Salama Na OSCAR OSCAR SE6 EP39 | UALIMU?! SI WITO!! PART 1 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460

  Рет қаралды 48,134

YahStoneTown

YahStoneTown

Күн бұрын

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Mwaka 2018 ndo nilimfahamu Oscar baada ya kukutana nae kwenye kituo changu cha kazi ya kutangaza mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika jijini Johannesburg nchini Afrika ya Kusini. Alikua mmoja ya watu ambao walinikaribisha vizuri sana kwenye team na kwa wakati huo yeye ndo alikua anaishikilia rekodi ya kuwa ndo mtangazaji mdogo zaidi kwenye team ya watangazaji nami nikaja kama Binti PEKEE ambaye ambaye alikua anatangaza mpira wa miguu kwa lugha ya Kiswahili. Combination yetu ilikua nzuri sana na kwa kipindi hiko ambacho kilikua cha mwezi mmoja tulielewana na ku bond vizuri sana.
Oscar anapenda raha, anapenda kucheka na kuishi vizuri, anapenda ukweli na kubwa zaidi ni Rafiki mzuri sana. Pengine la zaidi ambalo nna uhakika Mama yake mzazi kule Kaliuwa anajuvunia sana ni la usomi, ni mwanafunzi mzuri ambaye anapenda kujiendeleza, sasa anamalizia Masters yake kwenye Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Alishawahi kuwa Mwalimu kipindi cha nyumba kwenye maisha yake na kwa mawazo yangu ya haraka hii ndo ambayo inamfanya awe ni mmoja kati ya wachambuzi makini kabisa ambao nchi hii inayo, nguvu yake ni kuhakikisha pale kwenye ukweli unasemwa hata kama itakua kwa njia ya mas’hara, ila atausema!
Aliamua kuwa Baba na hili ni kwa mujibu wake baada ya kunikatalia katakata kwamba mtoto wake wa kwanza alikua ni wa ‘bahati mbaya’ kama ambavyo baadhi ya wazazi husema, Oscar anasem alikua anajua nini anafanya na Mama wa mtoto yule so kusema alikuja kwa bahati mbaya ni kama kumkosea mtoto yule ambaye alikuja kipindi ambacho Oscar alikua bado hajajiweka vizuri kwenye maisha yake na zaidi kwenye masuala ya kazi, na pia ananikumbusha jinsi alivyokua anajiona anajua saana na kama vile watu waliokua wanampa nafasi kipindi kile kama vile walikua hawanuelewi kabisa.
Anaamini kwenye kujifunza kila kukicha ili kupanua wigo wa uerevu na kwake yeye Elimu ndo ufunguo wa maisha toka siku ya kwanza.
Kama Baba wa watoto wawili ambao kwa kiasi kikubwa amekua hapo kwaajili ya vijana wake, Oscar anaamini kwenye kuwa pale kwaajili yao, kuwapa kile ambacho yeye hakukipata kutoka kwa Mzee wake wakati anakua, kuwa pale kwaajili ya watu wa familia yake na zaidi Mama yake ambaye kwa mujibu wa Oscar Mama ndo nguzo yake. Binafsi nayajua mengi ambayo amayafanya Kijijini kwao Kaliuwa kwaajili ya familia yake na hata ambao hawamhusu.
Humu mimi na Rafiki YANGU tulijadili mambo mbalimbali ya ki maisha na familia, kazi na muskabali wa biashara ya mpira kwenye NCHI yetu na dunia kwa ujumla, pia tuliongelea umuhimu wa familia na kupata mtoto ukiwa na umri mdogo, suala la ajira na hustle wakati tunakua nalo hatukulicha nyuma. Yangu matumainj nawe uta enjoy pia.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
‪KZbin Link bit.ly/KZbinS...
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 62
@leonardcharles3169
@leonardcharles3169 Жыл бұрын
