No video

TRUMP ajeruhiwa kwa Risasi kwenye Jaribio la Kuuawa wakati wa Mkutano wa kampeni, wawili wauawa

  Рет қаралды 76,046

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Ай бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 270
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Ай бұрын
No place to run. Except for God's protection.✌️
@dandara008
@dandara008 28 күн бұрын
uko wrong my Guy sometimes lazima u Fight, Ngoja AI iwe moto utajua how to save yourself just incase God will not come to intervene .
@user-ql6hg7fy9p
@user-ql6hg7fy9p Ай бұрын
Hii sasa ndiyo Marekani tunayoijua
@user-sb3vt1yh9s
@user-sb3vt1yh9s Ай бұрын
Nimecheka kwa sauti imeshanyesha huko
@azasam1447
@azasam1447 Ай бұрын
Fbi na cia hamna ulinzi imara kbc bora bongo
@user-ql6hg7fy9p
@user-ql6hg7fy9p Ай бұрын
@@azasam1447 Sasa hili tukio la mauwaji lingetokea Urusi, vyombo vya habari vya magharibi ungesikia wakisema CIA na FBI walikuwa wanajua na waliwatahadharisha. Hawa ni matapeli wakubwa wao wenyewe ndio wahuska haya mengine ni mbwembwe tu na propaganda.
@dandara008
@dandara008 Ай бұрын
@@azasam1447😂😂😂😂 acha utani fatilia vizuri iyo ilikua inside work mzee CIA na FBI knew about it sema is an inside job walitaka wamfanye trump kama walivyo mfanya JFK ila sio eti kwamba awajui akati kuna mwana alikamtwa kwa kupitia social media tu acha utani na surveillance ya marekani wewe
@issalyanali4119
@issalyanali4119 Ай бұрын
Huwezi mpiga Putin kuzembe vile
@Abdulrahmaniluhumba-kf6sd
@Abdulrahmaniluhumba-kf6sd Ай бұрын
Kisha wanazishtakigi nchi za kiafrika kuwa hazina demokrasia ....
@musiccaentertainment100k8
@musiccaentertainment100k8 Ай бұрын
Kwan democrasia ni nini😅😅
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 Ай бұрын
​@@musiccaentertainment100k8democracy ni ushoga
@dandara008
@dandara008 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 ona sasa yan hajui chochote anaropoka Trump kawa targeted kwa sababu nyingi sio inchi ni Sera za chama ,marekani wazungu kibao wanajitambua na wana hofu ya mungu kama wewe, issue ni viongozi wa vyama vya siasa democratic part VS republican mzee kama unafatilia fatilia mpk mwisho usitikise mti maembe hayaja wiva
@dandara008
@dandara008 Ай бұрын
Sera nyingi za ubaguzi juu ya watu weusi na ndoa za jinsia moja zimeidhinishwa na kuanzishwa pia kutekelezwa na chama cha democratic part ambao ndo walikataa pia kufuta utumwa mpk chama cha republican (abraham lincoln) kupiga vita kufuta biashara hiyo na pia kuwapa watu weusi nafasi ya kufungua biashara na kununua ardhi
@dandara008
@dandara008 Ай бұрын
Na ata ivo marekani ni REPUBLIC OF UNITED STATES kwamba inchi zote ambazo zipo ndani ya bara la American (canada,australia etc)kuungana na kutumia sarafu moja ya kiuchimi na mifumo ya kisiasa na sheria za inchi kwaiyo Sisi wenyew Africa tunatakiwa kujita REPUBLIC OF AFRICA kwa sababu bara la africa ni moja usipagawe na mipaka ya wakoloni democracy is like saying socialism
@rasvegas8991
@rasvegas8991 Ай бұрын
Dj sima alisemaga yupo salamaa
@AliAbdousalami
@AliAbdousalami Ай бұрын
Marhaba SNS kwa kututa Habari Zauhakika , Hongera ❤
@sonnyr1899
@sonnyr1899 Ай бұрын
Halafu vyombo vya magharibi hawajasema kanusurika kifo bali wanasema eti Trump kaumiya 😮😮😮 Ukweli utakuja tu.
