DR. MUCHUNGUZI AMVAA MBUNGE, SAKATA LA SUKARI/ ARUKA NA TULIA NA BITEKO BUNGENI

  Рет қаралды 14,904

TimesFMTZ

TimesFMTZ

Күн бұрын

Пікірлер: 100
@petermkumbo5094
@petermkumbo5094 4 ай бұрын
Kachambue matembele mzee
@NorbethJosphath-hm1zb
@NorbethJosphath-hm1zb 3 ай бұрын
Kufukuza mpina sio haki hatakamaunatumia sheria kwakuwa sisi wananchi tupata shida Mungu anajuwa
@aneth520
@aneth520 3 ай бұрын
Wasomi wa Nchi hii hamna msaada wowote, kwa wananchi
@PatrickBaitilwaki
@PatrickBaitilwaki 4 ай бұрын
Mpina Yuko sahihi
@geofreyrungwe9206
@geofreyrungwe9206 4 ай бұрын
Mimi sijajua unachoongelea ama kweli tuna madokta
@hamudshabani7801
@hamudshabani7801 3 ай бұрын
Duh! Hii ndo Tanzania yenye wasomi walevi wenye uono hafifu
@frankpeter4178
@frankpeter4178 3 ай бұрын
Watanzania sasahv tunachokozwa sana tena kwa nguvu...endeleeni tu
@victorsanga2229
@victorsanga2229 3 ай бұрын
Huyu Dr. ni wa mchongo aise.
@MariaCassian-e2i
@MariaCassian-e2i 3 ай бұрын
Yaani ni bora ungekaa kimya kuliko ulivyo fungua huo mdomo wako😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ChristmasMaheri
@ChristmasMaheri 3 ай бұрын
Truth will not change when delivered to two or more audiences.The statement of the MP to the Parliament and the people does exact transparency and not offer any substantial variation of the truth.
@samwelshepa8443
@samwelshepa8443 4 ай бұрын
Sawa baba doctor! Kuhusu Imani ya Bunge, huenda nimekuelewa maana na wewe inaonyesha unamashaka. Ngoja tusubiri huenda kama wewe sio msemaji wa serikali basi naamini spika na yeye atakuja na majibu yake ili sote tuelewe kinachoendelea.
@EliaoniTerry
@EliaoniTerry 4 ай бұрын
Hiyo crases kwa taarifa yako iliandaliwa, kwa makusudi ili wahusika walenyeze dili zao. Si mara moja serikali ya ccm na watawala wake wanasababisha tatizo na kisha kuja kulitatua kwa nia ya kuwahadaa wananchi. Rejea la kikokotoo, kukopa fedha kwenye mifuko ya hifadhi na kisha kupakazia menejiment ya mifuko uzembe, nk. Msome vizuri Mpina babu.
@AwadhOmary-x7z
@AwadhOmary-x7z 4 ай бұрын
P ❤
@EliyaPaulo-uf6hh
@EliyaPaulo-uf6hh 4 ай бұрын
Kwendraaa kule mchumia tumbo weye
@LucianSanga-q8j
@LucianSanga-q8j 4 ай бұрын
Jambo la sukari halikua la dharula lili kua lina julikana Sasa ni kwenye Gazeti gani? Wizara ili Tangaza wenye uwezo wakuagiza sukari Waagize Au Ali wajua Yeye Mwenye ni Akina nani wana uwezo wakuagiza?
@saimonisichimata8559
@saimonisichimata8559 4 ай бұрын
Wewe ni chawa
@ezrarafael1249
@ezrarafael1249 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@MariaCassian-e2i
@MariaCassian-e2i 2 ай бұрын
Haya
@Charlzlomo
@Charlzlomo 4 ай бұрын
Lengo sukari ishuke bei ndio maana ya kuagiza namkubali sana mpina lakini kwenye sukari,hapana viwanda vya ndani vilimgomea hadi magu kushusha bei 1800-2500 kurudi tena 1800 japo kuwa mimi situmii sukari
@sitamgeta7565
@sitamgeta7565 4 ай бұрын
Unatetea mpaka kampuni ya kuuza simu yenye mtaji wa milioni 5 kupewa kibari cha kuagiza sukari kwa matani ya mabilioni. Na kwanini vibari vilichelewa kutoka? Kwanini kiwanda cha kuzalisha sukari kipewe tani elfu 10 alafu kampuni ya kuuza simu ipewe tani elfu 60. Ufisadi wa wahindi na waarabu wa nchi hii.