kiukweli juu ya suala la ualimu Oscar ameongea vyema sana, Mimi pia nimemaliza degree ya ualimu pale udsm, baada ya miaka 2 ya kazi ya ualimu kwa kuzingatia aina ya malengo niliyonayo kwenye maisha, niliacha kazi na kurudi chuoni kusomea fani nyingine ambapo nilimaliza degree ya uchumi na kupata ajira kama mchumi. kiukweli mafanikio niliyoyapata ndani ya miaka 6 ya ajira kama mchumi, mwalimu anaweza kuyafikia kwa miaka 65 ya utumishi wake
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 Жыл бұрын
Mafanikio yetu sisi waalimu tukibahatika ni kusomesha ndugu,watoto,hao wakisoma fani Kama hiyo yako na wanakuwa na mafanikio
@mastermind5729
@mastermind5729 Жыл бұрын
@@hadijamandanje6189 🤔
@frankkajoba8372
@frankkajoba8372 Жыл бұрын
Ukweli 100% mm mwenyewe naona kabisa sitoboi.
@jamessanga7120
@jamessanga7120 Жыл бұрын
inategemeana unazungumzia nini, mshahara au pesa! unaweza ukawa na mshahara mdogo ila ukawa na pesa nyingi watu wana mawe ya kutosha unaweza dhani una hela kumbe kwa waalimu wengine ni za kawaida sana!
@simonmdemu
@simonmdemu Жыл бұрын
Mkuu
@mohammedhalfan
@mohammedhalfan Жыл бұрын
This is my favourite online session at this digital platform....I like it.....big up Ace jay
@theophilromward4996
@theophilromward4996 Жыл бұрын
I see! This Oscar is very intelligent! Hii ongea yake ni ha level ya juu mno.
@patrickmukundichalamila3038
@patrickmukundichalamila3038 Жыл бұрын
Uongeaji wake unamfanya awe makini sana
@josephk90
@josephk90 Жыл бұрын
Dah! Kumbe Oscar msomi🖖 Ila Salama video zinachelewa sana.
@wasaficlassicshoes
@wasaficlassicshoes Жыл бұрын
Tujuane baada ya Oscar kuja WASAFI 💪💪💪💯💯💯💯💯✔
@tattoz4677
@tattoz4677 Жыл бұрын
Nice, look different madam Salama, we appreciate your work One of the best show to ma life
@georgedaniel4962
@georgedaniel4962 Жыл бұрын
Kila mtu ni mhimu,katka maisha na wote tunategemeana.maisha ni kama engine au ni system kila kifaa ndani au nje ya engine kinamanufaa.
@husseinmajid2390
@husseinmajid2390 Жыл бұрын
Salama amemuuliza very simple technically kuhusu UHARAKA kwa namna alivyojifunza na tunaomsikiliza,sasa alivyojibu Oscar mbona mlolongo na kajibu vitu tofauti. He was answer to reply.
@tanziluhizza8214
@tanziluhizza8214 Жыл бұрын
Tuko pamoja salama na Mzee wa kaliuwa
@damiankimaro9665
@damiankimaro9665 Жыл бұрын
Salama na oscar oscar💪💪💪💪
@eddimwamba4208
@eddimwamba4208 Жыл бұрын
Acha ualimu uwe KAZI💪💪💪
@musagiriba7155
@musagiriba7155 11 ай бұрын
Salama noma sana
@angansiaswai4520
@angansiaswai4520 Жыл бұрын
@Salama appreciate
@egnokapinga16
@egnokapinga16 Жыл бұрын
Daa.! Oscar ana uthubutu😅✊🙌
@mombamo5
@mombamo5 Жыл бұрын
Daaaaah huyu jamaa apindishag maneno, ni mkwel all the time
@mussamoshi3205
@mussamoshi3205 Жыл бұрын
Namkubali sana mwamba
@hamida_educationist7224
@hamida_educationist7224 Жыл бұрын
Amejibu vizuri kwenye swali la ualimu. Serious note education kama professional haijazingatiwa...
@Football-cl2hj
@Football-cl2hj 4 ай бұрын
Mzee wa kaliuwa😂😂
@sullehtz9327
@sullehtz9327 Жыл бұрын
OSCAR THE BIG BRAIN ✊
@chidydullah1714
@chidydullah1714 Жыл бұрын
Mzee wa kaliuwa
@kelvinedward5091
@kelvinedward5091 Жыл бұрын
Kwa hyo wote tusiwe walimu.. Nyie matajiri watoto wenu watafundshwa na nani
