Safi vijana wameiva vizuri sana nimefurahi hongereni makamanda wetu🙋🙋✅✅✅
@shukurkatembo28074 жыл бұрын
Hongereni Sana. Japo katika karate combat bado kuna wana hawajakaa fiti ila kuna wengine somo limeingia vyema speed, accuracy na power katika mapigo. Ila unarmed combat inatakiwa iwe improved iambatane kidogo na uhalisia.
@frankaron7833 жыл бұрын
Oss
@harunirashid7 ай бұрын
Kikosi kimenilea sana na kunifunza maishaasee
@paulkandonga56554 жыл бұрын
Nakubal sana kanembwa
@hyasintaurio52804 жыл бұрын
Wazee wa kazikazi... Kwata coy salute
@lizzybahati98333 жыл бұрын
Hataree sana Lazma uwe mkakamavu
@abdallahramadhani8604 жыл бұрын
Hawa wanamtosha kabisa Tundu lissu na kundi lake lile 😎
@mathiaszakaria70524 жыл бұрын
Endelea kujidanganya Kama mmeshindwa na Lissu imekula kwenu jeshi ni la wananchi syo la kikundi Cha mailjzi
@chrisnditi18054 жыл бұрын
Lissu baba lao,, Meko hapumui analala na viatu One term president,,
@texastexas25454 жыл бұрын
Wanamtosha Mama ako make baba ako hamtosh
@Ndu-wa.uroony24 жыл бұрын
Kwani ungetulia nani angejua kuwa we ni mwendawazimu? Ona sasa unavyojitangazia
@othmansuleiman42594 жыл бұрын
Naipenda hi kaz nimoja ya ndoto zngu J K T naipenda sn
@Maymuna-wc8lz5 ай бұрын
Insha allah
@lizzybahati98333 жыл бұрын
Huyo mdada mnene dah yupo vinzur sana
@isayakazimoto48264 жыл бұрын
wameiva mpk wanaungulia
@Waytozanzibar4 жыл бұрын
Ukawa hawawezi kutishika kwanjia hio.
@hunterdee79294 жыл бұрын
Karateka karateka nawaona masempai wameiva.....ONE WISO ALL ACTIONS
@michaelfabiankigenda9363 жыл бұрын
Oooss
@praxedadominic51934 жыл бұрын
Wananipa mizuka hawa jmn 🔥🔥🔥🔥
@justice6074 жыл бұрын
Wiiiiiiiih👏👏👏👏salute
@aleytv88494 жыл бұрын
Sawa
@kelvine61674 жыл бұрын
Kuna nn kwan
@allymisanya4 жыл бұрын
Ale wiiiiiiiiiii
@mathiaszakaria70524 жыл бұрын
Wengi tushapitia huko wasiojua shangaeni
@praxedadominic51934 жыл бұрын
Na tunashangaa sio kdg 😄
@stn48734 жыл бұрын
Wadeeepoooo😂😂😂😂
@lightrich7904 жыл бұрын
Hongera
@ephratryphone17034 жыл бұрын
💪💪💪💪💪💪💪
@rybotreiz43294 жыл бұрын
☹️Je wewe ni mtanzania? 🧐Je una kiu ya mafanikio? 🤨Je waweza pata muda huru wa kutumia simu au kompyuta yako masaa mawili kwa siku? 😲Basi jiunge na ukurasa wetu wa facebok ujifunze jinsi ya kutengeneza pesa mtandaoni BILA kuwekeza pesa Tembelea Www.facebook.com/successcheat 🤝Usisahau kulike na kufollow ili uwe unapata taarifa ya offer mpya za kutengeneza pesa mtandaoni kwenye muda wako wa ziada. Siku njema😉
@Maudaku4 жыл бұрын
Ni hatar
@imamaliridhwa18844 жыл бұрын
Bado kabisa hao , izo kelele utasema wamemaliza mafunzo ya combat , wache wajidanganye tunawasubiri mitaani walete ujinga wao ,
@josephtabora76464 жыл бұрын
Na karate zako cwez minyana na ww dawa yako ni risas
@nuumanwazalendo18784 жыл бұрын
@@josephtabora7646 hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah sijui nimalize kucheka Mara ngapi
@josephtabora76464 жыл бұрын
@@nuumanwazalendo1878 ndioo hivyo
@ummukombo28743 жыл бұрын
Jamani
@kabamedestrong39174 жыл бұрын
Habari yako naomba support yako kutazama video yangu ya pineapple na Ku subscribe kwa kugusa picha yangu hapo juu support yako ni muhimu sana🙏