@dandara008
@dandara008 Ай бұрын
😂😂😂😂😂 hao ni CNN ndo mana Trump anawaitaga fake news america is so divided yan utahisi vyombo vyote vya habari vina sugarcoat vitu ni kweli hata raia wanapata shida juu ya icho kitu ndo mana wanatumia social media kama X au TRUTH social kupata habari pure
@dandara008
@dandara008 Ай бұрын
censorship is real na huo ni mfano mdogo
@eve3894
@eve3894 Ай бұрын
Asante sana Sky . I was waiting for you to report this. You and your team am doing a great job. Lots of love from London ❤
@redtk2971
@redtk2971 Ай бұрын
We na we icho kingereza cha mkoa gani kwani😂
@mathiaslyamunda2526
@mathiaslyamunda2526 Ай бұрын
Kabisa
@salimbahatisha3003
@salimbahatisha3003 Ай бұрын
Ni London hii hii yenye kiengereza iki au London lounge ya kule ubungo external jeshini😁
@GoodDeeds-Jesus
@GoodDeeds-Jesus Ай бұрын
@redtk @salimbahatisha Inaonekana ninyi wawili ni wajuaji sana halafu hamjui kitu, hapo alichosea kikubwa hasa ni kipi? Inawezekana hata mkiulizwa kakosea wapi mnaweza kuwa hamjui. Kakosea kwa bahati mbaya nina uhakika huo kwasababu kila kitu kipo sahihi isipokuwa kAtype "am" badala ya "are" kwa mtu muelewa anafahamu kabisa ni bahati mbaya, wabongo sisi kwa chuki na wivu asee!
@habibahabiba7128
@habibahabiba7128 Ай бұрын
Hatari​@@redtk2971
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche Ай бұрын
Na amini dunia awafuati marekani democrasia.bali wanafuata misaada na uwoga.
@elmelekidaniel3015
@elmelekidaniel3015 Ай бұрын
INGEKUWA AFRICA UNGESIKIA WANATAKA KULETA WALINDA AMANI WA UN WAKATIKWAO AMANI HAIPO
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv Ай бұрын
Washenzi Mungu Ajaalie NA wao Wapigane Wao kwa wao... kama wanavosababisha mauwaji kwenye ULIMWENGU huu.....🤲
@dandara008
@dandara008 Ай бұрын
😂😂😂😂 siku america ikidondoka jua adi bongo mzee acha kujichetua kaka fatilia siasa mwanzo mwisho isishie njiani
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv Ай бұрын
@@dandara008 mbona tayari ameanza kidogo kidogo kuondoka kwenye sovereignty ya dunia.. Hii kawaida huwa kidogo kidogo
@JamalDikolaga
@JamalDikolaga 29 күн бұрын
Duh aisee Pol San
@AmaniMathod
@AmaniMathod Ай бұрын
Joe Biden anawaza vita na trump wanajuwa kwamba watashinda... trump na Vladimir ni marafiki na marekani hawataki Hilo wao wanawaza vita
@jamesraphaelmdima4729
@jamesraphaelmdima4729 Ай бұрын
LGBTQ+ Community hawamtaki trump!
@dandara008
@dandara008 Ай бұрын
@@jamesraphaelmdima4729Trump kafanya mengi chakwanza Amani ukiangalia middle east kwanzia 2016-2020 kulikua hakuna vita Putin alimuheshimu trump kwasababu alizuia bomba lake la mafuta kwenda Europa kwaiyo putin lazima angekua mpole ili afanye biashara kwasababu Russia bila mafuta awana nguvu ya kupigana vita na Trump alikua anajua ilo kwamba hata uwe na vifaru elfu hamsini mabumu hayajifyatui yenyewe lazime wese liwepo na United Arabs walikubali kuendele kuuza mafuta kwa dola na USA ilikua no1 katika uzalishaji wa mafuta kwaiyo hakuna ambaye angeweza kununua mafuta kutoka russia bila kua na hofu kutoka marekani