwa sana,serikal imwone Kama m2 wapekee na kumsaidia
@shabanimfinanga7540
@shabanimfinanga7540 2 жыл бұрын
Watu kama hawa ndo serikali iwachukue waje watusaidie kweny mamb ya technology lakin chaajabu serikali yetu inawachukulia poah tujifunze kwa wenzetu urusi na marekan watu kama hawa huchukuliwa na kutumika na vyombo vya usalama ata jeshi kulisaidia kweny vit mbali mbali sasa jesh la zimamot mchkue kijan huyu tuachen umimi tuikuze tanzania yetu
@nelsonjonathan7660
@nelsonjonathan7660 2 жыл бұрын
Sahihi kabisaaaaaa
@fredysiwale5413
@fredysiwale5413 2 жыл бұрын
Mimi nahitaji utaalam huo sh ngapi itagarim
@omarizuberi2300
@omarizuberi2300 2 жыл бұрын
Je cct inaweza pia ?
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 2 жыл бұрын
Tayari ni mwalimu ameshasoma ila Tanzania yangu hii utaskia kapelekwa chuo kuongeza ujuzi😁 badala wampe mtaji wamwezeshe atoe elimu kwa wengine afungue darasa lake
@yolenimocheng8745
@yolenimocheng8745 2 жыл бұрын
Huyu tayr ni prof. Anatakiwa akafundishe elimu ya juu sio kufundishwa ten
@Maconcepty
@Maconcepty 2 жыл бұрын
Co kufundisha tu aanze kuzarisha tuuze ndan ya inch na nje ya inch pia nasisi twende na kas ya dunia🙋
@Mwika12
@Mwika12 2 жыл бұрын
JWTZ 👂🧠
@albusaidi5132
@albusaidi5132 2 жыл бұрын
Je nikipoteza izo kad au kutibiwa sm je aetaokota au alieba sm awez kufungua
@Skomi-0nedayyes
@Skomi-0nedayyes 2 жыл бұрын
Mungu amwinue uyu jamaa lakin serikali lazima itoe kipaumbire kwa wabunifu kuwe na mfuko maarumu ili Taifa lisonge mbere.
@hamisiprinsi5240
@hamisiprinsi5240 2 жыл бұрын
Naam bro app inaitwaje?
@vibetz9991
@vibetz9991 2 жыл бұрын
Tengeneza ya kuweka luku bila kulipia😆🤣🤣
@johnbernad3990
@johnbernad3990 2 жыл бұрын
Unapenda kamseleleko 🤣🤣
@maprosokelly2986
@maprosokelly2986 2 жыл бұрын
Angekwepo JPM duh?? chap angekuita mambo kama haya aliyapenda san ? pamoja San kwasasa sijuw pongez kwako ubunifu mzur san
@salehjuma5242
@salehjuma5242 2 жыл бұрын
Dah hatar na nusu
@yolenimocheng8745
@yolenimocheng8745 2 жыл бұрын
Wazo langu waanze mashule
@nururaymond5
@nururaymond5 2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿kuna vipajo
@japhethbaalinda1756
@japhethbaalinda1756 2 жыл бұрын
Serikali ya Tanzania inajua kunyonya raia tu
@yolenimocheng8745
@yolenimocheng8745 2 жыл бұрын
Wizara ya Elimu sayansi na teknolojia iv kaz kazi yake ni nn jamani naomba nijuzwe tafadhal
@schosay_
@schosay_ 2 жыл бұрын
Huyu apatikane mfadhili apelekwe masomo ya IT ili kipaji kitumike ipasavyo
@josephswai2374
@josephswai2374 2 жыл бұрын
Apo kwenye maji tu
@tnuhappy5497
@tnuhappy5497 2 жыл бұрын
Kwahiyo asaidiwe ili watu wasitumie umeme mwingi au? Tunataka umeme usitumike mwingi ili TANESCO wakose mapato? HUYU HASAIDIWI NG'O...
@jrsaid4270
@jrsaid4270 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣kapigwa na kitu kizito au unasemaje
@Prishnakdrama
@Prishnakdrama 2 жыл бұрын
mchawi wewe
@djtiffa9664
@djtiffa9664 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/sImcYXpjoZd_e80 DAWA YA KUPANDISHWA CHEO..*# kzbin.info/www/bejne/sImcYXpjoZd_e80
@charlesmgina8180
@charlesmgina8180 2 жыл бұрын
🚒🚒🚒🚒🚒😁😁😁😘😁😁😁
@peteralfred7006
@peteralfred7006 2 жыл бұрын
Jamaa anachokifanya kinaitwa Internet of Things (IoT)
@peteralfred7006
@peteralfred7006 2 жыл бұрын
Namtafuta huyu mwamba
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
.mh
@raykul7509
@raykul7509 2 жыл бұрын
IoT hyoo
@jumannempweza568
@jumannempweza568 2 жыл бұрын
Instagram account?
@djtiffa9664
@djtiffa9664 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/sImcYXpjoZd_e80 DAWA YA KUPANDISHWA CHEO..*# kzbin.info/www/bejne/sImcYXpjoZd_e80
RAIS WA BURUNDI AMESEMA KAGAME TUMUONDOE HARAKA ANAIHARIBU CONGO ATAKUJA BURUNDI
12:39
The Best Band 😅 #toshleh #viralshort
00:11
Toshleh
Рет қаралды 22 МЛН
Mbunifu wa trekta ya kulimia kwa kutumia injini ya mashine ya kusaga
3:56
Zifahamu dalili za Tembo aliyekasirika
3:53
TAWA TANZANIA
Рет қаралды 22 М.
FREE COMPLETE COURSE FOR ALL LEVELS - AF SOMALI
17:06
English with Mima
Рет қаралды 57 М.
The Best Band 😅 #toshleh #viralshort
00:11
Toshleh
Рет қаралды 22 МЛН