Maajabu ya Daraja la Mungu na Simulizi ya Kusisimua ya Nyerere na Warusi

  Рет қаралды 226,950

Global TV  Online

Global TV Online

7 жыл бұрын

Daraja la Mungu ni miongoni mwa vivutio vya kipekee vya utalii mkoani Mbeya ambapo kila mwaka, maelfu ya watalii kutoka sehemu mbalimbali za dunia huenda kulitembelea na kushuhudia maajabu ya uumbaji wa Mungu.
Zipo simulizi za kusisimua kuhusu daraja hilo, nyingine zikidai kwamba kulikuwa na nyoka mkubwa aliyekuwa akiishi chini ya daraja hilo ambaye alikuwa akizuia rasilimali za nchi, yakiwemo madini yaliyokuwa yakipatikana eneo hilo, yasivushwe kupelekwa ng'ambo ya pili.
Zipo simulizi pia kwamba baba wa taifa, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alishindwa kuvuka kwenye daraja hilo kwa sababu ya uvutano mkubwa kati ya kifimbo chake na nguvu zilizokuwa kwenye daraja hilo.
Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpublishers

Пікірлер: 90
@athumaniomari2833
@athumaniomari2833 2 жыл бұрын
Ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU mkuu
@sylvestermpangala1491
@sylvestermpangala1491 2 жыл бұрын
Safi sana, historia nzuri. Hongera.
@fredyjohn8548
@fredyjohn8548 5 жыл бұрын
Duh nilikua sijui hili wala kusikia stor hii Adimu sana Asanten
@ezzytz6381
@ezzytz6381 5 жыл бұрын
Hii story nimeipenda sana kuliko post zenu zoteeeeeeeeeee.Endeleen kutuletea vitu vya maana kama hivi
@fredericmbanga207
@fredericmbanga207 2 жыл бұрын
Huyu mwanahabari arudi shule akasome historia sahihi ya nchi hii.Asiwe mpotishaji.
@alfredkyebemwalubilo3688
@alfredkyebemwalubilo3688 11 ай бұрын
Mimi nimezaliwa na kukulia maeneo hayo,, habari ya madini ni ya hisia tu tena ni uongo. Ardhi ya madini kamwe haiwagi rutuba, Tukuyu /Rungwe na eneo lote hilo lina rutuba saba. Warusi walikuja hapo kwa ajili ya kujenga dydro power, na hilo daraja lilijengwa kwa ajili ya kupitishia mitambo, sasa kabla hawajaenda mbali kiujenzi ndipo ikatokea vita ya Tanzania dhidi ya uganda, na ktk vita hiyo urudi kama nchi ilikuwa inaisadia uganda, ndipo mwalim akaamua kuwatimua hao jamaa. Habari zingine ni MATANGOPORI tu
@graceedson6753
@graceedson6753 6 жыл бұрын
jomon najivunia kwetu
@henryjoseph5703
@henryjoseph5703 5 жыл бұрын
Global mnajitahidii daaa mpaka kwetu hongeleni saan aiseee
@adiliwasanga4521
@adiliwasanga4521 6 жыл бұрын
Good nimewasoma
@sifasanga7866
@sifasanga7866 7 жыл бұрын
Uko vizuri ova una miaka mia....hongera kumeza historical...
@michaelthoya3348
@michaelthoya3348 5 жыл бұрын
natamani twende wrote Glad acha tu aise
@michaelthoya3348
@michaelthoya3348 5 жыл бұрын
natamani twende wote Glad acha tu aise
@jensennashon6147
@jensennashon6147 7 жыл бұрын
Dogo uko vizuri sana ...yani kama una miaka 89 hivi
@barakaseme3482
@barakaseme3482 6 жыл бұрын
nimeipenda Sana ikumbukwe mkoa mzee mwenye umuri mkubwa akiongozwa na mwanae aricho Kuwa.anaongea.mzee.ambirikire %33tafusir hakuwiyana na uharisia WA swal+jibu-tafusiri.by.baraka.seme,wa kyela
@wazirmlogi7532
@wazirmlogi7532 3 жыл бұрын
Ni historia aliyoikutaka
