Subhana Allah M Mungu atuepushe na mitihani hii ya shirki huyo mzee kwa milo nae karibu hebu mpeni dawa Kabla umauti haujamkuta
@AbdullahOmar-be4wy2 ай бұрын
Kasome dini kwanza
@alhabibsudi79972 ай бұрын
Mnafiki wewe
@AbdullahOmar-be4wy2 ай бұрын
@@alhabibsudi7997 mnafiki baba ako na mama ako wasiokufundisha adabu
@machintangachibwena5922Ай бұрын
Ndumi huko tumeshakula sana mapera huko enzi za utoto wetu murch love from Germany 🇩🇪
@maninisamwel8657 Жыл бұрын
😢😢😢 waomba wafu wakuomba ni Allah pekee
@hamadalikhamis26 күн бұрын
Mzee wangu achakuwapotosha waislaam na kuwaingiza kwenye shirki wakumuomba ni mmoja tu simwengine ni Allah pekeee achauchawi eji imeenda tubu kabla yaumauti kukufikia
@aishahashim.50792 жыл бұрын
Hao huenda walikuwa kweli ni watu wema isipokuwa waliofuata baada yao ndio waliozama katika shirki kinyume na Mapenzi yao
@mwawekomiuda97798 ай бұрын
Hapana aliezamishwa ila ndipo ulipokua mji Bahari inatabia ya kujisogeza. Kinachiniudhi ni watu kwenda kufanya ushirikina.
@zeyanakharoubАй бұрын
Hao ni waja wema Ila hao watu wanafanya shirki
@takrimumakame227127 күн бұрын
Historia nzuri ya afrika, ila viumbe wa Karne hii tujiepushe na shirki hii ya kuomba kwa asiyekua Allah
@issaomari72443 жыл бұрын
Subhanallah allah awaongoze huo niushirikina allah awaongoze
@amanafi1288 Жыл бұрын
Nawe Sheh Issa yako ni siri yako
@rukiafaraj14002 жыл бұрын
Hao waliomo makaburini wanahitaji dua ya waliohai! SubhanaAllah waliohai wanawaomba wafu!
@FridayMwassaАй бұрын
Du imani hizo zinapoteza watu,neno linasema baada ya kifo ni hukumu, Mungu anasikia maombi ya mtu aliye hai siyo alikuyekufa.mwanadamu unatakiwa kutengeneza njia zako ukiwa hai na usitegemee kwamba kuna huruma ya Mungu baada ya wewe kufa kwamba utaombewa.Mafundisho ya mtume wenu Muhammad yamekuja kuwapoteza watu wa Mungu kwamba unaweza kumuombea muovu aliyekufa na Mungu akasikia jambo ambalo siyo kweli
@sihamjamal2234 Жыл бұрын
SubhanaAllah Astagafirullah watu wamepoteya yarabby tuongoze umaa wako
@mamyh57384 жыл бұрын
Subhanallah hii ni shirki ya hali ya juu Allah atustiri na shurki
@muhaajiryhassan43253 жыл бұрын
allah awasamehe woote wanaokwenda kuomba na awaongoze hawajui watendalo
@nureenshamba82432 жыл бұрын
Subhana Allah! Hio ni shirki kubwa mno! "Allahumma Inn wa Min dhuuriat Audhubika minal Mushirikina"
Mzee alikosea kidogo.c kuwaomba hao masharibu.bali ni kutawassal kupitia hao masharifu.YAANI UNAMUOMBA MUNGU KUPITIA HAO MASHARIFU KWA MAANA WAO WALIKUA WATU WEMA,WALIPOKUA HAI WAKIOMBA MUNGU HUKUBALIWA HARAKA DUA ZAO.INABIDI NASI PIA TUKIWA NA HAJA ZETU TTUMUOMBE MUNGU KUPITIA WAO. HATA UKIKUTA MTOTO WAKO AKIOMBA MUNGU,DUA ZAKE HUKUBALIWA HARAKA.BASI FANYA KUTAWASAL KUPITIA YEYE
@sajumahege49032 жыл бұрын
Unachanganya haki na batili
@mariamshaban45182 ай бұрын
Hata ww umekosea pia unamuombaje allah kupitia maiti?