na kwaivyo trump miaka yote 4 ilikua na Amani pia wana inchi waliishi maisha mazuri kwa kushuka kwa bei za mafuta na kila kitu ni mafuta (umeme) pia soko la hisa lilikua zaidi ajira zilikuwepo sio tu kwa watu weupe bali ata watu weusi na raia south american na wachina waliopo marekani ivyo kila Race ilikua inapata ela ya kuendesha maisha yao uhalifu ulipungua uhamiaji haramu pia kwaiyo trump alikua totauti sana na Rais waliopita na ndio mana masocialist awakupenda na wana taka wakabi madarakani pia kwaiyo kwa wao wanamuona trump kama tishio ila kwa raia wanamuona Tumaini lao la mwisho
@Lewinglovbi6699
@Lewinglovbi6699 Ай бұрын
Ingilikuwa Africa kwetu hapo wangilisema wazungu mpka basi tu😂😂😂
@evelynemugeni2369
@evelynemugeni2369 Ай бұрын
Nawao njo wanaleta migogoro Africa
@user-xo9rb7wj7s
@user-xo9rb7wj7s Ай бұрын
Kwanini wasisemwe, ni wanafik sana ndo wao kwa makusudi wanailetea Africa na n'nchi zengine migogoro kwa zimwi liitwalo democracy
@dandara008
@dandara008 Ай бұрын
@@user-xo9rb7wj7sKabisa sema we unataka mfumo wa chama kimoja ili iweje ukifatilia chama cha democratic kimekaa madarakani muda mwingi na kina kura za watu wengi weusi lakini chama hicho hicho ndicho kilikataa kuwachilia watumwa wawe huru kimewanyima reparation watu weusi kwaiyo na ni chama cha watu wanaotaka ajenda zao zitimizwe🌈 2016 ulimuona wap trump anaenda inchi za watu anawambia wakubali ushoga akuna kwasabubu yeye anatokea chama cha republicans na sasa chama cha democratic kimemaliza muda wake na raia wanamtaka trump arudi madarakani lazima watime nguvu kubaki madarakani hasahasa pale kiongozi anaerudi madarakani ataki shogo na ajenda zao
@DavidMwamengo
@DavidMwamengo Ай бұрын
Sky this is so great, I really appreciate your effort 👌 💪, I think in Africa we practice democracy despite everything which happens here, united state they should come to Africa and learn from us how to practice democracy, anyways its really bad for Trump hoping he will get back to his feet soon
@shafiiramadhani
@shafiiramadhani Ай бұрын
Hiyo ndiyo tofauty ya sns nawengine
@emmanuelmanga25
@emmanuelmanga25 Ай бұрын
Hao hao secret services watammaliza na huyo waliyemuua ni mtu wao
@MohammedAlly-hp8fg
@MohammedAlly-hp8fg Ай бұрын
Yes wla ujakosea ni mchezo tu umefanyika kwa sbbu zao ilikumjengea Iman mbele za umma na kumchafua mwengine ujinga ujinga tu
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 Ай бұрын
Nyiny mashoga mnasemaje hiyo ndio marekani halisi
@Ryannkae
@Ryannkae Ай бұрын
Hapana kuna mda unawekwa huru ila hawa ndo wwamefanya drump asife walimrukia mapema na kumuweka chini wao wakakaa juu yake sisi tulikuwa nao live
@ayshasaid1547
@ayshasaid1547 Ай бұрын
Damu ya gaza itawaghalimu watageukana wenyewe kwa wenyewe Mungu ajibu maombi
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 Ай бұрын
Unaongea upuuzi mjinga wewe, huyu ni mkweli hafichi hata maovu yao ndio hawampendi, na kuhusu gaza ameshasema sana raisi wa sasa ameziba masikio ukumbuke huyu ni rafiki wa Urusi maana yake uwepo wake ungepunguza vita.
