RAIS SAMIA ASHUHUDIA MAKOMANDO WAKIPIGANA MMOJA ABURUZWA NA GARI

  Рет қаралды 209,042

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 150
@hagaidominic
@hagaidominic 8 күн бұрын
Naipenda tanzania napenda raisi wetu samia tunajeshiimara
@WasswaMajegere
@WasswaMajegere 5 ай бұрын
So amazing.for me.Tz come en help our East Africa generations
@jeniphatemu2937
@jeniphatemu2937 5 ай бұрын
I love you mumy, you are a true mother taking care all Tanzanians as your kids. May God Almighty give you long and peacerful life. Amina
@rashidkapile
@rashidkapile 5 ай бұрын
Wananikumbusha mbali sana
@qasimmafuta
@qasimmafuta 5 ай бұрын
Allah mlinde rais wetu Mama yetu lipe nguvu na uadilifu jeshi letu JWT
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 5 ай бұрын
Muungano wa nchi mbili kuwa nchi moja ndio muungano wa kweli. Haya maigizo mnayoleta ni fedheha kwa taifa linalojitambua.
@ofwonoleviticusfavour6527
@ofwonoleviticusfavour6527 4 ай бұрын
Love from Uganda
@MartinWahome-i1o
@MartinWahome-i1o 13 күн бұрын
kwa battle field story hukuwa tofauti hii ni maonyesho tu.
@BonnyMesopirr
@BonnyMesopirr 4 ай бұрын
I can see my president William Ruto
@YusufLubangula-yn6tq
@YusufLubangula-yn6tq 5 ай бұрын
Tunaupenda Muungano na Muungano uendelee Kudumu Nampongeza Rais SAMIA, Makamu wa Rais Philip Mpango na Wazirimkuu KASIMU MAJALIWA na Wengine mliokutanahapo Kwa ajili ya kuuenzi Muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar🙏🇹🇿👍
@HassanHassan-si2rt
@HassanHassan-si2rt 5 ай бұрын
Adui anakupiga nae Yuko hukooo Alabama, Nyie mnatuonesha maonesho ya miaka ya 1300 BC
@israelifissoo2141
@israelifissoo2141 5 ай бұрын
haha sasa iyo balistic ata tz tunayo kama ujui
@janerosejohn8373
@janerosejohn8373 5 ай бұрын
Kudos for the 5M subs. Keep the hard work.
@FIDELISMfugale
@FIDELISMfugale 5 ай бұрын
Vichanel vya kisengeeee
@Laydejulie
@Laydejulie Ай бұрын
Ruto umezubaa aje😅😅,,, as if Kenya hakuna kitu kama hio
@ObediMeyan
@ObediMeyan 5 ай бұрын
Ni noma sana
@DonardNzogera
@DonardNzogera 5 ай бұрын
Tanzania We are the top
@jeffhard5773
@jeffhard5773 5 ай бұрын
Kubadilisha magazini kwa ajili ya kuwalinda walioko madarakani ili wasin'gatuke
@godfreydavid6996
@godfreydavid6996 5 ай бұрын
Huo ndio ukweli mchungu
@RajabuKhatibu-nl4uk
@RajabuKhatibu-nl4uk 5 ай бұрын
Asanteni sana
@geofreywayesu5638
@geofreywayesu5638 5 ай бұрын
Askri wako vzr sana ninawapongeza sana
@Kilcarslan
@Kilcarslan 4 ай бұрын
2000 yıllık düzenli ordu geleneği olan ve dünyanın en güçlü orduları arasinda yer alan Türkiye'den askeri açıdan teçhizat ve eğitim almanızı öneririm..
