Uchambuzi kuhusu kuzinduliwa kwa safari za treni Dar -Morogoro huku tukiangazia zipi changamoto na faida kwa mradi huo wa treni.
Пікірлер: 17
@fidelfidel-jz4iwАй бұрын
Hongera mkurugenzi mkuu Kwa juhudi kubwa sio KAZI lahisi mmesimamia bila Kona Kona mungu akubaliki sanaa
@omarybakunda2554Ай бұрын
Masanja mm nakuelewa sana uko vizuri
@victorkauki8974Ай бұрын
👏 🇹🇿
@MohamedRashid-py7roАй бұрын
Je hao watu wakija na njama ya kuuwa Treni zetu TRC na Serikali mmejipangaje
@aliakrabi8321Ай бұрын
Acheni ushamba, abiria wanakata tiket kutoka dar town to pugu/bunju wakiziba nafasi ya watu wanaosafiri kwenda mkoani
@allymusira2153Ай бұрын
Safiiiii
@rahimzuberi2673Ай бұрын
Hongera sana mkurugenzi mkuu kwa ufanisi mkubwa huu
@makitandungu2604Ай бұрын
Kadogosa anapaswa kuwa mfano wa viongozi wote wa mashirika ya umma. Jamaa amelibadilisha kabisa shirika la Reli kiutendaji
@modenasayiАй бұрын
When are they connecting with DRC ?😊
@ashuramohamed6365Ай бұрын
Leo tumebakishwa kwa usumbufu wa tiketi mpaka train naondoka tumebakishwa
@Festo1tz82-ut5spАй бұрын
Kuna ttzo la umeme kwenye mabehwa mbona taa za ndani zinazoma xima
@TwalibuAlbaamiryShokaАй бұрын
Hakuna tatizo kuzima kwa Taa sio tatizo bali pale huwa zinabadika line za umeme kutoka wilaya moja hadi nyingine kutoka mkoa mmoja hadi nyengine
@TwalibuAlbaamiryShokaАй бұрын
Kiufundi huwezi kutumia line moja hadi dodoma lazima ziwe tofauti kwa hiyo inapohama lazima taa zizimee pale kunakuwa hakuna umeme na ukiongonisha line 2 kwa wakati mmoja italeta maafaa
@saidimwanyiro5147Ай бұрын
Kuleta mtu binafsi mtazidiwa maarifa na wenzenu shirika litarudi kulele tilipo toka ni bora kubaki wenyewe