@rjqaasam4587
@rjqaasam4587 Ай бұрын
Aaamiin
@TunuAdam-gc9rc
@TunuAdam-gc9rc Ай бұрын
​@@nassercurtis9579kweli kabisa unachokisema
@ayshasaid1547
@ayshasaid1547 Ай бұрын
@@nassercurtis9579 wewe ndio mwehu usiejitambua
@ayubusossy2893
@ayubusossy2893 Ай бұрын
Perfect keep it up Brother Sky
@zeinababdi4757
@zeinababdi4757 Ай бұрын
I was watching live when it happened 😮
@evelynemugeni2369
@evelynemugeni2369 Ай бұрын
Inchi inaotufunza democracy kwetu Africa 😢
@ContentSmartphone-rq6po
@ContentSmartphone-rq6po Ай бұрын
Huyu ndio rais ajae kwakweli😊😊
@Fgldesigns
@Fgldesigns Ай бұрын
Haya waendelee kutuaminisha Marekani kuna Amani na Demokrasia
@RizikiQueen
@RizikiQueen Ай бұрын
Marecani akuna amani mimi niko uku amna amani kbs
@gracenbarnes5254
@gracenbarnes5254 Ай бұрын
Hakuna amani sehemu gani ya marekani kazini,mtaani,kazini au wapi mimi naishi marekani sijakutana na kadhia yoyote
@ce-08
@ce-08 Ай бұрын
😂😂 watu bhana amani ipi nyinyi mnayoitaka changamoto ndogo ndogo Kila nchi zipo hakuna nchi ambayo inaamani kama vile uko peponi haipo hyo nchi
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 Ай бұрын
Marekani mashoga
@dandara008
@dandara008 Ай бұрын
@@omarymwaluko9765😂😂😂😂 ushadanganya mpaka basi ukitaka kujifunza anza umpya anziaa na WORLD ECONOMIC FORUM na kama umesoma kitabu cha think and grow rich utaona jinsi gani majina makubwa ya mabilionea wa kimarekani ndio wanotaka kutumia njia hii kutawala dunia yote ndio mana wanatoa ela ili kusambaza agenda hii ndhani corona pia imekufunga macho kwaiyo sio tu America kama utafatilia nlichokwambia utagundua inchi ya Marekani ikijakudondoka Hakuna inchi yoyote itakayo baki zote zitadondoka kwaiyo usichukie inchi bali fatilia watu wanaoichafua inchi na MALENGO hayo hasa ni nini
@officialyoung6
@officialyoung6 Ай бұрын
Ni hatar
@ramdanmbara8500
@ramdanmbara8500 Ай бұрын
Daah, kwa tukio hili sasa NAMKUBALI SANA DJ SMA. na kuanzia leo najiunga kwenye group la whatsapp
@fauzanhamed
@fauzanhamed Ай бұрын
hujachelewa sana
@fauzanhamed
@fauzanhamed Ай бұрын
karibu kweny ulimwengu wa ukomboz wakifikra
@user-jo5ig8ww1b
@user-jo5ig8ww1b Ай бұрын
Watauwana wao kwa wao kwa laana za watoto wa gaza
@fasterwalker1464
@fasterwalker1464 Ай бұрын
Watoto wa Gaza kvp
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony Ай бұрын
upo tz unaiwaza gaza how😅😅😅
@harrisongakure-ob7kw
@harrisongakure-ob7kw Ай бұрын
Na wacongo
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv Ай бұрын
Mushafahamu musijitoe akili....
@humphreymwihambi4330
@humphreymwihambi4330 Ай бұрын
Unawaza udini tu. Congo, Sudan wanauana kuliko Gaza mbona husemi?
@DrNelsonJohnMuhirwe
@DrNelsonJohnMuhirwe Ай бұрын
Asanteni Sana
@Torono_95
@Torono_95 29 күн бұрын
Africa niwakati wetu kuwatumia barua ya onyo waache izo mambo zao
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 Ай бұрын
Mpo vizuri
@richarddavidmk
@richarddavidmk Ай бұрын
Traore awe makin sana zile ishu za watu kumlaki aachane nazo. Mfikishie taarifazake
@sammy-b6281
@sammy-b6281 Ай бұрын
Wanasiasa ni wajanja sana wakiwa Kwenye kampeni wanatupumbazisha kwa matukio ya kweli na ya uwongo .
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g Ай бұрын
Mbona kama utabili niliousoma kuuwawa kwa Trump unataka kutimia jaman.
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz Ай бұрын
Trump amepanga yote ayo
@ShabanKarim-tv3vn
@ShabanKarim-tv3vn Ай бұрын
Marekani niinci yaajabu wahuni niwengi
@EmmanuelLupoja
@EmmanuelLupoja Ай бұрын
Hapa kwenu hawapo si juz tu JPM ametoweka
@jemjay1011
@jemjay1011 Ай бұрын
Was waiting for this
@Africaamkenitznawenuso
@Africaamkenitznawenuso Ай бұрын
Nchi inayo tetra haki za binadamu! Hovyo. Biden na jopo lake anahusika
@salimfaraj5509
@salimfaraj5509 Ай бұрын
Hiyo mipango ya serikali ya marekani. Wanajua Trump akiwa raisi atasitisha kupeleka silaha Ukraine na kuacha kuisapoti Ukraine.
