No video

TFF YATOA MAAMUZI SAKATA LA CHAMA NA SIMBA JUU YA RELEASE LATTER YA KUICHEZEA YANGA MSIMU UJAO..

  Рет қаралды 49,950

BATTLE TV

BATTLE TV

Күн бұрын

#BATTLETV

Пікірлер: 119
@JuhudiKasanga-yq5ks
@JuhudiKasanga-yq5ks Ай бұрын
Swala la chama niushamba TU mchezaji kamaliza mkataba shida labda hawa Simba na tff ndo tatizo katika mpira wetu huu wanaturudisha nyuma Kila siku
@usiniguse
@usiniguse Ай бұрын
Mchezaji Kama alikuwa huru release later ya Nini? Si aende tu. Acheni ushabiki. Kama amemaliza mkataba Thank you ya Nini?
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 Ай бұрын
TIMU ZOTE ZIFUATE UTARATIBU WAKUCHUKA WACHEZAJI NA NYIE ONGEENI KIMPIRA USIONGEE KIMAPENZI YA TIMU
@JafarOmar-b1u
@JafarOmar-b1u Ай бұрын
sasa iv wachezaji wakubwa watakuja kuchezea timuiyo wataogopa ayo wanajiferisha
@user-yz6ds9hn9l
@user-yz6ds9hn9l Ай бұрын
Hawa yanga hawachui mchezaji kwa utaratibu waanza kumpa rushwa acheze chini ya kiwango hayo yamefanyika kwa chama na wenzake serikali inajua inafumbamacho kwakuwa mawaziri wa serikali wapo humo wanachangia jeuri hiyo,
@AlfredMwakabana
@AlfredMwakabana Ай бұрын
Mkiwa wachambuzi wachane ukweli watoe ujinga kwani ni aibu kwa vilabu vyetu mchezaji ni haki yake kimaisha yake
@user-bi8hr3nu6g
@user-bi8hr3nu6g Ай бұрын
Wapende wasipende watatoa
@amanifadhi
@amanifadhi Ай бұрын
Simba siowajinga
@ThobiasBarnaba-fs6pv
@ThobiasBarnaba-fs6pv Ай бұрын
Moto uwake
@CikeTanzania
@CikeTanzania Ай бұрын
Wampe tuu wanini
@user-yr4pv2vj7m
@user-yr4pv2vj7m Ай бұрын
Chama ata wafira.nyie makoro msim uuuuuu
@fatumamtakyawa3612
@fatumamtakyawa3612 Ай бұрын
FEI NA YANGA NI VITU TOFAUTI TOTO ALIKUWA AJAMALIZA MKATABA
@jiarosmazengo966
@jiarosmazengo966 Ай бұрын
Mbona FEI TOTO yanga imetuwekea ukingo na la chama hakuna thank you
@ManzabaySalim
@ManzabaySalim Ай бұрын
Chama kamaliza contract fifa ipo huwezi kuzuia asicheze yanga
@user-bi8hr3nu6g
@user-bi8hr3nu6g Ай бұрын
Simba yafungiwa
@simonndunguru1629
@simonndunguru1629 Ай бұрын
Wachambuzi semeni Ukweli kuhusu Chama Mnababaisha tu. Muda umeisha wa Mkataba wa Chama
@user-bt6ep3yb2h
@user-bt6ep3yb2h Ай бұрын
Fei mkataba wake ulikuwa haujaisha ila aliomba kuvunja mkataba, je chama mkataba wake na smba ulikuwa bado haujaisha? Chama ameomba kuvunja mkataba?.
@christianjohnmwalugaja8090
@christianjohnmwalugaja8090 Ай бұрын
Hao Jamaa (Simba) wanashirikiana na Karia. Karia tuachie mpira wetu. Bado unaupotosha sana mpira wa Tanzania.
