Naipenda tanzania napenda raisi wetu samia tunajeshiimara
@WasswaMajegere5 ай бұрын
So amazing.for me.Tz come en help our East Africa generations
@jeniphatemu29375 ай бұрын
I love you mumy, you are a true mother taking care all Tanzanians as your kids. May God Almighty give you long and peacerful life. Amina
@rashidkapile5 ай бұрын
Wananikumbusha mbali sana
@qasimmafuta5 ай бұрын
Allah mlinde rais wetu Mama yetu lipe nguvu na uadilifu jeshi letu JWT
@laurentraphael54705 ай бұрын
Muungano wa nchi mbili kuwa nchi moja ndio muungano wa kweli. Haya maigizo mnayoleta ni fedheha kwa taifa linalojitambua.
@ofwonoleviticusfavour65274 ай бұрын
Love from Uganda
@MartinWahome-i1o13 күн бұрын
kwa battle field story hukuwa tofauti hii ni maonyesho tu.
@BonnyMesopirr4 ай бұрын
I can see my president William Ruto
@YusufLubangula-yn6tq5 ай бұрын
Tunaupenda Muungano na Muungano uendelee Kudumu Nampongeza Rais SAMIA, Makamu wa Rais Philip Mpango na Wazirimkuu KASIMU MAJALIWA na Wengine mliokutanahapo Kwa ajili ya kuuenzi Muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar🙏🇹🇿👍
@HassanHassan-si2rt5 ай бұрын
Adui anakupiga nae Yuko hukooo Alabama, Nyie mnatuonesha maonesho ya miaka ya 1300 BC
@israelifissoo21415 ай бұрын
haha sasa iyo balistic ata tz tunayo kama ujui
@janerosejohn83735 ай бұрын
Kudos for the 5M subs. Keep the hard work.
@FIDELISMfugale5 ай бұрын
Vichanel vya kisengeeee
@LaydejulieАй бұрын
Ruto umezubaa aje😅😅,,, as if Kenya hakuna kitu kama hio
@ObediMeyan5 ай бұрын
Ni noma sana
@DonardNzogera5 ай бұрын
Tanzania We are the top
@jeffhard57735 ай бұрын
Kubadilisha magazini kwa ajili ya kuwalinda walioko madarakani ili wasin'gatuke
@godfreydavid69965 ай бұрын
Huo ndio ukweli mchungu
@RajabuKhatibu-nl4uk5 ай бұрын
Asanteni sana
@geofreywayesu56385 ай бұрын
Askri wako vzr sana ninawapongeza sana
@Kilcarslan4 ай бұрын
2000 yıllık düzenli ordu geleneği olan ve dünyanın en güçlü orduları arasinda yer alan Türkiye'den askeri açıdan teçhizat ve eğitim almanızı öneririm..
@hamissnjumba3025 ай бұрын
nakpenda saana mama SAMIA lakini nakuomba uyakumbuke majeshi Yako yoote
Hivi huwa ni mm tu ebu mnipe tofauti kati ya commando na mwanajeshi
@ashrafadam46295 ай бұрын
Tofaut ipo kubwa sana, kwanza comando anamaliza koz ya JW zen anaenda kusoma koz tena ya commando, na co kla mwanajesh n commando ila kila commando n jw
@pavlotz80845 ай бұрын
Mafunzo yao ni tofaut kabsa,mafynzo ya komndo mmoja jisawa na ya wanajeshi miamoja
@manasehi5 ай бұрын
Happy Union day, Hongera kwa jeshi letu, muwe wazalendo mtulinde raia. Mtulindie pia na rasilimali zetu, wazungu wananufaika sana kuliko sisi. Nachukia sana kuona wanakusanya trilions za pesa kwenye mali zetu ambazo tungenufaika wote kama wananchi.
@PhilipoLeonard-q5w5 ай бұрын
Uhame bongo uende wapi
@ArushaBoyfireАй бұрын
Good
@jamesjahasa33485 ай бұрын
Acheni uongo kumdanganya mama mvalishe yeboyebo ndio abuluzwe😂😂😂
@IddyAmir-gq1jr5 ай бұрын
Kavae wewe kama vile uburuzwe tuone
@rejobu97235 ай бұрын
Khaaa wewe ni muuaji aisee 😂😂😂
@LORDRICKNKYA5 ай бұрын
Huna akili ww
@deniccgabriel61535 ай бұрын
Uyo mamaako nae chenga2 unamuonaje?
@abubakaryabdallah47085 ай бұрын
Kumbe nikikaza kidogo naweza kua komando
@esthermugoli45275 ай бұрын
Maybe 😂😂😂
@IreneMabengaАй бұрын
One lov
@HassanHassan-si2rt5 ай бұрын
Badoo sanaaa
@MathewNathan-yb2bz5 ай бұрын
Hao makomandoo wako vizuri ni bora wapelekwe DRC Congo wakaonyeshe ukomandoo wao wa kupigana na M23.
