Kufukuza mpina sio haki hatakamaunatumia sheria kwakuwa sisi wananchi tupata shida Mungu anajuwa
@aneth5203 ай бұрын
Wasomi wa Nchi hii hamna msaada wowote, kwa wananchi
@PatrickBaitilwaki4 ай бұрын
Mpina Yuko sahihi
@geofreyrungwe92064 ай бұрын
Mimi sijajua unachoongelea ama kweli tuna madokta
@hamudshabani78013 ай бұрын
Duh! Hii ndo Tanzania yenye wasomi walevi wenye uono hafifu
@frankpeter41783 ай бұрын
Watanzania sasahv tunachokozwa sana tena kwa nguvu...endeleeni tu
@victorsanga22293 ай бұрын
Huyu Dr. ni wa mchongo aise.
@MariaCassian-e2i3 ай бұрын
Yaani ni bora ungekaa kimya kuliko ulivyo fungua huo mdomo wako😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ChristmasMaheri3 ай бұрын
Truth will not change when delivered to two or more audiences.The statement of the MP to the Parliament and the people does exact transparency and not offer any substantial variation of the truth.
@samwelshepa84434 ай бұрын
Sawa baba doctor! Kuhusu Imani ya Bunge, huenda nimekuelewa maana na wewe inaonyesha unamashaka. Ngoja tusubiri huenda kama wewe sio msemaji wa serikali basi naamini spika na yeye atakuja na majibu yake ili sote tuelewe kinachoendelea.
@EliaoniTerry4 ай бұрын
Hiyo crases kwa taarifa yako iliandaliwa, kwa makusudi ili wahusika walenyeze dili zao. Si mara moja serikali ya ccm na watawala wake wanasababisha tatizo na kisha kuja kulitatua kwa nia ya kuwahadaa wananchi. Rejea la kikokotoo, kukopa fedha kwenye mifuko ya hifadhi na kisha kupakazia menejiment ya mifuko uzembe, nk. Msome vizuri Mpina babu.
@AwadhOmary-x7z4 ай бұрын
P ❤
@EliyaPaulo-uf6hh4 ай бұрын
Kwendraaa kule mchumia tumbo weye
@LucianSanga-q8j4 ай бұрын
Jambo la sukari halikua la dharula lili kua lina julikana Sasa ni kwenye Gazeti gani? Wizara ili Tangaza wenye uwezo wakuagiza sukari Waagize Au Ali wajua Yeye Mwenye ni Akina nani wana uwezo wakuagiza?
@saimonisichimata85594 ай бұрын
Wewe ni chawa
@ezrarafael12493 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@MariaCassian-e2i2 ай бұрын
Haya
@Charlzlomo4 ай бұрын
Lengo sukari ishuke bei ndio maana ya kuagiza namkubali sana mpina lakini kwenye sukari,hapana viwanda vya ndani vilimgomea hadi magu kushusha bei 1800-2500 kurudi tena 1800 japo kuwa mimi situmii sukari
@sitamgeta75654 ай бұрын
Unatetea mpaka kampuni ya kuuza simu yenye mtaji wa milioni 5 kupewa kibari cha kuagiza sukari kwa matani ya mabilioni. Na kwanini vibari vilichelewa kutoka? Kwanini kiwanda cha kuzalisha sukari kipewe tani elfu 10 alafu kampuni ya kuuza simu ipewe tani elfu 60. Ufisadi wa wahindi na waarabu wa nchi hii.
@IsaacChiwinga3 ай бұрын
Anajichanganya hana msaada kwa wananchi, tatizo la Wahaya wanapenda kujisifia badala ya kuchambua issue husika.