@AbdullahOmar-be4wy2 ай бұрын
@@mariamshaban4518 sio ushirikina
@rahurselektor9850 Жыл бұрын
Shirki akbar mzee Allah akuongoze
@Izonecommunity Жыл бұрын
Hii ni shirki iliopindukia, kikubwa wanahitaji daawa kubwa.... Maana kma umesikiliza vzr anasema, wanakuja kuwaomba masharifu kama wanavyomuomba m/mungu... Innalillah wainna ilyhi rajuun....
@hamzakimaro37643 ай бұрын
kuomba maiti ni haifai ni kumshirikisha ALLAH
@Kimochatv8 ай бұрын
Allah waongoze wasiombe makaburi
@AbassJYahya4 ай бұрын
Sadakta aamin aamin yaa rabbal a'lamin
@ashuramhandoashuramhando6798 Жыл бұрын
ALLAHU AKBAR Allah anamlipa Mema Kila mtenda Mema ❤🔥🙏🙏🙏🙏
@Mashkuramuhidini2 ай бұрын
Assalaamu A'laykum warahmatullaahi wabarakatuh wa kuombwa na kuabudiwa ni Allaah Subhaanahu wataa'la na si vingine kwani tofauti na hapo kumshirikisha ALLAAH SUBHAANAHU WATAA'LA. Tunamuomba ALLAAH atujaalie uongofu na mwisho mwema
@manfredykomba822728 күн бұрын
Adi he e
@paulwambua49562 жыл бұрын
Waliokufa hawana sehemu katika walio hai... Yesu Kristo Ndiye njia kweli na uzima wa milele
@emmanuelmichael80192 жыл бұрын
We nae hujui chochote kaa huko
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
@@emmanuelmichael8019 hahaaaa
@user-xm2rm7wn6hАй бұрын
Sogea huko sisi tupite
@FridayMwassaАй бұрын
@@emmanuelmichael8019Unachobisha ni nini, ukweli wa biblia ndiyo huo baada ya kifo ni hukumu.Unaitwa Emmanuel lakini kumbe hujui lolote nyie ndiyo wakristo wa kufuata mkumbo,tengeneza njia zako ukiwa hai maana hakuna nafasi nyingine baada ya kufa
@swalahuomar96542 жыл бұрын
MMI ni twalabul ilm niko kenya inaruhusiwa kutwasal ndo mana mtu akienda makka unamwambia akuombee na wwe dua akifika sababu ile n sehemu bora ssa dua inaeza kubaliwa sababu ya mji wa makka na kwa masharifu n hvo hvo sababu n watu wema
@Wastara0012 жыл бұрын
Kama uko Kenya ndio tuamini hizo shirk.
@SleepyBeach-qs9mf6 ай бұрын
Hapo nimekuelewa na ninakushukuru sana.
@allyabdallah46792 ай бұрын
Wewe Acha kupotosha watu
@FatmaJ-v7fАй бұрын
Mzee ameshindw namna ya kuelezea ,kufanya waswila, mait ,amefarik roh zipo hai, hat wew unaweza kumtumia mtu mwengin kukuombea kit pahal usipo weza kufika. Tusomen zaid.