@abdallahmzee4335
@abdallahmzee4335 Ай бұрын
Yani umsajiri mchezaji wakati akiwa kwenye mkataba arafu unasema Karia kafanya nini acha uchoko
@williamkajala8005
@williamkajala8005 Ай бұрын
Wao Fei toto Wamemgomea kuja Simba sasa wacha Dawa iwaangie
@yudamanyumbu4978
@yudamanyumbu4978 Ай бұрын
Mchezaji akisha maliza mkataba na timu yoyote ana uhuru wa kuondoka au kukubali kusaini mkataba tuache ubabaishaji
@ayubujoel
@ayubujoel Ай бұрын
Simba wanasuburi kumtambulisha Elie mpanzu ndo chama apewe thank u
@OmariBwagizo
@OmariBwagizo Ай бұрын
Amepotezwa manara atakua chama huyu anapotea kirahis sana tu
@makamelila
@makamelila Ай бұрын
Tatizo chama kaleta dharau na nyie mnaongea tu yachama kwa sababu ni WA Tim yenu lakini mbona hamuongei kuhusu lawi
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb Ай бұрын
Kwani Simba hajiandai endeleeni kuichafua Simba lakini hamtaweza
@user-tt8ew7tf8e
@user-tt8ew7tf8e Ай бұрын
Yanga walivyofanya kwa fei ilikuw saw Ila akifanya simba ni sahihi
@OmariBwagizo
@OmariBwagizo Ай бұрын
Huyo chama atakua kama Morrison tu
@ZaharaniMisso-ke4dy
@ZaharaniMisso-ke4dy Ай бұрын
Mulisema chama mzee kumbe bado munamuitaji sio
@BantuntibahezwaToyi
@BantuntibahezwaToyi Ай бұрын
Hahahaaàa gazeti la Leo chama yanga waishia kumvisha shuka la kijani😂😂😂hiyo ndio tafasiri ya ubaya ubwera
@user-ox1eg1ej6u
@user-ox1eg1ej6u Ай бұрын
😊 ni bad😊😊😊
@OmariBwagizo
@OmariBwagizo Ай бұрын
Hakuna TFF kutetea kitu mbn yanga mulimbana fei toto mpka kaongea raisi samia ndio mukamuachia lengo lenu alikua munataka kumpoteza sasa bas chama nae amepotea hii ndio bongo atajua hajui
@makamelila
@makamelila Ай бұрын
Kama kunahitajika barua maanayake hapo kinajambo inamaana mkataba ulikuwa haujaisha
@ElizabethEmmanuel-nj1oi
@ElizabethEmmanuel-nj1oi Ай бұрын
Nyie wanayanga si ndo nyie mliokua mnawasema wachezaji wa Simba wazee na Chama mmemsajili katoka timu Gani?
@hassannickson7654
@hassannickson7654 Ай бұрын
Ni suala la mda tukucheza Yanga hawa tifuatifua wakishindwa ni fifa wanaamua wachambuzi wetu ni sheeda sio watu wa mpira ila ni washabiki wa timu flani
@MamboMbuli
@MamboMbuli Ай бұрын
Watangazaji wa kibongo bana,,,mujiulize kwa Feisal mbona yanga warikomaa 😮😮😮na hadi Rais Samia akaingiria kati ,,🎉acheni unazi nyie
@user-ox1eg1ej6u
@user-ox1eg1ej6u Ай бұрын
Ins. .maana .iyo. Ndio
@salumomar-ph8ht
@salumomar-ph8ht Ай бұрын
Chama awataki kwanini mnalazimisha aipende tim yenu achen ushamba
@JuhudiKasanga-yq5ks
@JuhudiKasanga-yq5ks Ай бұрын
Swala alikuwa amemaliza mkataba au ni upumbavu wa Simba kwani chama ndugu yenu au anatafuta maisha kama alivyokuja kwenu toka timu nyingine acha ushamba nyinyi wenyewe lawi alafu chama Tena aibu na magoli wenu huyo ni matatizo matupu
@josephlorri431
@josephlorri431 Ай бұрын
Makolo wamekuwa machoko.. team ya tajiri namba 2 Africa, my foot
@shukranionesphoro7744
@shukranionesphoro7744 Ай бұрын
Ww dogo chama anakiburi , piga pini ngao asicheze
@Prosperkaluta
@Prosperkaluta Ай бұрын
Upumbavu wa viongozi wa wa Simba tu. Kumbe wana haja naye sana.