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Ай бұрын
Sio wanajua ameshasema hakuna shilingi itatoka kwenda Ukraine
@hemedrashid2921
@hemedrashid2921 Ай бұрын
tenaaa boraaa wangemuuaaa wnyonyajii wa bara la africa na wabuguzii na watesaji wa wafricaa wenzetu huko americaa
@Gulfnas1
@Gulfnas1 Ай бұрын
Sma alisema kitambo!! Hujawahi kufeli
@ankalmzito254
@ankalmzito254 Ай бұрын
RUTO MUST GO
@agwalubifaridah7079
@agwalubifaridah7079 29 күн бұрын
Mchewww
@ankalmzito254
@ankalmzito254 29 күн бұрын
@@agwalubifaridah7079 hata kuandika haujui nadhani pia kusoma haujui.....
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 Ай бұрын
Siasa za wenzetu zina hatarisha maisha yao sana
@peterIrungu-bq1hj
@peterIrungu-bq1hj Ай бұрын
Hii ni kiki ya Wana siasa
@josephkiwale374
@josephkiwale374 29 күн бұрын
Kitabu cha ufunuo wa Yohana kilishaga mmulika trump kitambo!!what a mysterious book
@FredCharles-u3z
@FredCharles-u3z Ай бұрын
Acha Africa ingekua urusi leo sipat picha
@user-eg1ts2fu9z
@user-eg1ts2fu9z Ай бұрын
yaleyale aliyo sema DJ sma
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz Ай бұрын
Iyo ki2 kaipanga mwenyewe ili awe katika safe side wa2 wamuhurumie m2 apewe kazi ya kumpija yy amkose kabisa huu ni uongo imepangwa na wao wenyewe
@AbuuBakar-t26
@AbuuBakar-t26 Ай бұрын
Tukio la kutengeneza ilo
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Ай бұрын
Naamini hivyo pia
@Williamsalum-n1z
@Williamsalum-n1z Ай бұрын
upooo sahii ndugu
@Williamsalum-n1z
@Williamsalum-n1z Ай бұрын
Ukiskia paaaaaaaaaaaaaah ...................... Alieee lengaaaa hanaaa shabaaaah😢
@Williamsalum-n1z
@Williamsalum-n1z Ай бұрын
Kweliiii mtuu amepanga kukumalizaa anapigaa risasi Kama njuguu angekuwa mtuhumiwa angekuwa anania kweliii angepitaaa na kichwaaaa 😂😂😂😂
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Ай бұрын
Kwahiyo huyo aliyekufa amejiua 😂😂😂
@muanashaswaleh5110
@muanashaswaleh5110 Ай бұрын
Hii twataka ruto afanyiwe mana ame tushinda Tabia
@SaraphinaKidoti-qe7gi
@SaraphinaKidoti-qe7gi Ай бұрын
Uwauwane mamaeeee washazoea kutufanya tuuwane africa wafeee
@goodluckmwamboneke5591
@goodluckmwamboneke5591 Ай бұрын
Wamelitengeneza shambling hili, limekaa kisiasa sana na huku marekn wengi hawajaliwekea manan sana
@scorasticaclement6308
@scorasticaclement6308 Ай бұрын
Tukio la Kutengenezwa Mpaka Kuuana Duuh Sio Poa
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 Ай бұрын
Hawajaliwekea maanani kivipi wakati kila chombo kinatangaza?
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 Ай бұрын
Sio la kutengeneza Bro, kwan kuuana viongoz huko marekan imeanza leo
@adamkapolo8817
@adamkapolo8817 Ай бұрын
Dj sma alitabiri mwezi mmoja kabla
@user-es4uf6gj7u
@user-es4uf6gj7u Ай бұрын
Acha owongo
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m Ай бұрын
Dj sma alitabir kitu gan tujuzane
@Niget-us1np
@Niget-us1np Ай бұрын
​@@user-es4uf6gj7usababu ufwatiliwi fuyus
@adamkapolo8817
@adamkapolo8817 Ай бұрын
@@user-it7ih1it3m alitabiri kuuwawa kwa ant west viongozi wote wanaopinga magharibi alimtaja pia trump
@amanijampion3045
@amanijampion3045 Ай бұрын
Ila hajadhurika sana
@jeanmusamba8448
@jeanmusamba8448 Ай бұрын
God is good he survived
@moseskulola6913
@moseskulola6913 Ай бұрын
Kazi suri Sana ya lizi walipo mu protect trump
@user-xo9rb7wj7s
@user-xo9rb7wj7s Ай бұрын
Toka zako damu zimetoka..jamaa yako kaafa , walinzi wameprotect nini😅😅
@martinisadru9899
@martinisadru9899 Ай бұрын
Mbona hatari sana!,, mwamba trump aishi,,,
@saudamwinyipembe5749
@saudamwinyipembe5749 Ай бұрын
Africa tujifunze kujiendesha wenyewe si kutengemea hawa watu ambao hata wanaoneana wivu wao kwa wao 0:00
@brownjulius8514
@brownjulius8514 Ай бұрын
Asee wamarekani shikamooo
@mussakiziyzi408
@mussakiziyzi408 29 күн бұрын
Dah ! Kwa hio wakam mau zinde sio ?