@SalmanRazaKhanTz7 ай бұрын
Subhaan'Allah! ❤❤❤
@hajjisanga789 Жыл бұрын
Mnaomba dua njema kwao ili allah awape maghfira ila kutawasl sio mbaya lakini watu kutawasl Hawa jui wanachanganja kuomba na kutawasl
@cornelytv28399 ай бұрын
Congratulations 🎉🎉🎉🎉🎉
@josephinekicheleri86024 күн бұрын
Najivunia kuwa MKRISTU.YESU KRISTU PEKEE NI NJIA YA UZIMA WA MILELE.YESU KRISTU UKIMFUATA UTAPATA UZIMA WA MILELE (PEPONII UTAISHI UTAUNGUA NA MOTO)
@annamussa1857 ай бұрын
Mungu awahurumie,ila waislamu mnavitu vya ajabu hv mifupa mikavu ndani ya kaburi inaweza kukusaidia nini jamani badilikeni huo ni ujinga mashetani yamewavaa nyinyi
@halimadaud-k7d7 ай бұрын
Ww amn unachkijuwa nyamaza wewe kafili
@annamussa1857 ай бұрын
@@halimadaud-k7d wewe na Muhammad wote ni 🐕
@AbdullahOmar-be4wy2 ай бұрын
@@annamussa185 mbona unatukana
@Kabeya410Ай бұрын
@@annamussa185sasa nyie we mkristo MTUME KAINGIAJE HAPO AU HUJUI MAANA YA KAFIRI NI ANEPINGA UWEPO WA MUNGU MMOJA NA ANAESEMA MUNGU ANA MTOTO HUO NDO UKAFIRI JIANGALIE KAMA UNATUKANA MTUKANE MTU SIYO MTUME MUHAMMAD SWALALAHU ALAYH WASALAAM. ALLAH AKUZINDUE KUTOKA KTK UKAFIRI UMJUE ALLAH NA MTUME WAKE NA MITUME YAKE YOTE. USIDHANI KWA KUMTUKANA MTUME MWISLAM ATAMTUKANA ISSA AU YESU LAA BALI UISLAM UNAMUHESHIMU ISA AU YESU KUWA MTUME WA ALLAH KWA BANI ISRAEL TU.
@FridayMwassaАй бұрын
@@Kabeya410Kwahiyo anaye abudu Krishna au Buddha huyo ni mwislam mwenzako maana nayeye anaabudu mungu mmoja kama wewe, Mungu wakweli ni yule aliye abudiwa na wayahudi siyo waarabu 0:00
Sasa unashida alafu unaweka ng'ombe kwa nn tusimuombe asie itaji ujira uo ni ushirikina hakuna sharifu anae ombwa kama allah huo mi uzushi
@hassanabdala7383Ай бұрын
Makaburi hayaombwi hyoo ni kufuru nyie ndio manafaa kuwaombe walikufa msamaha kwa mwenyezi Mungu wacheni kufuru huo niushirikina
@abdulkarimabdallah953620 күн бұрын
Babu wa hovyo Anaharibikia ukubwani kama mun'gunya kila linavyokua linazidi kuharibika
@sabihahamadi2287 Жыл бұрын
Subuhanallah mtihani
@halmahashim2864 Жыл бұрын
Subhanallah Allah peke ndio wakuombwa hiyo ni shirki
@mohamedabdiyussuf3874 Жыл бұрын
Shirki kubwa sana hio allah awaongoze njia ya haki
@salhkasmm558Ай бұрын
Subhanallah si majini lakini hao
@sofiahassani5185 Жыл бұрын
Tunawaomba mashehe na masharifu watupe elimu ktk ya kutosha kuhusu Jambo hili limetuweka njia panda je lafaa au halifai kuabudu makaburi hayo kWa namna yoyote
@AbdullahOmar-be4wy2 ай бұрын
Ndio linafaa hakuna ushirikina yani haombwi maiti anayeombwa ni Mungu yani mfano ww unaweza kuomba km wazee wako wamefariki ukaomba Mungu nina shida hii niondolee kwa baraka za wazee wangu au sharifu au swahaba au shekhe fulani hakuna ushirikina ni halali inaitwa taswaufu
@aliseif26912 жыл бұрын
Kutembelea makaburi na kuwaombea dua marehem wako ni sawa.lakin kwenda kuomba shida zako haifai ni shirki kubwa.
