Tazama Maajabu ya Maji Kupandisha Mlima Eneo la Kijungu- Rungwe

  Рет қаралды 716,481

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Maajabu! Inafahamika kwamba maji hayapandi mlima lakini je, unaweza kuamini kwamba maji eneo la Kijungu, Rungwe mkoani Mbeya maji yanapandisha mlima? Global Tv Online, imefunga safari mpaka eneo hilo la kipekee na kuzungumza na chifu wa Wanyakyusa, Lusajo... ambaye anafafanua kwa kina kuhusu eneo hili la ajabu, Kiwira Magereza ambako maji yanapandisha mlima.
Chifu wa Wanyakyusa anaeleza kwa kina kuhusu maajabu haya na jinsi maji yanavyoweza kupanda yakipita chini ya ardhi.
Chifu Lusajo anaeleza kwamba eneo hilo lina vyungu viwili vya maji, ambapo unapotaka kuvuka, lazima uzingatie masharti ya kutanguliza mguu wa kulia au wa kushoto, kutegemeana na mahali unapokwenda.
Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishe...
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpublishers

Пікірлер: 220
@athumaniomari2833
@athumaniomari2833 3 жыл бұрын
Asante sana mwenyezi MUNGU kwa kulipatia maajabu makubwa sana taifa rangu mkubwa la TANZANIA
@rapafata1108
@rapafata1108 7 жыл бұрын
Umeeleza vizuri sana mkuu. Hayo ni mambo yapo sana isipokuwa siku hizi watu wamemjua Mungu wa kweli wakapuuza.
@noahemanuel7015
@noahemanuel7015 2 жыл бұрын
Mungu huyohuyo ndiye aliyeyafanya hayo wanayoyadharau hapo ndo shida inaanzia
@issabella1215
@issabella1215 6 жыл бұрын
wabongo bana,maneno meeengi lakini sijaona hata huo mlima, achana na maji kupandisha mlima
@abdallahdataguy
@abdallahdataguy 6 жыл бұрын
"Na wanapo ambiwa: njooni katika yale aliyo yateremsha mwenyezi mungu (Allah), na kwa mtume, husema: yanatutosha yale tuliyowakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawajui kitu wala hawakuongoka?" [Quran: Surat Al-maaidah 104]
@eliasndauka9719
@eliasndauka9719 5 жыл бұрын
Ahaaaaaaaa PW braza
@abuufirdaus1669
@abuufirdaus1669 5 жыл бұрын
Huu ndio ukwel kufuaata mashetwan mwisho Wa siku akayatawala maisha yao
@aishwaryaaishu5522
@aishwaryaaishu5522 4 жыл бұрын
Abdallah Ally MashaAllah umepatia ndugu
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 4 жыл бұрын
Mwenyez MUNGU awalinde🙏🙏
@hamidaala2832
@hamidaala2832 2 жыл бұрын
@@aishwaryaaishu5522 ALHAHU.AKKBARU
@asminhassan6213
@asminhassan6213 4 жыл бұрын
Nijambo LA kujivunia sana
@mawazoselemani614
@mawazoselemani614 7 жыл бұрын
Global tv mmejidharau na kujidhalilisha kueleza uvumi mnaoshindwa kuthibitisha mmezingua sana!