@hamissnjumba302
@hamissnjumba302 5 ай бұрын
nakpenda saana mama SAMIA lakini nakuomba uyakumbuke majeshi Yako yoote
@joelntuka
@joelntuka 5 ай бұрын
congraturation for 5M millardayo team
@lolodaprincess7411
@lolodaprincess7411 5 ай бұрын
Najivunia Utanzania♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️💕💕💕🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@AbrahamMohamed-o4q
@AbrahamMohamed-o4q 5 ай бұрын
Ndo nini?sasa
@rizionemajura4707
@rizionemajura4707 5 ай бұрын
Hivi huwa ni mm tu ebu mnipe tofauti kati ya commando na mwanajeshi
@ashrafadam4629
@ashrafadam4629 5 ай бұрын
Tofaut ipo kubwa sana, kwanza comando anamaliza koz ya JW zen anaenda kusoma koz tena ya commando, na co kla mwanajesh n commando ila kila commando n jw
@pavlotz8084
@pavlotz8084 5 ай бұрын
Mafunzo yao ni tofaut kabsa,mafynzo ya komndo mmoja jisawa na ya wanajeshi miamoja
@manasehi
@manasehi 5 ай бұрын
Happy Union day, Hongera kwa jeshi letu, muwe wazalendo mtulinde raia. Mtulindie pia na rasilimali zetu, wazungu wananufaika sana kuliko sisi. Nachukia sana kuona wanakusanya trilions za pesa kwenye mali zetu ambazo tungenufaika wote kama wananchi.
@PhilipoLeonard-q5w
@PhilipoLeonard-q5w 5 ай бұрын
Uhame bongo uende wapi
@ArushaBoyfire
@ArushaBoyfire Ай бұрын
Good
@jamesjahasa3348
@jamesjahasa3348 5 ай бұрын
Acheni uongo kumdanganya mama mvalishe yeboyebo ndio abuluzwe😂😂😂
@IddyAmir-gq1jr
@IddyAmir-gq1jr 5 ай бұрын
Kavae wewe kama vile uburuzwe tuone
@rejobu9723
@rejobu9723 5 ай бұрын
Khaaa wewe ni muuaji aisee 😂😂😂
@LORDRICKNKYA
@LORDRICKNKYA 5 ай бұрын
Huna akili ww
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 5 ай бұрын
Uyo mamaako nae chenga2 unamuonaje?
@abubakaryabdallah4708
@abubakaryabdallah4708 5 ай бұрын
Kumbe nikikaza kidogo naweza kua komando
@esthermugoli4527
@esthermugoli4527 5 ай бұрын
Maybe 😂😂😂
@IreneMabenga
@IreneMabenga Ай бұрын
One lov
@HassanHassan-si2rt
@HassanHassan-si2rt 5 ай бұрын
Badoo sanaaa
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 5 ай бұрын
Hao makomandoo wako vizuri ni bora wapelekwe DRC Congo wakaonyeshe ukomandoo wao wa kupigana na M23.
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 5 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@DubaiRolla-rx9nz
@DubaiRolla-rx9nz 5 ай бұрын
😂😂😂😢
@JamesDakki
@JamesDakki 5 ай бұрын
Tuombe vita ya kirafiki na M23😂😂
@aishafrancis7714
@aishafrancis7714 5 ай бұрын
Waende mara ngapi?
@ShabaniRamadhani-jb6wy
@ShabaniRamadhani-jb6wy 5 ай бұрын
Waziri akiogea juu ya buge hili
@JumanneMwita
@JumanneMwita 5 ай бұрын
Mbona kenya maonesho yao ya kisasa hapa kama ya zamani sana
@Dymitri-Babushka.
@Dymitri-Babushka. 5 ай бұрын
Na hatuwahi ona wakipelekwa nchi zingine kusaidia usalama Kama waganda,wakenya na waburundi,hako tu nyimbani kuonyesha vituko 😂😂
@Allymoh001
@Allymoh001 5 ай бұрын
The only thing that makes this vedio looks amazing is the rainy weather.....