@IsaacChiwinga
@IsaacChiwinga 3 ай бұрын
Anajichanganya hana msaada kwa wananchi, tatizo la Wahaya wanapenda kujisifia badala ya kuchambua issue husika.
@aneth520
@aneth520 3 ай бұрын
Weee ni doctor wa serikali ,sisi hautuhusu na nafikiri nafasi za uteuzi zimeisha umechelewa sana ,
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 4 ай бұрын
Mbona kama nduguye Professor Lipumba
@kaburi920
@kaburi920 4 ай бұрын
Nadhani Spika yuko wrong katika Mh.Mpina kuuhabarisha wananchi maana Tulia ni spika kigeugeu sana na ni biased mwenye kuipendelea Serikali kuficha hujuma za serikali . Mpina anatakiwa kusifiwa na kulindwa na wananchi kuutoa uozo huo. Inawezekana hii ni sehemu kupata fedha za uchaguzi wa Oct.24 na mkuu wa Oct.25. Mpina unaungwaji mkono wa Watanzania wazalendo. Jamani wana ccm muwe mnatuenea huruma watanzania. Nimemsikilaza mwanzo mwisho Mh. Mpina na kwa mara kwanza ndani wanajitokeza akina Slaa, Tundu Lisa akina Heche akina Msigwa. Naamini '25 tutashuhudia mengi wakati Mama na chama mama wakituaga Watanzania na likizo ya milele. CHANGE IS ENAVITABLE COME 2025.
@EdwardMayila
@EdwardMayila 3 ай бұрын
Bora tutunze maneno tujipe muda tusije kukurupuka na kuropoka hivi
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 4 ай бұрын
Hili Kupe, Na Likunguni Linaloitwa Dr. Muchunguzi ni Parasite la Kisiasa. Ni Kama Mzoga wa Nguruwe, Ni Takataka tu.
@ALEXMARISA-qw6em
@ALEXMARISA-qw6em 4 ай бұрын
Chawa
@roberttarimo4956
@roberttarimo4956 4 ай бұрын
Huyu mtu anaisemea serikali na bunge kwani yeye ni nani independent you should do it for your family and your friends. It doesn’t matter umesomea nini..! Go apply for counselling CCM
@liannsambu7264
@liannsambu7264 3 ай бұрын
Kweli ata mie nimesema kuwa Ni kama kuna bif nyuma ya pazia ,na nimelisema mara kadhaa ,
@abdallavictory6723
@abdallavictory6723 4 ай бұрын
Mpina nilishindwa kumuelewa, wakati tunashida ya upungufu wa Sukari, watu wote walitaka Ifutwe sheria ya kulinda viwanda vya ndani wakati vinazalisha Sukari ambayo haitosherezi maitaji ya ndani ya nchi, Sasa Mh Mpina anataka TUENDELEHE KUWA NA UHABA WA SUKARI KULA MWAKA, Watu wenye uwezo wa kuagiza Sukari walete kuwe na Ushindani tupate unafuu wa Bei
@PartySekemi
@PartySekemi 3 ай бұрын
Huyu chawa kizee wa wapi shikamoo mpina
@SAMWELKATIGIZU
@SAMWELKATIGIZU 4 ай бұрын
Tutabaki kwako Mungu
@ShinjeMackenzie
@ShinjeMackenzie 4 ай бұрын
Mhaya chawa tu wew huna unachokijuwa unabwabwaja tu na kukodoa hiyo mimacho
@hamzaabdallah8637
@hamzaabdallah8637 4 ай бұрын
Wahaya kweli huwa tuna akiri sana ulivyojibu ndo utaratibu
@brighmmasy3646
@brighmmasy3646 4 ай бұрын
Wale wale
@MwigaAdam
@MwigaAdam 4 ай бұрын
Huyu baba ni chawa pevu la CCM na atakufa macho wazi
@dorahy1579
@dorahy1579 4 ай бұрын
Mbona huduma I Urais badala ya hako ka Tundu Lissu
@scolachavala6724
@scolachavala6724 4 ай бұрын
Wanaotuchelewesha haka kamo, eti body language😂 sijui preposition mavi TU hiki kizee... Ebu kikojoe kikalale
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 4 ай бұрын
Wewe Upo tofauti na Wahaya wenye akili wewe ni sifuri kabisa,
@kisasamlangama674
@kisasamlangama674 4 ай бұрын
Sasa yeye mbona anai-preempty kamati ya bunge kwa kusema kuwa makampuni yale yanaweza kutumika kuagiza sugaring wakati wa dharura? Hamna DK hapo, walewaleeee!