@rashidshamte3083
@rashidshamte3083 2 жыл бұрын
Asante kwa maelezo yako mwaka nilio fika mm hapo sikupata maelezo yake
@maisaramaulid4668
@maisaramaulid4668 5 жыл бұрын
Daa shukuran sn kwakutuekewesha kka👏👏
@frejascompany6094
@frejascompany6094 3 жыл бұрын
Naloli kikolo ,,pako vizuri sana hapo ..Mimi nimekuwa sana hapo
@AmeldaKavishe-ry9ow
@AmeldaKavishe-ry9ow Жыл бұрын
Imani nayo iyeshimiwa kama sio mbaya
@mishiabdllah3030
@mishiabdllah3030 6 жыл бұрын
Subhanallah mchen mungu hakuna lolote ushirikina mtupu
@kabehoalex2817
@kabehoalex2817 6 жыл бұрын
huwa nakasirika sn maajabu ya Mungu kuyageuza kwa mizimu! mmiriki wa Mbingu na Ardhi ni Mungu pekeake.Akiri zenu ndio zimewambia hayo.😌
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 5 жыл бұрын
Mungu yupi unae sema wewe uliye letewa dini za wazungu na Waarabu sisi ngozi nyeusi hatu jielewi asili yetu wala nini we kuambiwa chochote una amini
@abdulrahmanmkanga4952
@abdulrahmanmkanga4952 5 жыл бұрын
@@ilynpayne7491 ngoja cku roho yako ikitoka utamjua ni mngu yup..huyo unae jifanya Leo hii humjui..
@elizabethkayinga1149
@elizabethkayinga1149 5 жыл бұрын
Maelezo mengi sana ni vyema mkawa mnaonyesha kilicholengwa kwanza
@annastaziavenance1735
@annastaziavenance1735 5 жыл бұрын
Mungu jaalia nitafika eneo iloo
@RaibebeBebe
@RaibebeBebe 5 ай бұрын
Poleni sana
@aishwaryaaishu5522
@aishwaryaaishu5522 4 жыл бұрын
Nyooooooooo..njo mana nimnyakyusaa,,mwakisutwa,,, mwakijungu chako
@maigasaloum1852
@maigasaloum1852 6 жыл бұрын
Hizi aminiza uchawi huu ajui maisha alali ukosefu wa elimu ha asili ma wamiliki ha archi .azungumzi maendeleo na elimu ha kiswahili
@athumaniomari2833
@athumaniomari2833 3 жыл бұрын
Ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU mkuu
@ephraimomudaki3866
@ephraimomudaki3866 6 жыл бұрын
mungu ndie anajua
@lizzymwakibigili8018
@lizzymwakibigili8018 7 жыл бұрын
Mnakumbusha nyumbani
@rahimsteringog1981
@rahimsteringog1981 3 жыл бұрын
Iyo sehem ilindwe zaidi
@OmanOman-fk7ke
@OmanOman-fk7ke 5 жыл бұрын
Hapo sasa
@likimaro6
@likimaro6 6 жыл бұрын
Nilitembea hii sehemu mwaka juzi. Ilikuwa poa sana
@AmeldaKavishe-ry9ow
@AmeldaKavishe-ry9ow Жыл бұрын
Basi apo kuneema ya mungu mtu akija akisema shida zake kwa mungu kupitia maji ya mungu anapona
@salumabdullah6634
@salumabdullah6634 5 жыл бұрын
Watanzania tusitumie neema za mungu kwakuzifanyia ushirikina. io nisehemu km sehemu nyengine tu.
@norascombedule1057
@norascombedule1057 6 жыл бұрын
Saw a nmeelewa
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 6 жыл бұрын
Nimependa hiyoooo
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 жыл бұрын
Sehm km hii mi sipt ng'oo hat kwa pesa
@nelsonkasambala6849
@nelsonkasambala6849 6 жыл бұрын
Wonders
@elybizobitula8128
@elybizobitula8128 6 жыл бұрын
mungu anamaajabu
@wigansichilima3122
@wigansichilima3122 5 жыл бұрын
Sijuwi kwann watu wanaabudu mizimu wakat mungu wa ajabu muumba wavitu vyoote
@lucyimani2878
@lucyimani2878 4 жыл бұрын
Nimefika hapo
@victorjames3730
@victorjames3730 Жыл бұрын
Kijana mdogo afu ni chief
@allyamry2847
@allyamry2847 6 жыл бұрын
Noma sana
@jasminmoshi6851
@jasminmoshi6851 2 жыл бұрын
Upuuzi
@zahransuleiman9788
@zahransuleiman9788 5 жыл бұрын
mimi sijaona ayo maji yanayopanda mlima acheni uongo sawa
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 6 жыл бұрын
Subhannallah, imani zakishirikina hizo
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 жыл бұрын
Ushikin uko wapi hap
@matengamatenga5307
@matengamatenga5307 6 жыл бұрын
makubwa hayo
@teddymwageni1763
@teddymwageni1763 4 жыл бұрын
Daaa parking ya mizoga
@wanzueni
@wanzueni 6 жыл бұрын
mwaafrika ana shida si ukinywa pombe lazima utumbukie!!!!!!