@jrsaid4270
@jrsaid4270 5 ай бұрын
Hakuna kipya ni yale yale tu kila mwaka , innovation zero
@aishafrancis7714
@aishafrancis7714 5 ай бұрын
Nenda wewe katuonyeshe mapya yako😎
@jrsaid4270
@jrsaid4270 5 ай бұрын
@@aishafrancis7714 Hamna haja ya kwenda njoo wewe nikuoneshe mapua kwenye hill Kuma lako Nazani utaona mapya
@nassormessi-zk5cz
@nassormessi-zk5cz 5 ай бұрын
Hakuna maonyesho hayo siku hizi watu wana ndege hazina hata Rubani wala musijaribu kuchokoza watu mbona hampigi ya usoo
@LUBAINAMOHDRAJAB
@LUBAINAMOHDRAJAB 5 ай бұрын
Vita vya uso kwa uso hakuna skuiz kuna vita kila mtu anapigana akiwa kwake km huna ulinzi wa kuzuia makombora angani utachafuliwa na nchi kuwa magofu. Hamuoni urusi na Ukrain. Israel na Iran
@JifunzeNenoLaMungu
@JifunzeNenoLaMungu 5 ай бұрын
Sio kwamba hakuna.. Hivyo vipo kwenye special operations, mfano ulipuaji au kuharibu silaha za air defense unatumia watu wanaojua za uso Kwa uso kuzaifisha hizo system wanapokutana na ulinzi wa watu, 2. Hata ukipiga bomu makazi ya Hamas, au ubalozi wa Iran, ukimaliza unatuma watu wa uso Kwa uso kufagia waliobaki, na hawakai mbali na target.... Na tatu kwenye uso Kwa uso hamna camera
@NeemaJuma-xn9nw
@NeemaJuma-xn9nw 5 ай бұрын
​@@JifunzeNenoLaMunguyote kwa yote bado tupo nyuma
@JifunzeNenoLaMungu
@JifunzeNenoLaMungu 5 ай бұрын
@@NeemaJuma-xn9nw Jeshi linaakisi uchumi, laa sivyo ufilisi nchi zaidi uwe imara kijeshi, wakati watu hawana maendeleo... Vita zetu ni alshabab na waasi kama wa congo... Nchi zilizotuzunguka hakuna mwenye ulinzi wa kama Israel au uwezo wa kurusha makombora 300 Kwa wakati mmoja bila kufilisi nchi... Tuko na maskini wenzetu tu wa uso Kwa uso...
@LORDRICKNKYA
@LORDRICKNKYA 5 ай бұрын
Mzee umesema Urusi na Ukraine si ndio huoni Kuna wanaoingia kwenye combat au unafikili Yale maloli huwa yanabeba nini?? Hata hao Urusi na Russia wana makomando pia na pia unajua jukumu la makomando ni kufanya operation kama unajua maana ya operation za kikomando utanielewa
@JafetiKanyala
@JafetiKanyala 5 ай бұрын
Mie natoa maoni jeshi Sasa ivi lijikite kwenye vifaa vya kisasa Sasa ivi watu wanapigana ukiwa kwako akuna vita Kama Ile ya idi Amin ayo nimaonesho tu akuna komando Bado tupo kizamani
@SharonGodwill
@SharonGodwill 5 ай бұрын
ivi ukiacha iyo miguu katikati ya njia unadhani uyo Samia atakuelewa upande wa matibabu
@Wisedonn
@Wisedonn 5 ай бұрын
Upuzi ..hii kenya nlinafanywa na nys
@OmaryMgoss
@OmaryMgoss 5 ай бұрын
Asa umeambiwa hapa ni Kenyan acheni izo , nchi Kenya raisi Kenyatta mna tofauti gani angalia nchi yako🔩
@salehegiza3305
@salehegiza3305 5 ай бұрын
Kama vip tuombeni mechi za kirafiki tuone kama tupo sawa kweli😅😂
@IssaNasir-v2e
@IssaNasir-v2e 5 ай бұрын
Komando mbona hata watoto mtaan kwetu wanaweza zaid ya hivyo
@AshaMwamba-v2o
@AshaMwamba-v2o 5 ай бұрын
Kaumia ilo Kofi imeanguk
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 5 ай бұрын
😂😂😂😂
@ramxonforex772
@ramxonforex772 5 ай бұрын
nchi yetu bana
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 5 ай бұрын
Umeme wa mgao , rushwa. Imekithiri
@nassormessi-zk5cz
@nassormessi-zk5cz 5 ай бұрын
Hamn kitu Robort mmoja tu anawamaliza wote
@Neemacitizenepisode
@Neemacitizenepisode 5 ай бұрын
Ule ujinga uko Tanzania
@kipkorirprotus9573
@kipkorirprotus9573 5 ай бұрын
Hapo sasa
@binrashid8671
@binrashid8671 5 ай бұрын
Ni mtz ila kwa hili hapana
@Nashohaule
@Nashohaule 5 ай бұрын
Je?yahamuumii kwel Tanzania Mungu ametu ark
@jewelmabhenga4742
@jewelmabhenga4742 5 ай бұрын
Tuongeze budget ya kununua ndege zisizo na rubani na mifumo ya anga kujilinda.