@florencemeza6540
@florencemeza6540 4 ай бұрын
Mbona kutumbua hivyo macho???
@Godlucky-cw1mf
@Godlucky-cw1mf 4 ай бұрын
Mzee watanzania wasasa siyo wale waenzi zako wanajitambuwa mlalamikio katulia kmya
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 4 ай бұрын
Kwa maelezo yako na Spika nimeona nikweli Mpina alitakiwa kwanza kwenda kwa spika
@yassinmuamba2526
@yassinmuamba2526 3 ай бұрын
Huyu mwehu kachambue mchele ndio kazi yako
@ChristerKoku
@ChristerKoku 4 ай бұрын
Mchunguzi kasaidie kule kwetu Kagera kunayo shida sana.Itagite haki utaiona amani.
@AbelJohn-tx4in
@AbelJohn-tx4in 4 ай бұрын
Sijui huyu jamaa anaongea kitu gani
@eliakazilo6078
@eliakazilo6078 3 ай бұрын
Tometoka bandarini sasa tupo kwenye sukari I.tukitoka kwenye sikari tinaelekea wapi.majigambo majisifu kibao .eti Mama anaupiga mwingi..kumbe ni kejeli wanamzunguka mbuyu.wanahujunu nchi sana..jpm angekuwepo leo sijuwi ingekuwaje? Ufisadi wa waziiii wazi
@elbattawy2864
@elbattawy2864 3 ай бұрын
huyu ni mchunguzi wa nini? Mpina ameweka vidhibiti juu ya meza, Bashe amewaambia watanzania kwamba sukari ilifika hadi kuuzwa Tshs 10,000/= kwa kg1 jambo ambalo halitaki tochi ni uongoo uliopitiliza, nadhan Kamati iendelee kuchambua, bashe huenda ana maslahi binafsi kwenye huo mradi wa kuagiza sukari toka nje
@victorkamugisha2282
@victorkamugisha2282 3 ай бұрын
Msikilizeni Mwakipesile
@AbelJohn-tx4in
@AbelJohn-tx4in 4 ай бұрын
Huyu nae ni wale wale, spika alishatutoa imani toka alivyotuvuruga kwenye sakata la bandari, hata sisi wananchi wengi wetu hatuna imani na spika
@chrithicksambo2287
@chrithicksambo2287 4 ай бұрын
Chawa la ccm likinyonga suti
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 4 ай бұрын
wewe hufai mnafiki mkubwa duniani hauko ahera hauko
@JaphetJairos-n4l
@JaphetJairos-n4l 4 ай бұрын
Kumbe chizi hili nikajua linajielewa
@Paulo-e4c
@Paulo-e4c 4 ай бұрын
Satumbo mkubwa
@JemeslaizerJemeslaizer
@JemeslaizerJemeslaizer 4 ай бұрын
Tusubiri kauli ya bodies ya fisadi ushidwe mpina yuko sahihi. Huna jipya..