@tendatanzania8358
@tendatanzania8358 7 жыл бұрын
Story nzuri kweli kweli
@kirumbasokoni3047
@kirumbasokoni3047 7 жыл бұрын
Andrew John wimbowaabiudi
@thomaschambala6060
@thomaschambala6060 6 жыл бұрын
jamaaa muongo kwan wanyakyuxa tabia gan hyo?
@mwasisobajohan7641
@mwasisobajohan7641 3 жыл бұрын
Asante kwa simulizi nzuri sana
@gloriamichael7935
@gloriamichael7935 2 жыл бұрын
Waambie waambie ni wamoja hao hao
@mcmchokozi_1770
@mcmchokozi_1770 7 жыл бұрын
maelezo mengiii mtangazaji
@heavenmrina5984
@heavenmrina5984 6 жыл бұрын
nina jirani yangu mwanga nampeleka vacay kwenye hilo daraja akakutane na nyifwira
@neemaemmanuel6850
@neemaemmanuel6850 5 жыл бұрын
kweli hilo daraja ni LA Mungu.
@victormligo7372
@victormligo7372 7 жыл бұрын
safy kwa kutusanua
@stephanothomas5552
@stephanothomas5552 5 жыл бұрын
aisee story nimeipenda sana
@benjoseph6329
@benjoseph6329 5 жыл бұрын
Nimeipenda hiyo historya
@gladvictory3044
@gladvictory3044 7 жыл бұрын
inabidi nifike kwakweli sio kwa uhondo huo
@philipomakanamabilikaathum6394
@philipomakanamabilikaathum6394 7 жыл бұрын
Daaah mungu yupo
@yellooh
@yellooh 5 жыл бұрын
Vituko viko
@allykassim400
@allykassim400 7 жыл бұрын
pa1 sana
@beautywithnay5974
@beautywithnay5974 5 жыл бұрын
Story nzuri sana tunashukuru kaka
@danieljoseph6309
@danieljoseph6309 7 жыл бұрын
fimbo ina mercury 😂😂😂
@hildamadafu-zn2zp
@hildamadafu-zn2zp Жыл бұрын
Duh
@keiphilemon6941
@keiphilemon6941 4 жыл бұрын
Ni kweli?
@googlesalimmygoogle9359
@googlesalimmygoogle9359 5 жыл бұрын
Hizi ni hadithi za alinacha so no seam sio poropagana Russ ni arising of Dubai, Byers akusomo .alia Audi WA Africa
@graytonndamgoba4805
@graytonndamgoba4805 7 жыл бұрын
Nyoka alikuwa anakasirika sio😀😀😀
@Chrisblaze-beats
@Chrisblaze-beats 6 жыл бұрын
Grayton Ndamgoba 😂😂😂
@zeanachande4982
@zeanachande4982 6 жыл бұрын
Ii ndio mbeya yetu
@najethemmanuel435
@najethemmanuel435 7 жыл бұрын
cjawah
@amosbinmahona9947
@amosbinmahona9947 6 жыл бұрын
hatari
@privamariki2675
@privamariki2675 7 жыл бұрын
kweli hapo mumeninogesha kweli
@ermjukuuwameya4695
@ermjukuuwameya4695 7 жыл бұрын
priva Posts on a few of the most important thing,
@husseinjuma4546
@husseinjuma4546 6 жыл бұрын
Clara
@Masta313
@Masta313 7 жыл бұрын
Dalaja, taklibani, laisi, ulusi kiswahili kigumu Sana bro more practice needed mtangazaji
@makantaafrika
@makantaafrika 5 жыл бұрын
Wanyakyusa na wandali hatuna R kwenye msamiati wetu.
@daimavlog
@daimavlog 7 жыл бұрын
Kale ka fimbo kalikuwa kiboko
@isackmwambande7981
@isackmwambande7981 7 жыл бұрын
ifika fya kumyituuuu, ndagha fijho kikoloooo
@abdulrahmanpaskalina7627
@abdulrahmanpaskalina7627 3 жыл бұрын
Ila hapo kwenye fimbo mh🤔
@bernardbaha9079
@bernardbaha9079 7 жыл бұрын
Hahahahah, Chief, oral tradition hao warusi hawapo waulizwe ama official government document, wee mwandishi unapaswa kujiongeza ukishapata ubuyu kama huo sio unaishia hapo
@zamizozamy5528
@zamizozamy5528 5 жыл бұрын
Kale kafimbo alizikwa nacho mwalimu?
@mahadshekh398
@mahadshekh398 2 жыл бұрын