@MiriamAbdallah5 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@DubaiRolla-rx9nz5 ай бұрын
😂😂😂😢
@JamesDakki5 ай бұрын
Tuombe vita ya kirafiki na M23😂😂
@aishafrancis77145 ай бұрын
Waende mara ngapi?
@ShabaniRamadhani-jb6wy5 ай бұрын
Waziri akiogea juu ya buge hili
@JumanneMwita5 ай бұрын
Mbona kenya maonesho yao ya kisasa hapa kama ya zamani sana
@Dymitri-Babushka.5 ай бұрын
Na hatuwahi ona wakipelekwa nchi zingine kusaidia usalama Kama waganda,wakenya na waburundi,hako tu nyimbani kuonyesha vituko 😂😂
@Allymoh0015 ай бұрын
The only thing that makes this vedio looks amazing is the rainy weather.....
@jrsaid42705 ай бұрын
Hakuna kipya ni yale yale tu kila mwaka , innovation zero
@aishafrancis77145 ай бұрын
Nenda wewe katuonyeshe mapya yako😎
@jrsaid42705 ай бұрын
@@aishafrancis7714 Hamna haja ya kwenda njoo wewe nikuoneshe mapua kwenye hill Kuma lako Nazani utaona mapya
@nassormessi-zk5cz5 ай бұрын
Hakuna maonyesho hayo siku hizi watu wana ndege hazina hata Rubani wala musijaribu kuchokoza watu mbona hampigi ya usoo
@LUBAINAMOHDRAJAB5 ай бұрын
Vita vya uso kwa uso hakuna skuiz kuna vita kila mtu anapigana akiwa kwake km huna ulinzi wa kuzuia makombora angani utachafuliwa na nchi kuwa magofu. Hamuoni urusi na Ukrain. Israel na Iran
@JifunzeNenoLaMungu5 ай бұрын
Sio kwamba hakuna.. Hivyo vipo kwenye special operations, mfano ulipuaji au kuharibu silaha za air defense unatumia watu wanaojua za uso Kwa uso kuzaifisha hizo system wanapokutana na ulinzi wa watu, 2. Hata ukipiga bomu makazi ya Hamas, au ubalozi wa Iran, ukimaliza unatuma watu wa uso Kwa uso kufagia waliobaki, na hawakai mbali na target.... Na tatu kwenye uso Kwa uso hamna camera
@NeemaJuma-xn9nw5 ай бұрын
@@JifunzeNenoLaMunguyote kwa yote bado tupo nyuma
@JifunzeNenoLaMungu5 ай бұрын
@@NeemaJuma-xn9nw Jeshi linaakisi uchumi, laa sivyo ufilisi nchi zaidi uwe imara kijeshi, wakati watu hawana maendeleo... Vita zetu ni alshabab na waasi kama wa congo... Nchi zilizotuzunguka hakuna mwenye ulinzi wa kama Israel au uwezo wa kurusha makombora 300 Kwa wakati mmoja bila kufilisi nchi... Tuko na maskini wenzetu tu wa uso Kwa uso...
@LORDRICKNKYA5 ай бұрын
Mzee umesema Urusi na Ukraine si ndio huoni Kuna wanaoingia kwenye combat au unafikili Yale maloli huwa yanabeba nini?? Hata hao Urusi na Russia wana makomando pia na pia unajua jukumu la makomando ni kufanya operation kama unajua maana ya operation za kikomando utanielewa
@JafetiKanyala5 ай бұрын
Mie natoa maoni jeshi Sasa ivi lijikite kwenye vifaa vya kisasa Sasa ivi watu wanapigana ukiwa kwako akuna vita Kama Ile ya idi Amin ayo nimaonesho tu akuna komando Bado tupo kizamani
@SharonGodwill5 ай бұрын
ivi ukiacha iyo miguu katikati ya njia unadhani uyo Samia atakuelewa upande wa matibabu
@Wisedonn5 ай бұрын
Upuzi ..hii kenya nlinafanywa na nys
@OmaryMgoss5 ай бұрын
Asa umeambiwa hapa ni Kenyan acheni izo , nchi Kenya raisi Kenyatta mna tofauti gani angalia nchi yako🔩
@salehegiza33055 ай бұрын
Kama vip tuombeni mechi za kirafiki tuone kama tupo sawa kweli😅😂
@IssaNasir-v2e5 ай бұрын
Komando mbona hata watoto mtaan kwetu wanaweza zaid ya hivyo
@AshaMwamba-v2o5 ай бұрын
Kaumia ilo Kofi imeanguk
@fatmafatu11285 ай бұрын
😂😂😂😂
@ramxonforex7725 ай бұрын
nchi yetu bana
@whatisthetruth.87935 ай бұрын
Umeme wa mgao , rushwa. Imekithiri
@nassormessi-zk5cz5 ай бұрын
Hamn kitu Robort mmoja tu anawamaliza wote
@Neemacitizenepisode5 ай бұрын
Ule ujinga uko Tanzania
@kipkorirprotus95735 ай бұрын
Hapo sasa
@binrashid86715 ай бұрын
Ni mtz ila kwa hili hapana
@Nashohaule5 ай бұрын
Je?yahamuumii kwel Tanzania Mungu ametu ark
@jewelmabhenga47425 ай бұрын
Tuongeze budget ya kununua ndege zisizo na rubani na mifumo ya anga kujilinda.