@jeremiahmwasapilicharlie2926
@jeremiahmwasapilicharlie2926 6 жыл бұрын
ahaaaaa da maiti unakuja wap et😁
@salumallyhafidh1374
@salumallyhafidh1374 7 жыл бұрын
Jamani ila sijaona maji yakipandisha mlima
@johnngowi5195
@johnngowi5195 6 жыл бұрын
Acheni kuandika vichwa vya habari zusizoendana na contrnts,
@DavidFaiton
@DavidFaiton 4 жыл бұрын
Nimefika hapo,uchawi tu na mashetani
@shyshayagen2733
@shyshayagen2733 6 жыл бұрын
Chifu gan umevaa hivo
@michaelmchodo8636
@michaelmchodo8636 7 жыл бұрын
aiseeee
@fredleonardo739
@fredleonardo739 3 жыл бұрын
Tanzania ni tajiri
@ericklaiton2763
@ericklaiton2763 6 жыл бұрын
Balaa
@marryjohn5036
@marryjohn5036 5 жыл бұрын
et upo juu ya maji!! inamaana sisi hatuna macho tunaokuona acha swaga za zamani kwenda huko na uchawi wako kazi kumaliza mb za watu
@zuberinyenzi1982
@zuberinyenzi1982 6 жыл бұрын
Mh! hii sasa balaa
@hamedabdallah6728
@hamedabdallah6728 6 жыл бұрын
Huo wenu ni ushirikina ila kwa maji kupanda mlima sijaona hapo ila kwa Allah nidogo tu kwake mana kazikutanisha bahari mbili bila kuchangangikana maji yake
@giovantv5863
@giovantv5863 5 жыл бұрын
Hamnaga bahari mbili bahari ni moja tu
@msopeking8451
@msopeking8451 6 жыл бұрын
watanzania n wachach ambao wal uwered mrud darasan nd mtaelew vizur maan n shid kuwaelekez
@patrickfungo6794
@patrickfungo6794 6 жыл бұрын
msope king acheni uongo hakuna maji yanayopanda mlima
@emaxiliannyalob716
@emaxiliannyalob716 7 жыл бұрын
Dah nakumbuka mbali nikiona hv xo mchezo kiwira mojaa
@ramadhansuleymani2236
@ramadhansuleymani2236 7 жыл бұрын
kijana mshirikina bado mdogo hivi duuh we ni shida.fuata imani sahihi ya uislam utasalimika.
@salmasalim6055
@salmasalim6055 7 жыл бұрын
Uongo tu
@mariakerry1482
@mariakerry1482 7 жыл бұрын
Maajabu
@ambakisyemwakinunu2002
@ambakisyemwakinunu2002 7 жыл бұрын
Pamadhan Suleymani bilateral warabu kujakufanya biashara ungejua Habari ZA Allah na mtume?
@ramadhaniathumanimlenge6641
@ramadhaniathumanimlenge6641 6 жыл бұрын
Sawa
@sheikhibrahim5928
@sheikhibrahim5928 7 жыл бұрын
mila gani ushirikina tu waislamu puuzilieni mbali mtegemeeni allah s.w
@asazutz9573
@asazutz9573 6 жыл бұрын
Sheikh Ibrahim Auna kweenu ndugu
@jaguarpaw113
@jaguarpaw113 6 жыл бұрын
Sheikh Ibrahim usiwe mjingap
@nancykaona2054
@nancykaona2054 5 жыл бұрын
Ko wa Islam ndo wenye kuhutaji kupuuza? Ila wengine ni wanyama?hat usiijite shekhe muhuni tu ww
@sirgadaph7194
@sirgadaph7194 7 жыл бұрын
dah,ishi ujue mengi
@noelymwakyoma4776
@noelymwakyoma4776 7 жыл бұрын
mbeya city kwe2 pia vipo vi2 vingi sana
@AlchilausAlex
@AlchilausAlex Жыл бұрын
Iyoiyo capilality vs pressure ya maji
@makoyensolo4730
@makoyensolo4730 5 жыл бұрын
Hata sijaelewa
@rahabujohn2691
@rahabujohn2691 5 жыл бұрын
Mimi sijaona maji kupandisha mlimani ila nimeona yanatelemka nani mwingine alieona kama mimi?
