Huyo wakili dada yako wa dodoma ni mnafiki hatapigia mwambukusi. Lakini mwambukusi anapita .watu wanatekwa wanakufa kila wiki mtu anasema hakuna watekaji. Tunamwitaji mwambukusi
@HijaSaid-xd7fg2 ай бұрын
Huyo aliekataa kuongea hafai kuwa wakili kabisa sio mtu wa haki
@ndogoroedson1992 ай бұрын
Mawakili nguli wap hao wengi wao ni wahujumu haki za watu hakuna lolote hapo kuiona mbingu wengi wao ni patupu
@thomsanga79562 ай бұрын
Daah! Serikali imesha chokonoa mfumo wa utambuzi wa uwakili
@JuliusBazil2 ай бұрын
Mawakili,mchagueni mgombea mkakamavu,jasili,ambaye hawezi kuyumbishwa na AG,DPP na JM. Wadau tuna-support,Adv. Mwambukusi.
@gowekogoweko58032 ай бұрын
Mawakili wengine wañataka watetewe wenyewe tu hawasemi wananchi
@1stladyafrica4022 ай бұрын
Mmmh hauu upigajinkura mbona kama haueleweki wasimamiaji wako wapi na watu mbona wanazungukazunguka tu usalama wa kura za wagombea ukoje
@saiditasher83622 ай бұрын
Mwambungusi mng amfanyie wepesi kwenye kinyanganyilo
@HijaSaid-xd7fg2 ай бұрын
Yaani nyie mawakili msije mkatuletea rais ambae anachembechembe za dhulma