Mi nashangaa sana wasanii wenye akili zao timamu kama hawa hawapendwi na vyombo vya habari huwa vinawatenga sana lakini wale wenye mambo ya kishogashoga ndio wanaopewa sana airtime na vyombo vyetu vya habari nashangaa sanaaa. Nimempenda sana Timbulo unajitambua Dogo achana na makiki ya yasiyo na maana we chapa kazi kama ipo ipo tu, unakuta msanii anafanya upuuzi mbele ya jamii alafu chombo cha habari kinatumika kumsafisha kana kwamba alichokifanya ni kitu cha kawaida katika jamii, kuna vitu sio utamaduni wetu kabisa yani.
@bilalbisama37266 жыл бұрын
AJE AJUWEE ANIJUWEE NIMJUWE ANIJUWEE ...ampenda n wee spendi niliee eehh..........miss sana bro ...its PV from İstanbul turkey
@arijankhalifa41486 жыл бұрын
katika watu wanaojua kujieleza, timbulo noma Sana umetisha bro
@issamakamba55696 жыл бұрын
unayo heshima kubwa sana bro kwasababu mpaka sasa hiv timbulo inafahamika kama domo zege
@mussamkuppa74476 жыл бұрын
uko vizuri sana broo wewe ni mtu wakipekee sana one day mungu atakupa mafanikio mukubwa zaidi ya hayo uliokuwa nayo sasa
@ahaziuhahula54066 жыл бұрын
nakukubali sana bro
@princeuzieri45486 жыл бұрын
Uko fresh saaana timbulo🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@bulletstunnerz40526 жыл бұрын
LILI OMMY MKALI WAO KAKA NAKUFWATILIA SANA YANI BRO
@mc-omoro23666 жыл бұрын
Ni mmoja wa wasanii anayejua nini anachoongea na nini cha kujibu .keep it up bway .
@kizegaramadhan71756 жыл бұрын
kweli dogo yupo makini sana. ata nilipokutana nae pale ccm gym...yupo simple sana hana makuu. kabisa..safi sana unaeleweka na wenye akili timamu big up
@jumahero69246 жыл бұрын
sasa ayo makuu atayatoa wapi wakati hana lolote.. we bwege nini??
@issajohn89835 жыл бұрын
Kizazi sana
@msafirisalum84366 жыл бұрын
Safi mzee baba timbulo
@laymapeace45386 жыл бұрын
timbulo mie nakupenda sana paka miziki yako
@hazardngolo27516 жыл бұрын
You r so composed bro Big up
@brunoyollam77966 жыл бұрын
Sureee t awesom
@gosbertnkotanyi6 жыл бұрын
Fresh!!!!.....
@nemesmassawe73266 жыл бұрын
nakukubali timbuloo
@boazmtileghe3786 жыл бұрын
Safi sana homeboy
@fabianimwaluko64686 жыл бұрын
timbulo 🙋🙋🙋🙋🙋
@hamidabaliyanga25846 жыл бұрын
Napenda mziki watimbulo
@SadimMavoice6 жыл бұрын
sawaaaaaaa
@aganomakirikirichoiroffici16786 жыл бұрын
Salute kwako jamaa unajibu vitu vinavyoeleweka
@idrisachirunda2506 жыл бұрын
Simba
@nemesmassawe73266 жыл бұрын
nice timbuloo
@mathayolupindo84556 жыл бұрын
dah napenda Sana unavojiweka
@mwendafrances77226 жыл бұрын
Vizur kak inapendeza san
@gisselazablon50596 жыл бұрын
sana kaka
@enosymkwama70316 жыл бұрын
Timbulo unajibu vizur sana na unajikikubali KIZAZ SANA
@richardngendakumana28716 жыл бұрын
Napendagisi unaongea umetulia we 👍👍👍👍
@t33pelos776 жыл бұрын
uyu jamaa anaongea kiume nimekupenda bule Timbulo
@Hauleshabby6 жыл бұрын
Latifa Abdallah sure
@happybryson75646 жыл бұрын
Nakupenda bure Timbulo
@chris_jabari6 жыл бұрын
Umejib vizur
@djamanitvonline36236 жыл бұрын
Nakubali mzeee WA mfuasiii
@marketingmafiaz32296 жыл бұрын
Kila kitu ni Kiki eh? Headline na swali ulilomuuliza mwisho mbona haviendani?
@mahseenabdallah73396 жыл бұрын
Hahahaha too much ohh yeah😁😅😅
@hilarygodfrey58626 жыл бұрын
Jembe langu timbulo namkubali sana
@eliahjohn55196 жыл бұрын
Safi timburo umekuwa sasa ila kwenye msaada wa shida za watu saidia mtu, safi mawazo mazuri
@dullyfilms51206 жыл бұрын
Tumesha subiri tumeshachoka#timbulo Please hit the subscribe button above On my channel
@sylvanosilver38986 жыл бұрын
ni mtazamo tu kwahyo we timb fanya yakkooo
@mwikamakomba32836 жыл бұрын
Sana mzee timbulo
@daudmilan14796 жыл бұрын
huna hela ww kwanza unavoimba uwez kaz ako kuponda tu diamond kiba ashakupa nn unajipya ww
Dailu Mmala hadi huruma mavoko walai yni yuko kama msiki lkn atarikava
@hl87556 жыл бұрын
Q boy alitimuliwa watu midomo Ikawa mingisana na kifesi akatoka Watu maneno mengi mwalabu akatimuliwa kwa sasa ni Rich mavoko katupwa inje kesho ni mingine