@Urgrlnut18
@Urgrlnut18 3 жыл бұрын
Mm apa
@theluckfamily4711
@theluckfamily4711 3 жыл бұрын
Kenya Kuna sehem kila kitu kinatoka chini kwenda juu ata maji ukimwaga hayaendi kwenye kiteremko yanapanda juu
@abdullmartin5858
@abdullmartin5858 3 жыл бұрын
Hayo maji yanapanda mlima wapi mukutusyobha mwe mibhwa umwe hapo ni daraja la mungu tuu hamna chakupanda mlima wala nini
@androydthegully6390
@androydthegully6390 4 жыл бұрын
Hivi mnao bisha hamuoni kua maji yanaenda kulia kwako badala ya kushoto baathi ya wa tz ujinga mwingi
@deus3766
@deus3766 7 жыл бұрын
Duuuh.nyumbani kwetu hiyo.
@amanismithk
@amanismithk 7 жыл бұрын
Deus Oden Unajisifu kwa mizimu na mashetani?? usipompa Yesu maisha yako jehanam utaingia !! Umwambie na huyo sijui chifu wenu
@captenndunga6199
@captenndunga6199 5 жыл бұрын
Ni vile tuu niko mbali lalini hapo suala la kuvuka unavuka vovote vile sema mmeendekeza imani potofu hamna tofauto na wale waloona chatu wakaanza kumuabudu maliasili wakamchukua mungu wao mungu nyoka... sasa hapo unaleta habari yakijungu wakati kumbe sehemu yenyewe hadi walevi wanavukaga? Sasa mtu kalewa unazani kitatokea nini?
@hemedwow8802
@hemedwow8802 7 жыл бұрын
Shirk!!
@ibrahimungombo932
@ibrahimungombo932 4 жыл бұрын
kwerii kabsaa
@ambaryahayapopo6729
@ambaryahayapopo6729 7 жыл бұрын
tamaduni hizo acheni zarau
@stewartkilewo4433
@stewartkilewo4433 6 жыл бұрын
duuuh huyo chief mweeeeh
@rahmashaban8693
@rahmashaban8693 7 жыл бұрын
Washirikina hawaaishi duniani mpaka kiyama kitasimama.
@swaumujuma9059
@swaumujuma9059 7 жыл бұрын
hahahaha
@swaumujuma9059
@swaumujuma9059 7 жыл бұрын
hahahaha
@swaumujuma9059
@swaumujuma9059 7 жыл бұрын
rahma umenichekesha
@abasibogga4798
@abasibogga4798 7 жыл бұрын
mmmhhhh!!!!!
@emmanuelmgilya1290
@emmanuelmgilya1290 7 жыл бұрын
cku hzi Tunamtegemea aliejuu mfalme wa wafalme Kristo Yesu co watemi tena
@michaelmbiti1604
@michaelmbiti1604 7 жыл бұрын
Msijifanye kujua kila jambo, hata hiyo misaafu na korohani vililetwa na wazungu. Aminini mnachokiamini kila mmoja na imani yake Mimi nipo upande wa Chief. Safi sana nimeinjoy vibaya sana Kwa kuona maajabu haya
@athumanisudi891
@athumanisudi891 7 жыл бұрын
kufa au kuishi ni mipango ya mungu 2ache kuwafuata washirikina jamani
@tjtv2694
@tjtv2694 3 жыл бұрын
Jaman mambo kama hayo yapo wala siyo ushilikina uliezaliwa mjin na umekulia mjin utasema ushilikina Kwan kipindi cha wazee wa kale kulikuwa na hospital? mbona walikuwa wanatumia mitishamba au nae alieumba hiyo miti nae mshilikina?