@msarama54062 ай бұрын
Ndumi yetu tuliyoondolewa na mkapa kwa ajili ya ujenzi wa bandari mpaka leo hakuna kinachoendelea inatuuma sana maeneo walikozikwa mababu zetu😢
@mamanabdoul4397 Жыл бұрын
Inna lillah wa inna ilayhi rajiun.uwo ni ushirikina.awo ni watu.siyo Allah
@NoraKedirАй бұрын
Wewe mze muombe mungu aca kuumbo maiti
@ibn_maleeqqeibraheem_1882 жыл бұрын
Omba alafu mungu nae akupa uzidi kumshirikisha,acheni ushenzi wenu huo ,shirki tupu hizo zenu sharifu ndo nn wacheni kupotosha umma hpa
@hassanabdala7383Ай бұрын
Hicho ni kisiwa kidogo kimeinuka maji hayapandi ww mzee wacha ushirikina huo wkuomba watu walikufaa
@muhammadiabassi656 Жыл бұрын
SHARIFU SIO WA KUMUOMBA HUYO NI MFU TU WA KUMUOMBA NI ALLAH PEKEYAKE
@HaznaAbdallahАй бұрын
Subh'anallah subh'anallah
@ShamimWanjiru-bm6ve3 ай бұрын
Hao Masharifu walienda zao kwa kuwa walikwisha kumridhishaAllah but hilo la kuwenda makaburini kuwaomba ni shirki kubwa,Iblis alikwisha kuwapambia wamsahau Allah,Subhana Allah
@AishaSaoud-m4i4 ай бұрын
KAMA KUKOSEA BASI ILO NIKOSA KUBWA KUMSHIRIKIAHA ALLAH NA MASHARIFU HAKIKA ALLAH HUAKBAR NDIO WAKUOMBWA KWANI ALLAH NDIO ALIE WAUMBA HAO MASHARIFU NA MITUME MA WALII NA VIUMBE WOTE DUNIANI NA AKHERA NDIE PEKEE APASAE KUABUDIWA.
@MdNasr-jm8pjАй бұрын
Ni Haramu kumuomba binaadam awe hai awe amekufa na hizi Imani potofu sijui wamezitoa WP 😢hao masharifu na Mtume wetu bora nani na mbona watu hawaruhusiwi kuomba achane shirki jmn
@DendamooGreater8 ай бұрын
Sio watu wamepotea ila wafrika ndo wamepotea kwa kufata Imani na asili tamatulin desturi za kiafrika izo ni asli ya wafrika sema wafrika wengi ni jinga Afrikaans maana asili yao wanaona niushezi kama walivyo potoshwa Kwa ile Iman ya kuaminishia waache chao wafuate visivyo vyao mungu ibariki Afrika
@adorchmassimba44138 ай бұрын
Shetani anambinu nyingi sana yakuwapoteza watu nakuwaanisha vitu watu nakuanza kuvifanyia ibada kanakwamba ni mungu watu wanaamini makabuli ya masharifu nakuanza kufanya ibada na maombi makabulini duu hii ni hatali
@assaasharif9635 ай бұрын
Jamani anaesitahiki kuombwa ni Mungu tu pekee
@chayogasperi97833 жыл бұрын
Cameraman mbona huoneshi hayo makaburi ??
@zulekha3028 Жыл бұрын
Astaghfirullah...mnaacha kumuomba mungu..mnawaomba binadamu mwenzio yeye mwenyewe kaumbwa kama wewe..Allaah awahid..inshllh mumuombe yeyetu asiye na mshirika.
@hasaniabdalah61489 ай бұрын
Tena anaomba maiti
@AbdullahOmar-be4wy2 ай бұрын
Sio ushirikina kasome dini kwanza
@Khanmkulu2 ай бұрын
Tupeni elim
@MashauriissaMohamedАй бұрын
Dunia inamaajabu yake
@HabibuUrasa4 ай бұрын
Pelekeni ujinga huko badala ya Mungu unaomba maiti km walikuwa Wacha Mungu ni wao na ww tafuta ucha Mungu wako acheni shirki
@alifakimati9614 Жыл бұрын
Hiyo ni shirki kubwa sana haifai kabisa kumuomba binadamu.