@jackisonmlaari4556
@jackisonmlaari4556 3 ай бұрын
Asijichanganye kwa tulia hamwwesi
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 3 ай бұрын
Mzee acha uchawa
@drallan6879
@drallan6879 3 ай бұрын
sasa unamsifu speaker aliyeuza bandari?muchunguzi huna jipya ni CCM inayo tengeneza tume fake isiyo huru ya uchaguzi
@FadhiliNyassi
@FadhiliNyassi 3 ай бұрын
Huyu mzee mjinga sana sasa hapa ameongea nini k wewe
@FrankSalehe-us7zg
@FrankSalehe-us7zg 3 ай бұрын
We mzeee nimbwa
@FadhiliNyassi
@FadhiliNyassi 3 ай бұрын
Mbona kama spika na yeye anausika maana wakati spika anamuomba mpina kuleta ushahidi watanzania tulikuwa tunaona live hakuna siri ila watu wa serikali wanatafuta pa kujificha
@HASSANWAZIRIGAO
@HASSANWAZIRIGAO 4 ай бұрын
HIZI NILAANA ZA WALE WATU WALIOMWAGIWA SAMAKI NA KUCHOMEWA NYAVU SASA AMEAMUA KUSHAMBULIA CCM NA MAWAZIRI WENZAKE
@gcrack067
@gcrack067 4 ай бұрын
Huyu anatumalizia bando tu.
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 4 ай бұрын
Kureta ulaiani tulimchagua lazima tumhoji mpina nimbunge amevumilia uwizi unaotumika ndani yabunge hatakiuongo nimsema kweri
@brighmmasy3646
@brighmmasy3646 4 ай бұрын
Wale wale hakuna tu
@victorsanga2229
@victorsanga2229 3 ай бұрын
bunge lilikuwa wazi na maigizo yalikuwa wazi;
@yunusimchala6569
@yunusimchala6569 4 ай бұрын
Watu wengi hawapendi kusikia ukweli kwa wale wanao wapenda mpina ni mshamba sana hasa baada ya kuvuliwa uwaziri ana hoja dhaifu yy amefilisi wavuvi wa samaki Kwa kuchoma Moto nyavu za wavuvi allkuwa anatembea rula kupima samaki
@mabalanyerere1541
@mabalanyerere1541 4 ай бұрын
Wewe kalala yumban huna hoja mpina kaweka hoja ya ukweli au kwakua msema kwer hana haki kwa selekali tunasumbir majimbu Kama kwer kamat ya mbunge na kamati mpina yupo sahihi ?
@DavidMutiba-hr3vo
@DavidMutiba-hr3vo 4 ай бұрын
Dr.mchunguzi.naona.kama.uko.biased.Huna la maana.
@JonayMbelwa
@JonayMbelwa 4 ай бұрын
Mchunguz unatuangusha wahaya polojo nyingi ila Huna pointi
@postiveaddition4362
@postiveaddition4362 4 ай бұрын
NEGATIVE
@AugustKisaka-qy7kl
@AugustKisaka-qy7kl 3 ай бұрын
Tume iundwe kuchunguza, kuna wezi
@shukraningetta2809
@shukraningetta2809 3 ай бұрын
Acha uongo ww
@richardc270
@richardc270 3 ай бұрын
mzee unaongelea nini. msomi wa hovyo
@pastorjully3657
@pastorjully3657 4 ай бұрын
Kweli una akili
@AhmedHassan-vl5zf
@AhmedHassan-vl5zf 4 ай бұрын
Vipi huyu mbona macho yake kama anatumia dawa za wendawazimu
@JoshuakaruJoshu-pk3es
@JoshuakaruJoshu-pk3es 3 ай бұрын
Mpina yukosawa ayamajitu tangu magofuli amekufa mamboya ovyonimengi tunayaona arafu awajamaa wanaisi sisiwachini atufatilii etikiongozi anakumbatia wizi spika watanzania atumuerewi analindavibaka
@AbuubakariKanuti
@AbuubakariKanuti 4 ай бұрын
Acha uchawa ujui kamauna angamiza taifa ww
@felixchale9691
@felixchale9691 4 ай бұрын
Uyu mzee anamatizo kwa ukali inapo isha wewe unakosaje kujua kuwa itaisha lini acha ujinga
@seifpandu
@seifpandu 4 ай бұрын
ulivosoma vyote havina maana vimezidiwa na njaa.