@rasvegas8991
@rasvegas8991 5 ай бұрын
Achenii utaniii hayo mafunzo mazur km wanatupiga sisi raia sawa lkin km n boko harama noooo
@salyali7807
@salyali7807 5 ай бұрын
🤣🤣🤣
@RichardElias-km9ql
@RichardElias-km9ql 5 ай бұрын
Amna kitu apo
@AMINASAIDI-mx7rs
@AMINASAIDI-mx7rs 5 ай бұрын
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 5 ай бұрын
Napenda kazi kama hizi?
@kennedyariembi5545
@kennedyariembi5545 5 ай бұрын
😂😂😂si east Africa tukona upuzi mob😂😂😂
@neemaevance80
@neemaevance80 5 ай бұрын
Safi ❤❤❤🙏
@francenipala
@francenipala 5 ай бұрын
Kwahy ndio kakazen hao
@drcezzane3630
@drcezzane3630 5 ай бұрын
Kwani Hawa Wanakaa Wapi? 😅😅😅😅😅😅
@bestscenes955
@bestscenes955 5 ай бұрын
In a war how can the whole platoon withdraw living only two colleagues covering fire??? Si watachapwa na adui! Ama washikwa na mkono!!!
@zackhisa955
@zackhisa955 5 ай бұрын
5M subscribers si unigawie tu 500k only😂😂please
@AwaziRajab
@AwaziRajab 5 ай бұрын
Tuwapende Asikali Wetu Tukumbuke Kibiti Laiya Mbio Amboni Tanga Laiya Mbio Lakini Asikali Awajakimbia Walienda Kumaliza Utata Utakuta Mtu Anazalau Asikali Lakini Kwake Wakipta Panya Rodi Wanaingia Mivunguni Mazoezi Sio Vita Bali Ni Maonesho2
@dicksonmlibwa3661
@dicksonmlibwa3661 5 ай бұрын
Inatishaaa ama kwel jeshi letu n imara
@kandaboy3026
@kandaboy3026 5 ай бұрын
Bure kabisa
@isaachayes9783
@isaachayes9783 5 ай бұрын
SWALI LANGU LINAKUJA,MBONA HAWA KOMANDO HAMKUWALETA SIKU ILE ASKARI WA KAWAIDA WALIPOCHUKUA TAKRIBAN MASAA 4 KUKABILIANA NA HAMZA PALE UBALOZI WA UFARANSA!? Kwa jinsi walivyo wangeweza kumkamata akiwa hai.
@geuzasilvester1715
@geuzasilvester1715 5 ай бұрын
Yan na wew hamza ndio ilikua anahitaj komando?
@joycemkeka3769
@joycemkeka3769 5 ай бұрын
😂😂😂 yani kweli waletwe makomando kumkamata hamza we acha utani
@GbpAud_King
@GbpAud_King 5 ай бұрын
Mnadhan M23 wanapigana na vimti izo🤣
@mtaanasanaa6557
@mtaanasanaa6557 5 ай бұрын
Hujui Maana ya maonesho???