@hamadrashid51403 жыл бұрын
Ushirikina tu
@stanleymhozi7590 Жыл бұрын
Mapepo hayo jamani
@SwidikiKabemba4 ай бұрын
Tujikingeni na Jambo la shirki
@khamissalum92852 жыл бұрын
Walio kufa hawana makosa wenye kuomba wanakosea
@salumahmadasalum1556 Жыл бұрын
FANYENI YOTE TUMUOGOPENI ALLAAH KWENYE NAFASI YA KUMSHIRIKISHA ALLAAH
@marypartson8409 Жыл бұрын
Yako wapi
@ShariahajiOmarАй бұрын
Ewe mola wetu tuongoze waja wako kwenye njia za heri na sahihi na utunusuru na tamaduni za kishirikina😂😂
@abdisalan75153 ай бұрын
Nyiye mawahaabi hawa elewi diini kila kiitu shirki ndio mna hawaja sooma diini hiyo mzee an seema maitwa tawasul nyinyi mawahaabi nim jiinaga saana
@jailaninkya89783 жыл бұрын
Kutawasal kwa masharifu siyo ushirikina
@sajumahege49032 жыл бұрын
Ushirikina ni upi ss
@wasilaahmad7913 Жыл бұрын
Huo ni ushirikina
@SAMA-jw4fr2 ай бұрын
Washirikinaaa haooo
@omarjumaan30613 жыл бұрын
Nimakosa kuomba sharifu bid3ah
@simbaomar34057 ай бұрын
huo ni ushirikina sharifu anapaswa kukuombea kwa mungu amiwa hai akishafariki yake yanaishia hapo
@abdulkarimabdallah953620 күн бұрын
Babu najua huwez hata kusoma coment ila naamini wajukuuzako wataziona Em muwahini babu yenu kabla hajafa hali yakua mshirikina kwani nihatar zaid mbele ya Allah nidhambi ambalo Allah hatolisameh mja akifa akiwa na dhambi hilo naliko waz kuomba makabur nishirki kubwa
@HaruniHaruni-jy7hw Жыл бұрын
Ndumi hiyo
@mdungimdungikhamis77792 жыл бұрын
Acheni kutupotosha
@ibrahimungombo932Ай бұрын
SHIRKI HIYO
@aliabdallah8456Ай бұрын
Ni kisa kwa muisilamu kuomba mizimu na kuomba wafu na kuombwa binadamu yoyote yule bali wakuombwa ni Mungu peke yake
@tvdawuurobarawe78462 жыл бұрын
Please hiyi message kama huyo mze Yuko hayi basi umambie Rudi Kwa Allah akusamehe madambi yako Kwa Sababu umemshirikisha allah na niyeye mwenye anae stahiki kuabudiwa na kuombwa na hawo wenginewe kama Bado wako wanao muomba mayiti bas Kwa hisani yako wafikishie hii message shukran
@jamuhurialiwazir4685 Жыл бұрын
INNALiLAhi WA INNA ILAhi RAAjiuna. SS ndiyo tuwaombeee dua siyo ss Tuwaombe waoo apana, Kwani wao na manabii Nani nani zaidi kipenzi chá alha?
@ramadhaniomary92418 ай бұрын
Kweli kiyama kipo karibu nyote wachangiaji mmeshindwa kuelewa kwa Nini Hawa watu wameacha makaburi yote wakaelekea hayo makaburi mawili .halafu mmewaingiza moyoni hao wanaokwenda kutawasal nyinyi mnaita kuabudu haya hivi ni kweli hao watu wameshindwa kutofautisha baina ya mungu na masharifu waliokufa.kwa Nini mnatoa fatawa Hali ya kuwa nyinyi si wajuzi.Na pia kwa Nini hamuendi kuwanusuru badala yake mnawatia moyoni ndiyo Nini Sasa hiyo
@OmanOman-hf1hz3 ай бұрын
Hapana bana maji kipindi hicho maji hakukuepo😂
@mpwani35232 жыл бұрын
Shirki ya wazi kuomba hivyo wala sio tawasul
@yusufsadic2930 Жыл бұрын
Lakin hamon kuw kuomba kuwaomb waliokuf ni Shirk uslm Haukubal hay mnayatoa wapi jaman
@lisaamosi72972 жыл бұрын
Mimi Bado sijaelewa walichimbaje hayo makaburi ndani ya Maji?