@AmaniCosmetix
@AmaniCosmetix 4 ай бұрын
Mmmm uongo mtupu acheni siasa watanzania tumeshazoea tumelizika
@mndambokilavo2502
@mndambokilavo2502 4 ай бұрын
Huyu ni mchambuzi gani hatusaidii
@BenardBwakitare
@BenardBwakitare 4 ай бұрын
Wewe nakuzidi kuchambua uwezo wako ni wakawaida
@gaspermliseh3722
@gaspermliseh3722 4 ай бұрын
Psychologists wote wamekuelewa!
@rashidimahmud8605
@rashidimahmud8605 4 ай бұрын
Hueleweki unatumalizia bando
@GervasGerasMashimba-zw3gn
@GervasGerasMashimba-zw3gn 4 ай бұрын
Huna lolote unatupigia kelele tu hakuna mkate mgumu mbele ya chai
@shukraningetta2809
@shukraningetta2809 3 ай бұрын
Umwachie sipika toka lin sipika akawawajibisha cm wewe
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv 4 ай бұрын
Huna lolote wwe?
@khaliduhadi2336
@khaliduhadi2336 4 ай бұрын
Wewe unaongea nini ujui kitu mchumia tumbo tu au unatafuta uteuzi nini.
@mokiaolenaputu7648
@mokiaolenaputu7648 3 ай бұрын
Funga domo lako
@postiveaddition4362
@postiveaddition4362 4 ай бұрын
Negative - - -
@kalengashoppingcenter1108
@kalengashoppingcenter1108 3 ай бұрын
Na ww acha properganda
@husseinjosephitocho6754
@husseinjosephitocho6754 4 ай бұрын
kwenda zako uko wewe ni zuzu tu unasulia wenzio wanye na we ndio ukaalishe
@emiltonmartin4399
@emiltonmartin4399 4 ай бұрын
wewe katafute uteuzi mbele Wacha kutueleza ujinga
@LucianSanga-q8j
@LucianSanga-q8j 4 ай бұрын
Wewe Tuna ma
@Paulo-e4c
@Paulo-e4c 4 ай бұрын
Satumbo mkubwa
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 4 ай бұрын
Kureta ulaiani tulimchagua lazima tumhoji mpina nimbunge amevumilia uwizi unaotumika ndani yabunge hatakiuongo nimsema kweri
MJADALA MZITO KUHUSU ZANZIBAR ILIVYOHARIBIKA (SEMA NASI)
33:19
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 7 М.
Когда отец одевает ребёнка @JaySharon
00:16
История одного вокалиста
Рет қаралды 14 МЛН
My Daughter's Dumplings Are Filled With Coins #funny #cute #comedy
00:18
Funny daughter's daily life
Рет қаралды 31 МЛН
😜 #aminkavitaminka #aminokka #аминкавитаминка
00:14
Аминка Витаминка
Рет қаралды 1,3 МЛН
Neal Katyal on How Donald Trump Could Overturn the 2024 Election
23:31
Sustainability & ESG Careers: Trends & Opportunities | Ellen Weinreb
21:01
Collective Responsibility
Рет қаралды 15 М.
Msukuma ahoji wanaosomeshwa kisha wanakuwa wezi; Aibua sakata la IPTL
11:34
Когда отец одевает ребёнка @JaySharon
00:16
История одного вокалиста
Рет қаралды 14 МЛН