@rasvegas89915 ай бұрын
Achenii utaniii hayo mafunzo mazur km wanatupiga sisi raia sawa lkin km n boko harama noooo
@salyali78075 ай бұрын
🤣🤣🤣
@RichardElias-km9ql5 ай бұрын
Amna kitu apo
@AMINASAIDI-mx7rs5 ай бұрын
❤
@itanzaniaAS5 ай бұрын
Napenda kazi kama hizi?
@kennedyariembi55455 ай бұрын
😂😂😂si east Africa tukona upuzi mob😂😂😂
@neemaevance805 ай бұрын
Safi ❤❤❤🙏
@francenipala5 ай бұрын
Kwahy ndio kakazen hao
@drcezzane36305 ай бұрын
Kwani Hawa Wanakaa Wapi? 😅😅😅😅😅😅
@bestscenes9555 ай бұрын
In a war how can the whole platoon withdraw living only two colleagues covering fire??? Si watachapwa na adui! Ama washikwa na mkono!!!
@zackhisa9555 ай бұрын
5M subscribers si unigawie tu 500k only😂😂please
@AwaziRajab5 ай бұрын
Tuwapende Asikali Wetu Tukumbuke Kibiti Laiya Mbio Amboni Tanga Laiya Mbio Lakini Asikali Awajakimbia Walienda Kumaliza Utata Utakuta Mtu Anazalau Asikali Lakini Kwake Wakipta Panya Rodi Wanaingia Mivunguni Mazoezi Sio Vita Bali Ni Maonesho2
@dicksonmlibwa36615 ай бұрын
Inatishaaa ama kwel jeshi letu n imara
@kandaboy30265 ай бұрын
Bure kabisa
@isaachayes97835 ай бұрын
SWALI LANGU LINAKUJA,MBONA HAWA KOMANDO HAMKUWALETA SIKU ILE ASKARI WA KAWAIDA WALIPOCHUKUA TAKRIBAN MASAA 4 KUKABILIANA NA HAMZA PALE UBALOZI WA UFARANSA!? Kwa jinsi walivyo wangeweza kumkamata akiwa hai.
@geuzasilvester17155 ай бұрын
Yan na wew hamza ndio ilikua anahitaj komando?
@joycemkeka37695 ай бұрын
😂😂😂 yani kweli waletwe makomando kumkamata hamza we acha utani
@GbpAud_King5 ай бұрын
Mnadhan M23 wanapigana na vimti izo🤣
@mtaanasanaa65575 ай бұрын
Hujui Maana ya maonesho???
@MiriamAbdallah5 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@NeemaJuma-xn9nw5 ай бұрын
@@mtaanasanaa6557jibwa
@kisrahcogar85385 ай бұрын
Wanaletwa marehem kila kukicha 😂😂😂
@joycemkeka37695 ай бұрын
Kufa vitani nijambo la kawaida kwao hatauwe mjuzi kiasi gani usicheze na vita
@DevotaIjumba5 ай бұрын
Mungu awalinde😂😂😂😂😂😂
@frankmahenge59435 ай бұрын
Bado sanaa
@DotiVirtuoso5 ай бұрын
sasa hi ninini? tutawai fikia wakenya lini wanaTZ wenzangu? wakenya wako mbele sana ama namna gani wenzangu?😃😄😆😋😛😜🤩😂🤣
@prosperjohn20475 ай бұрын
Kwa Dunia ya sasa, haya siyo mambo ya kuwaonyesha watz wenye akili zao, oky hongera sana Kwa haya, AMBAYO ni sawa kwenu🤔
@binrashid86715 ай бұрын
Yaaani 😢😢 majirani watatucheka sana
@LangxSheby5 ай бұрын
Mseplasi uo ungekua lati iyo yamtipoli usingevunjika mala1 naukiona wanavunja tofali ujue mfuko1 wasiment walitoa tofali100 nchi ya tz niyaujanja ujanja tuu adiwanajeshi waongo😂😂
@fabiogomieiro41314 ай бұрын
E dizer que a maioria dos dirigentes e oficiais desses países estudaram na Grã Bretanha.