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 5 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@NeemaJuma-xn9nw
@NeemaJuma-xn9nw 5 ай бұрын
​@@mtaanasanaa6557jibwa
@kisrahcogar8538
@kisrahcogar8538 5 ай бұрын
Wanaletwa marehem kila kukicha 😂😂😂
@joycemkeka3769
@joycemkeka3769 5 ай бұрын
Kufa vitani nijambo la kawaida kwao hatauwe mjuzi kiasi gani usicheze na vita
@DevotaIjumba
@DevotaIjumba 5 ай бұрын
Mungu awalinde😂😂😂😂😂😂
@frankmahenge5943
@frankmahenge5943 5 ай бұрын
Bado sanaa
@DotiVirtuoso
@DotiVirtuoso 5 ай бұрын
sasa hi ninini? tutawai fikia wakenya lini wanaTZ wenzangu? wakenya wako mbele sana ama namna gani wenzangu?😃😄😆😋😛😜🤩😂🤣
@prosperjohn2047
@prosperjohn2047 5 ай бұрын
Kwa Dunia ya sasa, haya siyo mambo ya kuwaonyesha watz wenye akili zao, oky hongera sana Kwa haya, AMBAYO ni sawa kwenu🤔
@binrashid8671
@binrashid8671 5 ай бұрын
Yaaani 😢😢 majirani watatucheka sana
@LangxSheby
@LangxSheby 5 ай бұрын
Mseplasi uo ungekua lati iyo yamtipoli usingevunjika mala1 naukiona wanavunja tofali ujue mfuko1 wasiment walitoa tofali100 nchi ya tz niyaujanja ujanja tuu adiwanajeshi waongo😂😂
@fabiogomieiro4131
@fabiogomieiro4131 4 ай бұрын
E dizer que a maioria dos dirigentes e oficiais desses países estudaram na Grã Bretanha.
@sunwizy608
@sunwizy608 5 ай бұрын
hahaha😂😂😂😂😂 vitan awawez pigana ivyo ila nawaamin
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 5 ай бұрын
Hiv wanatuonyesha vichekesho kilasiku😂 jeshi kwa sasa ni technolojia kama huna ndio tuone mazingaombwe kama haya yakutunisha misuli bila kutumia akili.
@anoldpotentin2446
@anoldpotentin2446 5 ай бұрын
America wanavikosi vya makomando kama Green baret, Delta force, Navy seals, Army Rangers. Russia wanakikosi cha makomando kinaitwa Spertnaz, sasa kwanini wasifute vikosi vyao vya makomandoo wakawekeza kwenye technology tu? Mtaalam wa maswala ya kijeshi? Je kwanini America na Russia wanawekeza kwenye majeshi ya ardhini sana?
@fatimaussene1010
@fatimaussene1010 5 ай бұрын
Haya tumekubali
@amossimon1095
@amossimon1095 5 ай бұрын
haha hatar
@kevinatinda2242
@kevinatinda2242 5 ай бұрын
This is more of comedy;;
@ABBASIKANDULU-kl8zc
@ABBASIKANDULU-kl8zc 5 ай бұрын
Tanzania chanel ya vichekesho huko mbinguni 😅😅
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 5 ай бұрын
Mhm😂😂
@TibaTito
@TibaTito 5 ай бұрын
Putin akijikuna tu wote wanaishaaaaaa
@raymondmilanzi
@raymondmilanzi 5 ай бұрын
Acha kuwaza mabaya
@ShedrackShedrack-c2b
@ShedrackShedrack-c2b 5 ай бұрын
Inabidi kuwapeleka gaza awamakomando
@clementsabuni75
@clementsabuni75 5 ай бұрын
Wapelekwe gaza ili tuone ukomandoo wao.
@clementsabuni75
@clementsabuni75 5 ай бұрын
Siku hizi ni vita vya teknolojia kama huna ulinzi wa anga unakuwa majivu unalengwa kutoka angani hata kama umejificha wapi.
@clementsabuni75
@clementsabuni75 5 ай бұрын
Ukomandoo ni mazoezi tuu ila tz tuna mbinu za kijeshi tunaweza kupambana na maadui hata tukienda gaza tunaweza kusurvive.
