🔘JE, NA WEWE UNA HABARI? 🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402), 🔘WhatsApp (+255 767 400402) 🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com 🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Пікірлер: 18
@Director___Mwadadu3 ай бұрын
Ingewekwa adhabu ya kifo cha papoose hapo kutokomeza hii hali japo nchi kama nchi inauiraji wa msingi watu inauma😢
@LucyNtambi3 ай бұрын
Mama Samia hapo hakuna uchunguz wanyongwe tu tumechoka sana
@MussajumaMiheza4 ай бұрын
Wanyongwe bila uruma!
@augustinechitemo82074 ай бұрын
Ngoja tusubilie uchunguzi wa kipolisi ukamilike, Yawezakuwa siyo sahihi sana!
@saidbakar-qo6ri4 ай бұрын
Mjinga sana wewe hapo una lengo la kumtetea paroko unaleta udini waliokamatwa wamemtaja wewe ni nani mpaka upinge ushahidi upo na viungo vimepatikana ndugu zetu baadhi wakristo sio wote tuache kuleta ushabiki wa kidini kwenye jambo linalogusa hisia za kijamii na kibinadamu nyinyi ndio wale wakristo mliojitahidi kumtetea papa wa vatican kuhusu ushoga na kujaribu kupindisha ukweli kuwa kanisa katoliki rasmi limeruhusu ushoga kilichotakiwa wakristo wote wa afrika kupinga na kumtaka papa abadilishe msimamo wake lakini hakuna hata kiongozi mmoja aliediriki kumkosoa papa hata kwa waraka tu kama ule uliotumwa na kanisa wa kupinga bandari,hebu wakristo na waislamu tuache mihemko ya kidini yenye lengo la kumchukia mtu kwa sababu ni dini fulani au kumpendelea mtu kwa sababu ya dini fulani tuwe na msimamo wa pamoja rais awe muislamu au mkristo tumpinge kwa hoja tukosoe lakini tusiweke udini kwani ukiweka udini utashindwa kumsifu hata kwa mazuri atakayoyafanya na utayageuza mazuri kuwa mabaya
@JacquelineKinyonge4 ай бұрын
Siyo sahihi kivipi na wakat ushaambiwa kuwa paroko ndiye aliyemshawishi baba wa mtoto
@Teaching3563 ай бұрын
Et alikuwa padre alisimamishwa kazi sababu ya ulevi na alikuwa malaya wa kupindukia hivyo uhakika upo hakuna cha uchunguzi tena.
@LovenessDaud4 ай бұрын
Mmh inatisha sana 😢😢
@kalangwapaschal77184 ай бұрын
Jamani,na paroko tena?
@theklalyimo43834 ай бұрын
Jesus
@ElinikeSoi4 ай бұрын
Kama patri kafanya ivi tuta kimbilia wap 😢😢😢
@consolatamsacky64004 ай бұрын
Paroko 😢
@masoudmakame-g5t3 ай бұрын
It is another sort of terrorism
@Bilioneabichwa3314 ай бұрын
Paroko mtakatifu
@masoudmakame-g5t3 ай бұрын
Paroko Mtaka fujo
@kesterkanyala77184 ай бұрын
MAONI: NAKUREKEBISHA KIDOGO KATIKA RIPOTI YAKO HII .... - WENGI WA WALIORIPOTI,WALIANDIKA KICHWA CHA HABARI,"PAROKO MSAIDIZI"....NARUDIA "PAROKO MSAIDIZI" -ELIMU: PAROKO ANATOFAUTIANA SANA NA PAROKO MSAIDIZI KATIKA WADHIFA WAO.... -ANDIKA KUTOKANA NA MAELEZO SAHIHI
@saidbakar-qo6ri4 ай бұрын
Paroko ni paroko tu awe msaidizi awe mjukuu ni mtumishi wa kanisa sasa lengo lako ilikuwa kutetea au
@musakatwale19593 ай бұрын
UTAKUTA BAADA YA SIKU 4 MAJAMAA YAKO TENA MTAANI.KAMA KWELI NI WAO TUMIENI KALE KAUTARATIBU KA CHINA.KAMA NI MCHONGO BASI PELELEZENI MAANA BONGO NAPO MAUZAUZA YAPO MTAANI