@nimbetebwangabwa8521 Жыл бұрын
Wajukuu wa mtume .ni Hassan and Hussein,, hizo zingine shirki,,
@aminatanzanya74752 жыл бұрын
Najiuliz kabur walichimbj ila km iliwezekn bas ni watu Wema
@salummohd4971 Жыл бұрын
Hao msimbe wanadam
@stanleymhozi7590 Жыл бұрын
Mh mizimutuu na mashetani
@ibn_maleeqqeibraheem_1882 жыл бұрын
Wacheni kudanganya watu na shirki zenu izo
@jailaninkya89783 жыл бұрын
Kuto kujua kwako ww isiwe sababu ya kuharamisha mambo
@assfzainab9122 жыл бұрын
UKOSEFU WA AKILI UTAMUOMBEJE BINADUMU MWENZAKO AKILI POTOVU NA UJINGA TU SASA MWAJUWA MWENYEZIMUNGU ALIWAPA MAUT MBONA MWAOMBA MAKABUR YAO TUACHENI UJINGA
@abdulkarimabdallah953620 күн бұрын
.
@umnadyaful2 жыл бұрын
Inna lilahi wa inna ileihi rajiun, jamani mambo ya kusikitisha.Mashekhe wenye kufanya da'wa nawaomba mwende kutoa hawa watu masikio taka muwarudishe kwa Allah sio kukaa kutukanana wenyewe kwa wenyewe.Hawa watu hali zao mahututi kidini...Allah mustaan
@AbdullahOmar-be4wy2 ай бұрын
Hawana kosa ushirikina upi hapo
@jailaniramadhan17882 жыл бұрын
Mzee amekosea kuongea siyo wanaombwa Bali tunatawasali kwao
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Haram
@muhiddinrashid50493 ай бұрын
Kuomba asiyekuwa Allah ni shirki Allah awaongoze na awafahamishe kabla ya umauti
@AbdullahOmar-be4wy2 ай бұрын
Sio ushirikina kasome dini kuomba dua kupitia utukufu wa mtu au kitu sio ushirikina yani unaomba Mungu naomba unikubalie duwa hii kwa utukufu wa swahaba au fulani hapa hakuna ushirikina
@mohammedmataucar66Ай бұрын
@@AbdullahOmar-be4wyacha ushirikina kijana Allah haitaji msaidizi muombe yeye
@AbdullahOmar-be4wyАй бұрын
@@mohammedmataucar66 nenda kasome dini ww acha kuropoka nani kakuambia ushirikina unamuomba Mungu kupitiya kitu au watu wanaokubalika kisheria hii inaitwa tawasuli mfano mm namuomba Mungu anipe kitu fulani lkn kupitiya ww yani Mungu nijaliye kipate kitu fulani kwa baraka za muhamedi au maswahaba au watu fulani au kw baraka ya myama fulani hii haiitwi shirki unamuomba Mungu kupitiya
@mohammedmataucar66Ай бұрын
@@AbdullahOmar-be4wy kwaiyo wewe uliesoma inaruhusiwa kutawasuli kupitia maiti ?
@AbdullahOmar-be4wyАй бұрын
@@mohammedmataucar66 ndio nikwambiya usome uislamu unaruhusu kumuomba Mungu kupitiya kitu au watu wanaokubalika kisheria kuna watu wanaomba duwa Mungu nijaliye kitu fulani kwa baraka ya watu ahalu badri au maswahaba au mtu yeyote mcha Mungu hii haina shida hawa washakufa lkn unaomba baraka narudia tn baraka baraka zao sio yeye maiti upo kijana kuna tofauti kumuomba maiti maiti unasema tu naomba fulani nakuomba hii ndio ushirikina lkn tawasuli hata ukienda kaburini kuzuru unaomba ewe Mungu nakuomba nipate mtoto kwa baraka na utukufu wa mjawako huyu mwema au shekhe huyu nipate mtoto huu si ushirikina kasome dini utaelewa sio kufuata mkumbo
@muhamedjaffar56532 жыл бұрын
Wakuombwa ni Allah .tuache shirki
@moshimartin78602 жыл бұрын
Iyo ni bida. Wakuombwa ni allah
@AmerdaKavishe-pu3cf6 ай бұрын
Yakawaida
@abdisalan75153 ай бұрын
Mzee ako sahiihi anelewa dini nyinyi ni ma wahaabi khawariji