@stevennyondo2215
@stevennyondo2215 Жыл бұрын
Ualimu ulikuwa wito zaman saiz ni kazi.
@Bongovlogs
@Bongovlogs Жыл бұрын
Salama leo kakutana na mtu anaongea kama cherehani 😂😂
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 Жыл бұрын
Mzee wa Kaliuwa on fire
@bulahlushali6081
@bulahlushali6081 Жыл бұрын
Kazi yeyote ya kutegemea mshahara haiwezi kukutoa kimaisha,,, fanya Cha ziada nje ya mshahara.
@richardsaidi2448
@richardsaidi2448 Жыл бұрын
Kwhy Mimi stoboi😭
@alexmoses1430
@alexmoses1430 Жыл бұрын
Salama mtafute Jesse John ufanye naye interview
@hashemsaef1516
@hashemsaef1516 Жыл бұрын
Salama hata mwalim hawezi kuwa mwalim kabla haja fundishwa
@georgekweyamba5569
@georgekweyamba5569 Жыл бұрын
Good
@jeanettemukagatare824
@jeanettemukagatare824 Жыл бұрын
Well done miss Jabir Keep it up
@emanuelkiwanuka578
@emanuelkiwanuka578 Жыл бұрын
Episode ya zuchu ilishushwa Nini aionekani Tena y??
@CoachHafidh
@CoachHafidh Жыл бұрын
Hata mi najiuliza
@catenzeki678
@catenzeki678 Жыл бұрын
mm pia nmeitafuta saaana
@mrishomkolela4633
@mrishomkolela4633 Жыл бұрын
NASUBIL INTERVIEW NA MPOKI
@Gtunewaves
@Gtunewaves Жыл бұрын
A BOY FROM KALIUA
@adriafurahamatemu6080
@adriafurahamatemu6080 Жыл бұрын
💯💯💯💯💯💯
@mwinyijumamtoo4011
@mwinyijumamtoo4011 Жыл бұрын
Kwani walimu siwanafanyiwa assessment ndio interview yake kinachopaswa kufatwa ni apate ajira prvte ndio wafanyiwe interview
@mandyfitnesstv6738
@mandyfitnesstv6738 Жыл бұрын
Unapenda Mazoezi?? Njoo jifunze kupitia Mazoezi rahisi ukiwa nyumbani bila kwenda gym subscribe pia
@Ganzo077
@Ganzo077 Жыл бұрын
Second
@Limonga_jr
@Limonga_jr Жыл бұрын
First
@fredrickswai2566
@fredrickswai2566 Жыл бұрын
Kwenye TBC kuna kakipande hapo kamekatwa afu story ikachange. If u know u know
@CoachHafidh
@CoachHafidh Жыл бұрын
Nisanue mzee
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 Жыл бұрын
Vuta sn sigara huyu jmaa
@fra_nyuki
@fra_nyuki Жыл бұрын
7th
@raynellyaugustino3237
@raynellyaugustino3237 Жыл бұрын
Kwani Salama unaolewa lini tuje Ubwabwa nawewe?
@emmanuelerasto8137
@emmanuelerasto8137 Жыл бұрын
Huyu jamaa bwana muache2 ana akili sana
@tinnobobu3404
@tinnobobu3404 Жыл бұрын
Ivi nin maana ya #likitokaliote
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 Жыл бұрын
Jua likitoka liote
@maryshirima1234
@maryshirima1234 Жыл бұрын
Majibu zaidi ya kilichoulizwa...😥
@kitonekantasha1687
@kitonekantasha1687 Жыл бұрын
Aalafu wataitoa 😂😂😂😂
@juliamlonda7991
@juliamlonda7991 Жыл бұрын
akili nyingi sana.
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Kwanini nyingine amuwek KZbin
هذه الحلوى قد تقتلني 😱🍬
00:22
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 93 МЛН
Whoa
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 55 МЛН
Dad Makes Daughter Clean Up Spilled Chips #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 7 МЛН
Or is Harriet Quinn good? #cosplay#joker #Harriet Quinn
00:20
佐助与鸣人
Рет қаралды 47 МЛН
Mkasi - SO5E03 With P Funk
29:34
MkasiTV
Рет қаралды 150 М.
INTERVIEW SHOW  BABA LEVO  at COCONUT fm ..ZMOTION
7:05
Zanzibar lifestyle
Рет қаралды 87 М.
هذه الحلوى قد تقتلني 😱🍬
00:22
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 93 МЛН