@aneth5203 ай бұрын
Weee ni doctor wa serikali ,sisi hautuhusu na nafikiri nafasi za uteuzi zimeisha umechelewa sana ,
@renatusblandes11314 ай бұрын
Mbona kama nduguye Professor Lipumba
@kaburi9204 ай бұрын
Nadhani Spika yuko wrong katika Mh.Mpina kuuhabarisha wananchi maana Tulia ni spika kigeugeu sana na ni biased mwenye kuipendelea Serikali kuficha hujuma za serikali . Mpina anatakiwa kusifiwa na kulindwa na wananchi kuutoa uozo huo. Inawezekana hii ni sehemu kupata fedha za uchaguzi wa Oct.24 na mkuu wa Oct.25. Mpina unaungwaji mkono wa Watanzania wazalendo. Jamani wana ccm muwe mnatuenea huruma watanzania. Nimemsikilaza mwanzo mwisho Mh. Mpina na kwa mara kwanza ndani wanajitokeza akina Slaa, Tundu Lisa akina Heche akina Msigwa. Naamini '25 tutashuhudia mengi wakati Mama na chama mama wakituaga Watanzania na likizo ya milele. CHANGE IS ENAVITABLE COME 2025.
@EdwardMayila3 ай бұрын
Bora tutunze maneno tujipe muda tusije kukurupuka na kuropoka hivi
@ThobiasMarandu4 ай бұрын
Hili Kupe, Na Likunguni Linaloitwa Dr. Muchunguzi ni Parasite la Kisiasa. Ni Kama Mzoga wa Nguruwe, Ni Takataka tu.
@ALEXMARISA-qw6em4 ай бұрын
Chawa
@roberttarimo49564 ай бұрын
Huyu mtu anaisemea serikali na bunge kwani yeye ni nani independent you should do it for your family and your friends. It doesn’t matter umesomea nini..! Go apply for counselling CCM
@liannsambu72643 ай бұрын
Kweli ata mie nimesema kuwa Ni kama kuna bif nyuma ya pazia ,na nimelisema mara kadhaa ,
@abdallavictory67234 ай бұрын
Mpina nilishindwa kumuelewa, wakati tunashida ya upungufu wa Sukari, watu wote walitaka Ifutwe sheria ya kulinda viwanda vya ndani wakati vinazalisha Sukari ambayo haitosherezi maitaji ya ndani ya nchi, Sasa Mh Mpina anataka TUENDELEHE KUWA NA UHABA WA SUKARI KULA MWAKA, Watu wenye uwezo wa kuagiza Sukari walete kuwe na Ushindani tupate unafuu wa Bei
@PartySekemi3 ай бұрын
Huyu chawa kizee wa wapi shikamoo mpina
@SAMWELKATIGIZU4 ай бұрын
Tutabaki kwako Mungu
@ShinjeMackenzie4 ай бұрын
Mhaya chawa tu wew huna unachokijuwa unabwabwaja tu na kukodoa hiyo mimacho
@hamzaabdallah86374 ай бұрын
Wahaya kweli huwa tuna akiri sana ulivyojibu ndo utaratibu
@brighmmasy36464 ай бұрын
Wale wale
@MwigaAdam4 ай бұрын
Huyu baba ni chawa pevu la CCM na atakufa macho wazi
@dorahy15794 ай бұрын
Mbona huduma I Urais badala ya hako ka Tundu Lissu
@scolachavala67244 ай бұрын
Wanaotuchelewesha haka kamo, eti body language😂 sijui preposition mavi TU hiki kizee... Ebu kikojoe kikalale
@IsayaSosolo-nx8zk4 ай бұрын
Wewe Upo tofauti na Wahaya wenye akili wewe ni sifuri kabisa,
@kisasamlangama6744 ай бұрын
Sasa yeye mbona anai-preempty kamati ya bunge kwa kusema kuwa makampuni yale yanaweza kutumika kuagiza sugaring wakati wa dharura? Hamna DK hapo, walewaleeee!
