Hongera nyingi kwa Muasisi wa Mradi huu JPM pamoja na Mheshimiwa Rais Dr Samia kwa kuendeleza Miradi yote mikubwa ya kimkakati. Kanda ya ziwa tutanufaika sana na Daraja hili.
@zainabumartin95202 ай бұрын
Magufuri agekuwepo ligeisha siku nyingi tutoleeni utopolo wenu tumewachoka
@yassinkanal21 күн бұрын
Magufuli we baba 😢 😭
@khalidballeth59573 ай бұрын
Gnga LIKE kwa Hayati JPM
@anafisuleimani70833 ай бұрын
Hongera nyingi kwa viongozi wote mlio shiriki ujenzi huu
@charlesmwambinga43553 ай бұрын
Safi Chama Cha Mapinduzi kutekeleza Irani na kumalizia Miradi ya kimkakati..Mama SSH 2025 tena
@zachmaselle66353 ай бұрын
Hayo Magugu ziwani, tunangojea mpaka wazungu waje kuyaondoa?
@prosperidinya58642 ай бұрын
Eeeeh, kumbe ni magugu! Basi Mimi nikawa nakuuliza, kwanini hizo pile cap zijengewe kwenye maji badala ya kujenga kwenye ardhi hiyo yenye mimea. Asante
@African5113 ай бұрын
Akili za mwanaume mmoja aitwaye Magufuri,alooo Mungu alimtumia sana huyu jpm
@worldtechlab3 ай бұрын
Wow beautiful 😻
@loner_wolf21 күн бұрын
Mmh , huyu mama anafanya kazi gn sasa ..... mbona kazi kama zimedelay kwa kiwango kikubwa sana
@zainabumartin95202 ай бұрын
Mimi nachukia mpaka sasa miaka 6 harijaisha
@JayMore-fw5jnАй бұрын
Story zimukua nyingi kuliko vitendo
@EmanuelWebiro2 ай бұрын
Leo jpm angekuwepo tz ingekuwa na stage gani?
@omarybakunda25543 ай бұрын
Hakikisheni mnatoa majani yaliyo ota kwenye maji
@zainabumartin95202 ай бұрын
Mnatuchosha tunataka barabara liishe tunachukia manenotu acheni hata kutangaza
@ZeProDJay3 ай бұрын
Hili daraja halijaishaga tu duuh
@samsonmwijage18693 ай бұрын
Angelikuwepo duniani mwenyewe kwa sasa magari na waenda kwa miguu wangelikuwa wanapishana juu katika daraja hili.
@msafiriomary8933 ай бұрын
Mpaka reo mnaiba tuu cement na nondo hariiishi mrimtoa bure tuuu magufuli mngemuacha atujengeee inchi wajinga nyinyi