@tadeonkonya1656
@tadeonkonya1656 3 жыл бұрын
Hili eneo ni kivutio kizuri Sana cha utalii, if you are curious nenda ukatembelee, lakini ni Kweli maji yanapanda mlima, hapo mwishoni ameelezeaa kwamba amesimama njia ya pili ya maji, hilo eneo liko juu kuliko pale Kwenye chungu cha kwanza ambapo maji yalikua yanaingia, so ukiwa na GPS itakuambia heights difference. Go and visit you will enjoy..
@millenniumoiltanzanialimit1265
@millenniumoiltanzanialimit1265 4 жыл бұрын
Nataka nije huko aisee
@issaomary7718
@issaomary7718 7 жыл бұрын
Mbona maji yanayopanda hatuyaoni ,acheni umang'aa
@victorsomba867
@victorsomba867 6 жыл бұрын
Issa Omary huwezi kuyaona kirahisi Mie Nimefika huko sio poa kabisa yaaani
@yohanajoshua7881
@yohanajoshua7881 6 жыл бұрын
mmh kwaiyo xx yanakuaj
@stewartkilewo4433
@stewartkilewo4433 6 жыл бұрын
Maji yenyewe yanapansa mlima kwa kuzani mi nilizani yanaonekana kwa macho nilitaka kushangaa mweeeeh
@bonfacendume441
@bonfacendume441 7 жыл бұрын
Hamuna
@tausingomeni2568
@tausingomeni2568 5 жыл бұрын
Mmh huko so pakwend hata maan kifo nje nje
@joycehiten9761
@joycehiten9761 5 жыл бұрын
Uumbaji achakabisaaa
@reganjosephcharles8778
@reganjosephcharles8778 6 жыл бұрын
kazi kuongea tu halafu sioni chochote
@winnusaki814
@winnusaki814 6 жыл бұрын
Mbona sijaona hayo maji yakipanda mlima
@ramadhanimaulid3177
@ramadhanimaulid3177 6 жыл бұрын
Achen kutoa tarifa za uongo wap maji yalipopanda mlima
@rebeccampeta6650
@rebeccampeta6650 7 жыл бұрын
daah haya mi sina usemi
@kimsamir965
@kimsamir965 10 ай бұрын
Jee nikwel hiyooo au ?
@babigotz9319
@babigotz9319 5 жыл бұрын
Jamaa anacho zungumza nkwel namuamin sab
@nurukihupi8039
@nurukihupi8039 6 жыл бұрын
nimepoteza mb zangu bure.. ..
@allytwalib7787
@allytwalib7787 8 ай бұрын
nimerudia na kurudia sijaona mahala maji yanapanda mlima. huu sasa ni uongo
@fatmazullu4933
@fatmazullu4933 5 жыл бұрын
Nashukuru nilishaenda hapo live na kupiga picha na bwana Lusekelo alitupatia hayo maelezo, hiyo ya maji kupanda mlima ni hii channel imedanganya, ila hayo mengine yote ni kweli
@tumsifumwaisango5341
@tumsifumwaisango5341 5 жыл бұрын
jaman.
@ipyanadonald9188
@ipyanadonald9188 3 жыл бұрын
Hongera kwa kutembelea, uliishia hapohapo au ulitembelea na maajabu ya uumbaji wa Mungu maeneo mengine ndani ya wilaya ya Rungwe?
@makorongohcchemba2490
@makorongohcchemba2490 5 жыл бұрын
Kuna jamaa turyani kaunda umeme kwa maji ya mto usio na kasi Hawa wao maji km haya yana speed wanatambikia
@issaally8817
@issaally8817 4 жыл бұрын
mimi binafsi sijaona hayo maji yakipanda mlima naona maelezo tu yasioeleweka
@fatmanasornasor9047
@fatmanasornasor9047 5 жыл бұрын
Mm sija yaona ayo maji yakipanda mlima au nyie wenzang mmeyaona ?