Tometoka bandarini sasa tupo kwenye sukari I.tukitoka kwenye sikari tinaelekea wapi.majigambo majisifu kibao .eti Mama anaupiga mwingi..kumbe ni kejeli wanamzunguka mbuyu.wanahujunu nchi sana..jpm angekuwepo leo sijuwi ingekuwaje? Ufisadi wa waziiii wazi
@elbattawy28643 ай бұрын
huyu ni mchunguzi wa nini? Mpina ameweka vidhibiti juu ya meza, Bashe amewaambia watanzania kwamba sukari ilifika hadi kuuzwa Tshs 10,000/= kwa kg1 jambo ambalo halitaki tochi ni uongoo uliopitiliza, nadhan Kamati iendelee kuchambua, bashe huenda ana maslahi binafsi kwenye huo mradi wa kuagiza sukari toka nje
@victorkamugisha22823 ай бұрын
Msikilizeni Mwakipesile
@AbelJohn-tx4in4 ай бұрын
Huyu nae ni wale wale, spika alishatutoa imani toka alivyotuvuruga kwenye sakata la bandari, hata sisi wananchi wengi wetu hatuna imani na spika
@chrithicksambo22874 ай бұрын
Chawa la ccm likinyonga suti
@margarethpolepole74384 ай бұрын
wewe hufai mnafiki mkubwa duniani hauko ahera hauko
@JaphetJairos-n4l4 ай бұрын
Kumbe chizi hili nikajua linajielewa
@Paulo-e4c4 ай бұрын
Satumbo mkubwa
@JemeslaizerJemeslaizer4 ай бұрын
Tusubiri kauli ya bodies ya fisadi ushidwe mpina yuko sahihi. Huna jipya..
@jackisonmlaari45563 ай бұрын
Asijichanganye kwa tulia hamwwesi
@justardzelphine65263 ай бұрын
Mzee acha uchawa
@drallan68793 ай бұрын
sasa unamsifu speaker aliyeuza bandari?muchunguzi huna jipya ni CCM inayo tengeneza tume fake isiyo huru ya uchaguzi
@FadhiliNyassi3 ай бұрын
Huyu mzee mjinga sana sasa hapa ameongea nini k wewe
@FrankSalehe-us7zg3 ай бұрын
We mzeee nimbwa
@FadhiliNyassi3 ай бұрын
Mbona kama spika na yeye anausika maana wakati spika anamuomba mpina kuleta ushahidi watanzania tulikuwa tunaona live hakuna siri ila watu wa serikali wanatafuta pa kujificha
@HASSANWAZIRIGAO4 ай бұрын
HIZI NILAANA ZA WALE WATU WALIOMWAGIWA SAMAKI NA KUCHOMEWA NYAVU SASA AMEAMUA KUSHAMBULIA CCM NA MAWAZIRI WENZAKE
Watu wengi hawapendi kusikia ukweli kwa wale wanao wapenda mpina ni mshamba sana hasa baada ya kuvuliwa uwaziri ana hoja dhaifu yy amefilisi wavuvi wa samaki Kwa kuchoma Moto nyavu za wavuvi allkuwa anatembea rula kupima samaki
@mabalanyerere15414 ай бұрын
Wewe kalala yumban huna hoja mpina kaweka hoja ya ukweli au kwakua msema kwer hana haki kwa selekali tunasumbir majimbu Kama kwer kamat ya mbunge na kamati mpina yupo sahihi ?
@DavidMutiba-hr3vo4 ай бұрын
Dr.mchunguzi.naona.kama.uko.biased.Huna la maana.
@JonayMbelwa4 ай бұрын
Mchunguz unatuangusha wahaya polojo nyingi ila Huna pointi
@postiveaddition43624 ай бұрын
NEGATIVE
@AugustKisaka-qy7kl3 ай бұрын
Tume iundwe kuchunguza, kuna wezi
@shukraningetta28093 ай бұрын
Acha uongo ww
@richardc2703 ай бұрын
mzee unaongelea nini. msomi wa hovyo
@pastorjully36574 ай бұрын
Kweli una akili
@AhmedHassan-vl5zf4 ай бұрын
Vipi huyu mbona macho yake kama anatumia dawa za wendawazimu