@FeisalDoctor-wr8ws
@FeisalDoctor-wr8ws 5 ай бұрын
​@@clementsabuni75🙄🙄🙄🙄🙄
@clementsabuni75
@clementsabuni75 5 ай бұрын
@@FeisalDoctor-wr8ws mbona unashangaa mkuu feisal hata wenzetu walianza taratibu inatakiwa tujivunie tulichonacho tusijivunje moyo kwasababu maneno yanaumba ukikubali kushindwa na kweli unashindwa, afrika ni imara ndo maana wazungu wanaogopa sana mwafrika siku akizinduka wamekwisha maana ataanza kuwa na. viwanda vyake vya teknolojia.
@Дежурный-я8к
@Дежурный-я8к 4 ай бұрын
Упражнения 19 - века
@WinfridaFabian
@WinfridaFabian 5 ай бұрын
Kwa mazoez haya tunaweza kupigana na Rwanda kweli?au tunaweza kupiga wakina lissu tuu
@babawamtaa8538
@babawamtaa8538 5 ай бұрын
Kwakweli nimeupenda uwezo wao nashauri tuombe vita ya kirafiki na urudi
@queenlutufyo1792
@queenlutufyo1792 5 ай бұрын
Hujui usemalo
@almahdialmahdi5545
@almahdialmahdi5545 5 ай бұрын
ياشباب ياكومندو عدوكم هو الدولار الأمريكي!!!فهل أعددتم له عدة لمواجهته في السر والعلن فإنه يشق الصدور ويملك القلوب وتخضع له الرقاب ؟ ؟ ؟/نيامي عاصمة النيجر
@saidimussa8128
@saidimussa8128 5 ай бұрын
Duh sasa mbna sion maajabu sas Duh !
@davidnamu6374
@davidnamu6374 5 ай бұрын
😂😂😂
@kipkorirprotus9573
@kipkorirprotus9573 5 ай бұрын
Hapo hakuna kitu, mbona sasa haqaitwi kwenye majukumu ya ulinzi katika mataifa mengine inje ya afrika? Izo mbwembwe tu
@godfreydavid6996
@godfreydavid6996 5 ай бұрын
Nasikitika sana,wako hapo kuwalinda Watawala na sio wananchi.
@Jal210
@Jal210 5 ай бұрын
Acha ujinga wewe
@godfreydavid6996
@godfreydavid6996 5 ай бұрын
@@Jal210 Haikuhusu man,kama na wewe ni mmoja wa watawala enjoy tu.
@johnnyhandoko1849
@johnnyhandoko1849 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@anrelyltv3757
@anrelyltv3757 5 ай бұрын
😂
@KHAMIS_SHILINGI
@KHAMIS_SHILINGI 5 ай бұрын
Nendeni mkwasaidie wapalesrina😢😢😢
@fredducaunt
@fredducaunt 5 ай бұрын
😂😂
@ssaa7495
@ssaa7495 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Bushman000
@Bushman000 5 ай бұрын
Raia wenzangu tuache ujuaji na movie tunazo angalia naona comment nyingi ziko kimchongo😂😂😂😂 ASKARI WETU WAKO VIZURI SANAA
@justice607
@justice607 5 ай бұрын
Canteen is good😅😅
@FIDELISMfugale
@FIDELISMfugale 5 ай бұрын
Ujingaaaaaaa
@saidijuma5424
@saidijuma5424 5 ай бұрын
@ahmadmohd3771
@ahmadmohd3771 5 ай бұрын
😂😂😂
@ZainabuIddy-r1o
@ZainabuIddy-r1o 5 ай бұрын
Makomando wa TZ wakionyesha uwezo, waruka kwenye gari
35:41
Millard Ayo
Рет қаралды 2,1 МЛН
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 11 МЛН
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
火影忍者一家
Рет қаралды 128 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma
00:14
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 15 МЛН
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Fighting Spirit
Рет қаралды 7 МЛН
Ip Man 2 | The Boxing Competition
15:57
Cinewatch
Рет қаралды 8 МЛН
KOMANDO MADAFU AWEKA WAZI KILA KITU BAADA YA KUTOKA IKULU
10:59
Wasafi Media
Рет қаралды 49 М.