@ebronmwambene452
@ebronmwambene452 6 жыл бұрын
Hapa ndo wanasema wandali #ndanyelite lukom# dah wandali bwana
@robiwanswicaaca1850
@robiwanswicaaca1850 5 жыл бұрын
Very good gate valve to turn turbines
@binmoshi3449
@binmoshi3449 7 жыл бұрын
Mguu wa kulia na kushoto hata daladala kama ipo kwenye mendo kuna mguu wa kutanguliza laa si hivyo utaanguka Lakini pia amesema walevi ndio wanao kufa sasa kuna ajabu gani mlevi kufa ndani ya maji?
@maezadam5492
@maezadam5492 5 жыл бұрын
bin moshi 😂😂
@lulumohammed9833
@lulumohammed9833 4 жыл бұрын
Amekwambia walevi wanasahau masharti ndomana wanadumbukia
@zenasalumu2560
@zenasalumu2560 7 жыл бұрын
Iyo njia mimi sipiti
@monday1278
@monday1278 7 жыл бұрын
hahahaha hakuna kitu usiogope
@bonaventuretumaini1872
@bonaventuretumaini1872 6 жыл бұрын
mwandishi umetujaza sana mbona maji hayapandi mlima fuuuuuuuuuuuvuuuuuuuuuuuuuu weeeeeeeeeeeee
@shabaninsongela3695
@shabaninsongela3695 6 жыл бұрын
maajabu kiukweli yapo
@mwasangwaleagriculturalact8510
@mwasangwaleagriculturalact8510 7 жыл бұрын
ndagha fijo
@luomusicchannelfromtanzani5650
@luomusicchannelfromtanzani5650 6 жыл бұрын
Acheeniii ujiiingaaa
@hassanhamza6919
@hassanhamza6919 6 жыл бұрын
Mbona sijaona.hayo maji yakipanda mlima?mnasema uongo mngetuonyesha hayo maji yakipanda mlima.
@christinajohn6004
@christinajohn6004 5 жыл бұрын
Jamani nimekumic sana sajo wa kijungu
@huserehema8618
@huserehema8618 6 жыл бұрын
mh acheni ushubwaga uwo ushilikina 2. mbon hatuyaoni yakipanda uwo mlima.
@emanueljinai7613
@emanueljinai7613 4 жыл бұрын
Iv.kwer?
@edwardfaraji1133
@edwardfaraji1133 5 жыл бұрын
Kijungu moto kiwira hiyo nakumbuka mwaka 2014 nlikuwa hapo...
Simulizi ya Kutisha ya Mwanamke 'Mla Nyama za Watu' Mbagala
18:08
Global TV Online
Рет қаралды 108 М.
UTASHANGAA! Aliyemuua Mkewe na Kumfukia Alikusudia, Aeleza A-Z
8:13
Global TV Online
Рет қаралды 249 М.
UFC 310 : Рахмонов VS Мачадо Гэрри
05:00
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 1,2 МЛН
Каха и дочка
00:28
К-Media
Рет қаралды 3,4 МЛН
Maajabu ya Daraja la Mungu na Simulizi ya Kusisimua ya Nyerere na Warusi
14:50
DARAJA LA MUNGU: NYERERE Alizuiwa Kulivuka SABABU Ya NYOKA!
6:15
Global TV Online
Рет қаралды 158 М.
MAAJABU: GENGE LINALOJIUZA, UNALIPA HELA UNACHUKUA CHENJI MWENYEWE
8:29
Maajabu!! Milima ya kustaajabisha mkoani Mara (sehemu ya 01)
11:04
BMG ONLINE TV
Рет қаралды 32 М.
Mike Tyson - The Brutal Knockouts against Monsters
19:23
The World of Boxing!
Рет қаралды 58 МЛН
UFC 310 : Рахмонов VS Мачадо Гэрри
05:00
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 1,2 МЛН