@williamkajala8005
@williamkajala8005 Ай бұрын
Ubaya Ubwela, Hawa kinachama wameichezea Sana Tim yetu msim huu Lazima tuoneshane ubabe tu mpaka kieleweke
@user-os9ps3ry6x
@user-os9ps3ry6x Ай бұрын
Simba Kila wkitaka mchezaji yanga wanazuia angalia fei nyie mnataka yanga wafaidike
@frbm1729
@frbm1729 Ай бұрын
Aligoma mapemaaa kuichezea Simba kutombana na ushawishi wa Yanga usiofuata utaratibu.Atajampa.
@phoebembwambo2763
@phoebembwambo2763 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂kutombana?????
@user-bt6ep3yb2h
@user-bt6ep3yb2h Ай бұрын
MkATABA UMEISHA TAREHE 30/06/2024, sasa kinachogombaniwa ni nini? YUKO HURU.
@magrethmakauki235
@magrethmakauki235 Ай бұрын
Fei mkataba ulikuwa haujaisha, chama mkataba umeisha
@ChristopherTogolan
@ChristopherTogolan Ай бұрын
Aloo chama n mchezaj hulu
@martinkabazo8412
@martinkabazo8412 Ай бұрын
Kama mkataba umeisha na wamemsajiri cmba inalaumiwaje
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 Ай бұрын
Wamruhusu Chama aende Yanga,wa.mwachie tu
@hassannickson7654
@hassannickson7654 Ай бұрын
Kwani mchezaji anatakiwa kuzungumza na Timu nyingine wakati Gani? Kama sio miezi 6 mbona ishu iko wazi tu
@fanuelnkyalu974
@fanuelnkyalu974 Ай бұрын
Simba waache upuuzi wa kuidhoofisha ligi yetu, hii ni habari ya sungura zisitaki mbichi hizo, TFF walione hilo ni AIBU KWA TAIFA.
@KakeSimba
@KakeSimba Ай бұрын
We fala unaongeya nini
@lotimwansule5017
@lotimwansule5017 Ай бұрын
Nyie mmesahau ya fei yanga walichofanya, nyie acheni unazi wote nyie ni Yanga
@salumomar-ph8ht
@salumomar-ph8ht Ай бұрын
Kama Tff washindwa kumpa haki yake leo ndio nitahamini Tff ni simba sakata la morson yanga walivyo zuia hirizileta ya morson simba waliruhusiwa na tff morson alicheza kama kawaida
@revocatusmalimi4525
@revocatusmalimi4525 Ай бұрын
Hakuna anyetaka Chama arudi simba huo ni ushenga wenu waandishi kwa Chama na timu yake.Kwanza ni mchezaji huru tangu 30 June 2024 sasa hiyo release letter ya nini
@user-bt6ep3yb2h
@user-bt6ep3yb2h Ай бұрын
Kwani tarehe ya mkataba wa Yanga na Chama unaonyesha umefungwa tarehe ngapi? Mwezi June au July? Mkataba wa chama na simba imeisha tarehe ngapi? June au July?. It s too much simple to give out decision.
@chemstry409
@chemstry409 Ай бұрын
Sasa siwalisema mzee??? na matusi wakamtukana....
@MaguguStore
@MaguguStore Ай бұрын
Ngoja ashike adabu , Chama chama chama ndio nani amekamatiwa pazuriii
@damianmcba9525
@damianmcba9525 Ай бұрын
Mchezaji yupo huru kuongea na timu yeyote ikiwa imebaki miezi 6 ya contract, hiyo ni sheria ya FIFA, Amna lolote hapo , Contract ikiisha hayo mambo ya release letter ayana uhitaji
@abdallahmzee4335
@abdallahmzee4335 Ай бұрын
Shida chama alimwaga wino wakati yupo kwenye mkataba watu wana akili nyingi kuliko yeye
@makamesaid9137
@makamesaid9137 Ай бұрын
Mfa maji haishi kutapa tapa Mara lawi mara Chama na mara hii tutawapiga 10 G MAKOLO wasipoangalia.