@sunwizy6085 ай бұрын
hahaha😂😂😂😂😂 vitan awawez pigana ivyo ila nawaamin
@deniccgabriel61535 ай бұрын
Hiv wanatuonyesha vichekesho kilasiku😂 jeshi kwa sasa ni technolojia kama huna ndio tuone mazingaombwe kama haya yakutunisha misuli bila kutumia akili.
@anoldpotentin24465 ай бұрын
America wanavikosi vya makomando kama Green baret, Delta force, Navy seals, Army Rangers. Russia wanakikosi cha makomando kinaitwa Spertnaz, sasa kwanini wasifute vikosi vyao vya makomandoo wakawekeza kwenye technology tu? Mtaalam wa maswala ya kijeshi? Je kwanini America na Russia wanawekeza kwenye majeshi ya ardhini sana?
@fatimaussene10105 ай бұрын
Haya tumekubali
@amossimon10955 ай бұрын
haha hatar
@kevinatinda22425 ай бұрын
This is more of comedy;;
@ABBASIKANDULU-kl8zc5 ай бұрын
Tanzania chanel ya vichekesho huko mbinguni 😅😅
@itanzaniaAS5 ай бұрын
Mhm😂😂
@TibaTito5 ай бұрын
Putin akijikuna tu wote wanaishaaaaaa
@raymondmilanzi5 ай бұрын
Acha kuwaza mabaya
@ShedrackShedrack-c2b5 ай бұрын
Inabidi kuwapeleka gaza awamakomando
@clementsabuni755 ай бұрын
Wapelekwe gaza ili tuone ukomandoo wao.
@clementsabuni755 ай бұрын
Siku hizi ni vita vya teknolojia kama huna ulinzi wa anga unakuwa majivu unalengwa kutoka angani hata kama umejificha wapi.
@clementsabuni755 ай бұрын
Ukomandoo ni mazoezi tuu ila tz tuna mbinu za kijeshi tunaweza kupambana na maadui hata tukienda gaza tunaweza kusurvive.
@FeisalDoctor-wr8ws5 ай бұрын
@@clementsabuni75🙄🙄🙄🙄🙄
@clementsabuni755 ай бұрын
@@FeisalDoctor-wr8ws mbona unashangaa mkuu feisal hata wenzetu walianza taratibu inatakiwa tujivunie tulichonacho tusijivunje moyo kwasababu maneno yanaumba ukikubali kushindwa na kweli unashindwa, afrika ni imara ndo maana wazungu wanaogopa sana mwafrika siku akizinduka wamekwisha maana ataanza kuwa na. viwanda vyake vya teknolojia.
@Дежурный-я8к4 ай бұрын
Упражнения 19 - века
@WinfridaFabian5 ай бұрын
Kwa mazoez haya tunaweza kupigana na Rwanda kweli?au tunaweza kupiga wakina lissu tuu
@babawamtaa85385 ай бұрын
Kwakweli nimeupenda uwezo wao nashauri tuombe vita ya kirafiki na urudi
@queenlutufyo17925 ай бұрын
Hujui usemalo
@almahdialmahdi55455 ай бұрын
ياشباب ياكومندو عدوكم هو الدولار الأمريكي!!!فهل أعددتم له عدة لمواجهته في السر والعلن فإنه يشق الصدور ويملك القلوب وتخضع له الرقاب ؟ ؟ ؟/نيامي عاصمة النيجر
@saidimussa81285 ай бұрын
Duh sasa mbna sion maajabu sas Duh !
@davidnamu63745 ай бұрын
😂😂😂
@kipkorirprotus95735 ай бұрын
Hapo hakuna kitu, mbona sasa haqaitwi kwenye majukumu ya ulinzi katika mataifa mengine inje ya afrika? Izo mbwembwe tu
@godfreydavid69965 ай бұрын
Nasikitika sana,wako hapo kuwalinda Watawala na sio wananchi.
@Jal2105 ай бұрын
Acha ujinga wewe
@godfreydavid69965 ай бұрын
@@Jal210 Haikuhusu man,kama na wewe ni mmoja wa watawala enjoy tu.
@johnnyhandoko18494 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@anrelyltv37575 ай бұрын
😂
@KHAMIS_SHILINGI5 ай бұрын
Nendeni mkwasaidie wapalesrina😢😢😢
@fredducaunt5 ай бұрын
😂😂
@ssaa74955 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Bushman0005 ай бұрын
Raia wenzangu tuache ujuaji na movie tunazo angalia naona comment nyingi ziko kimchongo😂😂😂😂 ASKARI WETU WAKO VIZURI SANAA