60 mpaka 70 Nyerere alikuwa Rais?
@Thaddeus_musembi
@Thaddeus_musembi 7 жыл бұрын
Dogo anawanyonga watu na Kamba za shingo huyo, walijuaje kama wenzao wa Rungwe wanavaa nguo kama hawakuwahi kufika Rungwe? na Kama waliwahi kufika Rungwe walifikaje huko bila kujua kuwa kuna mto unawatenganisha? Maana anadai walipotaka kuja na mifugo kwenda kubadirishana na nguo ndiyo wakagundua kuwa kuna mto. Kingine ni kwamba, wanyakyusa Morogoro walikua wanapita tu, wala hawakutokea Morogoro bali walitokea maeneo ya sudani huko na zaidi wamesambaa nchi mbalimbali kusini mwa afrika ambako wanatumia lugha hiyo hiyo lakini wanajulikana kwa majina tofauti. Halafu waandishi mmejaribu kufuatilia serikalini kuupata ukweli wa aina ya amdini yaliyogunduliwa hapo na kama kuna ukweli kuhusu makubaliano ya ujenzi mpaka kufikia kukwama kwa ujenzi wa chanzo hicho cha umeme? Kamba nyingine ni hapo kwenye vita ua Tanzania na Uganda
@henerikomico948
@henerikomico948 6 жыл бұрын
Kama hujamwelewa kaaa kimyaa
@ezzytz6381
@ezzytz6381 5 жыл бұрын
mzee hii ni historia so history it's all about past mzee so kunauongo ndani yake pia kunaukwel ndan yake
@PAULHAULE255
@PAULHAULE255 3 жыл бұрын
Mmmh
@alfredkyebemwalubilo3688
@alfredkyebemwalubilo3688 11 ай бұрын
Halafu kingine, eti walipiga kura , wengine wakawa wanasema ni mbali, sasa walijuaje kwamba ni mbali au ni karibu wakati walikuwa hawajawahi kufika?
@yustomwaisomania2587
@yustomwaisomania2587 Ай бұрын
​@@alfredkyebemwalubilo3688kabla watu hawajasafiri kunakuwa na wasafisha njia au watafiti ko unadhani walikuwa wanapita poroni bila ramani
@jamesjahasa3348
@jamesjahasa3348 7 жыл бұрын
akili ya kuambiwa changaya na ya kwako
@abdallahsalum3692
@abdallahsalum3692 5 жыл бұрын
Ok
@alfredkyebemwalubilo3688
@alfredkyebemwalubilo3688 11 ай бұрын
Wa mchongo huyu
@mariamfaki1166
@mariamfaki1166 7 жыл бұрын
sasa huyo nyoka bado yupo?
@ermjukuuwameya4695
@ermjukuuwameya4695 7 жыл бұрын
Mariam Faki the tg
@patricksaimon6131
@patricksaimon6131 4 жыл бұрын
Ipo
@suzanamaswatu2451
@suzanamaswatu2451 7 жыл бұрын
Huyo nyoka yuko wapi sasa hivi
@aswarmurishid6847
@aswarmurishid6847 6 жыл бұрын
Suzana Maswatu vp
@juliuskidoto791
@juliuskidoto791 Жыл бұрын
Ama kweli wewe ninyifira haswa acha uongo
Maajabu ya Dunia! Mti Ukikatwa Upande Unatoa Damu, Upande Unatoa Utomvu
34:29
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 6 МЛН
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 33 МЛН
WHO DO I LOVE MOST?
00:22
dednahype
Рет қаралды 82 МЛН
Tanganyika Independent (1961)
3:14
British Pathé
Рет қаралды 174 М.
THE STORY BOOK : MFALME SULEIMAN, NABII ALIYEPENDELEWA KILA KITU NA MUNGU
44:18
MADEREVA WA TRENI WAIVA KUIENDESHA TRENI YA UMEME
3:26
TRC RELI TV
Рет қаралды 48 М.
Jionee Maajabu ya Ziwa Ngosi
8:24
MbeyaYetuOnlineTV
Рет қаралды 46 М.
If the President wants you dead || James Khwatenge
18:32
The Wicked Edition with Dr. King'ori
Рет қаралды 415 М.
Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995
14:17
Joseph Mabima
Рет қаралды 3,6 МЛН