@abdallahmzee4335
@abdallahmzee4335 Ай бұрын
Shida akili za viongozi wenu bado ndogo sana walimsajiri Chama akiwa ndani ya mkataba na hapo ndiyo tutawakamatia mpaka mavi yawatoke
@FatumakunemkaKunemka
@FatumakunemkaKunemka Ай бұрын
Twataka tumpe bench kwanza
@user-eg9jq5ny3n
@user-eg9jq5ny3n Ай бұрын
Shida niudundukaaaaa😂😂😢
@revocatusmalimi4525
@revocatusmalimi4525 Ай бұрын
Tunashauri viongozi wetu wampe tu hiyo taraka ili akafunge ndoa nyingine akiwa huru
@raymondsambaa6687
@raymondsambaa6687 Ай бұрын
Atarudije Simba wakati hana mkataba?
@WiseRigers
@WiseRigers Ай бұрын
Huyo ni mchezaji huru release later ni kwaajiri ya uthibitisho tu kama wamemalizana kiroho safi kama hawataki kutoa tff wanawajibika kumpa haki mchezaji ili aendelee kucheza Tofaut na Feisal alikuwa na mkataba simba hawana uwezo wa kumzuia chama sema nyie wachambuzi wa kibongo ni wa hovyo sana huwezi fananisha sakata la chama na Feisal ni tofaut kabisa
@matiankomola2391
@matiankomola2391 Ай бұрын
Mpira wa Tanzania unaendeshwa kishabiki!
@mussammanga7791
@mussammanga7791 Ай бұрын
Mashaka gani mkubali kuwachwa, mchezaji timu haitaki. Fei si mlisema asilazimishwe? Sasa kibao kimegeuka. Hahahahaaa!
@user-ff1it9og8y
@user-ff1it9og8y Ай бұрын
Kama Tff mnasema wafanye haraka kwa chama waanze Feitoto sheria ya kuwa Simba wakitaka kumchukua walipe Azam na Yanga walipwe sgeria gani jama acha nao chama wamlipe bila kuwachezea msimu mzima malipo ni hapa hapa Duniani😂😂😂😂😂
@robertphilip385
@robertphilip385 Ай бұрын
Utateseka sana Fei kuichezea Simba na siwasawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano
@RichardSanga-zr2nj
@RichardSanga-zr2nj Ай бұрын
NIMESIKIA HIRIZI LETA 🤣
@chiefmajai9345
@chiefmajai9345 Ай бұрын
Maumivu walio wasajiri simba bado pengo
@user-os9ps3ry6x
@user-os9ps3ry6x Ай бұрын
Mnaona ni kitu kidogo nyie ni yanga tunawajuwa
@usiniguse
@usiniguse Ай бұрын
ACHENI USHABIKI. KAMA MKATABA UMEISHA REALEASE LATER YANINI SI AONDOKE TU?
@issaalfani1030
@issaalfani1030 Ай бұрын
Sheria hujui
@user-ff1it9og8y
@user-ff1it9og8y Ай бұрын
Simba ❤❤❤kumpa chama hiyo arudi kwa nizam kubwa alikua anadharau viongozi na hiyo ndo malipo yake na wampe 2025 hiyo istlechar wala siyo figisu Yanga wao kwa Feitoto kuja Simba wanakinga kifya haya sasa ngomo drooo
@asiaruhasha5561
@asiaruhasha5561 Ай бұрын
😊😊😊😊
@user-eg9jq5ny3n
@user-eg9jq5ny3n Ай бұрын
Dunduka bwegeeee
@vaxminja9053
@vaxminja9053 Ай бұрын
Mashabiki wa Simba hawajui hata wanaongea nini, hivi unafikiri release letter ni utashi wa Simba? Ni sheria
@OS-pf6op
@OS-pf6op Ай бұрын
Wataitapika tu watake wasitake😂
@athumanibakari8618
@athumanibakari8618 Ай бұрын
Mpeni Pole Injinia wenu
@CornenciaFaustine-pd2rc
@CornenciaFaustine-pd2rc Ай бұрын
Akili mu kichwa si mnae mchezesheni tu
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv Ай бұрын
SIMBA MUMESHA PEWA TARAKA SHIDA NN? MWACHE AENDEEEE
@VeronicaAdam-lx8yd
@VeronicaAdam-lx8yd Ай бұрын
Kanun 😂😂😂 zifatwe
@abdalla8193
@abdalla8193 Ай бұрын
Mpeni tu
@user-jc4mm7vs9x
@user-jc4mm7vs9x Ай бұрын
NI KUMNYOOSHA HANA ADABU CHAMA.