@SimonJeshi-nq1hs
@SimonJeshi-nq1hs Ай бұрын
Hio ni nchi yenye democrasia !!!!!!€€€!!!!!!
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 Ай бұрын
Democracy ya ushoga
@user-hj4bc5uh2x
@user-hj4bc5uh2x Ай бұрын
Nakingine utaskia mshambuliaji anaasili yakiarabu au kiparestin
@surusuru1994
@surusuru1994 Ай бұрын
Duuh hatary😳😳
@kennedyjomo9255
@kennedyjomo9255 Ай бұрын
Democracy is not Democracy
@TrinaRoman345
@TrinaRoman345 Ай бұрын
Afu utakuta wapuuzi wamoja huku kwetu wanasimama jukwaani na kujinadi jifunzeni demokrasia Marekani 😢 sijui wanatuona sie wananchi hatuyaoni yanayoendelea huko kwako 🤔
@Theman-dn8vo
@Theman-dn8vo Ай бұрын
Sawa sio adi marekan hta hapo kwa jitani zetu tunajifunza ila kwetu hapa hakuna hio
@OmbeniSengambi
@OmbeniSengambi Ай бұрын
Hahahaha duniani ukiwa tofauti na watu wengine kinachofatia vita tu kwanzia mitume viongozi wa serekari mbaka famiria
@mootelahamongus633
@mootelahamongus633 Ай бұрын
Ndiyo tunaambiwaga hiyo ni nchi ya demokrasia.
@uwembatvonline
@uwembatvonline Ай бұрын
Wao kwa wao,, ndiyo maana wamemuua ili kupoteza ushahidi 😂😂mchezo wake Trump huo
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 Ай бұрын
Watajijua wenyewe.
@Ryannkae
@Ryannkae Ай бұрын
Nasikia aliye jaribu kumuhuwa ameuwawa nawana nchi
@lisawilliam2491
@lisawilliam2491 Ай бұрын
Duh
@JeivinMtundu
@JeivinMtundu Ай бұрын
Afu tunaambiwa marekani kuna democracy..ukitaka kujua waandishi waa marekani hawakubali nchi yao kuchafuliwa wanaandika simpo tu ashambuliwa iwe hapa bongo tungeyasoma mengi freemason wangehusishwaaaa
@radjamtaki5597
@radjamtaki5597 Ай бұрын
Taarifa za kushambuliwa kwa patriot defensive system huko ukraine mbona hamtupi???
@user-xt3pq4hb2r
@user-xt3pq4hb2r Ай бұрын
Marekani ya maqaidi
@MaridadiRashidilikwesoLikweso
@MaridadiRashidilikwesoLikweso Ай бұрын
safi sana ulafi wa madaraka umezidi
@amournassorsaid7694
@amournassorsaid7694 Ай бұрын
Soon watakuja na propaganda zao za kuwa ni ugaidi na watawasingizia waislam na ikiwa tofauti wataita hate crime hio ndio marekani na ulaya.
@evelynemugeni2369
@evelynemugeni2369 Ай бұрын
Kweli kbsa
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z Ай бұрын
Nampongeza Mpiga picha aliyeipata io shot ya chini akiwa kashapigwa
@mdimistudio6041
@mdimistudio6041 Ай бұрын
Daaah wanataka kumuua mwamba
@emmanueljohn7253
@emmanueljohn7253 Ай бұрын
Kama yeye kakoswa basi tupeni taarifa za hao walokuwa nyuma yake
@SalehSonda-bz3hl
@SalehSonda-bz3hl Ай бұрын
Africa amka acheni kuuwana acheni vita kaenipamoja serikali na waasi amani ipatikane,moto hauzimi moto,moto unazimwa na maji.
