ACT KIMENUKA CCM WAKISHINDWA KUTEKELEZA TUNAJITOA JNU RAIS SUBIR YETU INAKIKOMO TUTAJIAMULIA WENYEWE

  Рет қаралды 7,174

Tifu Tv

Tifu Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 14
@richardnganya2311
@richardnganya2311 4 ай бұрын
Kasi ya ACT Wazalendo ipo vizuri sana visiwani Zanzibar.
@NoufelSalim
@NoufelSalim 4 ай бұрын
Inaumiza wallahi,wazee wanatia huzuni
@saidal-hind5338
@saidal-hind5338 4 ай бұрын
Ccm mijiz
@FatmaAbdulhalim
@FatmaAbdulhalim 4 ай бұрын
Musijidanganye. Ccm haiondok madarakan
@salummussa9871
@salummussa9871 4 ай бұрын
Maweeee
@Allybinamour
@Allybinamour 4 ай бұрын
kama ni hivo bora kujitoa kweli
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 ай бұрын
Suluhisho visiwa wakati ni viwili tugawaneni, kama chama X kina nguvu upande fulani na Y upande fulani waongoze huko. Kama uko ndani HAIWEZEKANI nje itawezekana je.
@Hilali-ff5ul
@Hilali-ff5ul 4 ай бұрын
Zanzibar ni Moja Jaman,,tume fisidiwa 2 na awo machogo
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 4 ай бұрын
Haji hassani una tatizo la kufikiri sawasawa .huwa huuangalii ukweli ulivyo,Zanzibar ukiwa mkweli kuondoa migogoro ni rahisi sana sharti uwe mkweli ,mfano ukimpata kiongozi kama huyu Othman akiwa yeye ndie mtoaji maamuzi juu ya mambo anaweza kusimama katika ukweli na akaondoa madhara .hata mimi leo hii niwe raisi wa Zanzibar hii mifarakano isiokwisha haitakuwepo kwenye chaguzi .1. Ni kuwa mkweli na kudhamiria kuondoa mauaji kila uchaguzi bila kujali nitashinda uchaguzi au chama cha hakitoshinda lengo kuu kuepusha mauaji nikiwa mimi kiongozi ,sitokubali watu wauliwe kwa sababu mimi niwe Raisi kisha nisimame mbele za watu nihubiri amani wakati mimi ndio chanzo cha uharibifu wa amani hiyo.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 ай бұрын
@@Sheba4651 Watakubali kukaa Pemba kwa sababu wanajenga miji ya wengine, kila anaepata fursa anahama. Lakini kwa maoni yangu sio sahihi CCM kuwa chama tawala Pemba. Sioni uwezekano wa kupata maendeleo ni sabotage tu.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 ай бұрын
@@Hilali-ff5ul Tutake tusitake pamoja na changamoto za Mapinduzi 1964 lakini ndio yaliyounganisha Unguja na Pemba kabla ya hapo Ukoloni na hata baada ya hapo utawala wa Karume Wapemba walikuwa Pemba na Waunguja Unguja hata vyama vya siasa viliundwa kwa msingi huo mfano Zanzibar and Pemba People Party (ZPPP) na Utawala wa Jumbe ulionesha nia kabiss kuondosha ubaguzi kwa kuanzisha dahalia Wanafunzi wa Pemba walisoma Unguja na Waunguja kusoma Pemba. Siasa imeharibu na kutugawa tena. Hivi sasa ukweli ni kwamba Waunguja na Wapemba wanacheka jino pembe! Kama hatuwezi kuishi pamoja tugawane visiwa. Ni kweli Zanzibar ni moja lakini ni moja kuliko Sudan ambayo sasa mpaka ni njia isiyozidi mita 10 imegawa Sudan Kusini na Kaskazini, hivyo hivyo Ethiopia na Eritrea hivyo tugawane kimamlaka tuendelee kuwa wamoja tukienda hivi kuna siku tutagawana na tusihusiane kama ilivyo Sudan. Hata Ujerumani walifanya hivyo Mashariki na Magharibi kwa kujenga ukuta baadae waliona umoja ni nguvu wakauvunja. Siasa ni kitu kibaya sana. Ukweli ni kwamba SMZ ni Serikali ya CCM inayoongozwa na Wapemba. Kwa nini kila wakati wanalalamika?
@Legends_Interviews
@Legends_Interviews 4 ай бұрын
Jitoeni hamna cha maana hata kimoja mnachokifanya😂
@cath-ef7wd
@cath-ef7wd 4 ай бұрын
Matako wewe na wewe kipi cha maana mnachofanya kuma wewe?
@lusakaone7782
@lusakaone7782 4 ай бұрын
hayakuhusu.
CCM YAANZISHA CHOKOCHOKO, YATAKA DKT. MWINYI AONGOZE KWA MIAKA SABA
4:26
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 29 МЛН
Un coup venu de l’espace 😂😂😂
00:19
Nicocapone
Рет қаралды 11 МЛН
DID A VAMPIRE BECOME A DOG FOR A HUMAN? 😳😳😳
00:56
Flipping Robot vs Heavier And Heavier Objects
00:34
Mark Rober
Рет қаралды 59 МЛН
ALIYEMPIGA RISASI TUNDU LISSU ABAINIKA
37:08
SHEIKH MWAIPOPO TV
Рет қаралды 12 М.
Israel kills Hamas leader Yahya Sinwar in Gaza
22:04
Channel 4 News
Рет қаралды 343 М.
MOTO UMEWAKA MHE MBETO AWAJIBU ACT PEMBA
9:55
Tifu Tv
Рет қаралды 1,6 М.
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 29 МЛН