@user-fi6hb3lp5y
@user-fi6hb3lp5y Ай бұрын
Kabisa yaani mpaka anyooke
@NdayishimiyeEvelyne-ws6ts
@NdayishimiyeEvelyne-ws6ts Ай бұрын
Mutaweweseka sana
@sosthenesmaemba
@sosthenesmaemba Ай бұрын
We ndio huna adabu, mtu ksmaliza mkataba wake
@user-qw4pm2xe4j
@user-qw4pm2xe4j Ай бұрын
​😅😮😢🎉
@MkuwaTheDon
@MkuwaTheDon Ай бұрын
Mmmh
@shamissuleyman4894
@shamissuleyman4894 Ай бұрын
Hahahahahaha huyu chama na timu yake mpya walifanya fujo kusajiliwa kabla ya mkataba kuisha
@user-bt6ep3yb2h
@user-bt6ep3yb2h Ай бұрын
Chama kamaliza mkataba au bado? Kama hajamaliza kwa nini hamkwenda naye Misri?.
@MgangaMasudi
@MgangaMasudi Ай бұрын
Anataka nini
@abdallahmzee4335
@abdallahmzee4335 Ай бұрын
Mbona unajiuliza mwenyewe na kujijibu mwenyewe
@julianajeremiah4353
@julianajeremiah4353 Ай бұрын
Mjinga anatakiwa kuwaombea kuwapeleka ndio sababu😂 na asicheze
@deboy3323
@deboy3323 Ай бұрын
Hhhhhhhh hatumpi✊🦁🔥
@AllyMasangaluka-bm5ib
@AllyMasangaluka-bm5ib Ай бұрын
Acheni ujinga nyie mchezaji akifika miezi SITA analusiwa kuongeza na timu nyingine kengenyie chama huru
@abdallahmzee4335
@abdallahmzee4335 Ай бұрын
Ni kuongea ila cyo kusaini mkataba we kichwa maji
@user-or9cl2tc1h
@user-or9cl2tc1h Ай бұрын
Muwe wakweli chama alisajiliwa yanga bado akiwa na mkataba na simba hiyo ndo shida iliyopo
@FadhiliSalehe-l2c
@FadhiliSalehe-l2c Ай бұрын
Ushaidi unao kaka? Ila kisheria mchezaji anarusiwa kuongea na timu nyingine akiwa amebakisha miezi 6 kabra ya mkataba kuisha.
@FadhiliSalehe-l2c
@FadhiliSalehe-l2c Ай бұрын
Ushaidi unao kaka? Ila kisheria mchezaji anarusiwa kuongea na timu nyingine akiwa amebakisha miezi 6 kabra ya mkataba kuisha.
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 Ай бұрын
KUNA TIMU WANA WIVU SANA NA SIMBA
@abdalla8193
@abdalla8193 Ай бұрын
Lawi hanadabu
@maimunaathumani9121
@maimunaathumani9121 Ай бұрын
Safi jeuri uyo
@jumaathumani6886
@jumaathumani6886 Ай бұрын
Ni kwamb huko TFF wallace ni Pacha na simba sc huyo chama atajua hajuw ubaya ubwela qmmk😅😅😂
@user-ox4fv4cf5l
@user-ox4fv4cf5l Ай бұрын
Nyie na Mikia fc wote ni mbumbumbu tu,mbona Simba walimtangaza na bado wanadai Lawi ni mchezaji wao hali y kuwa ni mchezaji halali wa Coastal..? alafu kw nn Simba tu? hata KMC walilalamika kwa Awesu Awesu
@joshuamwambene2874
@joshuamwambene2874 Ай бұрын
TFF kila siku mnaindama Yanga hamuoni aibu .,Acheni kabisa yanga icheze kandanda
@abdallahmzee4335
@abdallahmzee4335 Ай бұрын
Tff hawaindami Yanga ila Yanga inabanwa kwenye mkataba wa chama ulikuwa lini hapo ndiyo mtajua kuwa timu yenu inaviongozi watoto
BABA YANGU KIPOFU Full episode /16/ #love
50:05
BabaJoan
Рет қаралды 652 М.
JUMATATU | MAMA MCH SALOME MWAMPETA
Kikosi kazi cha injili🎖
Рет қаралды 30