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 Ай бұрын
Tukio kubwa sana hili na limenishitua sana
@solomonjackson3827
@solomonjackson3827 Ай бұрын
Mwenye maono Hafi mpaka yatimie
@stevenmahinda657
@stevenmahinda657 Ай бұрын
Kwann auawe badala ya kumkamata...
@ramadhankilango9088
@ramadhankilango9088 Ай бұрын
Awe makini kwakua ki majukwaa tiari kamshinda Biden
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 Ай бұрын
Im smelling something bad wacha kiumane vizur tuone😂😂
@robertkabuthia2781
@robertkabuthia2781 Ай бұрын
That was close
@alnaseralshaukail3350
@alnaseralshaukail3350 Ай бұрын
Hawa watu hawafirii chochote ubongoni mwao wanawaza kuwa tu hadi lini?
@fallykhan2383
@fallykhan2383 Ай бұрын
Hii mbaya sana😭😭
@allyiddy6311
@allyiddy6311 Ай бұрын
Naona kma bado meng yanakuja kweny uchanguzi wa rais America
@mussawaziri4702
@mussawaziri4702 Ай бұрын
Nyie jamaa mnamfanya milrad asilale😂😂😂
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg Ай бұрын
Wauni so watu wazuri😅😅😅😅😅😅
@AmaniMathod
@AmaniMathod Ай бұрын
Kumekucha
@denisrenatus4935
@denisrenatus4935 Ай бұрын
Hongera kwa Dj sma na tunasubl uchambuz wake kwa hili tukio
@zainakingwele9228
@zainakingwele9228 Ай бұрын
Siasa za trump izo
@chany9950
@chany9950 Ай бұрын
Duuuh
@adolphmwangoje2887
@adolphmwangoje2887 Ай бұрын
Democracy ikowapi hpo 😝😝😝😝
@Mafimbajunior
@Mafimbajunior Ай бұрын
Hitman gan huyo anamiss target 😂
@johnnkelebe7360
@johnnkelebe7360 Ай бұрын
Marekani wao kwa wao hawaelewani harafu leo kuna watu wanasema US ni nchi yenye utulivu, amani na demokrasia. Hakuna kitu kama hicho US ni Wauwaji tu.
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 Ай бұрын
Kwn nchini kwetu tunaelewana? Imagine na sisi tungeruhusiwa kumiliki silaha kila raia kama Marekani
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 Ай бұрын
​@@rumdeesonsoa1811marekani mashoga
@user-fj5dy9hh5v
@user-fj5dy9hh5v Ай бұрын
Hiyo ndio historia halisi ya mabeberu wanaposema sisi sio wastaarabu ni kwasababu ya uchonganishi wao ila wao wamekua sio wastaarabu kwa kutuua sisi makutuibia mawekuja kustaarabika baada ya kuiba sana duniani kote na kuua watu kwa njia tofauti ikiwemo utumwa
@amadou564
@amadou564 Ай бұрын
Vamoos Trump
@salumunsabimana6502
@salumunsabimana6502 Ай бұрын
👏👏👏👏👏💪💪
@user-ju4md1yq6o
@user-ju4md1yq6o Ай бұрын
Sasa mkimuua Trump ndo mnategemea kuongozwa na Biden 😢
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 Ай бұрын
Haya sasa mtetezi mkuu wa uhuru wa kutumia Bunduki kwa Raia bila mashariti kibao kimemgeukia😂😂😂
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 Ай бұрын
Big up trump
@sharonvugutsa969
@sharonvugutsa969 Ай бұрын
😢😢😢😢😢😢
UDADAVUZI mtitiriko wa TRUMP kupigwa risasi! Kulikuwa na SNIPER wa pili
35:47
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 165 МЛН
WHO CAN RUN FASTER?
00:23
Zhong
Рет қаралды 15 МЛН
Алексей Щербаков разнес ВДВшников
00:47
When A Gang Leader Confronted Muhammad Ali
11:43
Boxing After Dark
Рет қаралды 6 МЛН
Zelensky adai majeshi yake yanashikilia maeneo 74 ndani ya Kursk, Urusi
2:54
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 165 МЛН